Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara
May 12, 2014
PICHA NANE ZA NGUVU NA SPECIAL KWA WALE WANAO PENDA FASHIONS ZA KISASA.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SI MCHEZOO...LULU AKATA MAUNO BAADA YA KAZI YA KUSAKA VIPAJI HUKO MTWARA....ANGALIA VIDEO HAPA
SI MCHEZOO...LULU AKATA MAUNO BAADA YA KAZI YA KUSAKA VIPAJI HUKO MTWARA....ANGALIA VIDEO HAPA
Elizabeth Michael ametupia video clip hii kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM.....nakuandika, 21:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WAZUNGU WAFANYA KUFURU! TIZAMA HIVI VYOO VINAVYOCHOCHEA VITENDO VYA NGONO!! NI AIBU
WAZUNGU WAFANYA KUFURU! TIZAMA HIVI VYOO VINAVYOCHOCHEA VITENDO VYA NGONO!! NI AIBU
Una maoni Gani juu ya Choo hiki kilichotengenezwa huko ushonga na kuchochea usagaji!! 21:09Una maoni Gani juu ya Choo hiki kilichotengenezwa huko ushonga na kuchochea usagaji!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AVUNJA NDOA YAKE KWA KUTAMANI MAISHA YA WEMA SEPETU..
AVUNJA NDOA YAKE KWA KUTAMANI MAISHA YA WEMA SEPETU..
Kuiga ni kawaida kwa wengi.Wapo walioiga mambo fulani na hatimaye wakafanikiwa, na pia wapo walioiga vitu flani waka... 21:01Kuiga ni kawaida kwa wengi.Wapo walioiga mambo fulani na hatimaye wakafanikiwa, na pia wapo walioiga vitu flani wakaharibikiwa.Huyu aliiga na akaharibu kila kitu...
Ni msanii wa siku nyingi katika fani.Alitamba zaidi akiwa Kaole, na hata mwanzoni mwa ujio wa filamu za Kanumba alizidi tu kashaini....
Kiasili ni mweusi japo siku hizi kuna weupe fulani katika ngozi yake nyororo.Ana sura nzuri yenye mvuto,umbo aslia la kibantu,meno yake meupe yamepambwa na mwanya mdogo na kufanya iwe fahari kumuona akitabasamu...
Hana kashfa ya kuvaa nguo fupi sana ila aliwahi kukumbwa na skendo kubwa zaidi.Mkumbuke vizuri.Mrefu wa wastani,anajua kutembea,anaongea kwa mapozi huku akipenda kulamba papi ya midomo yake. Umemjua???....Hapana, siyo huyo...!!
Huyu ni mpole kiasili na anapendwa sana na mama yake.Katika
maigizo ana uwezo wa kukufanya uamini unachoangalia ni kitu halisi.Japo huwezi kumtaja, ila ndani ya wasanii kumi anapaswa kuwamo...
Na ingawa mvuto wake umepungua kiasi,ila bado mrembo sana.Lakini wakati anaigiza Kaole alikuwa mrembo zaidi.Kwa uzuri wake , alivuma na kila habari inayohusu mwanaume maarufu na mwenye pesa
Habari ya kutakiwa na kila mwanaume , wenye rangi na vipato tofauti zilisikika kila kona.Baadhi alitoka nao na wengine haikuwa bahati yao....
Toka kitambo almanusura aolewe, ila ni miaka ya juzi juzi ndipo aliolewa.Uzuri wake si wa kutafuta, kila mwenye macho na ngozi ya kuhisi atautambua....
Mbali na majanga yote aliyopitia katika maisha yake,mengine yakibaki kumchafua na watu kudhani hawezi kuolewa na mwanaume yeyote kabla ya ile bahati ya mtende akaolewa; yeye aliamua kuachana na ndoa yake kwa kuona aishi katika umaarufu wake....
Mara kadhaa alikuwa akiwaambia marafiki zake kuwa, mwenye hadhi na anayetakiwa
kuishi kama Wema Sepetu sio Wema bali ni yeye na wakongwe wengine waliosotea sanaa na kuipigania kama roho zao na kuilinda kama mboni ya jicho lao.....
Akaona ndoa sio mahala pake,bila sababu za msngi akaamua kumwambia mumewe watengane....Japo haikuwa rahisi ,lakini walitengana!!
Cha kufurahisha ni kwamba bado Wema anaishi kama Wema na bado yeye haishi kama Wema Sepetu na ndoa haipo tena...Umemjua ninayemzungumzia?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASTAA KUMBURUZA MPOKI KORTINI..SOMA MWENYEWE HAPA..
MASTAA KUMBURUZA MPOKI KORTINI..SOMA MWENYEWE HAPA..
KIMENUKA! Komediani aliyebahatika kuwa maarufu Bongo, Mujuni Silvery ‘Mpoki’ yuko njiani kupandishwa kizimbani kufuatia mastaa waliodai... 20:59
KIMENUKA! Komediani aliyebahatika kuwa maarufu Bongo, Mujuni Silvery ‘Mpoki’ yuko njiani kupandishwa kizimbani kufuatia mastaa waliodai aliwadhalilisha usiku
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA PICHA 20 ZA VIFAA VYA KIJESHI WALIVYOONESHA RUSSIA KWENYE SIKU YA MASHUJAAA
TAZAMA PICHA 20 ZA VIFAA VYA KIJESHI WALIVYOONESHA RUSSIA KWENYE SIKU YA MASHUJAAA
Russia has been showing off its military muscle in the annual Red Square parade marking victory over Nazi Germany while the world'... 16:06SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Boko Haram: Waonyesha wasichana waliotekwa.
Boko Haram: Waonyesha wasichana waliotekwa.
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara 15:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MSANII NATASHA NAYE AUGUA DENGUE NA KULAZWA...."NILIHISI NAAGA DUNIA KIUKWELI LAKINI NILIWAHI KWENDA HOSPITALI, NIMEPATA TIBA, NIMERUHUSIWA
MSANII NATASHA NAYE AUGUA DENGUE NA KULAZWA...."NILIHISI NAAGA DUNIA KIUKWELI LAKINI NILIWAHI KWENDA HOSPITALI, NIMEPATA TIBA, NIMERUHUSIWA
STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengue (Dengue Fever). 15:37SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JADA PINKETT AMTETEA MWANAE 'WILLOW' KUFUATIA PICHA TATA ALIYOPIGA AKIWA KITANDANI NA MWANAUME, ICHEKI HAPA
JADA PINKETT AMTETEA MWANAE 'WILLOW' KUFUATIA PICHA TATA ALIYOPIGA AKIWA KITANDANI NA MWANAUME, ICHEKI HAPA
Familia ya bwana na bibi Will Smith iliyojaa vipaji ilikubwa na kashfa hivi karibuni baada ya kusambaa kwenye Instagram na Tumblr ... 15:36SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NI KUFURU SASA!! TAZAMA HAPA VIDEO MPYA YA TREY SONGZ!! NI BALAA JUU YA BALAA!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UKWELI KUHUSU UHUSIANO WA KIMAPENZI KATI YA WASTARA NA BOND
UKWELI KUHUSU UHUSIANO WA KIMAPENZI KATI YA WASTARA NA BOND
ANATOKA KIMAPENZI NA WASTARA? Nakukubali sana kaka Bond lakini napenda kukuuliza kwamba kuna madai kuwa unatoka kimapenzi na Wastara Juma... 15:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tazama picha za Wasanii 6 wa kike walivyokua mwanzo kabla ya kuanza mambo yetu yale…..Ya mkorogo
Tazama picha za Wasanii 6 wa kike walivyokua mwanzo kabla ya kuanza mambo yetu yale…..Ya mkorogo
Ukizungumzia mambo yetu yale kwa watoto wa kike basi ni wazi utakua unazungumzia swala zima la urembo. Kuna tafsiri nyingi za msichana m... 10:22SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWA MUONEKANO YUPI HAPA NI MBUNGE MREMBO KULIKO WOTE KATI YA HAWA???
KWA MUONEKANO YUPI HAPA NI MBUNGE MREMBO KULIKO WOTE KATI YA HAWA???
Urembo na mvuto kwenye macho ya binadamu huwezi kuvitenganisha. Wakati kule mjengoni Dodoma wakiendelea kupika bajeti ya serikali ya mw... 10:11SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA ASHAURIWA AACHE UMAARUFU WA KUBEBWA NA SCANDAL.
WEMA ASHAURIWA AACHE UMAARUFU WA KUBEBWA NA SCANDAL.
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameibuka na 10:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OMMY DIMPOZ AFUNGUKA JUU YA MADAI YA WENGI KUA KAVAA VIATU VYA KIKE. SOMA HAPA
OMMY DIMPOZ AFUNGUKA JUU YA MADAI YA WENGI KUA KAVAA VIATU VYA KIKE. SOMA HAPA
Picha ya cover la Vibe Magazine, lililotoka siku ya jana, imeonekana kutengeneza gumzo miongoni mwa raia kibao, hasa kutokana na surua... 10:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NDIYO COMEDY YA MAPENZI ILIYOFUNGIWA HUKO KENYA
HII NDIYO COMEDY YA MAPENZI ILIYOFUNGIWA HUKO KENYA
“House of Lungula” ni comedy ya kwanza ya mapenzi inaonyesha maisha halisi ya kimapenzi ya jamii za watu wa Africa hasa wa Kenya, movie ... 10:05
“House of Lungula” ni comedy ya kwanza ya mapenzi inaonyesha maisha halisi ya kimapenzi ya jamii za watu wa Africa hasa wa Kenya, movie hii ni ya comedy
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA HIZI 3 ALIZOWEKA SHILOLE CHAMCHAFUA SHILOLE NA KUOGESHWA MATUSI MTANDAONI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAPICHA NA STORI KAMILI:ANGALIA MADAWA YA KULEVYA YALIVYOMUHARIBU VIDEO QUEEN WA NGOMA YA ICE CREAM YA NOORAH
MAPICHA NA STORI KAMILI:ANGALIA MADAWA YA KULEVYA YALIVYOMUHARIBU VIDEO QUEEN WA NGOMA YA ICE CREAM YA NOORAH
Hakuna asiye kumbuka how big video ya Noorah aka Baba styles ilivyosumbua TV za watu na ngoma yake ya Ice cream akimshirikisha Sumalee. 09:51SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NATASHA GONJWANI NA HOMA YA DENGUE
NATASHA GONJWANI NA HOMA YA DENGUE
STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengu (Dengue Fever). 09:50SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWENYE KIBAO KATA:WOLPER AANGUKA UKUMBINI
KWENYE KIBAO KATA:WOLPER AANGUKA UKUMBINI
Mbovumbovu za staa! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuwa tilalila na kujikuta akipiga mwereka kwenye shugh... 09:48SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NDIO JEURI YA DIAMOND AKIWA KAZINI, JUA MTONYO ANAOBEBA NA SPEND YAKE AKIWA TOUR ZA NJE.
HII NDIO JEURI YA DIAMOND AKIWA KAZINI, JUA MTONYO ANAOBEBA NA SPEND YAKE AKIWA TOUR ZA NJE.
Waandaaji wa show nyingi wametokea kumlinganisha sana umaarufu wa Diamond na Davido bila kupata jibu kamili, na kama unadhani ni wasan... 09:46SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA TENA: ACHAFUA HALI YA HEWA INSTAGRAM
WEMA TENA: ACHAFUA HALI YA HEWA INSTAGRAM
Ni baada ya kupost picha akiwa na rafiki zake aunt Ezekiel na Rommy Jons club huku Rommy Jons akiwa amevaa vazi la kanzu ambalo wengi 09:44
Ni baada ya kupost picha akiwa na rafiki zake aunt Ezekiel na Rommy Jons club huku Rommy Jons akiwa amevaa vazi la kanzu ambalo wengi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
EXCLUSIVE:ROSE NDAUKA KUTOLEWA MAHALI LEO HII NA BABA MTOTO WAKE "MALICK BANDAWE"
EXCLUSIVE:ROSE NDAUKA KUTOLEWA MAHALI LEO HII NA BABA MTOTO WAKE "MALICK BANDAWE"
Hii ni exclusive! Star mkubwa wa filamu nchini anayetamba na filamu kibao sokoni Rose Ndauka anatolewa mahari leo hii baada ya kuwa k... 09:42Hii ni exclusive! Star mkubwa wa filamu nchini anayetamba na filamu kibao sokoni Rose Ndauka anatolewa mahari leo hii baada ya kuwa katika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASTAA WAKIONYESHA LOVE KWA MAMA ZAO:HIVI NDIVYO MASUPER STAR WA BONGO WALIVYOSHEREKEA MAMA'S DAY
MASTAA WAKIONYESHA LOVE KWA MAMA ZAO:HIVI NDIVYO MASUPER STAR WA BONGO WALIVYOSHEREKEA MAMA'S DAY
Leo ni siku ya akina mama duniani, mastar mbali mbali wa bongo wamesherekea siku hii kwa kuonyesha upendo kwa mama zao kwa kupost picha ... 09:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)