Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28, Naishi Tabata jijini Dar Es Salaam nimejitokeza kwenu kuomba ushauri, Mimi na mpenzi wangu ambae amenisomesha toka form one hadi sasa nipo chuo kwani wazazi wangu walifariki wakati mimi nikiwa mtoto mdogo sana.
Sasa
huyu mpenzi wangu amenigharamia sana yani kuanzia nguo