Kuchat kwenye mtandao mara baada ya kurudi nyumbani au kama una kazi za ofisini ambazo inakulazimu uzifanyie nyumbani. Ni vyema kumuomba mwenzi wako ruhusa kama hatajali kabla ya kukurupuka na kufungua lap top na kuendelea na kazi zako.Ni muhimu kuomba ruhusa kwa mwenzi wako kwa sababu huwezi
December 11, 2013
MAMBO AMBAYO NI VEMA KUOMBA RUHUSA KWA MPENZI WAKO KABLA YA KUFANYA ....
Kuchat kwenye mtandao mara baada ya kurudi nyumbani au kama una kazi za ofisini ambazo inakulazimu uzifanyie nyumbani. Ni vyema kumuomba mwenzi wako ruhusa kama hatajali kabla ya kukurupuka na kufungua lap top na kuendelea na kazi zako.Ni muhimu kuomba ruhusa kwa mwenzi wako kwa sababu huwezi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIKU HIZI WASICHANA/MWANAUME BIKIRA SI DEAL KABISA.
SIKU HIZI WASICHANA/MWANAUME BIKIRA SI DEAL KABISA.
Leo wakati nakuja hapa nilipo muda huu nilikuwa nimeongozana na wadada kama wa-4 hivi inaonekana wanaishi jirani na... 15:18SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NINI TATIZO KATIKA HILI..MAUMBILE MADOGO YA KIUME AMA MAUMBILE MAKUBWA YA KIKE?
NINI TATIZO KATIKA HILI..MAUMBILE MADOGO YA KIUME AMA MAUMBILE MAKUBWA YA KIKE?
Bandugu..kumekuwa na malalamiko mengi sana katika swala zima la mapenzi kwa siku hizi za karibuni na hii inasabanisha ... 15:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHINDANO LA KUMPATA MREMBO MWENYE MAKALIO MAZURI HUKO BRAZIL......!!
SHINDANO LA KUMPATA MREMBO MWENYE MAKALIO MAZURI HUKO BRAZIL......!!
Rear of the year: Dai Macedo won Miss Bum Bum 2013 with her 42in bottom ( Eliana Amaral, from Pernambuco in no... 15:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIJANA WA MIAKA 32 AFUMWA NA KIKONGWE CHA MIAKA 80...
KIJANA WA MIAKA 32 AFUMWA NA KIKONGWE CHA MIAKA 80...
Kuna mengi ya kushangaza duniani lakini hili la kijana Hamad Issa (32) kunaswa faragha na bibi kizee Adela Mkalau (80) linaongeza... 15:13
Kuna mengi ya kushangaza duniani lakini hili la kijana Hamad Issa (32)
kunaswa faragha na bibi kizee Adela Mkalau (80) linaongeza rekodi ya
mambo yanayoshangaza,.Tukio hilo la kustaajabisha limetokea mwishoni mwa
wiki iliyopita, nyumbani kwa bibi huyo, Yombo –Buza, jijini Dar es
Salaam ambapo wajukuu wa bibi huyo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WHY?? UMNYIME MWEZI WAKO PENZI
WHY?? UMNYIME MWEZI WAKO PENZI
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hi... 15:11Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.
Hata kama kuna kisa kilichosababisha mgombane, usiruhusu hali hiyo itokee, mwanamke mwenzangu fahamu ugomvi ndani ya nyumba ni mgeni wa kuingia na kutoka, ni shetani huyu, usimruhusu kwako.
Pia elewa mwanamke mwenzangu kuwa ndoa ni kifundo cha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KOMBE LA DUNIA : GHANA WAKATI MGUMU NA KUNDI LAKE
KOMBE LA DUNIA : GHANA WAKATI MGUMU NA KUNDI LAKE
Makundi yamejulikana , na pia imejulikana nani atamenyana na nani. ... 15:06
Hapana shaka wapenzi wa soka
barani Afrika pamoja na kuomboleza kifo cha Nelson Mandela wamekuwa
wanafuatilia Droo ya kombe la dunia kufahamu nani wapinzani wa timu tano
zinazowakilisha bara hilo.
Cameroon wamejikuta katika kundi gumu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SABABU ZA WABUNIFU WA KIUME KWENYE MITINDO KUWA MASHOGA
SABABU ZA WABUNIFU WA KIUME KWENYE MITINDO KUWA MASHOGA
Bila shaka umeshajiuliza sana kwanini wabunifu wengi wa nguo wa kiume duniani ni mashoga. Haya ndio majibu: Kwanza, ta... 14:50
Bila shaka umeshajiuliza sana kwanini wabunifu wengi wa nguo wa kiume duniani ni mashoga. Haya ndio majibu:
Kwanza,
tasnia ya mitindo (fashion industry) kiutamaduni imekuwa ikiwakubali
zaidi mashoga wanaojulikana wazi (openly gay men) tofauti na fani
zingine. Hata leo, ni changamoto kubwa kwa shoga kufikia level ya kuwa
CEO ama Mkurugenzi kuliko wanaume wa kawaida.
Tofauti
ni kwamba shoga kwenye fashion anaweza kuheshimika na kuenziwa kwenye
fani hiyo na kufanikiwa binafsi na kifedha bila kudhihakiwa kama ambavyo
anaweza kujikuta akifanyiwa kwenye fani zingine kama upolisi, jeshi na
kwenye
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA ZA HUDDAH MONROE AKIWA NDANI YA POZI NA KIVAZI CHA KIMAHABA..
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Msanii wa Hip pop 'THE GAME' kuchora tattoo ya MANDELA mwilini mwake..!!
Msanii wa Hip pop 'THE GAME' kuchora tattoo ya MANDELA mwilini mwake..!!
Rapper kutoka pande za Marekani The Game ameonyesha jinsi anavyompenda Nelson Mandela kwa kujichora tattoo ili kumuenzi Ne... 07:45
Rapper kutoka pande za Marekani The Game ameonyesha jinsi anavyompenda
Nelson Mandela kwa kujichora tattoo ili kumuenzi Nelson Mandela. Kupitia
mtandao wake wa instagram, The Game alisema
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Roy Keane amponda Ferguson na Kudai kuwa ana tamaa ya Madaraka makubwa ndio maana Man utd inaboronga...!!
Roy Keane amponda Ferguson na Kudai kuwa ana tamaa ya Madaraka makubwa ndio maana Man utd inaboronga...!!
Nahodha wa zamani wa Manchester United, Roy Keane amesema kwamba kocha aliyeng’atuka katika klabu hiyo, Sir Alex Ferguson bado ana uchu... 07:43
Nahodha wa zamani wa Manchester United, Roy Keane amesema kwamba kocha
aliyeng’atuka katika klabu hiyo, Sir Alex Ferguson bado ana uchu wa
madaraka.
Keane aliyeondoka baada ya kukosana na klabu hiyo na pia amekuwa
akitupiana maneno na Fergie amedai kwamba Ferguson anatafuta nguvu za
kimadaraka na kimamlaka ili adhibiti mambo Old Trafford.
Fergie alistaafu Mei mwaka huu na kumpendekeza raia mwenzake wa
Scotland, David Moyes aliyekuwa Everton kuchukua nafasi yake, huku
Fergie akiingia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Madhara ya Kutoshiriki Tendo la Ndoa kwa Muda Mrefu
Madhara ya Kutoshiriki Tendo la Ndoa kwa Muda Mrefu
Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tend... 07:30
Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya
ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa
kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as upo ktk active
range of age! madhara yapo ya Negative na positive.
Mfumo wa fahamu hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo
Mfumo wa fahamu hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA SEPETU AFUNGUKA..."Siwezi kushindana na DIAMOND kwasababu mimi sio Mwimbaji"
WEMA SEPETU AFUNGUKA..."Siwezi kushindana na DIAMOND kwasababu mimi sio Mwimbaji"
Je wewe ni kati ya wanaoamini kuwa wapenzi ‘wa zamani’ Wema Sepetu na Diamond Platnumz wanashin... 06:57Je wewe ni kati ya wanaoamini kuwa wapenzi ‘wa zamani’ Wema Sepetu na Diamond Platnumz wanashindana kwa namna yoyote? Star wa kipindi cha ‘In My Shoes’ Wema Sepetu ameshare ujumbe kwa wote wanaofikiria hivyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASHOGA WAPEWA VYEO VIKUBWA SERIKALINI
MASHOGA WAPEWA VYEO VIKUBWA SERIKALINI
Hii itakua ya kwanza duniani kwa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kupata vyeo vikubwa kwenye serikali kuu ya... 06:21
Hii itakua ya kwanza duniani kwa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kupata vyeo vikubwa kwenye serikali kuu ya nchi.
Makundi mengi yenye maoni tofauti yamekuwa yakipinga mapenzi ya jinsia moja na makundi mengine yakitetea, huko
Makundi mengi yenye maoni tofauti yamekuwa yakipinga mapenzi ya jinsia moja na makundi mengine yakitetea, huko
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NORA afunguka..."RAY Alishanitongoza Nikamkataa"
NORA afunguka..."RAY Alishanitongoza Nikamkataa"
Muigizaji wa kike aliyefanya vizuri kupitia kundi la Kaole Sanaa Group, Nuru Nassoro aka Nora amedai kuwa... 06:20SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA 9 ZA BIRTHDAY PARTY YA NICK MINAJ AKITIMIZA MIAKA 31
PICHA 9 ZA BIRTHDAY PARTY YA NICK MINAJ AKITIMIZA MIAKA 31
First lady wa label ya YMCMB Nicki Minaj amesherekea birthday yake akitimiza miaka 31 na mafanikio ya kuj... 06:17
First lady wa label ya YMCMB Nicki Minaj amesherekea birthday yake
akitimiza miaka 31 na mafanikio ya kujivunia kwenye kazi yake ya muziki.
Nicki aliletewa keki mbalimbali pamoja na stripper pole maalum kwa ajili ya party hiyo. |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
'BABU SEYA, PAPII LAZIMA WATAACHIWA HURU'
'BABU SEYA, PAPII LAZIMA WATAACHIWA HURU'
Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’. NGUZA Mbangu, mtoto mkubwa wa mwanamuziki mahiri wa muziki wa dans... 06:15
Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’.
NGUZA Mbangu, mtoto mkubwa wa mwanamuziki mahiri wa muziki wa dansi anayetumikia kifungo cha maisha jela, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya, amesema mzazi wake pamoja na mdogo wake, Papii, ni lazima wataachiwa
NGUZA Mbangu, mtoto mkubwa wa mwanamuziki mahiri wa muziki wa dansi anayetumikia kifungo cha maisha jela, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya, amesema mzazi wake pamoja na mdogo wake, Papii, ni lazima wataachiwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Bifu la Huddah na Prezzo lafikia Pabaya..sasa waanza kutoleana siri zao za ndani mtandaoni
Bifu la Huddah na Prezzo lafikia Pabaya..sasa waanza kutoleana siri zao za ndani mtandaoni
Uhasama mkali unaozidi kuchemka kati ya rapa mbishi CMB Prezzo na 'msocialite’ Huddah Monroe wameamua kuanika... 06:13SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAYA NDIYO MADHARA 7 KWA WANAWAKE WANAOFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE...
HAYA NDIYO MADHARA 7 KWA WANAWAKE WANAOFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE...
Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:- K... 06:11
Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:-
Kwanza: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maraisi zaidi ya 100 wahudhuria kwenye msiba NELSON MANDELA
Maraisi zaidi ya 100 wahudhuria kwenye msiba NELSON MANDELA
Hizi ni picha mbalimbali toka SA wakati wa kuuaga mwili wa mzee Mandela ... 06:10Hizi ni picha mbalimbali toka SA wakati wa kuuaga mwili wa mzee Mandela
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KILIMANJARO STARS YAONDOLEWA KWENYE MASHINDANO YA CHALLANGE
KILIMANJARO STARS YAONDOLEWA KWENYE MASHINDANO YA CHALLANGE
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoen... 06:03SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BEYONCE KUPIGA PICHA YA CHUPA YA POMBE NA MSOKOTO WA BANGI.......
BEYONCE KUPIGA PICHA YA CHUPA YA POMBE NA MSOKOTO WA BANGI.......
Mama wa Blue Ivy na mke wa Rapper Jay Z, Beyonce Knowlence Carter aliwashangaza mashabiki na wapenzi wa kazi zake za kimzik... 06:00Mama wa Blue Ivy na mke wa Rapper Jay Z, Beyonce Knowlence Carter aliwashangaza mashabiki na wapenzi wa kazi zake za kimziki hivi karibuni kupitia mtandao wa kijamii wa Tumblr. Beyonce akiwa na marafiki zake na dada yake Solange amabaye ni mwanamuziki pia, walikuwa katika matembezi ya mapumziko huko nchini Jamaica, Beyounce alipost picha ambayo ameonekana akiwa ameshikilia mkono mmoja bia na mkono mwingine kitu kama msokoto wa bangi …
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)