Mwanariadha kutoka nchini Kenya, David Rudisha amefanikiwa kushinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya Olimpiki ya mita 800 kwa kutumia muda wa
August 16, 2016
Olimpiki: David Rudisha wa Kenya ashinda medali ya dhahabu kwenya riadha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kisa kusakamwa na Mashabiki: Justin Bieber aifuta akaunti yake ya Instagram
Kisa kusakamwa na Mashabiki: Justin Bieber aifuta akaunti yake ya Instagram
Justin Bieber alitishia kuiweka akaunti yake ya Instagram private kama mashabiki wake hawataacha kumshambulia mpenzi wake, Sofia Richie. 12:30
Justin Bieber alitishia kuiweka akaunti yake ya Instagram private kama mashabiki wake hawataacha kumshambulia mpenzi wake, Sofia Richie.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RC Paul Makonda Kuwajengea BAKWATA Ofisi ya Kisasa..Zitakuwa Hivi
RC Paul Makonda Kuwajengea BAKWATA Ofisi ya Kisasa..Zitakuwa Hivi
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekabidhi ramani ya jengo la Ofisi ya Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)... 12:30
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekabidhi ramani ya jengo la Ofisi ya Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), ikiwa ni ahadi ya kuwajengea jengo hilo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Idris Sultan na Wema Sepetu wazinguana tena
Idris Sultan na Wema Sepetu wazinguana tena
Idris Sultan na Wema Sepetu wamezinguana kwa mara nyingine tena. 12:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mbunge Saed Kubenea Ajisalimisha Polisi na Kuhojiwa kwa Masaa Mawili..
Mbunge Saed Kubenea Ajisalimisha Polisi na Kuhojiwa kwa Masaa Mawili..
SAED Kubenea Mbunge wa Jimbo la Ubungo jana alijisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam na kuhojiwa kabla ya kupewa... 12:00
SAED Kubenea Mbunge wa Jimbo la Ubungo jana alijisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam na kuhojiwa kabla ya kupewa dhamana kufuatia tuhuma za kuandika makala inayodaiwa kuwa ya uchochezi kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mastaa wa Bongo na Kenya wanavyohaha na kiki za ndoa
Mastaa wa Bongo na Kenya wanavyohaha na kiki za ndoa
Usanii unaweza ukawa ni mgumu mno kwakuwa wakati mwingine wasanii hujikuta wakifanya vitu ambavyo hawakutarajia kuvifanya kwa kuwaambia m... 10:30
Usanii unaweza ukawa ni mgumu mno kwakuwa wakati mwingine wasanii hujikuta wakifanya vitu ambavyo hawakutarajia kuvifanya kwa kuwaambia mashabiki wao vitu vya uongo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Olimpiki: Mchina amchumbia mpenzi wake akipokea medali (Picha)
Olimpiki: Mchina amchumbia mpenzi wake akipokea medali (Picha)
Muogeleaji wa Kichina He Zi baada ya kushinda na pokea medali yake ya fedha katika mchezo wa Springboard katika michezo ya Rio ya Olimpiki ... 08:30
Muogeleaji wa Kichina He Zi baada ya kushinda na pokea medali yake ya fedha katika mchezo wa Springboard katika michezo ya Rio ya Olimpiki siku ya jumapili.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Peter Msechu afunguka kuhusu ujumbe wa tuhuma wa ATB
Peter Msechu afunguka kuhusu ujumbe wa tuhuma wa ATB
Peter Msechu amefunguka juu ya tuhuma za msanii mwenzake AT aliyedai kumzungumzia juu ya wembamba wake. 08:30
Peter Msechu amefunguka juu ya tuhuma za msanii mwenzake AT aliyedai kumzungumzia juu ya wembamba wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ndege za ATCL zatarajiwa kuingia nchini mwezi ujao
Ndege za ATCL zatarajiwa kuingia nchini mwezi ujao
Shirika la ndege la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kuingiza nchini ndege zake mpya mbili mwishoni mwa mwezi ujao. 06:45
Shirika la ndege la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kuingiza nchini ndege zake mpya mbili mwishoni mwa mwezi ujao.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha: Jaydee, Alikiba, Juma Nature, Snura wapamba tamasha la Serebuka
Picha: Jaydee, Alikiba, Juma Nature, Snura wapamba tamasha la Serebuka
Lady Jaydee, Alikiba, Snura, Juma Nature ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza mbele ya mamia ya mashabiki wa muziki jijini Dar es Salaam... 06:44
Lady Jaydee, Alikiba, Snura, Juma Nature ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza mbele ya mamia ya mashabiki wa muziki jijini Dar es Salaam, Jumapili hii kwenye tamasha la Serebuka.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)