Nahreel ni producer kutoka kwenye kiwanda cha bongofleva ambaye mikono yake imehusika kwenye hits kama Don’t bother ya Joh Makini na A.K.A , Zigo ya Ay na nyingine, alikutana na Millard Ayo kwenye Interview na kuifanya hii Exclusive, jinsi alivyoanza muziki na kufanya kazi za bure, wasiopenda kulipia studio, maisha na mengine mtazame kwenye hii video hapa chini.
Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha dogo la usajili la mwezi January halijafungwa kwa vilabu vya Ulaya, January 22 imenifikia ripoti ya vilabu vya Ligi Kuu Uingereza, list ya wachezaji iliyowasajili hadi sasa katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January.
AFC Bournemouth
- Juan Iturbe kutoka AS Roma kwa mkopo
- Benik Afobe kutoka Wolves. thamani £12.1m
- Lewis Grabban kutoka Norwich City (ada siri)
Arsenal
- Mohamed Elneny kutoka FC Basel. ada £5.5m
Everton
- Matty Fouldes kutoka Bury.
- Shani Tarashaj kutoka GC Zurich.
Leicester City
- Demarai Gray kutoka Birmingham City.
Liverpool
- Marko Grujic kutoka Red Star Belgrade.
- Kevin Stewart kutoka Swindon Town. amerudi alipokuwa kwa mkopo
- Tiago Ilori kutoka Aston Villa amerudi alipokuwa kwa mkopo
- Steven Caulker kutoka QPR kwa mkopo
Manchester United
- Adnan Januzaj kutoka Borussia Dortmund. amerudishwa alikokuwa kwa mkopo
Norwich City
- Matt Jarvis kutoka West Ham United.
- Ivo Pinto kutoka Dinamo Zagreb.
- Ben Godfrey kutoka York City.
- Timm Klose kutoka Wolfsburg.
- Steven Naismith kutoka Everton.
Southampton
- Charlie Austin kutoka QPR.
Sunderland
- Jan Kirchhoff kutoka Bayern Munich.
- Dame N’Doye kutoka Trabzonspor. kwa mkopo
Watford
- Nordin Amrabat kutoka Malaga.
- Costel Pantilimon kutoka Sunderland.