Mamlaka ya Mapato ya Tanzania,imekamata CD 7,780 za video za kazi za wasanii ambazo hazi tambuliki wakati wa operesheni iliyoendeshwa kwa...
13:54
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania,imekamata CD 7,780 za video za kazi za wasanii ambazo hazi tambuliki wakati wa operesheni iliyoendeshwa kwa siku tatu kwenye eneo la Kariakoo,Dar es salaam.
Licha ya kudai kuwa weupe alionao unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi,msanii mkongwe wa Bongo Movies,Vicent Kigosi ‘Ray’ am...
13:53
Licha ya kudai kuwa weupe alionao unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi,msanii mkongwe wa Bongo Movies,Vicent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kupondwa na kuambiwa
Licha ya kukumbwa na misukosuko ikiwamo kuvunjiwa kioo cha gari yake,Rapa Nay wa Mitego amesema hatarudi nyuma kuwaambia ukweli watu wana...
13:53
Licha ya kukumbwa na misukosuko ikiwamo kuvunjiwa kioo cha gari yake,Rapa Nay wa Mitego amesema hatarudi nyuma kuwaambia ukweli watu wanaofanya mambo yasiyo ya tija.
Mwanamuziki Ali Kiba ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ya Lupela amefunguka na kusema kazi nyingi zinakuja ila kwa sasa ...
13:52
Mwanamuziki Ali Kiba ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ya Lupela amefunguka na kusema kazi nyingi zinakuja ila kwa sasa atatoa kazi na wasanii kutoka nchini Kenya wanaounda kundi la Sauti Sol.
Wakati baadhi ya walimu wametoa maoni tofauti kuhusiana na ofa ya kusafiri bure katika mabasi ya daladala jijini Dar es Salaam, imebainik...
13:52
Wakati baadhi ya walimu wametoa maoni tofauti kuhusiana na ofa ya kusafiri bure katika mabasi ya daladala jijini Dar es Salaam, imebainika wamiliki wa mabasi, kwa siku watakosa kiasi cha Sh 13.4 mpango huo utakapoanza kutekelezwa.
S TAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Na...
13:51
STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuwa kamwe hawezi kumhukumu Nay kwa maneno aliyoimba.
February 29 2016 Jeshi la Polisi Dar es salaam Mbunge wa Kawe Halima Mdee kwa tuhuma za kufanya shambulizi la kumpiga mtu, tukio ...
08:33
February 29 2016 Jeshi la Polisi Dar es salaam Mbunge wa Kawe Halima Mdee kwa tuhuma za kufanya shambulizi la kumpiga mtu, tukio linalodaiwa kutokea siku ya February 27 wakati ilipotangazwa kuzuiliwa kwa uchaguzi wa Meya wa Dar.
Once you date a Rongai girl, you will never go back. Men often hear something similar to this from other men who have dated Rongai women....
08:32
Once you date a Rongai girl, you will never go back. Men often hear something similar to this from other men who have dated Rongai women. This is completely true. Women from
Msanii wa bongo fleva Ali Kiba amefunguka na kusema kuwa anauzimia sana wimbo wa What do you mean wa msanii Justin Bieber kwa vile amba...
08:31
Msanii wa bongo fleva Ali Kiba amefunguka na kusema kuwa anauzimia sana wimbo wa What do you mean wa msanii Justin Bieber kwa vile ambavyo umetengenezwa
Askari wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule ya S...
08:28
Askari wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule ya Sekondari Iyunga jijini humo,
Nay wa Mitego hatimaye ameweka wazi kuwa yeye na mrembo maarufu kama CHAGGA BABY ambaye alitajwa kuwa na mahusiano naye,hawapo katika mahus...
08:25
Nay wa Mitego hatimaye ameweka wazi kuwa yeye na mrembo maarufu kama CHAGGA BABY ambaye alitajwa kuwa na mahusiano naye,hawapo katika mahusiano yoyote serious