Msanii Nuh Mziwanda amesema hajutii maisha yake aliyoyapitia akiwa na mpenzi wake wa zamani, kwani amesha move on (kusonga mbele).Nuhu Mziwanda ambaye hivi karibuni ameachia kazi yake ya ‘Jike Shupa’ aliyomshirikisha Ali Kiba,
Nimekutana nazo hizi sherehe 10 ambazo zimewahi kuwa na bajeti kubwa zaidi moja katika hizo ipo harusi ya staa wa Machester United Wyne Rooney ambayo imeshika nafasi ya 7 ikiwa na bajeti ya Dola MILIONI 7.