Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na magazine maarufu ya burudani ya VIBE.
December 16, 2016
KIUKWELI KABISA HUU NDIO UTHIBITISHO WA KWANINI WADADA HAWAPENDI KUVAA CHUPI...HEBU JIONEE MWENYEWE HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SABABU 5 ZINAZOSABABISHA UUME KUWA MDOGO...SOMA HAPA UJIJUE
SABABU 5 ZINAZOSABABISHA UUME KUWA MDOGO...SOMA HAPA UJIJUE
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida...Wanaume walio na ... 20:03
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida...Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katikamahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho..
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SEHEMU ZIFUATAZO NDIZO ZENYE HISIA KALI ZAIDI KWENYE MWILI WA MWANAMKE
SEHEMU ZIFUATAZO NDIZO ZENYE HISIA KALI ZAIDI KWENYE MWILI WA MWANAMKE
Tendo la ndoa ni sanaa, na sanaa ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyo katika fikra za mwanadamu. Hivyo basi kwa kuwa tendo la ndoa ni ... 19:56
Tendo la ndoa ni sanaa, na sanaa ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyo katika fikra za mwanadamu. Hivyo basi kwa kuwa tendo la ndoa ni sanaa inatakiwa ufundi na ubunifu ili
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Trailer: Jay Z akamilisha filamu yake ya kijana aliyejiua akiwa na miaka 22
Trailer: Jay Z akamilisha filamu yake ya kijana aliyejiua akiwa na miaka 22
Rapper Jay Z amekamilisha stori ya filamu yake fupi ya kijana aliyejipiga risasi itakayoanza kuruka kwenye runinga kuanzia mwakani. 19:18
Rapper Jay Z amekamilisha stori ya filamu yake fupi ya kijana aliyejipiga risasi itakayoanza kuruka kwenye runinga kuanzia mwakani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video: Chris Brown Ft Usher & Gucci Mane – Party
Video: Chris Brown Ft Usher & Gucci Mane – Party
Msanii Chris Brown katoa video mpya ya wimbo “Party” akiwa amewashirikisha Usher na Gucci Mane, 19:17SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kampuni ya Facebook yaanzisha mbinu mpya kukabiliana na akaunti feki
Kampuni ya Facebook yaanzisha mbinu mpya kukabiliana na akaunti feki
Kampuni ya mtandao wa Facebook imesema kuwa wameanzisha upelelezi ili kubaini akaunti feki zilizoanzishwa na watumiaji kupitia mtand... 17:35
Kampuni ya mtandao wa Facebook imesema kuwa wameanzisha upelelezi ili kubaini akaunti feki zilizoanzishwa na watumiaji kupitia mtandao huo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Navy Kenzo waonesha nyimbo zilizomo kwenye album yao AIM
Navy Kenzo waonesha nyimbo zilizomo kwenye album yao AIM
Kundi la Navy Kenzo limeonesha kwa mara ya kwanza nyimbo zitakazopatikana kwenye album yao, Above In A Minute (AIM). 16:43
Kundi la Navy Kenzo limeonesha kwa mara ya kwanza nyimbo zitakazopatikana kwenye album yao, Above In A Minute (AIM).
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
The Weeknd atanua kwenye chati za Billboard
The Weeknd atanua kwenye chati za Billboard
The Weeknd ameendelea kufanya vizuri kwenye chati za Billboard. Muimbaji huyo amejiwekea rekodi yake ya kuwa msanii wa tano k... 16:39
The Weeknd ameendelea kufanya vizuri kwenye chati za Billboard.
Muimbaji huyo amejiwekea rekodi yake ya kuwa msanii wa tano kukaa kwa muda mrefu kwenye chati za Billboard Hot 100 akiwa amekaa kwa kwa wiki 10 mpaka sasa huku albamu ake mpya ya ‘Star Boy’ ikishika nafasi ya pili kwenye chati za Billboard Top 200.
Wasanii wengine waliowahi kukaa kwenye chati hizo kwa muda mrefu ni pamoja na Taylor Swift (31), Drake (23), Justin Bieber (11) na Adele (10).
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Bosi wa Jamii Forums asomewa mashikata matatu, arudishwa rumande
Bosi wa Jamii Forums asomewa mashikata matatu, arudishwa rumande
Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, kampuni inayomiliki mtandao maarufu, Jamii Forums, Maxence Melo ameshtakiwa kwa Makosa 3 likiwemo la... 16:38
Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, kampuni inayomiliki mtandao maarufu, Jamii Forums, Maxence Melo ameshtakiwa kwa Makosa 3 likiwemo la kuendesha na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lady Jaydee na Spicy wathibitisha kuwa wapenzi, waeleza walivyokutana (Exclusive Video)
Lady Jaydee na Spicy wathibitisha kuwa wapenzi, waeleza walivyokutana (Exclusive Video)
Lady Jaydee na Spicy wamethibisha rasmi kuwa ni wapenzi. Kwenye mahojiano na Bongo5, wawili hao wamedai kuwa wamekuwa pamoja kwa zaidi... 16:36
Lady Jaydee na Spicy wamethibisha rasmi kuwa ni wapenzi. Kwenye mahojiano na Bongo5, wawili hao wamedai kuwa wamekuwa pamoja kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Prince Harry na mpenzi wake Meghan Markle waonekana pamoja kwa mara ya kwanza
Prince Harry na mpenzi wake Meghan Markle waonekana pamoja kwa mara ya kwanza
Maisha ya uhusiano ya Prince Harry wa Uingereza yamekuwa yakifuatiliwa kwa muda sasa huku akidaiwa kuwa na uhusiano na muigizaji 16:33
Maisha ya uhusiano ya Prince Harry wa Uingereza yamekuwa yakifuatiliwa kwa muda sasa huku akidaiwa kuwa na uhusiano na muigizaji
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mwasiti aachia wimbo mpya ‘Kaa Nao’ exclusively Mkitoni
Mwasiti aachia wimbo mpya ‘Kaa Nao’ exclusively Mkitoni
Moja kati ya wanamuziki wakali na wakongwe wa kike Tanzania Mwasiti ametoa wimbo wake mpya – KAA NAO ambao umeandaliwa na mtayar... 13:04Moja kati ya wanamuziki wakali na wakongwe wa kike Tanzania Mwasiti ametoa wimbo wake mpya – KAA NAO ambao umeandaliwa na mtayarishaji wa muziki mahiri nchini maarufu kama EMATHE BOY na unaweza kuupakua hapa;
Mwasiti akizungumzia ujio wake mpya amesema, “najua mashabiki wangu wamenisubiri kwa muda mrefu sana ila kwa sasa hawatosubiri tena kuanzia sasa nitatoa nyimbo baada ya nyimbo hivyo nawaomba wakae mkao wa kula na kutoa support kama ambavyo wamekuwa wakinipa muda wote.”
KAA NAO – Ni wimbo ambao unamzungumzia mtu ambaye yuko kwenye mahusiano lakini mpenzi wake hathamini mapenzi yake kiasi kwamba ina mfanya amwambie ‘Kama mapenzi yangu kwako ni adhabu moyo kaa nao.’
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Walimu wa masomo ya Sayansi wapewa mtego
Walimu wa masomo ya Sayansi wapewa mtego
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amesema 13:00
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amesema
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rais Magufuli amwapisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango
Rais Magufuli amwapisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemwapish 12:58
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemwapish
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mabalozi wa Brazil na Kenya nchini waipongeza serikali kuifufua ATCL
Mabalozi wa Brazil na Kenya nchini waipongeza serikali kuifufua ATCL
Mabalozi wa Brazil na Kenya nchini wameipongeza serikali ya Tanzania kwa mipango na mikakati yake ya 12:55
Mabalozi wa Brazil na Kenya nchini wameipongeza serikali ya Tanzania kwa mipango na mikakati yake ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video: Mr Nay – Sijiwezi
Video: Mr Nay – Sijiwezi
Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego, ameachia video mpya ya single yake ambayo inaitwa ‘Sijiwezi’. Video imeongozwa na Hanscana. 12:51
Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego, ameachia video mpya ya single yake ambayo inaitwa ‘Sijiwezi’. Video imeongozwa na Hanscana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Cpwaa aifufua lebo yake ya muziki
Cpwaa aifufua lebo yake ya muziki
Baada ya kimya cha muda mrefu, Cpwaa ameifufua lebo yake ya muziki, Brainstorm Music. Rapper huyo aliiambia 255 kupitia kipindi... 12:49
Baada ya kimya cha muda mrefu, Cpwaa ameifufua lebo yake ya muziki, Brainstorm Music.
Rapper huyo aliiambia 255 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa bado lebo yake inawasimamia Wadananda.
“Tayari nimeshasaini Wadananda, bado kuna vijana wengi wanahitaji msaada, Mungu atusaidie tupate pesa tuweze kuwasaidia. Sometimes sio pesa tu hata muongozo unatosha kwahiyo Mungu aendelee kutupa hekima na busara. Kwa hiyo I ‘ll sign more artist na kuna wengi ambao mpaka sasa hivi sitaki kuwataja majina lakini mchango wangu upo mkubwa,” amesema.
“Walipokwama wanahitaji connections mimi nimewasaidia, wanahitaji media connection nimewasaidia, wanahitaji ideas nimesaidia, yaani vitu vingi kwahiyo bado ni kitu ambacho nitaendela kukifanya mpaka siku naingia kaburini,” ameongeza.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rapper huyu mwenye collabo na Diamond asaini na Roc Nation
Rapper huyu mwenye collabo na Diamond asaini na Roc Nation
Jay Z amevua samaki mkubwa kumjumuisha kwenye kapu la Roc Nation. Ni rapper Yo Gotti. 12:46
Jay Z amevua samaki mkubwa kumjumuisha kwenye kapu la Roc Nation. Ni rapper Yo Gotti.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tunda Man ataja sababu ya kutoelewana na Babutale
Tunda Man ataja sababu ya kutoelewana na Babutale
Tunda Man amefunguka sababu ilinayomfanya asielewane na bosi wake wa Tip Top Connection, Babutale. 12:44
Tunda Man amefunguka sababu ilinayomfanya asielewane na bosi wake wa Tip Top Connection, Babutale.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Yvonne Chaka Chaka azungumzia collabo yake na Alikiba
Yvonne Chaka Chaka azungumzia collabo yake na Alikiba
Alhamis hii niliandika kwa kina kuhusu collabo ya Alikiba na mwanamuziki mkongwe wa nchini Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka. 12:41
Alhamis hii niliandika kwa kina kuhusu collabo ya Alikiba na mwanamuziki mkongwe wa nchini Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wasanii wanaosema sifanyi hip hop hawaniwezi jukwaani – Nay wa Mitego
Wasanii wanaosema sifanyi hip hop hawaniwezi jukwaani – Nay wa Mitego
Jamii ya hip hop nchini Tanzania imegawanyika katika matababa mawili. La kwanza ni la wale wanaosema wanazingatia misingi ya hip hop na wa... 12:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Suarez hatimaye amekubali kujitia kitanzi Barcelona
Suarez hatimaye amekubali kujitia kitanzi Barcelona
Mchezaji wa klabu ya Barcelona Luis Suarez hatimaye amekubali kusaini mkataba mpya na vigogo hao wa soka nchini Uhispania utakaoafikia th... 09:52
Mchezaji wa klabu ya Barcelona Luis Suarez hatimaye amekubali kusaini mkataba mpya na vigogo hao wa soka nchini Uhispania utakaoafikia thamani ya Euro milioni 167 ikijumuisha kipengele cha kumuuza kwa timu itakayomuhitaji.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Yvonne Chaka Chaka azungumzia collabo yake na Alikiba
Yvonne Chaka Chaka azungumzia collabo yake na Alikiba
Wimbo huo ambao tayari unasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa muziki Afrika hususan wa Alikiba, ulirekodiwa jijini Johannesburg. Al... 09:51
Wimbo huo ambao tayari unasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa muziki Afrika hususan wa Alikiba, ulirekodiwa jijini Johannesburg. Alikiba tayari ameshaelezea hisia zake baada ya kufanya kazi na muimbaji huyo na kueleza kuwa ni heshima kubwa kwake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha10: Nyumba aliyowahi kuishi Nelson Mandela kabla na baada ya kutoka jela Afrika Kusini
Picha10: Nyumba aliyowahi kuishi Nelson Mandela kabla na baada ya kutoka jela Afrika Kusini
December 05, 2013, zilitoka taarifa za msiba wa hayati Nelson Mandela Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini na mwili wake ulizikwa t... 07:07
December 05, 2013, zilitoka taarifa za msiba wa hayati Nelson Mandela Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini na mwili wake ulizikwa tarehe kama ya leo December 15 katika kijiji cha Qunu mkoa wa Eastern Cape Afrika Kusini.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: Aliyetobolewa macho alivyofika mahakamani kutoa ushahidi kesi ya Scorpion
VIDEO: Aliyetobolewa macho alivyofika mahakamani kutoa ushahidi kesi ya Scorpion
Leo December 14 2016 Kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kujeruhi inayomkabili Salum Njwete ‘Scorpion’ imeendelea katika mahakama ya w... 06:53SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: Wanachama CUF walivyopigana nje ya Mahakama kuu na Kuumizana
VIDEO: Wanachama CUF walivyopigana nje ya Mahakama kuu na Kuumizana
December 14 2016 mahakama kuu ya Tanzania imesikiliza kesi iliyofunguliwa na Bodi ya wadhamini CUF dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (A... 06:52SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tevez: Atoa neno kwa wanao mzushia amestaafu soka
Tevez: Atoa neno kwa wanao mzushia amestaafu soka
Mchezaji wa zamani wa wavilabu vya Manchester City na Manchester United, Carlos Tevez ambaye saivi ana miaka 32 amefungukia kuhusu uzushi a... 06:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nay wa Mitego ampa tano Young Dee
Nay wa Mitego ampa tano Young Dee
Rapper Nay wa Mitego amedai kuwa amefurahishwa na kitendo cha Young Dee kumkubali mtoto wake Tamar. Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha C... 06:39
Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM Alhamisi hii, Nay
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jokate atumia Snapchat kueleza kwa mafumbo anavyoumizwa na ampendaye!!
Jokate atumia Snapchat kueleza kwa mafumbo anavyoumizwa na ampendaye!!
Huenda mwanaume ambaye Jokate Mwegelo anampenda kwa dhati ameshindwa kutambua thamani yake kiasi cha kumpa kidonda cha moyo anachokiuguza... 06:38
Huenda mwanaume ambaye Jokate Mwegelo anampenda kwa dhati ameshindwa kutambua thamani yake kiasi cha kumpa kidonda cha moyo anachokiuguza sasa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Chuchu Hansy: Muda ukifika watu watajua kama nina mimba au sina
Chuchu Hansy: Muda ukifika watu watajua kama nina mimba au sina
Muigizaji wa kike filamu Bongo, Chuchu Hansy amefunguka sababu ya kuficha ujauzito wake. Chuchu ameiambia EATV kuwa ameamua kufanya hivyo... 06:37
Chuchu ameiambia EATV kuwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa hivyo huwa ni vitu vya mtu binafsi ila muda ukifika kila kitu kitakuwa wazi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Akaunti ya Insta ya mtoto wa pili wa Diamond ‘Prince Nillan’ yafikisha followers 56,756
Akaunti ya Insta ya mtoto wa pili wa Diamond ‘Prince Nillan’ yafikisha followers 56,756
Mtoto wa pili wa Diamond Platnumz, Prince Nillan ameendelea kuwa maarufu katika mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kufikisha follower... 06:37
Mtoto wa pili wa Diamond Platnumz, Prince Nillan ameendelea kuwa maarufu katika mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kufikisha followers 56,756 ikiwa ni siku 10 toka mtoto huyo atambulishwe kwenye mtandao huo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Bow Wow aingia kwenye bifu zito na Dj Funkmaster
Bow Wow aingia kwenye bifu zito na Dj Funkmaster
Rapper Bow Wow ameingia kwenye bifu zito na Dj maarufu wa New York, Funkmaster Flex. Bifu hilo limeibuka baada ya Dj huyo kumdiss Bow W... 06:36
Rapper Bow Wow ameingia kwenye bifu zito na Dj maarufu wa New York, Funkmaster Flex.
Bifu hilo limeibuka baada ya Dj huyo kumdiss Bow Wow kwenye mtandao wake wa Twitter kwa kumtaja kuwa ni msanii ambaye hajielewi na hafanyi vizuri kutokana
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Pogba achukizwa na maneno ya uzushi juu yake
Pogba achukizwa na maneno ya uzushi juu yake
Mchezaji wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amekerwa sana kwa taarifa ambazo yeye anadai kuwa ni za upotoshaji ambazo zinaelezea j... 06:36
Mchezaji wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amekerwa sana kwa taarifa ambazo yeye anadai kuwa ni za upotoshaji ambazo zinaelezea juu ya tabia yake kipindi akiwa na Juventus kabla ya kwenda United.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mabadiliko yaleta faraja bandari ya Dar
Mabadiliko yaleta faraja bandari ya Dar
Mabadiliko yaliyofanywa katika bandari ya Dar es salaam yamewezesha mzigo kuongezeka katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita ukilingani... 06:35
Mabadiliko yaliyofanywa katika bandari ya Dar es salaam yamewezesha mzigo kuongezeka katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka jana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Watu 3 wahukumiwa kifungo cha miaka 73 jela kwa kosa la kuua tembo
Watu 3 wahukumiwa kifungo cha miaka 73 jela kwa kosa la kuua tembo
Watu watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 73 jela kila mmoja na mahakama ya wilaya ya Serengeti kwa kosa la kupatikana na hatia ya kuing... 06:35
Watu watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 73 jela kila mmoja na mahakama ya wilaya ya Serengeti kwa kosa la kupatikana na hatia ya kuingia kwenye hifadhi ya mbuga ya wanyama ya Serengeti na kuua tembo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mtoto wa Rais auawa kwa kupigwa risasi
Mtoto wa Rais auawa kwa kupigwa risasi
Mtoto wa kike wa Rais wa zamani nchini Msumbiji, Armando Guebuza, Valentina Guebuza ameripotiwa kupigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu ... 06:34
Mtoto wa kike wa Rais wa zamani nchini Msumbiji, Armando Guebuza, Valentina Guebuza ameripotiwa kupigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Maputo. Mumewe, Zofino Muiuane amekamatwa na polisi kufuatia tukio hilo lililofanyika Jumatano.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Joh Makini asema ndani ya mwaka 2016 anajivunia kuutangaza vizuri muziki wa hip hop kimataifa
Joh Makini asema ndani ya mwaka 2016 anajivunia kuutangaza vizuri muziki wa hip hop kimataifa
Msanii wa hip hop wa Kundi la Weusi, Joh Makini amefunguka na kuzungumzia mafanikio ya muziki wake ndani ya mwaka 2016 ambao unaenda ukingo... 06:33
Msanii wa hip hop wa Kundi la Weusi, Joh Makini amefunguka na kuzungumzia mafanikio ya muziki wake ndani ya mwaka 2016 ambao unaenda ukingoni kumalizika.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
John Legend amchana bosi wake Kanye West
John Legend amchana bosi wake Kanye West
Kitendo cha Kanye West kukutana na Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump, kimewakera watu wengi, wakiwemo watu wake wa karibu. 06:33
Kitendo cha Kanye West kukutana na Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump, kimewakera watu wengi, wakiwemo watu wake wa karibu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lowassa awataka wanachama wa Chadema kuwa na umoja
Lowassa awataka wanachama wa Chadema kuwa na umoja
Lowassa ameandika maneno hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Jambo kuu na la msingi ambalo tunatakiwa kuwa nalo kwa sasa katika c... 06:32
Lowassa ameandika maneno hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook.
“Jambo kuu na la msingi ambalo tunatakiwa kuwa nalo kwa sasa katika chama chetu ni umoja na mshikamano kati yetu. Umuhimu wa umoja na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wasanii wanaosema sifanyi hip hop hawaniwezi jukwaani – Nay wa Mitego
Wasanii wanaosema sifanyi hip hop hawaniwezi jukwaani – Nay wa Mitego
Jamii ya hip hop nchini Tanzania imegawanyika katika matababa mawili. La kwanza ni la wale wanaosema wanazingatia misingi ya hip hop na w... 06:31
Jamii ya hip hop nchini Tanzania imegawanyika katika matababa mawili. La kwanza ni la wale wanaosema wanazingatia misingi ya hip hop na wale ambao wanafanya ile wanayoiita hip hop ya biashara.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)