Katika kusherehekea sikukuu ya crismas,mambo yamekuwa ndivyo sivyo ndani
ya jiji la mbeya,hawa ni kanga moko wakifanya yao ndani ya ukumbi wa
E-Point uliopo ndani ndani ya jiji la mbeya maeneo ya sae stendi,mimi
sisemi mengi tazama jinsi ambavyio wanamwaga ladhi
December 29, 2013
PICHA ZA NUSU UCHI ZA GREEN CITY MBEYA WALIVYO MWAGA RADHI SIKU YA CHRISMAS.... JIONEE
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAUME 3 WA FAMILIA MOJA WAOTA MATITI...... SOMA ZAIDI KUJUA KISA NA MKASA
WANAUME 3 WA FAMILIA MOJA WAOTA MATITI...... SOMA ZAIDI KUJUA KISA NA MKASA
VIJANA watatu wa familia moja ya Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyos... 14:55SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NDO KALI YA MWAKA...!!!WATUPWA JELA KWA KOSA LA KUTALII WAKIWA UCHI WA MNYAMA...JIONEE MWENYEWE HAPA
HII NDO KALI YA MWAKA...!!!WATUPWA JELA KWA KOSA LA KUTALII WAKIWA UCHI WA MNYAMA...JIONEE MWENYEWE HAPA
Mwanamke Melodine Roberts aliyefuatana naye aliachiwa na polisi kwa kuwa mara baada ya kuonywa kuacha tabia hiyo, aliacha lakini mpenz... 14:53SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Uhaba wa madarasa wakosesha Wanafunzi 16,482 kuingia sekondari
Uhaba wa madarasa wakosesha Wanafunzi 16,482 kuingia sekondari
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne... 14:49SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAKA AKIRI KUMCHINJA MDOGO WAKE BAADA YA BABA YAKE KUMUANDIKISHA MALI ZOTE MTOTO WA MKE MDOGO
KAKA AKIRI KUMCHINJA MDOGO WAKE BAADA YA BABA YAKE KUMUANDIKISHA MALI ZOTE MTOTO WA MKE MDOGO
Mtoto Kalebu Simwelu(6) enzi za uhai wake, mtoto huyu alichinjwa na kaka yake kwa madai kuwa baba yake alimrithisha mali ... 14:35Mtoto Kalebu Simwelu(6) enzi za uhai wake, mtoto huyu alichinjwa na kaka yake kwa madai kuwa baba yake alimrithisha mali zote.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MCHAWI AKAMATWA DAR NA KUUAWA LIVE BAADA YA KUDONDOKA NA UNGO ..ANGALIA PICHA ZA KILICHOMKUTA
MCHAWI AKAMATWA DAR NA KUUAWA LIVE BAADA YA KUDONDOKA NA UNGO ..ANGALIA PICHA ZA KILICHOMKUTA
WANANCHI wenye hasira kali wamempiga hadi kumuua mtu mmoja mwanaume aliyesadikiwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amep... 14:34
WANANCHI
wenye hasira kali wamempiga hadi kumuua mtu mmoja mwanaume
aliyesadikiwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo
maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, Mtanzania limeshuhudia.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
YULE GAIDI WA KIKE SAMANTHA ANASWA AKIONDOKA KAMBI YA MAFUNZO YA KIGAIDI KWA NGAMIA...!!
YULE GAIDI WA KIKE SAMANTHA ANASWA AKIONDOKA KAMBI YA MAFUNZO YA KIGAIDI KWA NGAMIA...!!
Mjane mweupe wa Uingereza anaaminika kuwa anasuka mipango mipya ya mashambulio ya ugaidi kutoka kwenye kambi ya mafunzo inayoh... 14:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TIMUA TIMUA YA MAWAZIRI MIZIGO KUJA JUU ..... MAWAZIRI WANASWA KWA SANGOMA WAKIPEWA KINGA
TIMUA TIMUA YA MAWAZIRI MIZIGO KUJA JUU ..... MAWAZIRI WANASWA KWA SANGOMA WAKIPEWA KINGA
MACHAFUKO yanayoendelea ndani ya Baraza la Mawaziri, ni wazi yanawaweka waheshimiwa wengi katika wakati mgumu ambapo Jumapili il... 14:30
MACHAFUKO
yanayoendelea ndani ya Baraza la Mawaziri, ni wazi yanawaweka
waheshimiwa wengi katika wakati mgumu ambapo Jumapili iliyopita, Uwazi
lilimnasa mmoja wa mawaziri (jina tunalo), kwenye nyumba ya sangoma
aliyefahamika kwa jina moja la Bwehe, Kijiji cha Mlingotini, Bagamoyo,
Pwani.
Rais Dk. Jakaya Kikwete. |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BODABODA WAMKERA LOWASA BAADA YA KUMWITA RAIS
BODABODA WAMKERA LOWASA BAADA YA KUMWITA RAIS
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa juzi Jumapili alitibuliwa na waendesha pikipiki (Bodaboda) wa wilaya zote za jijini Dar Sal... 14:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANAFUNZI WA CBE ALIYEKUFA MAJI YAZUA KASHESHE..SOMA ZAIDI HAPA
MWANAFUNZI WA CBE ALIYEKUFA MAJI YAZUA KASHESHE..SOMA ZAIDI HAPA
Kijana Abel Dafe 21, (pichani) mkazi wa Kayenze, Mwaloni jijini Mwanza amezua sintofahamu ya aina yake baada ya kudaiwa k... 14:25SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZITO AWAOMBA WAKAZI WA KIGOMA KUUMUNGA MKONO DHIDI YA CHADEMA
ZITO AWAOMBA WAKAZI WA KIGOMA KUUMUNGA MKONO DHIDI YA CHADEMA
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaomba wakazi wa Mkoa wa Kigoma kumuunga mkono katika mapambano yake ndani ya chama hicho. ... 14:24
Mbunge
wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaomba wakazi wa Mkoa wa Kigoma
kumuunga mkono katika mapambano yake ndani ya chama hicho.
Akizungumza Mjini Kasulu katika mkutano
wa hadhara, Zitto alisema atahakikisha anapigania haki yake ndani ya
Chadema kwa kufuata taratibu zote zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya
Chama hicho ili aweze kurudishiwa nyadhifa zake, hususan nafasi ya Naibu
Katibu Mkuu wa Chadema, Bara aliyovuliwa na Kamati Kuu Novemba 21,
2013.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA MRS.SUPERSTAR YA YOUNG KILLER
TAZAMA PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA MRS.SUPERSTAR YA YOUNG KILLER
Mwanzoni mwa wiki hii zao la Serengeti Fiesta Super Nyota 2012 Young Killer alikua akishoot video ya nyimbo yake iitwayo Mrs.Supe... 10:26Mwanzoni mwa wiki hii zao la Serengeti Fiesta Super Nyota 2012 Young Killer alikua akishoot video ya nyimbo yake iitwayo Mrs.Super Star,audio ya nyimbo hii imefanywa na Mona Gangstar toka Classic Sound na video inafanywa na Adam Juma toka Next Level.
Hizi ni baadhi ya picha za utengenezwaji wa video hiyo ndani yake walioshirikishwa ni pamoja na mdogo wake Belle 9 anaitwa Bright na Nemo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND, WEMA WATANGAZA NDOA
DIAMOND, WEMA WATANGAZA NDOA
HUKU mchumba’ke, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akifungasha virago kurejea kwao,... 10:26
HUKU
mchumba’ke, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akifungasha virago kurejea kwao,
mzee mzima Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametangaza kumuoa Miss
Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MARUFUKU KULIPUA FATAKI MKESHA WA MWAKA MPYA
MARUFUKU KULIPUA FATAKI MKESHA WA MWAKA MPYA
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Da... 10:19
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku
ulipuaji wa fataki wakati wa sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya, kutokana
na sababu za kiusalama.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WATU WA KARIBU WA JACK CLIFF WATHIBITISHA KUKAMATWA KWAKE CHINA
WATU WA KARIBU WA JACK CLIFF WATHIBITISHA KUKAMATWA KWAKE CHINA
Rafiki wa karibu wa video vixen maarufu nchini, Jackie Cliff amethibitisha taarifa zinazoendelea... 09:50
Rafiki wa karibu wa video vixen maarufu nchini, Jackie
Cliff amethibitisha taarifa zinazoendelea kukua kwa sasa kuwa msichana
aliyekamatwa na kilo 1.1 ya madawa ya kulevya aina ya Heroin huko Macau,
China ni yeye.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UKIFUATA HAYA ,MAHUSIANO YAKO NA MPENZI WAKO KWA MWAKA MPYA 2014 YATADUMU MILELE..!!!SOMA HAPA .
UKIFUATA HAYA ,MAHUSIANO YAKO NA MPENZI WAKO KWA MWAKA MPYA 2014 YATADUMU MILELE..!!!SOMA HAPA .
HUU ni msimu wa sikukuu! Juzi, tumesherehekea Sikukuu ya Krismasi na sasa tunaelekea Mwak... 09:47
HUU
ni msimu wa sikukuu! Juzi, tumesherehekea Sikukuu ya Krismasi na sasa
tunaelekea Mwaka Mpya 2014. Kwa nguvu za Mungu tutafika salama. Ndugu
zangu, hebu tutafakari vizuri kuhusu mwaka uliopita na kuangalia cha
maana tulichofanya kwa wenzi wetu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASOGANGE NA NISHA WATUPIA PICHA ZA KIMAHABBA MTANDAONI WAKISHINDANA KUONYESHA MAKALIO MAKUBWAA..!!TAZAMA PICHA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZIFAHAMU DALILI ZA MWANAMKE ANAPOTAKA KUFIKA KILELENI...SOMA HAPA KUPATA MAUTUNDU..!!!
ZIFAHAMU DALILI ZA MWANAMKE ANAPOTAKA KUFIKA KILELENI...SOMA HAPA KUPATA MAUTUNDU..!!!
Siku zote katika mapenzi hakuna kitu kizuri kama kuridhishana hususan katika tendo la ndoa. Ukweli uliopo ni rahisi... 09:42SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAHA ANENA KUUSU DIAMOND NA UMAARUFU WAKE KUPITIA MADADA..... PATA KUJUA NI NINI
BABY MADAHA ANENA KUUSU DIAMOND NA UMAARUFU WAKE KUPITIA MADADA..... PATA KUJUA NI NINI
WIKI kadhaa zilizopita tulisikia msanii wa filamu na muziki Baby Madaha akifunguka na kusema kuwa Dia... 09:20
WIKI kadhaa zilizopita tulisikia msanii wa filamu na muziki Baby Madaha akifunguka na kusema kuwa
Diamond siyo msanii bali ni malaya na anatumia wasichana maarufu ili apate kiki katika muziki anaoufanya. Baby Madaha alizidi kufunguka na kusema endapo wasanii maarufu wa kike wakipata uelewa na wakamgundua Diamond basi ndiyo mwisho wa msanii huyo kusikika hewani.
Diamond siyo msanii bali ni malaya na anatumia wasichana maarufu ili apate kiki katika muziki anaoufanya. Baby Madaha alizidi kufunguka na kusema endapo wasanii maarufu wa kike wakipata uelewa na wakamgundua Diamond basi ndiyo mwisho wa msanii huyo kusikika hewani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAYNA NYANGE ANENA MAZITO KWA KUFUMWA UFUKWENI NA NJEMBA...TAZAMA PICHA ZAKE HAPA
DAYNA NYANGE ANENA MAZITO KWA KUFUMWA UFUKWENI NA NJEMBA...TAZAMA PICHA ZAKE HAPA
Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha ... 09:18
Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAYA NDIYO MAISHA HALISI YA SNURA MAJANGA..!!!SOMA ZAIDI KUJUA KAPITIA WAP
HAYA NDIYO MAISHA HALISI YA SNURA MAJANGA..!!!SOMA ZAIDI KUJUA KAPITIA WAP
KWA wasiomfahamu msichana huyu, wanamuona kama chipukizi aliyeukwaa ustaa ghafla, lakini wan... 09:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JACKLINE WOLPER AZUA BALAA JIJINI DAR KUTOKANA NA KIVAZI HIKI ALICHOVAA..!!!JIONEE MWENYEWE HAPA
JACKLINE WOLPER AZUA BALAA JIJINI DAR KUTOKANA NA KIVAZI HIKI ALICHOVAA..!!!JIONEE MWENYEWE HAPA
Mastaa bongo movie walibaki hoi;wolper huu mwendo wake ni noumaaa...amekua gumzo sana katika Skukuu ya Krismas jinsi al... 09:15Mastaa bongo movie walibaki hoi;wolper huu mwendo wake ni noumaaa...amekua gumzo sana katika Skukuu ya Krismas jinsi alivyo pendeza yani kama alicia keys vile..mtazame hapa pichani....
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UFUNDI WA MAUNO NA KUTUMIA VIUNGO NDO MAFANIKIO YA SNURA MUSHI NA SHILOLE...????SOMA ZAIDI HAPA KUFAHAMU
UFUNDI WA MAUNO NA KUTUMIA VIUNGO NDO MAFANIKIO YA SNURA MUSHI NA SHILOLE...????SOMA ZAIDI HAPA KUFAHAMU
KWA wasiomfahamu msichana huyu, wanamuona kama chipukizi aliyeukwaa ustaa ghafla, lakini wanaofuatilia mambo ya sa... 09:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MOVIE ZA KIBONGO ZINAJENGA AU ZINABOMOA..???TAZAMA PICHA HIZI TUPA MAONI YAKO
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WATU WATANO WAKIWEMO WABUGNE WA CCM WAJISALIMISHA KWA TUHUMA ZA KUUZA MADAWA YA KULEVYA..!!SOMA ZAIDI KUJUA UKWELI
WATU WATANO WAKIWEMO WABUGNE WA CCM WAJISALIMISHA KWA TUHUMA ZA KUUZA MADAWA YA KULEVYA..!!SOMA ZAIDI KUJUA UKWELI
Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu watano wakiwemo wabunge watatu wa CCM wanaodaiwa ku... 09:07
Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu
watano wakiwemo wabunge watatu wa CCM wanaodaiwa kujihusisha na biashara
ya dawa za kulevya wamejisalimisha kwenye kamati ya kidini
inayojihusisha na maadili nje na ndani ya makanisa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JACK CLIFF AMUANDIKIA UJUMBE MARTIN KADINDA IKATOKEA AKINYONGWA HUKO CHINA...SOMA MWENYEWE UJUMBE HUU
JACK CLIFF AMUANDIKIA UJUMBE MARTIN KADINDA IKATOKEA AKINYONGWA HUKO CHINA...SOMA MWENYEWE UJUMBE HUU
Baada ya kukamatwa na kilo 1.1 za heroin nchini China, mrembo Jackie Cliff kwa sasa anasubiria hatima yake ... 09:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HIZI NDIZO SIRI NZITO ZILIZO SABABISHA MAWAZIRI HAWA KUTIMULIWA...!!!SOMA ZAIDI HAPA KUJUA WALIYOFANYA ...
HIZI NDIZO SIRI NZITO ZILIZO SABABISHA MAWAZIRI HAWA KUTIMULIWA...!!!SOMA ZAIDI HAPA KUJUA WALIYOFANYA ...
SIRI mbalimbali zimeanza kufichuka kuhusiana na ‘madudu’ yaliyokuwa yakifanyika, katika utekelezaji wa Op... 08:56
SIRI
mbalimbali zimeanza kufichuka kuhusiana na ‘madudu’ yaliyokuwa
yakifanyika, katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza, iliyowang’oa
madarakani mawaziri wanne.
Siri hizo zimeanza kuvuja baada ya kubainika kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliandikiwa barua mara mbili na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi juu ya ‘madudu’ hayo, lakini hakuweza kuchukua hatua.
Habari za uhakika ambazo MTANZANIA Jumamosi
Siri hizo zimeanza kuvuja baada ya kubainika kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliandikiwa barua mara mbili na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi juu ya ‘madudu’ hayo, lakini hakuweza kuchukua hatua.
Habari za uhakika ambazo MTANZANIA Jumamosi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)