June 13, 2014
HIVI NDIVYO WASOMI WETU WANAVYOHANGAIKA KUPATA KAZI, WAPELEKWA UWANJA WA TAIFA KUPIGA MARATHON KWANZA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAAMBIWA KUOA MWANAMKE ALIYEKULIA MAISHA DUNI, NI KUJICHIMBIA KABURI NA KUKARIBISHA UMASKINI...HAWANA SHUKRANI KABISA,SOMA HAPA
UNAAMBIWA KUOA MWANAMKE ALIYEKULIA MAISHA DUNI, NI KUJICHIMBIA KABURI NA KUKARIBISHA UMASKINI...HAWANA SHUKRANI KABISA,SOMA HAPA
Heshima kwenu wadau.. Nipo kijiweni bar ya jirani hapa tunacheki world cup Brazuca.. Kuna jamaa amezua hoja nzito kwamba kamwe... 16:13SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FLORA MBASHA AWAGAWA WACHUNGAJI BAADHI WASUSIA HUDUMA ZAKE KWA KUDAI HAWAWEZI KUWA NA MTU MZINZI
FLORA MBASHA AWAGAWA WACHUNGAJI BAADHI WASUSIA HUDUMA ZAKE KWA KUDAI HAWAWEZI KUWA NA MTU MZINZI
Mpasuko wa ndoa ya wasanii wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha na mkewe Florah umewagawa wachungaji wa makanisa mbalimbali nchini baa... 16:07
Mpasuko wa ndoa ya wasanii wa
nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha na
mkewe Florah umewagawa wachungaji
wa makanisa mbalimbali nchini baada
ya kibao kumgeukia Flora kwamba
ndiye anadaiwa kusuka mpango wa
kumwangamiza mumewe ili afungwe
kwa kosa la ubakaji.....
Wakizungumza na wanahabari wetu
kwa nyakati tofauti, wachungaji hao
nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha na
mkewe Florah umewagawa wachungaji
wa makanisa mbalimbali nchini baada
ya kibao kumgeukia Flora kwamba
ndiye anadaiwa kusuka mpango wa
kumwangamiza mumewe ili afungwe
kwa kosa la ubakaji.....
Wakizungumza na wanahabari wetu
kwa nyakati tofauti, wachungaji hao
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HOT NEWS: MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI HAPPY KIMALI AHUKUMIWA KWENDA JELA KWA MIAEZI MITATU
HOT NEWS: MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI HAPPY KIMALI AHUKUMIWA KWENDA JELA KWA MIAEZI MITATU
Mwimbaji Maarufu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu Happy Kamili Pichani amehukumiwa kifungo cha Miezi mitatu jela kwa kosa la 16:05Mwimbaji Maarufu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu Happy
Kamili Pichani amehukumiwa kifungo cha Miezi mitatu jela kwa kosa la
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lori la mafuta lalipuka Mbeya...inahisiwa dereva aliasinzia...soma undani kamili hapa.
Lori la mafuta lalipuka Mbeya...inahisiwa dereva aliasinzia...soma undani kamili hapa.
Lori la kusafirisha mafuta likiwa na shehena kubwa ya mafuta aina ya Diesel limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali ya kugongwa na lo... 16:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BIBI KIZEE AZUA TAFRANI JIJINI MWANZA.......NI BAADA YA KUDAI AMEANGUKA KUTOKA ANGANI AKIWA NA WENZAKE BAADA YA KUGOMBANA WAKAMDONDOSHA.
BIBI KIZEE AZUA TAFRANI JIJINI MWANZA.......NI BAADA YA KUDAI AMEANGUKA KUTOKA ANGANI AKIWA NA WENZAKE BAADA YA KUGOMBANA WAKAMDONDOSHA.
Kila mtu alikuwa na lake kuhusu bibi huyu anayedaiwa kukutwa akiwa uchi huku wengine wakisema ni mgonjwa wa akili na wengine wakidai ni... 16:02
Kila mtu alikuwa na lake kuhusu bibi huyu anayedaiwa kukutwa akiwa uchi huku wengine wakisema ni mgonjwa wa akili na wengine wakidai ni mchawi kaanguka na ungo.
Alipokuwa akihojiwa amedai ametoka Bariadi lakini wenzie aliokuwa nao walimshusha baada ya kutokea ugomvi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA VIDEO YA SHOW YA J LO FT PITBULL WALIYOPIGA JANA KWENYE UFUNGUZI HUKO BRAZIL
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HABARI NJEMA KWA WALIO AJIRIWA, KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
HABARI NJEMA KWA WALIO AJIRIWA, KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13. 15:53SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HABARI NJEMA KWA WALIOAJIRIWA,KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
HABARI NJEMA KWA WALIOAJIRIWA,KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13. Serikali pia imeahid... 11:28
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini
cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE)
hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
Serikali pia imeahidi kuongeza kima cha
chini cha mishahara, ambacho hata hivyo
hakikutajwa.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum
amelieleza Bunge mjini Dodoma kuwa,
cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE)
hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
Serikali pia imeahidi kuongeza kima cha
chini cha mishahara, ambacho hata hivyo
hakikutajwa.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum
amelieleza Bunge mjini Dodoma kuwa,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HABARI NJEMA KWA WALIOAJIRIWA,KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
HABARI NJEMA KWA WALIOAJIRIWA,KODI YA MISHAHARA KUPUNGUA
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13. Serikali pia imeahid... 11:27
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini
cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE)
hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
Serikali pia imeahidi kuongeza kima cha
chini cha mishahara, ambacho hata hivyo
hakikutajwa.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum
amelieleza Bunge mjini Dodoma kuwa,
cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE)
hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
Serikali pia imeahidi kuongeza kima cha
chini cha mishahara, ambacho hata hivyo
hakikutajwa.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum
amelieleza Bunge mjini Dodoma kuwa,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya Jux "Nitasubiri" kuzinduliwa jumapili hii ndani ya Billcanas
Video ya Jux "Nitasubiri" kuzinduliwa jumapili hii ndani ya Billcanas
Video ya wimbo mpya wa Jux, ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa ham sana, hasa watu wakitaka kufahamu kama video queen 11:25SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Vifo vya wasanii wanne mfulululizo...utabiri mzito watolewa tena,ni mbali na ule wa maalim Hassan,wasanii wazidi kuchangayikiwa.
Vifo vya wasanii wanne mfulululizo...utabiri mzito watolewa tena,ni mbali na ule wa maalim Hassan,wasanii wazidi kuchangayikiwa.
HUKU makovu ya maumivu ya kuondokewa mfululizo na mastaa wanne wa filamu za Kibongo katika kipindi cha mwezi mmoja yakiwa hayajapona n... 11:22
HUKU makovu ya maumivu ya kuondokewa mfululizo na mastaa wanne wa filamu za Kibongo katika kipindi cha mwezi mmoja yakiwa hayajapona nabii naye ameibuka na kuweka wazi utabiri wake mzito kuhusu wasanii nchini hivyo kuwa sanjari na Maalim Hassan Yahya Hussein.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JIKANYAGE KANYAGE HATIMAYE LULU AFUNGUKIA PENZI NA NANDO WA BBA
JIKANYAGE KANYAGE HATIMAYE LULU AFUNGUKIA PENZI NA NANDO WA BBA
Stori: Shakoor Jongo MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameibuka na kufunguka kuwa amekerwa na kitendo cha mshiriki wa S... 11:20Stori: Shakoor Jongo
MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameibuka na kufunguka kuwa amekerwa na kitendo cha mshiriki wa Shindano la Big Brother Africa (BBA) 2013, Amir Khan Nando kujinadi kuwa aliwahi kuwa ‘mtu’ wake kitu ambacho si cha kweli.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KANYE WEST AONDOA NENO ‘JAY Z’ KWENYE MASHAIRI YA NYIMBO ZAKE 3 WAKATI WA LIVE PERFORMANCE.
KANYE WEST AONDOA NENO ‘JAY Z’ KWENYE MASHAIRI YA NYIMBO ZAKE 3 WAKATI WA LIVE PERFORMANCE.
Kama ulidhani Kanye West alichukulia poa Jay Z na Beyonce kuipotezea harusi yake na Kim Kardashian mwezi uliopita, basi fikiria upya k... 08:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CESC FABREGAS ASAJILIWA NA CHELSEA PICHA TAZAMA HAPA
CESC FABREGAS ASAJILIWA NA CHELSEA PICHA TAZAMA HAPA
Chelsea have signed former Arsenal midfielder Cesc Fabregas from Barcelona on a five-year deal. The Spaniard, 27, spent three years at... 08:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHECK LIST YA MAKOCHA WANAOLIPWA MKWANZA MREFU KWENYE MPIRA WA MIGUU DUNIANI
CHECK LIST YA MAKOCHA WANAOLIPWA MKWANZA MREFU KWENYE MPIRA WA MIGUU DUNIANI
Nikikuuliza kama kocha gani uliyewahi kuhisi analipwa pesa nyingi atakua nani pengine ungetaja wengine unaowafahamu lakini sasa unaambiwa... 07:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Pichaz za utengenezaji wa video mpya ya Kala Jeremiah feat. Ney wa Mitego&Mo Music.
Pichaz za utengenezaji wa video mpya ya Kala Jeremiah feat. Ney wa Mitego&Mo Music.
Hizi ni picha zitakazoonekana kwenye video mpya ya Kala Jeremiah ya wimbo wake unaoitwa Simu ya Mwisho,audio imetengenezwa na Mona Gangst... 07:37SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Full time ya Brazil vs Croatia. Matokeo na wafungaji haya hapa
Full time ya Brazil vs Croatia. Matokeo na wafungaji haya hapa
Hatimaye baada ya subira ya miaka minne, wapenzi wa soka ulimwenguni kote leo wamepata ladha ya fainali za michuano ya kombe la dun... 07:35SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND AMEACHIA WIMBO HUU RASMI.. USIKILIZE NA KUDOWNLOAD HAPA
DIAMOND AMEACHIA WIMBO HUU RASMI.. USIKILIZE NA KUDOWNLOAD HAPA
Ilitoka awali kama kitorondo kwa kiwango kibovu sana, Diamond aliongea na sammisago.com nakusema kuwa wimbo ulivuja na kuwa 07:32SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII KALI SASA... JAMAA AAMUA KUFANYA SHEREHE BAADA YA MTU WASIYEMPENDA KUFARIKI DUNIA:
HII KALI SASA... JAMAA AAMUA KUFANYA SHEREHE BAADA YA MTU WASIYEMPENDA KUFARIKI DUNIA:
Kila siku Duniani kunakua na vituko vya aina tofauti sasa hii unaambiwa jamaa wameamua kufanya party baada ya mtu anaesemekana hawampendi k... 07:29Kila siku Duniani kunakua na vituko vya aina tofauti sasa hii unaambiwa jamaa wameamua kufanya party baada ya mtu anaesemekana hawampendi kufariki dunia.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAAJABU YA DUNIA HAYA JAMANI!!! KABURI LILILOVUNJA REKODI YA DUNIA HILI HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA CHUMBA CHA LULU KILIVYOKUWA KIKALI KINOMA.....NI SHIDA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AJABU NA KWELI, TAZAMA PICHA/VIDEO YA ROBOT LA KWANZA LENYE MOYO NA UWEZO WA KUSOMA HISIA ZA MWANADAMU
AJABU NA KWELI, TAZAMA PICHA/VIDEO YA ROBOT LA KWANZA LENYE MOYO NA UWEZO WA KUSOMA HISIA ZA MWANADAMU
Kampuni ya Soft Bank ya nchini Japan imetengeneza Robot ambayo ina uwezo ya kuwasiliana na kusoma hisia za mwanadamu. 07:26
Kampuni ya Soft Bank ya nchini Japan imetengeneza Robot ambayo ina uwezo ya kuwasiliana na kusoma hisia za mwanadamu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: DIAMOND AELEZEA WALICHOZUNGUMZA NA MENEJA WA TREY SONGZ, KEVIN LILES ALIPOKUTANISHWA NAYE NA RAIS KIKWETE MAREKANI
VIDEO: DIAMOND AELEZEA WALICHOZUNGUMZA NA MENEJA WA TREY SONGZ, KEVIN LILES ALIPOKUTANISHWA NAYE NA RAIS KIKWETE MAREKANI
Hivi karibuni Diamond Platnumz alipata nafasi ya kukutana na mtu mkubwa katika industry ya muziki wa Marekani Kevin Liles, ambaye ni r... 07:24
Hivi karibuni Diamond Platnumz alipata nafasi ya kukutana na mtu mkubwa katika industry ya muziki wa Marekani Kevin Liles, ambaye ni rais wa zamani wa Def Jam na kwasasa ni meneja wa muimbaji wa R&B Trey Songz na Big Sean.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Raia wawili wa Kenya, Samweli Saitoti (Saimoo) na Michael Kimani (Mike), wamehukumiwa kunyongwahadi kufa baada ya kupatikana na hatia y... 07:20
Raia wawili wa Kenya, Samweli Saitoti (Saimoo) na Michael Kimani
(Mike), wamehukumiwa kunyongwahadi kufa baada ya kupatikana na hatia
ya kumuua polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), PC Michael
Milanzi mwaka 2007.Raia hao ambao walipambana na polisi jijini Arusha
kwa saa sita wakijihami kwa silaha za kivita yakiwamo mabomu ya
(Mike), wamehukumiwa kunyongwahadi kufa baada ya kupatikana na hatia
ya kumuua polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), PC Michael
Milanzi mwaka 2007.Raia hao ambao walipambana na polisi jijini Arusha
kwa saa sita wakijihami kwa silaha za kivita yakiwamo mabomu ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AJALI:- WAZIRI PROFESA TIBAIJUKA ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPATA AJALI YA GARI KUGONGA PUNDA-KAHAMA
AJALI:- WAZIRI PROFESA TIBAIJUKA ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPATA AJALI YA GARI KUGONGA PUNDA-KAHAMA
Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba ... 07:19
Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka
amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba
kwenda Dodoma kugonga mnyama punda katika kijiji cha Wendele Wilayani
Kahama Mkoani Shinyanga.Walioshuhudia tukio hilo walisema lilitokea
jana majira ya saa 11 jioni ambapo garilenye namba za usajili STK
amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba
kwenda Dodoma kugonga mnyama punda katika kijiji cha Wendele Wilayani
Kahama Mkoani Shinyanga.Walioshuhudia tukio hilo walisema lilitokea
jana majira ya saa 11 jioni ambapo garilenye namba za usajili STK
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE, UNAFAHAMU NINI KUHUSU USAJILI WA NDOANA TARAKA?
JE, UNAFAHAMU NINI KUHUSU USAJILI WA NDOANA TARAKA?
AINA ZA NDOANdoa ya mke mmoja, mume mmoja au inayokusudiwa kuwa ya mke mmoja, mumemmoja, na ndoa ya wake wengi au inayokusudiwa kuwa ya ... 07:18
AINA ZA NDOANdoa ya mke mmoja, mume mmoja au inayokusudiwa kuwa ya mke
mmoja, mumemmoja, na ndoa ya wake wengi au inayokusudiwa kuwa ya wake
wengi.Mamlaka ya kufungisha ndoa nchini Tanzania Bara yako mikononi
mwa:Ndoa za serikali, wakuu wa wilaya na makatibu tawala wa wilaya
ndio wenyemamlaka kisheria ya kufungisha ndoaNdoa za kidini,
mmoja, mumemmoja, na ndoa ya wake wengi au inayokusudiwa kuwa ya wake
wengi.Mamlaka ya kufungisha ndoa nchini Tanzania Bara yako mikononi
mwa:Ndoa za serikali, wakuu wa wilaya na makatibu tawala wa wilaya
ndio wenyemamlaka kisheria ya kufungisha ndoaNdoa za kidini,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIFAHAMU VIWANJA 12 VITAKAVYO WAKA NYASI KOMBE LA DUNIA 2014 HUKO BRAZIL
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)