Nimeileta hii mada huku kwa makusudi kwakuwa inahusika na mapishi lakini vile vile na afya zetu kwakuwa mapishi na afya haviachani
April 05, 2016
TAHADHARI: Mboga za Majani Wanazokula Wakazi wa Dar es Salaam ni Sumu Tupu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Halima Mdee Amshukia Rais John Magufuli, Soma Hapa
Halima Mdee Amshukia Rais John Magufuli, Soma Hapa
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee amemuomba Rais John Magufuli kuweka wazi posho na marupurupu anayoyapa... 11:30
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee amemuomba Rais John Magufuli kuweka wazi posho na marupurupu anayoyapata ili Watanzania wajue kiasi halisi anachokipata mbali na mshahara wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ndoo Walizobeba Kigogo wa Zamani wa TRA na Miss Tanzania Wakati Wakipelekwa Gerezani Zaibua Utata
Ndoo Walizobeba Kigogo wa Zamani wa TRA na Miss Tanzania Wakati Wakipelekwa Gerezani Zaibua Utata
Kitendo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya pamoja na maofisa wawili waandamizi wa zamani wa B... 11:30
Kitendo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya pamoja na maofisa wawili waandamizi wa zamani wa Benki ya Stanbic, Tawi la Tanzania, Sioi Solomoni na Shose Sinare kubeba
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mafuriko yafunga Barabara kuu Itokayo Dodoma Kwenda Morogoro kwa saa 10
Mafuriko yafunga Barabara kuu Itokayo Dodoma Kwenda Morogoro kwa saa 10
Zaidi ya magari 1,500 jana, yalikwama katika eneo la Chalinze Nyama wilayani Chamwino mkoani Dodoma kwa zaidi ya saa 10, baada ya mafurik... 11:30
Zaidi ya magari 1,500 jana, yalikwama katika eneo la Chalinze Nyama wilayani Chamwino mkoani Dodoma kwa zaidi ya saa 10, baada ya mafuriko kuziba
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wabunge Washtushwa TCRA kutumia Bilioni 18 kwa Semina na Warsha
Wabunge Washtushwa TCRA kutumia Bilioni 18 kwa Semina na Warsha
] Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji (PIC) imeshtushwa baada ya kubaini Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitumia Sh18 bilioni ... 09:06
Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji (PIC) imeshtushwa baada ya kubaini Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitumia Sh18 bilioni mwaka 2013/2014 kwa ajili ya mafunzo, semina na warsha.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Muimbaji Huyu Wa Tanzania Aigiza Kwenye Msimu Mpya Wa Tamthilia Ya Empire
Muimbaji Huyu Wa Tanzania Aigiza Kwenye Msimu Mpya Wa Tamthilia Ya Empire
Koku Gonza Katika msimu huo, muimbaji wa Tanzania aishiye Marekani, Koku Gonza ameshiriki. Koku anaonekana kwenye scene moja akimfundi... 09:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Walimu Walazwa UCHI na Kuchapwa Viboko
Walimu Walazwa UCHI na Kuchapwa Viboko
Ofisi ya Elimu wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani imelazimika kuwapa likizo walimu saba wa Shule ya Msingi Mingwata ili kuwajenga kisaikolo... 08:57
Ofisi ya Elimu wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani imelazimika kuwapa likizo walimu saba wa Shule ya Msingi Mingwata ili kuwajenga kisaikolojia baada ya kukithiri
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Yaya Toure bye bye Manchester City… kesho kutwa tu
Yaya Toure bye bye Manchester City… kesho kutwa tu
Ni kitambo toka tuanze kusoma vichwa vya habari kwenye Magazeti vikisema ….Yaya Toure kuondoka Man City >>> <<< Man Cit... 08:56
Ni kitambo toka tuanze kusoma vichwa vya habari kwenye Magazeti vikisema ….Yaya Toure kuondoka Man City >>> <<< Man City wamuahidi Yaya Toure asiondoke
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Belle 9 kahamia Dar es salaam, katuambia mambo muhimu kuyafahamu 2016
Belle 9 kahamia Dar es salaam, katuambia mambo muhimu kuyafahamu 2016
Post hii ni maalum kwa Belle 9, mwimbaji wa bongofleva aliyeamua kuongeza nguvu zaidi kwenye biashara 08:54
Post hii ni maalum kwa Belle 9, mwimbaji wa bongofleva aliyeamua kuongeza nguvu zaidi kwenye biashara
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kesi imemgeukia Lyatonga Mrema, anatakiwa kulipa MILIONI 40 kabla ya tarehe 5 June
Kesi imemgeukia Lyatonga Mrema, anatakiwa kulipa MILIONI 40 kabla ya tarehe 5 June
Kesi ya Lyatonga Mrema kupinga ushindi wa Ubunge wa James Mbatia jimbo la Vunjo ilikua Mahakamani tena April 4 2016 ambapo jipya lililota... 08:53
Kesi ya Lyatonga Mrema kupinga ushindi wa Ubunge wa James Mbatia jimbo la Vunjo ilikua Mahakamani tena April 4 2016 ambapo jipya lililotangazwa ni kwamba Mahakama kuu kanda ya Moshi imeridhia makubaliano yaliyofikiwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA: JACK WILSHERE AHOJIWA NA POLISI USIKU MNENE
PICHA: JACK WILSHERE AHOJIWA NA POLISI USIKU MNENE
Kiungo wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amewashangaza mashabiki wa soka nchini humo na kwingineko duniani, kufuatia kuonekana akijivinj... 01:12
Kiungo wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amewashangaza mashabiki wa soka nchini humo na kwingineko duniani, kufuatia kuonekana akijivinjari katika mitaa ya katikati ya jiji la London, usiku wa kuamkia jana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PSG KUMSAJILI NEYAMR KWA REKODI YA DUNIA
PSG KUMSAJILI NEYAMR KWA REKODI YA DUNIA
Pirikapirika za usajili wa mwishoni mwa msimu huu zimeenza kushika kasi kutokana na baadhi ya vilabu kuhusishwa na ugomvi wa kuwania wach... 01:11
Pirikapirika za usajili wa mwishoni mwa msimu huu zimeenza kushika kasi kutokana na baadhi ya vilabu kuhusishwa na ugomvi wa kuwania wachezaji wenye hadhi kubwa duniani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DYNA NYANGE: NAPENDA KUVAA NGUO ZINAZONIACHA ‘KIUNO’ NJE.
DYNA NYANGE: NAPENDA KUVAA NGUO ZINAZONIACHA ‘KIUNO’ NJE.
Msanii wa Kike wa Muziki wa Kizazi kipya, Dyna Nyange, amefunguka na kuwataka Watu kutomchambua mtu tabia zake kwa mavazi anayoyavaa. 01:10
Msanii wa Kike wa Muziki wa Kizazi kipya, Dyna Nyange, amefunguka na kuwataka Watu kutomchambua mtu tabia zake kwa mavazi anayoyavaa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huyu ndio kocha mpya wa Chelsea atakayejiunga na timu mwisho wa msimu 2015/2016
Huyu ndio kocha mpya wa Chelsea atakayejiunga na timu mwisho wa msimu 2015/2016
Baada ya klabu ya Chelsea ya Uingereza kumfukuza aliyekuwa kocha wa klabu hiyoJose Mourinho miezi kadhaa iliyopita na nafasi yake kuchuk... 01:07
Baada ya klabu ya Chelsea ya Uingereza kumfukuza aliyekuwa kocha wa klabu hiyoJose Mourinho miezi kadhaa iliyopita na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa mudaGuus Hiddink, April 4 uongozi wa Chelsea umetangaza kocha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mchezaji wa Tanzania mwenye dili jipya la kuvalishwa viatu na kampuni ya PUMA
Mchezaji wa Tanzania mwenye dili jipya la kuvalishwa viatu na kampuni ya PUMA
Soka la Tanzania linazidi kusogea na kuzipiga hatua za kimaendeleo na mastaa wake nao wanagonga vichwa vya habari kila kukicha, sasa hivi... 01:07
Soka la Tanzania linazidi kusogea na kuzipiga hatua za kimaendeleo na mastaa wake nao wanagonga vichwa vya habari kila kukicha, sasa hivi kiungo Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anakaribia kuingia mkataba na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)