September 12, 2015

SIRI 4 MATUSI YA DIAMOND KWA DIVA

NI mtifuano! Agosti 24, mwaka huu ilikuwa siku mbaya kwa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au baba Tiffah na mtangazaji anaye... thumbnail 1 summary
NI mtifuano! Agosti 24, mwaka huu ilikuwa siku mbaya kwa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au baba Tiffah na mtangazaji anayekimbiza kwa sauti tamu hewani, Loveness Malinzi ‘Diva’ kufuatia kupishana lugha ndani ya

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

VERA SIDIKA AJIBU MAPIGO YA HUDDAH MONROE KWA KUWEKA PICHA HII IKIONYESHA CHUCHU ZAKE ZILIVYO

If these socilates are not posting nudes they are busy calling out each other online. Well it’s barely a week since Vera played therapi... thumbnail 1 summary

If these socilates are not posting nudes they are busy calling out each other online. Well it’s barely a week since Vera played therapist by asking Huddah to tone down on

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MKE WANGU KAPATA BWANA INSTAGRAM

Najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.Yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake ak... thumbnail 1 summary

Najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.Yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake akaja akaiuza kwani ilikuwa inajizima na istack akarudi kwenye tochi nikaona afadhali tukakaa miezi kadhaa akawa hana simu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MSHTAKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA

Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. thumbnail 1 summary
Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha Aachiwa Kwa Dhamana

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) baada ya kukamilisha mas... thumbnail 1 summary

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TCRA YAWAONYA CHANNEL TEN TENA KWA KUONYESHA 'LIVE'MAELEZO YA GWAJIMA DHIDI YA TUHUMA ZA DR SLAA!

Nimesikia sasa hivi kupitia Voice of America (Idhaa ya Kiswahili). TCRA waliwaonya Channel Ten kwa kuonyesha 'live' maelezo ya As... thumbnail 1 summary
Nimesikia sasa hivi kupitia Voice of America (Idhaa ya Kiswahili). TCRA waliwaonya Channel Ten kwa kuonyesha 'live' maelezo ya Askofu Gwajima akijibu tuhuma za kichochezi za Dr Slaa!

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

JOKETI ADAI HAJAMWONA WA KUMWAMINI KIMAPENZI ZAIDI YA HUYU HAPA

LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amese... thumbnail 1 summary

JOKATE (3)

LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MAJIBU YA ROMA MKATOLIKI BAADA YA SINGLE YAKE KUZUILIWA KUCHEZWA KWENYE VITUO MBALI MBALI

Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop... thumbnail 1 summary
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Serena Williams apoteza ushindi kwenye mechi ya U.S Open, Drake alaumiwa

Staa wa mchezo wa Tennis, Serena Williams na superstaa wa muziki wa Hip hopDrake wamekuwa topic kwenye mitandao mingi baada ya tetesi nyi... thumbnail 1 summary
Staa wa mchezo wa Tennis, Serena Williams na superstaa wa muziki wa Hip hopDrake wamekuwa topic kwenye mitandao mingi baada ya tetesi nyingi kusambaa kuwa wawili hao wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ratiba ya Sept 12 na 13 ya Ligi Kuu Tanzania, Uingereza, Hispania na Italia zipo hapa mtu wangu…

Baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa, weekend ya September 12 na 13 kuna michezo za kadhaa ya Ligi Kuu mbalimbali inachezwa huku kwa ... thumbnail 1 summary
Baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa, weekend ya September 12 na 13 kuna michezo za kadhaa ya Ligi Kuu mbalimbali inachezwa huku kwa Tanzania September 12 ndio siku ya kuanza kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara. Mtu

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Chris Brown alitaka haki zote juu ya mtoto pia, je kafanikiwa!? Mahakama imeamua haya…

Baada ya mgogoro mrefu kati ya Chris Brown na mama wa mtoto wake Nia Guzmansasa Mahakama ya Houston imetoa maamuzi na utaratibu wa jinsi ... thumbnail 1 summary
Baada ya mgogoro mrefu kati ya Chris Brown na mama wa mtoto wake Nia Guzmansasa Mahakama ya Houston imetoa maamuzi na utaratibu wa jinsi ya kukaa na mtotoRoyalty kwa wazazi hao wawili…

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Taarifa kuhusu ajali iliyotokea kwenye Msikiti Mkuu Saudi Arabia…

Hii taarifa imegusa Vichwa vya Habari vya Vyombo vingi vya habari Duniani, inahusu ajali ambayo imetokea wakati watu wakiwa ndani ya Msik... thumbnail 1 summary
Hii taarifa imegusa Vichwa vya Habari vya Vyombo vingi vya habari Duniani, inahusu ajali ambayo imetokea wakati watu wakiwa ndani ya Msikiti Mtakatifu wa Mecca, Saudi Arabia ambako waumini wengi wa Dini ya Kiislamu huwa wanakwenda kwa ajili ya Hijjah.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

September 01, 2015

Lowassa: Miaka 50 ya Kuteswa na CCM Imetosha Watanzania Msiogope Kufanya Mabadiliko

Lowassa Akihojiwa na Waandishi wa Habari Mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo... thumbnail 1 summary
Lowassa Akihojiwa na Waandishi wa Habari
Mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema mwaka huu ni wa mabadiliko ili

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Diamond Platnumz Anakupa Ujumbe Huu Kuhusu Elimu Uliyonayo.....Adai Hata Kama Huna Isikunyime Amani...Soma Hapa

The things that have been Most Valuable to me, i didn't learn in School..... Don't let your Education's level make you give up thumbnail 1 summary
The things that have been Most Valuable to me, i didn't learn in School..... Don't let your Education's level make you give up

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Chelsea yaendeleza utamaduni wake wa kumtoa Moses kwa mkopo, sasa tutamuona katika klabu hii…

Baada ya Song kujiunga na klabu ya West Ham United kwa mkopo wa muda mrefu, ni msimu wake wa pili kuitumikia klabu hiyo kwa mkopo akitoke... thumbnail 1 summary
Baada ya Song kujiunga na klabu ya West Ham United kwa mkopo wa muda mrefu, ni msimu wake wa pili kuitumikia klabu hiyo kwa mkopo akitokea FC Barcelona yaHispania, imethibitika kuwa winga wa kimataifa wa Nigeria Victor Moses

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi

Kamanda Kova Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ... thumbnail 1 summary
Kamanda Kova
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Sitta Awashangaa UKAWA...Awapa Jibu Hili Kuhusu Ahadi Wanazosema Watafanya Wakati Serekali Tayari inazifanya

Waziri wa Uchukuzi, Samwel Sitta amesema serikali italifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATC) ili liweze kununua ndege nne na kuanza biash... thumbnail 1 summary
Waziri wa Uchukuzi, Samwel Sitta amesema serikali italifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATC) ili liweze kununua ndege nne na kuanza biashara.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Wanawake Wengi Wasomi au Wenye Kipato Kizuri Hawadumu Kwenye Mahusiano

Wadau leo nimeona tujadili hili suala ambalo watu wengi sana mitaani wamekuwa wakiamini hivyo kuwa wanawake wenye kipato kizuri ama wale wa... thumbnail 1 summary
Wadau leo nimeona tujadili hili suala ambalo watu wengi sana mitaani wamekuwa wakiamini hivyo kuwa wanawake wenye kipato kizuri ama wale walio na elimu nzuri, hasa wenye digrii ama zaidi ni vigumu sana kudumu katika ndoa ama mahusiano. 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mr. Nice Reveals His Next Step after His Career Crashed and Burned In Kenya

Mr. Nice was the biggest artiste in East Africa circa 2003, but things went south when he visited South Africa. At Msanzi, Mr. Nice exp... thumbnail 1 summary


Mr. Nice was the biggest artiste in East Africa circa 2003, but things went south when he visited South Africa. At Msanzi, Mr. Nice experienced an alarming downward spiral that was attributed to alcoholism and hedonism.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

HATIMAYE DR Slaa Yupo Tayari Kuongea Kilichomsibu Chadema Mpaka Kuacha Siasa..

Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa, kesho tarehe 1 Septemba 2015, atavunja ukimya kwa kuo... thumbnail 1 summary
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa, kesho tarehe 1 Septemba 2015, atavunja ukimya kwa kuongea na wananchi wa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

LOWASSA na ELIMU YA BURE CHUO KIKUU inawezekana Kwa Kufanya Yafuatayo

1.Elimu ya BURE inawezekana kwa kuachana na mbio za MWENGE za kila mwaka zinazogharimu Trillion 1.5 na zaidi 2.Elimu ya bure Inawez... thumbnail 1 summary


1.Elimu ya BURE inawezekana kwa kuachana na mbio za MWENGE za kila mwaka zinazogharimu Trillion 1.5 na zaidi

2.Elimu ya bure Inawezekana kwa SERIKALI YA LOWASSA ambayo imepanga kufuta MSAMAHA mirahaba

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

CCM Kwa Sasa inakuwa ni Aibu Kugombania na Ukawa Sera na Zilizowashinda Miaka 53 ya Uhuru.

Unapomuona waziri wa uchukuzi akijibu Sera za UKAWA mtu makini anajiuliza maswali mengi sana. Kama mnampango wa kuboresha reli ya kati ... thumbnail 1 summary


Unapomuona waziri wa uchukuzi akijibu Sera za UKAWA mtu makini anajiuliza maswali mengi sana. Kama mnampango wa kuboresha reli ya kati iweje isiboreshwe miaka 10 ya awamu ya 4?, Air Tanzania imepitia kipindi kigumu miaka 15

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Shilole Akaidi Adhabu ya Basata..CCM Yamtumia Kwenye Kampeni Zake....

A Shilole Jukwaani kampeni CCM Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania ... thumbnail 1 summary
A

Shilole Jukwaani kampeni CCM
Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) iliyomtaka kutoshiriki masuala ya sanaa ndani na nje ya nchi kwa mwaka mzima.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ujenzi wa Uwanja mpya wa Chelsea utafanana kitu hiki na Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam (Pichaz)

Klabu ya Chelsea ya Uingereza imeonyesha muonekano wa uwanja wao mpya ambao hadi mwaka 2020 inaripotiwa ujenzi wa uwanja huo utakuwa umek... thumbnail 1 summary
Klabu ya Chelsea ya Uingereza imeonyesha muonekano wa uwanja wao mpya ambao hadi mwaka 2020 inaripotiwa ujenzi wa uwanja huo utakuwa umekamilika. Bado mashauriano yanaendelea kuhusiana na wakazi wa eneo husika utakapo jengwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Pichaz za baadhi ya mastaa waliowasili katika timu zao za taifa, Ronaldo, Depay na Sanchez wapo pia..

Wiki hii ni wiki ya mechi za kimataifa kwa upande wa bara la Ulaya wao timu zao za taifa zitakuwa na mechi za kuwania kufuzu kucheza mich... thumbnail 1 summary
Wiki hii ni wiki ya mechi za kimataifa kwa upande wa bara la Ulaya wao timu zao za taifa zitakuwa na mechi za kuwania kufuzu kucheza michuano ya Euro2016, ila kwa upande wa Afrika timu za taifa zitacheza michezo ya kuwania kufuzu katika michuano ya AFCON 2017.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mtoto wa mchezaji bora wa dunia kutokea Brazil amejiunga na klabu hii ya Ureno….

Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo kati... thumbnail 1 summary
Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya Ureno akitokea klabu ya Mogi Mirim ya kwao Brazil.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

VIDEO - Tyga na Kylie Jenner mapenzi motomoto ndani ya ‘Stimulated’

Tyga  na  Kylie Jenner  wamekuwa wakiweka headlines nyingi sana toka siku waliopigwa picha wako pamoja… maneno mengi yalisemwa juu ... thumbnail 1 summary
Tyga na Kylie Jenner wamekuwa wakiweka headlines nyingi sana toka siku waliopigwa picha wako pamoja… maneno mengi yalisemwa juu ya Tyga kutembea na msichana huyo lakini hayo yote haijawazuia wawili hao kuwa kwenye mahusiano.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Sababu ya kushindwa kusajiliwa De Gea Real Madrid na maamuzi ya klabu hiyo kwa FIFA viko hapa…

Golikipa wa kimataifa wa Hispania ambaye anaichezea klabu ya Manchester UnitedDavid De Gea, alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Real... thumbnail 1 summary
Golikipa wa kimataifa wa Hispania ambaye anaichezea klabu ya Manchester UnitedDavid De Gea, alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Real Madrid yaHispania, hivyo kila kitu kilikuwa kimesha kuwa sawa ikiwemo maslahi binafsi ya mchezaji.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Video yenye maneno yote ya Zitto Kabwe siku ya kwanza ya kampeni za ACT Wazalendo

Kiongozi wa chama kipya cha kisiasa Tanzania  ACT WAZALENDO  Zitto Kabwe alikua miongoni mwa waliosimama kuzungumza kwenye siku ya ... thumbnail 1 summary
Kiongozi wa chama kipya cha kisiasa Tanzania ACT WAZALENDO Zitto Kabwealikua miongoni mwa waliosimama kuzungumza kwenye siku ya kwanza ya kampeni za chama hicho Mbagala Dar es salaam ambapo mgombea Urais wao

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ulimis video ya Sauti Sol ‘shake yo bam bam’ ??!! nimeirudisha tena hapa…

Sauti Sol  ni kundi la muziki kutokea Kenya ambalo limezichukua headlines nzito Tanzania na mara ya mwisho ilikua ni kupitia  hit  ... thumbnail 1 summary
Sauti Sol ni kundi la muziki kutokea Kenya ambalo limezichukua headlines nzito Tanzania na mara ya mwisho ilikua ni kupitia hit single ya sura yako lakini time hii wametuletea video ambayo bado ni mpyampya ilitoka Aug 19 2015 na

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

UKAWA wamtikisa SITTA, Sheria ya mitandao, NCHIMBI, Mauaji ya kutisha Arusha,Gari la Polisi..StoriKubwa

Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyom... thumbnail 1 summary
Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari leo nane mchana jijini hapa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

KAMA UNA ROHO YA KIBINADAMU USIPUUZIE NA UNA MOYO WA HURUMA, UTASOMA HAPA.

Huyu ni Binti wa miaka 19 ambaye aliacha shule baada ya baba na mama kufa katika ajali mbaya na ndugu kutompa msaada aliamua kuondoka nyu... thumbnail 1 summary
Huyu ni Binti wa miaka 19 ambaye aliacha shule baada ya baba na mama kufa katika ajali mbaya na ndugu kutompa msaada aliamua kuondoka nyumbani na kwenda kuishi na kijana mmoja. Miaka 10 sasa amekuwa anakaa na rafiki yake wa kiume avutaye bangi katika ghetto.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: