December 22, 2015

USHAURI,KILA NIKIKUTANA NAYE NASHIDWA KUFANYA NAE MAPENZI

Wadau za usiku huu, Kuna kitu huwa kinaniumiza sana kichwani mwangu kwani kuna mdada mmoja mzuri ameumbika na ana sifa zote nzuri za ki... thumbnail 1 summary
Wadau za usiku huu,
Kuna kitu huwa kinaniumiza sana kichwani mwangu kwani kuna mdada mmoja mzuri ameumbika na ana sifa zote nzuri za kike. Tatizo linakuja kila nikikutana nae jogoo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

NISHER AELEZA KWANINI AMEAMUA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE YA KIMAPENZI MTANDAONI (PICHA)

Muongozaji wa video, Nisher ameweka wazi sababu inayomfanya aweke wazi picha za mahaba akiwa na mpenzi wake katika mitandao ya kijamii. thumbnail 1 summary
Muongozaji wa video, Nisher ameweka wazi sababu inayomfanya aweke wazi picha za mahaba akiwa na mpenzi wake katika mitandao ya kijamii.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TANESCO WATAJA KIASI WANACHOMDAI WEMA SEPETU KUFUATIA KUIBA UMEME...NIMEKUWEKEA HAPA KIASI ANACHODAIWA

Tanesco wako shingoni kwa Wema Sepetu! Hivi karibuni walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huy... thumbnail 1 summary
Tanesco wako shingoni kwa Wema Sepetu!


Hivi karibuni walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huyo anatumia umeme wao bure!

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MIMBA YA JOKETI ALIYOPEWA NA ALI KIBA YAYEYUKA KATIKA MAZINGIA YA UTATA...!!!

IMEFICHUKA! Ile mimba ya mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ iliyokuwa ikisemekana ni ya Mbongo-Fleva, Ali Saleh Kiba inada... thumbnail 1 summary
IMEFICHUKA! Ile mimba ya mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ iliyokuwa ikisemekana ni ya Mbongo-Fleva, Ali Saleh Kiba inadaiwa kuharibika kwa kuchoropoka kisa kikiwa ni mazoezi makali aliyoyafanya hivi karibuni.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 20, 2015

Mabibi na Mabwana Ommy Dimpoz katuletea hii video mpya ‘Achia Body’

Ni time ya kuitazama hii video ya single mpya ya  Ommy Dimpoz  iitwayo   Achia Body . Hii ndio video ya single mpya ya  Ommy Dimpoz... thumbnail 1 summary

Ni time ya kuitazama hii video ya single mpya ya Ommy Dimpoz iitwayo  Achia Body. Hii ndio video ya single mpya ya Ommy Dimpoz baada ya kushine na video yake yaWanjera. Enjoy hapa mtu wangu video yenyewe.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu  Uingereza , michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchez... thumbnail 1 summary
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi yaSunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelseakucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines

Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya mwisho wa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya ku... thumbnail 1 summary
Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya mwisho wa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya kupata muda wa kupumzika kutoka shule au chuo, show hii huwa inaitwa After School Bash, huwa ina vitu vingi, tukiachana na Perfomance za wasanii

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MBUNGE PETER MSIGWA AMRUSHIA DONGO MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA

Mbunge Peter Msigwa Amrushia Dogo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda..Ni Baada ya Picha Amkimfunga Kamba za Viatu Ridhiwani Kuzagaa thumbnail 1 summary
Mbunge Peter Msigwa Amrushia Dogo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda..Ni Baada ya Picha Amkimfunga Kamba za Viatu Ridhiwani Kuzagaa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TCRA IMETOA MIEZI SITA HADI JUNE 16.2016 KUZIFUNGIA SIMU ZOTE FEKI KWA TANZANIA,HAKIKISHA SIMU YAKO HAPA KUWA NI ORIGINAL AU FEKI

TCRA imetoa miezi Sita hadi June 16, 2016 kuzifunga simu zote feki Tanzania.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 19, 2015

Jichagulie mapema leo utatazama movie gani Cinema kama upo Dar au Arusha..

Najua nina watu ambao wanapenda kwenda  Cinema  kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam na Arusha movie zinazoonyeshwa kwenye big... thumbnail 1 summary
Najua nina watu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam na Arusha movie zinazoonyeshwa kwenye big screen weekend hii na Trailers zake nimekuwekea hapa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Weekend ya December 19 na 20 itatekwa na michezo 26 yakuvutia kwa Tanzania, Uingereza na Hispania…

Tukiwa bado katika shamrashamra za maandalizi ya sikukuu ya Chrismas na mwaka mpya, burudani ya soka bado inaendelea kama kawaida d... thumbnail 1 summary
Tukiwa bado katika shamrashamra za maandalizi ya sikukuu ya Chrismas na mwaka mpya, burudani ya soka bado inaendelea kama kawaida duniani kote. Najua weekend inaweza ikaboa kama utakosa mahala pazuri pakwenda kuenjoy

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Anayeitaka nafasi ya Jose Mourinho ni huyu hapa…

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kwa sasa haina kocha baada ya kumfukuza kazi kocha wao mkuu Jose Mourihno. Headlines... thumbnail 1 summary
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kwa sasa haina kocha baada ya kumfukuza kazi kocha wao mkuu Jose Mourihno.

Headlines za sasa zimemgeukia kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ulolanzi Guus Hiddink ambaye ametajwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam... thumbnail 1 summary

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi tarehe 18, 2015.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DIAMOND AWAKERA BAADHI YA MASHABIKI KWA VIDEO HII YENYE UJUMBE WA UTATA

Diamond na Zari ni mtu na mpenzi wake na tayari wana mtoto mmoja so wakikutana kwenye chumba kwenye hoteli ya kifahari huko Kampala, Ug... thumbnail 1 summary

Diamond na Zari ni mtu na mpenzi wake na tayari wana mtoto mmoja so wakikutana kwenye chumba kwenye hoteli ya kifahari huko Kampala, Uganda unajua nini kitatokea sio?

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ZIARA YA LOWASSA NCHI NZIMA YAOTA MBAWA GHAFLA..CHADEMA WATOA UFAFANUZI

Siku moja baada ya kuahirishwa ziara ya aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, chama ... thumbnail 1 summary
Siku moja baada ya kuahirishwa ziara ya aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, chama hicho kimesema hakilitambui zuio la kufanya maandamano na mikutano ya kisiasa lililowahi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TAZAMA PICHA ZIKIONYESHA UNYAMA UNAOFANYIKA NCHINI BURUNDI,WATU WANAUWANA KAMA WANYAMA VILE

Umoja wa Afrika(AU) umeahidi kuhakikisha mauaji ya kimbari hayatokei Burundi. Wasema kuna uwezekano wa vita ya wenyewe kwa wenyewe. thumbnail 1 summary
Umoja wa Afrika(AU) umeahidi kuhakikisha mauaji ya kimbari hayatokei Burundi. Wasema kuna uwezekano wa vita ya wenyewe kwa wenyewe.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MAGUFULI AIPONGEZA TRA KWA KUKUSANYA TRILIONI 1.3 NDANI YA MWEZI MMOJA

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato i... thumbnail 1 summary

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DIAMOND NA KAJALA NDANI YA SKENDO NZITO, YADAIWA WANATOKA KIMAPENZI,PICHA HIZI HAPA

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigiz... thumbnail 1 summary

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

NILIBAKWA NA MAJAMBAZI WALIOTUVAMIA NYUMBANI USIKU ....NIMEPATA UJAUZITO MSAADA TAFADHALI

Jamani naomba mnisaidie, nitumie dawa gani ili niweze kutoa ujauzito wa mwezi mmoja na wiki. Nimefikia uamuzi huo baada ya kukugundua. Ni... thumbnail 1 summary
Jamani naomba mnisaidie, nitumie dawa gani ili niweze kutoa ujauzito wa mwezi mmoja na wiki. Nimefikia uamuzi huo baada ya kukugundua. Ninaujauzito na siko tayari kuzaa na mtu nisiye mjua.iko hivi, ni mwezi sasa umepita

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 16, 2015

Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond Platnumz….(+Picha)

Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao ... thumbnail 1 summary
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)

Dj Arch  Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapo Afrika Kusini  kipaji chake kinawashangasha watu  w... thumbnail 1 summary
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapoAfrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu  wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Licha ya kuhusishwa kuwa hawapatani, Rafael Benitez kamuomba Cristiano Ronaldo afanye hivi …

Barani Ulaya kwa sasa kwa upande wa vilabu ambavyo makocha wake wanatajwa kwa katika wakati mgumu na wanahusishwa kufukuzwa ni Jose Mouri... thumbnail 1 summary
Barani Ulaya kwa sasa kwa upande wa vilabu ambavyo makocha wake wanatajwa kwa katika wakati mgumu na wanahusishwa kufukuzwa ni Jose Mourinho wa klabu yaChelsea, ambaye timu yake imekuwa ikifanya vibaya msimu huu,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

v

Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor yaUturuki Samuel Eto’o bado yupo katika kikosi hicho na a... thumbnail 1 summary

Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor yaUturuki Samuel Eto’o bado yupo katika kikosi hicho na anapewa nafasi kubwa. Stori zilizotoka December 15 zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

List ya wachezaji soka wanne wenye majina yenye maana za kustaajabisha …

Nimekutana na hii mtu wangu list ya wachezaji soka ambao majina yao yana maana tofauti na yanachekesha sana ukiyasoma. Wakati mwingine ... thumbnail 1 summary

Nimekutana na hii mtu wangu list ya wachezaji soka ambao majina yao yana maana tofauti na yanachekesha sana ukiyasoma. Wakati mwingine kama unaweza kumuita mchezaji mbele za watu wasio mfahamu wanaweza kujua una maana tofauti,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TAMKO LA CHADEMA KULAANI MBUNGE WAO SAID KUBENEA KUKAMATWA KWA AMRI YA MKUU WA WILAYA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kama ambavyo imeripotiwa kwenye vyombo vya habari na njia zingine za upashanaji habari tangu jana ... thumbnail 1 summary



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ambavyo imeripotiwa kwenye vyombo vya habari na njia zingine za upashanaji habari tangu jana kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA, Ndugu Saed Kubenea aliwekwa chini ya ulinzi na kuamriwa kwenda kituo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WANNE WAKATAA UWAZIRI WA MAGUFULI WAKIHOFIA KUSHINDWA KUENDANA NA KASI YAKE

WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa... thumbnail 1 summary


WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 13, 2015

KWA WAKUBWA TUU 18+:USIACHE KUSOMA HII:VIGEZO 10 VYA KUMPATA MUME/MKE /MCHUMBA MWENYE MAPENZI YA KWELI.....

Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida... thumbnail 1 summary
Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ujumbe wa Mario Balotelli kuhusu Euro 2016 unaoshangaza wengi !!!

Kuelekea michuano ya  Euro 2016  mshambuliaji wa  Liverpool  aliyepo kwa mkopo katika klabu ya  AC Milan  ya  Italia   Mario Balote... thumbnail 1 summary
Kuelekea michuano ya Euro 2016 mshambuliaji wa Liverpool aliyepo kwa mkopo katika klabu ya AC Milan ya Italia Mario Balotelli, ameingia katika headlines baada ya kuandika ujumbe ambao hadi sasa unashindwa kueleweka kuwa staa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nimekutana na hii, Lionel Messi ametwaa mataji mengi kuliko klabu ya Chelsea ambayo ina miaka 110 …

Hii inaweza ikawa sababu nyingine ya mshambuliaji wa kimataifa wa Argentinaanayekipiga katika klabu ya FC Barcelona Lionel Messi kutajwa ... thumbnail 1 summary
Hii inaweza ikawa sababu nyingine ya mshambuliaji wa kimataifa wa Argentinaanayekipiga katika klabu ya FC Barcelona Lionel Messi kutajwa katika list ya mchezaji bora wa muda wote kama ambavyo Diego Maradona na Pele wanatajwa, nimekutana na hii mtandaoni mtu wangu nikaona ni bora nikusogezee.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hali mbaya Man United yakubali kipigo kwa Bournemouth, Cheki matokeo ya EPL Dec 12 (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu  Uingereza  imeendelea tena leo December 12 kwa mechi takribani sita kupigwa katika ardhi ya Malkia  Elizabeth , miongoni ... thumbnail 1 summary
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 12 kwa mechi takribani sita kupigwa katika ardhi ya Malkia Elizabeth, miongoni mwa michezo iliyochezwa Jumamosi ya December 12 ni AFC Bournemouth dhidi ya klabu ya Manchester

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

FC Barcelona yalazimishwa sare katika uwanja wake wa nyumbani Nou Camp (+Pichaz&Video)

Mechi za Ligi Kuu Hispania ziliendelea kama kawaida jumamosi ya December 12 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali nchini... thumbnail 1 summary

Mechi za Ligi Kuu Hispania ziliendelea kama kawaida jumamosi ya December 12 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, klabu ya FC Barcelonaambao ndio timu inayoongoza msimamo wa Ligi, ilikuwa mwenyeji wa klabu ya Deportivo La Coruna katika uwanja

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Huku Ajib kule Bocco dakika 90 ya kuzitafuta point tatu kwa Azam FC na Simba, Cheki matokeo ya VPL Dec 12 (+Pichaz)

Baada ya mashabiki wa Ligi Kuu soka Tanzania bara kukosa burudani hiyo kwa wiki kadhaa kutokana na kusimama kwa Ligi ili kupisha maanda... thumbnail 1 summary

Baada ya mashabiki wa Ligi Kuu soka Tanzania bara kukosa burudani hiyo kwa wiki kadhaa kutokana na kusimama kwa Ligi ili kupisha maandalizi ya timu ya taifa yaTanzania Taifa Stars, kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 12, 2015

PICHA 9 ZA WAZIRI KITWANGA ALIVYOKARIBISHWA WIZARA YA MAMBO YA NDANI BAADA YA KUAPISHWA LEO DEC 12

December 10 2015 Rais John Pombe Magufuli alitangaza baraza lake la Mawaziri katika awamu yake ya uongozi Ikulu Dar ingawa halikukamilik... thumbnail 1 summary
December 10 2015 Rais John Pombe Magufuli alitangaza baraza lake la Mawaziri katika awamu yake ya uongozi Ikulu Dar ingawa halikukamilika, Leo Dec 12 shughuli ya uapishwaji ilifanyika.
Hapa ninazo picha kutokea Wizara ya Wambo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MAGUFULI AMWAGA MABILIONI YA BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU,SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU

Shilingi billion 473 zimetengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini kwa mwaka huu ikilinganishwa na Shilingi b... thumbnail 1 summary
Shilingi billion 473 zimetengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini kwa mwaka huu ikilinganishwa na Shilingi bilioni 341 zilizotolewa mwaka jana ikiwa ni ongezeko la Tsh. bilioni 132 katika bajeti ya mwaka huu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PROFESA LIPUMBA,LISSU WAPINGA UTEUZI WA MUHONGO NA MWAKYEMBE

Saa chache baada ya rais Magufuli kutangaza baraza lake la Mawaziri ambalo limekuwa baraza dogo kama alivyoahidi, aliyekuwa mwenyekiti wa C... thumbnail 1 summary
Saa chache baada ya rais Magufuli kutangaza baraza lake la Mawaziri ambalo limekuwa baraza dogo kama alivyoahidi, aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu wamekosoa uteuzi wa Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Harison Mwakyembe.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 11, 2015

Achana na headlines za Ronaldo kuvunja rekodi yake ya UEFA, hizi ndio rekodi zake 10 za soka zinazo sisimua …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid yaHispania Cristiano Ronaldo, usiku wa December 8 katika mch... thumbnail 1 summary

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid yaHispania Cristiano Ronaldo, usiku wa December 8 katika mchezo dhidi ya Malmoe FFwa kuhitimisha mechi za Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya alivunja rekodi yake mwenyewe aliyoiweka msimu uliyopita,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Cheki TBT Pichaz za utoto za mastaa wa soka Maradona, Pele, Pato na Peter Cech …

Kama ilivyo ada mtu wangu imekuwa ni kawaida kwa watu mbalimbali kupost picha zao kwenye mitandao ya kijamii kama kumbukumbu ya kule wa... thumbnail 1 summary

Kama ilivyo ada mtu wangu imekuwa ni kawaida kwa watu mbalimbali kupost picha zao kwenye mitandao ya kijamii kama kumbukumbu ya kule walipotokea. Alhamisi imekuwa kama siku maalum ya kuweka hizo picha mitandaoni

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

CUF WAZUNGUMZA TAARIFA ZA KUFARIKI MAALIM SEIF,WATOA MSIMAMO WAO KUHUSU UCHAGUZI ZANZIBAR

Chama cha Wananchi (CUF) kimekanusha vikali taarifa zilizosambazwa na watu ambao hawajajulikana kwenye mitandao ya kijamii kuwa Katibu Mk... thumbnail 1 summary
Chama cha Wananchi (CUF) kimekanusha vikali taarifa zilizosambazwa na watu ambao hawajajulikana kwenye mitandao ya kijamii kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

HABARI YA MJINI:RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI 18

Ndugu waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla, ninawasalimu sana. Nawakaribisha katika kikao hiki cha kutangaza baraza la mawaziri.  thumbnail 1 summary
Ndugu waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla, ninawasalimu sana. Nawakaribisha katika kikao hiki cha kutangaza baraza la mawaziri. 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

December 10, 2015

DUU!! MWANAMITINDO KATIMIZA AHADI YAKE YA KUVUA NGUO BAADA YA PALMEIRAS KUTWAA UBINGWA …(+PICHAZ)

Headlines za Brazil kufanya vizuri katika soka zimekuwa kawaida sana ila siku hizi hii ni mpya kutoka kwa mashabiki wao, inashang... thumbnail 1 summary



Headlines za Brazil kufanya vizuri katika soka zimekuwa kawaida sana ila siku hizi hii ni mpya kutoka kwa mashabiki wao, inashangaza kidogo, tumewahi kusikia Mrisho Ngassaakiahidi kama

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: