DIVA wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameziomba mamlaka zinazosimamia maadili ya filamu nchini ziwaruhusu wasanii waigize nusu
May 08, 2014
NYOTA YA DIAMOND YAZIDI KUNG'AA AFRICA , SASA AWASAMBARATISHA WASANII WA AFRICA KWENYE NOMINATION ZA KORA
NYOTA YA DIAMOND YAZIDI KUNG'AA AFRICA , SASA AWASAMBARATISHA WASANII WA AFRICA KWENYE NOMINATION ZA KORA
Pamoja na kwamba tuzo za Kora hazina tena ‘kiki’ kama zamani, Diamond Platnumz ameendelea kuwagalaza wasanii wa Afrika kwakuwa jina lake 13:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA KUTESA SANA KWA STAILI YA NGOLOLO, SASA NI ZAMU YA "PROKOTO"..WIMBO MPYA WA VICTORIA KIMANI AKIWASHIRIKISHA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ..
BAADA YA KUTESA SANA KWA STAILI YA NGOLOLO, SASA NI ZAMU YA "PROKOTO"..WIMBO MPYA WA VICTORIA KIMANI AKIWASHIRIKISHA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ..
Mwimbaji wa label ya Chocolate City , Victoria Kimani amewashirikisha Ommy Dimpoz na Diamond kwenye wimbo wake anaotarajia kuuachia May... 13:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PESA NDO KILA KITU: TAZAMA ANAPOLALA AGNES MASOGANGE NCHINI AFRIKA YA KUSINI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHEKA ONGEZA SIKU ZA KUISHI: TAZAMA VIDEO KALI YA KUCHEKESHA.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
INASIKITISHA SANA: ANGALIA PICHA MWANAMKE AJIFUNGULIA KWENYE BESENI.....!!!
INASIKITISHA SANA: ANGALIA PICHA MWANAMKE AJIFUNGULIA KWENYE BESENI.....!!!
Hadija Mohammed, anayetuhumia kukitupa kichanga baada ya kuzaliwa. MWANAMKE ALIYEJULIKANA KWA JINA LA HADIJA MOHAMMED, MKAZI WA MCHI... 11:33
Hadija Mohammed, anayetuhumia kukitupa kichanga baada ya kuzaliwa.
MWANAMKE ALIYEJULIKANA KWA JINA LA HADIJA MOHAMMED, MKAZI WA MCHIKICHINI, ILALA JIJINI DAR
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA RAY C :DR.CHENI NAE AAMBUKIZWA UGONJWA HATARI UNAOSAMBAA KWA KASI JIJINI DAR "HOMA YA DENGUE"..
BAADA YA RAY C :DR.CHENI NAE AAMBUKIZWA UGONJWA HATARI UNAOSAMBAA KWA KASI JIJINI DAR "HOMA YA DENGUE"..
sanii wa filamu nchini, Dr Cheni amelezwa toka jana katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam kutokana na ugonjwa wa Dengue. 11:18sanii wa filamu nchini, Dr Cheni amelezwa toka jana katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam kutokana na ugonjwa wa Dengue.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAULI ZA WASANII MBALIMBALI JUU YA UGOMVI WA WEMA NA KAJALA...
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NAOMBA USHAURI:: ALINITAKA NITOE MIMBA SIKUTOA, SASA ANAMTAKA MTOTO
NAOMBA USHAURI:: ALINITAKA NITOE MIMBA SIKUTOA, SASA ANAMTAKA MTOTO
Mimi ni msichana wa miaka 24, mwaka juzi nilipata ujauzito kutoka kwa aliyekuwa boyfriend wangu,ambaye nilikaa nae miezi 6. Lak i ni ... 08:46SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANAJESHI APEWA KICHAPO KIKALI NA ASKARI WA USALAMA! ONA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PENNY AANZA KUKICHOKOACHOKOA TENA, TAZAMA PICHA AKIWA NA DADA YAKE DIAMOND!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!
SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!
Aunt Ezekiel. BAADA ya wiki iliyopita kumaliza mahojiano na Miss Tanzania 2006 aliye pia mwigizaji wa sinema za Bongo, Wema Isaac S... 08:17
Aunt Ezekiel.
BAADA ya wiki iliyopita kumaliza mahojiano na Miss Tanzania 2006 aliye pia mwigizaji wa sinema za Bongo, Wema Isaac Sepetu, wiki hii tunaye supastaa mwingine.Anaitwa Aunt Ezekiel Grayson, si jina geni kwa wadau mbalimbali wa burudani nchini. Ni mrembo ambaye amepata jina kubwa kupitia sanaa yake ya uigizaji wa filamu aliyoianza miaka saba iliyopita.
Msanii huyo ambaye ni mtoto wa damu wa aliyekuwa mchezaji mahiri wa Simba Sports Club ‘Wekundu wa Msimbazi’ marehemu Ezekiel Grayson.
Aunt Ezekiel amepitia maisha magumu sana kabla
ya kufika alipo leo. Ili kujua maisha yake halisi ungana na mimi, Imelda Mtema.
Mwandishi: Mambo Aunt? Natumaini uko mzima. Mimi ningependa kujua zaidi historia ya maisha yako kuanzia ulikotokea hadi ulipo sasa.
Aunt: Duu! Sawasawa! Mimi nimezaliwa mwaka 1988 hapahapa jijini Dar es Salaam. Ni mtoto wa pili kwa mama yangu mzazi kwa sababu kwa baba nina ndugu zangu wengine.
Mwandishi: Kwa hiyo una maanisha kabla ya baba yako kuwa na mama yako alikuwa na mwanamke mwingine?
Aunt: Ndiyo.
Mwandishi: Wakati huo ulikuwa ukiishi hapa Dar es Salaam sehemu gani?
Aunt: Nilikuwa nikiishi Ilala na nilipata elimu yangu ya msingi katika Shule ya Msingi Bunge mwaka 1995 mpaka 1998, nikaenda kumalizia Kisarawe, Pwani.
Mwandishi: Kwa nini ulikwenda kumalizia huko? Ilikuwa bording (shule ya bweni)?
Aunt: Hapana, baba yangu alipata matatizo akapelekwa jela hivyo kukawa hakuna mtu wa kunilipia ada pale Shule ya Bunge, hivyo wakanipeleka kule kwa babu na bibi yangu.
Mwandishi: Mama yako alikuwa wapi kipindi hicho?
Aunt: Mama yangu alifariki dunia mwaka 1995, hivyo nilibaki na baba na ndugu zangu wengine.
Mwandishi: Sasa hukuona kama kuna tofauti wakati ulikuwa umeshazoea maisha ya mjini?
Aunt: Tofauti ilikuwepo kubwa sana lakini ilibidi nizoee niweze kusoma tu maana sikuwa na jinsi.
Mwandishi: Ilikuwaje baada ya kumaliza shule, uliendelea kuishi Kisarawe?
Aunt: Yaani maisha yalizidi kuwa magumu sana, niliendelea kukaa huko lakini baadaye ilibidi nitoroke.
Mwandishi: Kwa nini ulitoroka, ulikuwa ukiteswa?
Aunt: Hapana, nilipomaliza tu shule kuna mwanaume alikuja kwa babu akasema anataka kunioa.
“Sikuwa tayari kabisa lakini kwa vile alikuwa na pesa ndugu zangu waliona bora niolewe naye kwa kuwa hawakuwa na uwezo wa kunisomesha tena.
“Ilibidi nitoroke, nikaja Gongo la Mboto (Dar es Salaam). Kuna sehemu inaitwa Mazizini.
“Nilisema nije nitafute kazi yoyote ile, popote pale ili niweze kujinusuru na kuolewa nikiwa katika umri mdogo.
Aunt Ezekiel ametoroka nyumbani Kisarawe na kukimbilia Dar kutafuta kazi.
Je, ilikuwaje? Usikose wiki ijayo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAHA AUMBUKA..
BABY MADAHA AUMBUKA..
Baby Joseph Madaha ambaye aliwahi kutangaza kuacha fani ya maigizo na muziki amejikuta akiumbuka kwa mashabiki wake kutokana na kuendel... 08:16
Baby Joseph Madaha ambaye aliwahi kutangaza kuacha fani ya maigizo na muziki amejikuta akiumbuka kwa mashabiki wake kutokana na kuendelea
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SNURA MUSH AINGILIA UGOMVI WA WEMA NA KAJALA...
SNURA MUSH AINGILIA UGOMVI WA WEMA NA KAJALA...
Snura Mushi ameingilia kati ugomvi wa wasanii wenzake, Wema Sepetu na Kajala Masanja na kuwaagiza wamalize tofauti zao. 08:14
Snura Mushi ameingilia kati ugomvi wa wasanii wenzake, Wema Sepetu na Kajala Masanja na kuwaagiza wamalize tofauti zao.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)