Story kubwa inayozungumziwa kwenye ulimwengu wa burudani katika mitandao ya kijamii kwa wiki hii inayoisha kuhusu albam ya Msanii kutoka ...
16:53
Story kubwa inayozungumziwa kwenye ulimwengu wa burudani katika mitandao ya kijamii kwa wiki hii inayoisha kuhusu albam ya Msanii kutoka Nigeria, Flavour inayoitwa ‘Thankful’ ambayo imeuza mamilioni ya copy ndani ya wiki moja.
Leo kwenye ligi kuu ya Uingereza utakapigwa mchezo ambao kwa miaka zaidi ya miaka 15 umekuwa ukivuta hisia za mabilioni ya mashabiki wa sok...
16:53
Leo kwenye ligi kuu ya Uingereza utakapigwa mchezo ambao kwa miaka zaidi ya miaka 15 umekuwa ukivuta hisia za mabilioni ya mashabiki wa soka ulimwenguni kote – Arsenal FC wanaikaribisha Manchester United kwenye uwanja wao wa Emirates.