Kuutambua uwezo wa mtu na kuuthamini ipasavyo kwa kukiri yale aliyoyatenda kwako ni jambo lililowashinda watu wengi hasa katika tasnia ya sanaa.
December 08, 2016
Aina ya Wanawake Ambao Watafanya Maisha Yako Kuwa Magumu.
Aina ya Wanawake Ambao Watafanya Maisha Yako Kuwa Magumu.
Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia amb... 21:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Simu Mpya za iPhone 7 Zawapa Wasiwasi Apple, Zinashika Moto.
Simu Mpya za iPhone 7 Zawapa Wasiwasi Apple, Zinashika Moto.
Kampuni ya Apple inahaha baada ya simu za iPhone kudaiwa kuanza kushika moto. Kampuni hiyo imedai sababu hiyo imetokana na madhara ya n... 19:30
Kampuni hiyo imedai sababu hiyo imetokana na madhara ya nje ya simu ambayo yameripotiwa kusababisha simu kulipuka au kushika moto nchini China.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zari Athibitisha Kuwa Hana Tatizo na Mama Mkwe Wake na Bado Zinaiva.
Zari Athibitisha Kuwa Hana Tatizo na Mama Mkwe Wake na Bado Zinaiva.
Kuliwahi kuwepo uvumi kuwa Zari na mama yake Diamond Platnumz hawaelewani. Tetesi hizo zilikuwa kubwa zaidi hivi karibuni baada ya Bi... 17:30
Kuliwahi kuwepo uvumi kuwa Zari na mama yake Diamond Platnumz hawaelewani.
Tetesi hizo zilikuwa kubwa zaidi hivi karibuni baada ya Bi. Sandra kumchunia Zari kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa lakini akamtumia salamu ex wa mwanae, Wema Sepetu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Sio lazima kuwa na record label kwa sababu msanii fulani anayo – Lady Jay Dee
Sio lazima kuwa na record label kwa sababu msanii fulani anayo – Lady Jay Dee
Msanii mkongwe wa muziki Lady Jay Dee amesema hana mpango wa kuanzisha record label kwa kuwa kuna baadhi ya wasanii wanafanya hivyo. 17:16
Msanii mkongwe wa muziki Lady Jay Dee amesema hana mpango wa kuanzisha record label kwa kuwa kuna baadhi ya wasanii wanafanya hivyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baada ya kuvurunda mechi ya Yanga na Simba, hawa ni waamuzi waliotemwa ligi kuu
Baada ya kuvurunda mechi ya Yanga na Simba, hawa ni waamuzi waliotemwa ligi kuu
Waamuzi waliochezesha mchezo namba 49 kati ya Yanga na Simba, Martin Saanya na Samweli Mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya Ligi Kuu ya ... 17:14
Waamuzi waliochezesha mchezo namba 49 kati ya Yanga na Simba, Martin Saanya na Samweli Mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, huku suala lao likipelekwa kwenye Kamati ya Waamuzi ili ishughulikie tatizo lao kitaalam.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mfumuko wa bei waongezeka kutoka asilimia 4.5 hadi 4.8
Mfumuko wa bei waongezeka kutoka asilimia 4.5 hadi 4.8
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Novemba 2016 umeongezeka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 4.5 iliyokuwapo mwezi Oktoba, 201... 17:14
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Novemba 2016 umeongezeka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 4.5 iliyokuwapo mwezi Oktoba, 2016 kutokana na kuongezeka kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mesut Ozil aishika pabaya timu ya Arsenal
Mesut Ozil aishika pabaya timu ya Arsenal
Huenda timu ya Arsenal ikapata pigo jingine kutoka kwa Mesut Ozil. 17:13
Huenda timu ya Arsenal ikapata pigo jingine kutoka kwa Mesut Ozil.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro yaanza kujitetea kuhusu kupotea kwa Faru John
Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro yaanza kujitetea kuhusu kupotea kwa Faru John
Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha umesema umeanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu la kutaka kuwasilisha nyaraka... 17:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Vanessa Mdee adai wazo la wimbo ‘Cash Madame’ amelipata baada ya kuzinguliwa na promota
Vanessa Mdee adai wazo la wimbo ‘Cash Madame’ amelipata baada ya kuzinguliwa na promota
Msanii wa kike wa muziki, Vanessa Mdee amedai wazo la kuandika wimbo ‘Cash Madame’ alilipata baada ya kuzinguliwa malipo yake ya show ... 17:11
Msanii wa kike wa muziki, Vanessa Mdee amedai wazo la kuandika wimbo ‘Cash Madame’ alilipata baada ya kuzinguliwa malipo yake ya show ya promota.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ripoti: Kanye West aanza kutengeneza muziki mpya akiendelea na matibabu
Ripoti: Kanye West aanza kutengeneza muziki mpya akiendelea na matibabu
Ni ngumu kumtenganisha Kanye West na muziki. Kwa mujibu wa ripoti ya TMZ, rapper huyo ameanza kupika kazi mpya wakati akiendelea na ma... 17:09
Ni ngumu kumtenganisha Kanye West na muziki. Kwa mujibu wa ripoti ya TMZ, rapper huyo ameanza kupika kazi mpya wakati akiendelea na matibabu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nay wa Mitego: Biashara ya mimi na Mr T Touch ilishaisha
Nay wa Mitego: Biashara ya mimi na Mr T Touch ilishaisha
Nay wa Mitego anaweza akawa anamiss midundo ya producer wake wa zamani, Mr T Touch lakini hana mpango wa kufanya naye tena kazi. 16:50
Nay wa Mitego anaweza akawa anamiss midundo ya producer wake wa zamani, Mr T Touch lakini hana mpango wa kufanya naye tena kazi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Remy Ma asherehekea kuwa msanii wa kike pekee wa hip hop kutajwa kuwania tuzo za Grammy
Remy Ma asherehekea kuwa msanii wa kike pekee wa hip hop kutajwa kuwania tuzo za Grammy
Remy Ma amekuwa msanii pekee wa kike wa hip hop aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mwakani 16:36
Remy Ma amekuwa msanii pekee wa kike wa hip hop aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mwakani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maofisa wa United waanza kukerwa na tabia za Mourinho
Maofisa wa United waanza kukerwa na tabia za Mourinho
Maofisa wa klabu ya soka ya Manchester United inasemekana kwamba wameanza kuchoshwa na mwenendo na tabia za kocha wao Jose Mou... 16:34
Maofisa wa klabu ya soka ya Manchester United inasemekana kwamba wameanza kuchoshwa na mwenendo na tabia za kocha wao Jose Mourinho.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Machinga wafunga mitaa Dar, Maduka yahamia barabarani
Machinga wafunga mitaa Dar, Maduka yahamia barabarani
Baada ya Rais Dkt John Pombe Magufuli kutoa tamko kuwa wafanya biashara wadogo wadogo maarufu kama ‘Machinga’ baadhi ya mitaa katika ... 16:31
Baada ya Rais Dkt John Pombe Magufuli kutoa tamko kuwa wafanya biashara wadogo wadogo maarufu kama ‘Machinga’ baadhi ya mitaa katika miji iliyopo makao makuu ya mikoa mbalimbali nchini imefurika wafanyabiashara hao.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mtanzania Jennifer Shigoli ashinda tuzo ya ‘African Entreprenureship Award 2016’
Mtanzania Jennifer Shigoli ashinda tuzo ya ‘African Entreprenureship Award 2016’
Mtanzania Jennifer Shigoli ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia Investments amefanikiwa kushinda tuzo ya ujasiriamali ya ‘Afric... 16:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hizi ndizo changamoto zinazoikabili sekta ya elimu
Hizi ndizo changamoto zinazoikabili sekta ya elimu
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako ametaja moja ya changamoto zinazokabili sera ya elimu m... 16:28
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako ametaja moja ya changamoto zinazokabili sera ya elimu msingi bure, kuwa ni upungufu wa fedha za kila mwezi zinazotolewa, kutotosheleza kulipia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mnigeria huyu alikataa ofa ya kufanya kazi na bilionea Bill Gates, Sababu…
Mnigeria huyu alikataa ofa ya kufanya kazi na bilionea Bill Gates, Sababu…
Katika stori zilizotrend kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na hii ya kijana kutoka Nigeria, Chris Kwekowe ambaye ameripotiwa kuit... 15:30
Katika stori zilizotrend kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na hii ya kijana kutoka Nigeria, Chris Kwekowe ambaye ameripotiwa kuitolea nje ofa ya kufanya kazi kwenye kampuni ya Microsoft ya bilionea Bill Gates na kusema kwamba watu wengi nchini kwake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kazi atakayofanya Cristiano Ronaldo baada ya kustaafu soka
Kazi atakayofanya Cristiano Ronaldo baada ya kustaafu soka
Staa wa timu ya taifa ya Ureno anayeichezea timu ya Real Madrid ya HispaniaCristiano Ronaldo leo December 7 2016 ameingia kwenye head... 13:30
Staa wa timu ya taifa ya Ureno anayeichezea timu ya Real Madrid ya HispaniaCristiano Ronaldo leo December 7 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kutoka kwa interview yake aliyofanya na FourFourTwo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UJI WA CHUMA ULIOKUWA UKICHEMKA WAUNGUZA WAFANYAKAZI WANNE ARUSHA
UJI WA CHUMA ULIOKUWA UKICHEMKA WAUNGUZA WAFANYAKAZI WANNE ARUSHA
WAFANYAKAZI wanane wa kiwanda cha nondo cha Bansal kilichopo Kisongo wilayani Arumeru, Arusha, wameungua sehemu mbalimbali... 12:35SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maiti 6 zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo huku zikiwa zimearibika vibaya
Maiti 6 zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo huku zikiwa zimearibika vibaya
Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko y... 12:32
Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko ya Sandarusi maarufu viroba vya uzito wa Kilogramu 200, huku zikiwa zimeharibika vibaya.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mzee aliyeweka tangazo la kutafuta mke aongeza sharti jipya
Mzee aliyeweka tangazo la kutafuta mke aongeza sharti jipya
Mzee Athuman Mchambua (76),mkazi wa Mtoni Mtongani,jijini Dar ambaye ameweka tangazo nyumbani kwake la kutafuta mke, ameongeza sharti jipya... 12:29
Mzee Athuman Mchambua (76),mkazi wa Mtoni Mtongani,jijini Dar ambaye ameweka tangazo nyumbani kwake la kutafuta mke, ameongeza sharti jipya kwa mke anayemuhitaji.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kim Kardashian ameanza mipango ya kufungua kesi ya kudai Talaka dhidi ya Kanye West
Kim Kardashian ameanza mipango ya kufungua kesi ya kudai Talaka dhidi ya Kanye West
Kama ilivyo kawaida, kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote, na leo nimeipata hii kutoka kwa Kim Kardashian ambaye ni mke wa ... 11:30
Kama ilivyo kawaida, kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote, na leo nimeipata hii kutoka kwa Kim Kardashian ambaye ni mke wa rapa Kanye West anayedaiwa kuanza mipango ya kufungua kesi ya madai ya talaka dhidi ya mume wake huku akitaka mahakama impe
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huyu Ndiye Msanii Maarufu Zaidi Katika Instagram 2016.
Huyu Ndiye Msanii Maarufu Zaidi Katika Instagram 2016.
Nyota wa muziki wa pop Selena Gomez ndiye msanii maarufu zaidi katika mtandao wa Instagram mwaka huu. 11:01Nyota wa muziki wa pop Selena Gomez ndiye msanii maarufu zaidi katika mtandao wa Instagram mwaka huu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Apple wahaha kufuatia ripoti za iPhone kushika moto
Apple wahaha kufuatia ripoti za iPhone kushika moto
Kampuni ya Apple inahaha baada ya simu za iPhone kudaiwa kuanza kushika moto. 10:54Kampuni ya Apple inahaha baada ya simu za iPhone kudaiwa kuanza kushika moto.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mtoto mwenye jinsia mbili akubaliwa na mahakama kuondoa ya kiume
Mtoto mwenye jinsia mbili akubaliwa na mahakama kuondoa ya kiume
Mtoto wa miaka mitano raia wa Australia aliyezaliwa huntha; akiwa na sehemu za siri za kike na kiume amekubaliwa na makahama kubadilisha ... 10:49
Mtoto wa miaka mitano raia wa Australia aliyezaliwa huntha; akiwa na sehemu za siri za kike na kiume amekubaliwa na makahama kubadilisha jinsia yake na kuwa mwanamke japo hatakuwa na uwezo wa kuzaa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KBC wa Kwanza Unit: Hip hop ni utamaduni unaobadilika kulingana na maeneo, trap pia ni hip hop
KBC wa Kwanza Unit: Hip hop ni utamaduni unaobadilika kulingana na maeneo, trap pia ni hip hop
Kumekuwepo na mjadala mkubwa sana kuhusiana na mabadiliko ya hip hop na kama aina fulani ya muziki wa sasa inaweza kuwa sehemu ya utamadun... 10:46
Kumekuwepo na mjadala mkubwa sana kuhusiana na mabadiliko ya hip hop na kama aina fulani ya muziki wa sasa inaweza kuwa sehemu ya utamaduni huo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maiti 6 zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo huku zikiwa zimearibika vibaya
Maiti 6 zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo huku zikiwa zimearibika vibaya
Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko 10:43
Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Darassa ajiwekea rekodi hii mpya Youtube
Darassa ajiwekea rekodi hii mpya Youtube
Uamuzi wa kubadilisha muziki wake, umeendelea kumzalia matunda matamu rapper Darassa. Akiwa na wimbo ambao hakuna anayeweza kubisha kuwa ndio 10:41Uamuzi wa kubadilisha muziki wake, umeendelea kumzalia matunda matamu rapper Darassa. Akiwa na wimbo ambao hakuna anayeweza kubisha kuwa ndio
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nikitaka kutoa wimbo hujipima kwa nyimbo za Diamond na Alikiba kwanza – Christian Bella
Nikitaka kutoa wimbo hujipima kwa nyimbo za Diamond na Alikiba kwanza – Christian Bella
Christian Bella amesema kabla hajatoa wimbo wowote, huzipima kwanza nyimbo zake dhidi ya nyimbo za Diamond na Alikiba na kuangalia kwanin... 09:33
Christian Bella amesema kabla hajatoa wimbo wowote, huzipima kwanza nyimbo zake dhidi ya nyimbo za Diamond na Alikiba na kuangalia kwanini zao zimependwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Diamond na Zari wamtamanisha Vera Sidika kupata mtoto
Diamond na Zari wamtamanisha Vera Sidika kupata mtoto
Kuna uwezekano mkubwa hamu ya Vera Sidika kutamani mtoto imekuja baada ya kumuona mtoto wa pili wa Zari aliyejifungua Jumanne hii. 09:31
Kuna uwezekano mkubwa hamu ya Vera Sidika kutamani mtoto imekuja baada ya kumuona mtoto wa pili wa Zari aliyejifungua Jumanne hii.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)