June 14, 2014

SHILOLE AMKABA NUH MZIWANDA MJINI DODOMA KWA KUHOFIA WANAFUNZI KUMCHUKULIA MAHABUBA WAKE, SHILOLE AHOFIA WANAFUNZI WA ST JOHN

Nuh Mziwanda wakiwa na Shilole Asubuhi ya leo Mjini Dodoma Ambapo walionekana wakiwa pamoja Muda wote bila kuachana kutokana na kila mmoj... thumbnail 1 summary

Nuh Mziwanda wakiwa na Shilole Asubuhi ya leo Mjini Dodoma Ambapo walionekana wakiwa pamoja Muda wote bila kuachana kutokana na kila mmoja kumwonea
wivu mwenzake bila kuachiana pumzi hata kwa dakika Moja,



Inasemekana Nuh akiwa anasalimiana na washkaji zake wa Dom Shilole naye anakuwa pembeni amekaba kinoma. Unaambiwa Shilole anawaogopa sana wanafunzi wa kike wa vyuo vya Dodoma kumpora bwana kwa kile kinachodaiwa nuh anafagiliwa sana na wanafunzi wa St John



SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: