Mnamo Tarehe 14.08.2015 Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Chadema Alikuja Mkoa Wa Mbeya Akiwa Ameandamana Na Viongozi Wa Vyama Vya Cuf, Nccr – Mageuzi Na Nld Kwa Dhumuni La Kumtambulisha Na Kuomba Udhamini Wa Kupeperusha Bendera Ya Chadema Kwa Nafasi Ya Urais.
August 19, 2015
Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rais JK na Dk. Magufuli walivyokutana kuongea na wazee Dar August 19 2015… (Pichaz)
Rais JK na Dk. Magufuli walivyokutana kuongea na wazee Dar August 19 2015… (Pichaz)
Siasa zinaendelea kugusa headlines za habari kubwa kila siku, leo ninayo hii post nyingine kwa ajili yako mtu wanguvu.. hii inahusu Chama... 23:24
Siasa zinaendelea kugusa headlines za habari kubwa kila siku, leo ninayo hii post nyingine kwa ajili yako mtu wanguvu.. hii inahusu Chama cha CCM ambapo Rais Kikwete akiwa ameongozana na baadhi ya viongozi wa Chama hicho ikiwemo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Professor Jay achukua fomu ya kugombea ubunge 2015
Professor Jay achukua fomu ya kugombea ubunge 2015
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya msanii mkongwe wa Hip Hop, Joseph Haule a.k.a Professor Jay naye amechukua fomu ya kuwania U... 23:23
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya msanii mkongwe wa Hip Hop, Joseph Haule a.k.a Professor Jay naye amechukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Idadi mpya ya wagonjwa wa kipindupindu hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam
Idadi mpya ya wagonjwa wa kipindupindu hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam
Jana nilikusogezea stori kutoka hospitali ya Mwananyamala kuhusu kupokea idadi ya wagonjwa wa kipindupindu 20 na kufariki kwa watu watatu... 23:22
Jana nilikusogezea stori kutoka hospitali ya Mwananyamala kuhusu kupokea idadi ya wagonjwa wa kipindupindu 20 na kufariki kwa watu watatu, sasa leo ripota wamillardayo.com amefika tena hospitalini hapo kuhakikisha kinachoendelea Hospitalini hapo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Anachokiamini Rafael Benitez kuhusu kiwango cha Gareth Bale
Anachokiamini Rafael Benitez kuhusu kiwango cha Gareth Bale
Kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez ameamua kuingilia kati ishu inayoendelea kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa ... 23:21
Kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez ameamua kuingilia kati ishu inayoendelea kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale na mashabiki ambao wamekuwa wakipiga kelele na kumzomea kufuatia kiwango
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mjukuu wa Nelson Mandela matatani afikishwa Mahakamani!
Mjukuu wa Nelson Mandela matatani afikishwa Mahakamani!
Historia ya Nelson Mandela ni historia ya kishupavu iliyosimamia ukweli, usawa na haki na pale mtu anapojaribu kuweka doa kwenye jina l... 19:23
Historia ya Nelson Mandela ni historia ya kishupavu iliyosimamia ukweli, usawa na haki na pale mtu anapojaribu kuweka doa kwenye jina la familia ya Nelson Mandela watu hawatakuelewa kabisa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huyu ni staa mwingine kutoka Ghana aliyejiunga na Chelsea
Huyu ni staa mwingine kutoka Ghana aliyejiunga na Chelsea
Jose Mourinho ni miongoni mwa makocha wanaopenda wachezaji wenye asili ya AfrikaAugust 19 2015 habari za kumsajili beki wa kimataifa wa G... 19:22
Jose Mourinho ni miongoni mwa makocha wanaopenda wachezaji wenye asili ya AfrikaAugust 19 2015 habari za kumsajili beki wa kimataifa wa Ghana aliyekuwa anaichezea klabu ya FC Augsburg ya Ujerumani Baba Rahman na kujiunga na klabu ya Chelsea kwa ada ya uhamisho ya pound milioni 21.7.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Selena Gomez anaisambaza rasmi video ya “Good For You” feat. A$AP Rocky. (Video)
Selena Gomez anaisambaza rasmi video ya “Good For You” feat. A$AP Rocky. (Video)
Baada ya kuachia audio ya wimbo wake “Good For You” staa wa muziki Marekani Selena Gomez amerudi kutupa video ya ngoma hiyo amba... 19:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kutoka Diamond: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC
Kutoka Diamond: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC
Kikwete: CCM haibahatishi, ni chama kikubwa kinawajua watu wake vizuri, sasa nataka nimlete ndugu Magufuli. Anaimbisha wimbo wa kumkaribi... 19:18
Kikwete: CCM haibahatishi, ni chama kikubwa kinawajua watu wake vizuri, sasa nataka nimlete ndugu Magufuli. Anaimbisha wimbo wa kumkaribisha Magufuli. Watu wajue leo CCM ndio imeanza, kama walikuwa wanchukua picha na kuunganisha kwenye computer, sasa zinakuja picha za kweli. John Magufuli ndio Rais na Samia ndio makamu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIMENUKA..Wana CCM 704 Toka Jimbo Analogombea Nape Ubunge Wahamia CHADEMA
KIMENUKA..Wana CCM 704 Toka Jimbo Analogombea Nape Ubunge Wahamia CHADEMA
Aliyekuwa mgombea wa kura za maoni kupitia chama cha mapinduzi jimbo la mtama SELEMANI METHEW amekihama chama hicho na kuondoka na wana C... 19:17
Aliyekuwa mgombea wa kura za maoni kupitia chama cha mapinduzi jimbo la mtama SELEMANI METHEW amekihama chama hicho na kuondoka na wana CCM wapatao 704 na kuhamia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zari Asema Wataionesha Sura ya Tiffah Baada ya Siku…
Zari Asema Wataionesha Sura ya Tiffah Baada ya Siku…
Shauku kubwa ambayo mashabiki wa Diamond Platnumz na Zari the Boss Lady wako nayo kwa sasa ni kuiona sura ya mtoto wao wa kike Latiffah N... 19:16
Shauku kubwa ambayo mashabiki wa Diamond Platnumz na Zari the Boss Lady wako nayo kwa sasa ni kuiona sura ya mtoto wao wa kike Latiffah Naseeb a.k.a Princess Tiffah.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha: Jokate Habanduki kwa Kiba, Amfuata Kenya, Ashuhudia Wakirekodi na Sauti Sol
Picha: Jokate Habanduki kwa Kiba, Amfuata Kenya, Ashuhudia Wakirekodi na Sauti Sol
Jokate Mwegelo hatoki begani mwa mahabuba wake, Alikiba. Wawili hao wapo jijini Nairobi, ambapo Kiba yupo kurekodi kipindi cha Co... 19:16
Jokate Mwegelo hatoki begani mwa mahabuba wake, Alikiba.
Wawili hao wapo jijini Nairobi, ambapo Kiba yupo kurekodi kipindi cha Coke Studio na Jokate ameamua kuungana naye kumsaidia kumpunguzia baridi la jiji hilo ambalo kipindi hiki linadaiwa kuwa katika kilele chake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAPOKEZI YA EDWARD LOWASSA ZANZIBAR KWENYE HIZI PICHA 16
MAPOKEZI YA EDWARD LOWASSA ZANZIBAR KWENYE HIZI PICHA 16
Safari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, k... 15:18
Safari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, kilele cha Safari hiyo ni Visiwani Zanzibar ambapo umefanyika Mkutano eneo la Kibanda Maiti.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Oscar Pistorious anarudi uraiani? Jela kuna VIP? haya hapa kutoka South Africa..
Oscar Pistorious anarudi uraiani? Jela kuna VIP? haya hapa kutoka South Africa..
Oscar Pistorious wakati kesi yake inaendelea Mahakamani Afrika Kusini. Mwezi October 2014 iliytolewa hukumu ya kifungo cha miaka mi... 15:14
Oscar Pistorious wakati kesi yake inaendelea Mahakamani Afrika Kusini.
Mwezi October 2014 iliytolewa hukumu ya kifungo cha miaka mitano jela kwa kesi ya mauaji ambayo ilikuwa inamkabili Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorious.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DiamondPlatnumz kaonyesha anamsupport Mgombea Urais gani 2015.
DiamondPlatnumz kaonyesha anamsupport Mgombea Urais gani 2015.
Ni mwaka wa Uchaguzi Tanzania ambapo upinzani mkubwa unaonekana kwenye Wagombea wawili ambao ni John Pombe Magufuli atakaegombea kupitia ... 15:13
Ni mwaka wa Uchaguzi Tanzania ambapo upinzani mkubwa unaonekana kwenye Wagombea wawili ambao ni John Pombe Magufuli atakaegombea kupitia CCM na Edward Lowassa aliyechukua fomu ya CHADEMA kwenye headlines za
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya kilichonaswa Party ya Dj wa Diamond na maneno ya Diamond kuhusu zile msg na Wema na DNA ya mtoto wake na Zari.
Video ya kilichonaswa Party ya Dj wa Diamond na maneno ya Diamond kuhusu zile msg na Wema na DNA ya mtoto wake na Zari.
Ilikua August 17 2015 Dar es salaam kwenye birthday party ya Rommy Jones ambaye ni ndugu wa mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz vil... 15:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lowassa: Nitamtoa Babu Seya Gerezani
Lowassa: Nitamtoa Babu Seya Gerezani
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalil... 15:02
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CCM Yateka Mchakato wa Kumpata Mgombea Urais ACT-Wazalendo..Yaliyotabiriwa Yametimia
CCM Yateka Mchakato wa Kumpata Mgombea Urais ACT-Wazalendo..Yaliyotabiriwa Yametimia
|Hatimaye Profesa Kitila Mkumbo akataa kuwa msaliti wa safari ya mabadiliko. |CCM wahaha kutafuta mgombea mbadala. |Zitto Kabwe aingi... 15:01
|Hatimaye Profesa Kitila Mkumbo akataa kuwa msaliti wa safari ya mabadiliko.
|CCM wahaha kutafuta mgombea mbadala.
|Zitto Kabwe aingia makubaliano na CCM.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ridhiwani Kikwete: Sasa Kumekucha.... Nikiangalia Hiki Kikosi Naamini Kabisa Kuna Chama Kitamficha Mgombea Wake Ndani
Ridhiwani Kikwete: Sasa Kumekucha.... Nikiangalia Hiki Kikosi Naamini Kabisa Kuna Chama Kitamficha Mgombea Wake Ndani
Baada ya CCM Kutoa List ya Team Ambayo itahakikisha CCM inashinda Urais 2015 , Mtoto wa Rais Ridhiwani Kikwete Ameandika Meneno haya : 15:00
Baada ya CCM Kutoa List ya Team Ambayo itahakikisha CCM inashinda Urais 2015 , Mtoto wa Rais Ridhiwani Kikwete Ameandika Meneno haya :
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATIMAYE Mrembo Machachari wa Kenya Huddah Monroe Atulizwa Kwa Kuvishwa Pete ya Uchumba
HATIMAYE Mrembo Machachari wa Kenya Huddah Monroe Atulizwa Kwa Kuvishwa Pete ya Uchumba
Huddah Monroe MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita. 14:59
Huddah Monroe
MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Enyi Wanawake Mlioolewa Kuweni Makini sana na Waume Zenu Unapoleta Mdogo Wako wa Kike
Enyi Wanawake Mlioolewa Kuweni Makini sana na Waume Zenu Unapoleta Mdogo Wako wa Kike
Hili jambo ni kuwatahadharisha wanawake ambao wapo ndani ya ndoa na kuwaonya wanaume wote walio ndani ya ndoa waache tabia ya huyu jamaa,... 14:59
Hili jambo ni kuwatahadharisha wanawake ambao wapo ndani ya ndoa na kuwaonya wanaume wote walio ndani ya ndoa waache tabia ya huyu jamaa, pia kutaka ushauri wenu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mpenzi Wangu Simuelewi, na Nimekuta Picha yake FB imewekwa na Msichana
Mpenzi Wangu Simuelewi, na Nimekuta Picha yake FB imewekwa na Msichana
Nina mpenzi wangu tunakaribia kumaliza mwaka sasa. Kukutana kwetu ni mara chache sana kutokana na masomo. Kusema kweli tokea tumeanza... 14:58
Nina mpenzi wangu tunakaribia kumaliza mwaka sasa. Kukutana kwetu ni mara chache sana kutokana na masomo.
Kusema kweli tokea tumeanza mahusiano sijawahi pokea hata shs 10 toka kwake. Hapo mwanzo tulikuwa tunawasiliana
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAAMBIWA LULU MICHAEL AMCHOKONOA ZARI BAADA YA KUJIACHIA KWA MASAA 5 NA DIAMOND
UNAAMBIWA LULU MICHAEL AMCHOKONOA ZARI BAADA YA KUJIACHIA KWA MASAA 5 NA DIAMOND
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiendelea ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. 14:52
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiendelea ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MSAMAHA UMETOLEWA KWA SHINDANO LA MISS TANZANIA,MAELEZO NIMEKUWEKEA HAPA
MSAMAHA UMETOLEWA KWA SHINDANO LA MISS TANZANIA,MAELEZO NIMEKUWEKEA HAPA
December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifung... 14:51SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOWASA ''MKIENDELEA NA MCHEZO WA KUPIGA WATU MABOMU,TUKIMALIZA UCHAGUZI TUTAWAPELEKA THE HAGUE MKAKIPATE CHA MOTO
LOWASA ''MKIENDELEA NA MCHEZO WA KUPIGA WATU MABOMU,TUKIMALIZA UCHAGUZI TUTAWAPELEKA THE HAGUE MKAKIPATE CHA MOTO
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema anawatakia kila la heri wanaobeza nguvu ya umma. Kutokana na umati wa watu ... 14:50
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema anawatakia kila la heri wanaobeza nguvu ya umma.
Kutokana na umati wa watu waliojitokeza jana kumlaki kuanzia Uwanja wa Ndege wa Mwanza alikowasili saa saba mchana, iliuchukua zaidi ya saa mbili msafara wake kuingia Viwanja vya Furahisha saa tisa alasiri, ambako ni takriban kilomita nane.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)