Nini kinaendelea? Video Queen wa Bongo anayeshikiliwa na jeshi la polisi nchini China kwa msala wa madai ya kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ anadaiwa kuyeyuka gerezani.
August 11, 2014
JACK CLIFF AYEYUKA GEREZANI KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA , SOMA MCHAPO WOTE HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amshauri diamond asioe
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amshauri diamond asioe
IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asis... 14:02
IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asishuke kimuziki.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHUCHU HANS ATAMBA NA KUJINADI JUU YA PENZI LA RAY
CHUCHU HANS ATAMBA NA KUJINADI JUU YA PENZI LA RAY
STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amedhihirisha kwamba ana mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa kulinadi jina lake hadh... 14:00
STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amedhihirisha kwamba ana mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa kulinadi jina lake hadharani kwa kuvaa t-shirt iliyoandikwa; ‘Ray Kigosi’.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UZUNGU UNAANZA KUWAHARIBU WASANII WETU WA BONGO!! TAZAMA SELFIE ALIZOPOST" AUNT EZEKIEL" MCHANA HUU HUKO INSTAGRAM. NISHEDAAAA!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NI KUHUSU YOUNG KILLER KUPIGWA HADI KUZIMIA ALIPOGUNDULIKA TU ANAFANYA MUZIKI,
HII NI KUHUSU YOUNG KILLER KUPIGWA HADI KUZIMIA ALIPOGUNDULIKA TU ANAFANYA MUZIKI,
Mama wa msanii wa muziki wa Hip Hop Young Killer Msodoki, amesema kuwa anafurahishwa sana na kipaji cha mtoto wake ambacho kinaendelea ... 09:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Pichaz za Rais Uhuru Kenyatta na Akon nchini Marekani.
Pichaz za Rais Uhuru Kenyatta na Akon nchini Marekani.
President Uhuru Kenyatta wa Kenya ni miongoni mwa Marais wachache wenye umri mdogo kulinganisha na Marais wengi ambapo amekua akienda saw... 09:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wewe ni shabiki wa George Clooney? kuna 7 facts hapa kuhusu harusi yake
Wewe ni shabiki wa George Clooney? kuna 7 facts hapa kuhusu harusi yake
Kama mojawapo ya starehe zako ni kufatilia movie za dunia najua George Clooney anaweza kuwa miongoni mwa waigizaji mastaa unaowafahamu am... 08:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Uliona alichopost msanii Tunda Man kuhusu Edward Lowassa? kiko hapa
Uliona alichopost msanii Tunda Man kuhusu Edward Lowassa? kiko hapa
Kutana na ya moyoni mwa Tunda Man, staa wa bongofleva kutokea kundi la Tiptop Connection ambapo amepost picha kadhaa na maelezo yake kwen... 08:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NI AJABU SAMAKI NUSU,NUSU BINADAMU AKUTWA UFUKWENI MWA BAHARI AKIWA AMEFARIKI.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN
AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN
Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi. WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo 08:56
Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi.
WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ARSENAL BINGWA NGAO YA JAMII
ARSENAL BINGWA NGAO YA JAMII
Arsenal wakiwa na Ngao ya Jamii baada ya kuipiga Manchester City 3-0. 08:55
Arsenal wakiwa na Ngao ya Jamii baada ya kuipiga Manchester City 3-0.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HIVI JACK WOLPER ANAFIKIRIA NINI KUVAA MAVAZI HAYA?? YAONE HAPA MWENYEWE
HIVI JACK WOLPER ANAFIKIRIA NINI KUVAA MAVAZI HAYA?? YAONE HAPA MWENYEWE
Natumaini hakuna asiye mfahamu mwigizaji huyu maarufu hapa Tz, mara kwa mara amekuwa na skendo za hapa na pale huku magazeti yakimwandik... 08:55
Natumaini hakuna asiye mfahamu mwigizaji huyu maarufu hapa Tz, mara kwa mara amekuwa na skendo za hapa na pale huku magazeti yakimwandika kila kukicha.. lakini hilo si ambalo sana nataka
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)