November 09, 2014
FAIDA YA KUNYWA MAJI MENGI KWA AFYA YA FIGO.
FAIDA YA KUNYWA MAJI MENGI KWA AFYA YA FIGO.
Wataalamu wa afya wanashauri kunywa maji mengi ili kuhakikisha walahu unatoa mkojo kiasi cha lita mbili kwa siku kwa ajili ya kuzuia ugonj... 11:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHERIA ILIYOMRUHUSU MWANAMKE KUJIUA.
SHERIA ILIYOMRUHUSU MWANAMKE KUJIUA.
Euthanasia law ni sheria iliyomruhusu Brittany Maynard mwenye umri wa miaka 29 raia wa Marekani kujiua siku ya jumamosi kw kutumia dawa ... 11:03SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UWEZO WA PILI PILI KATIKA KULINDA AFYA YA MOYO.
UWEZO WA PILI PILI KATIKA KULINDA AFYA YA MOYO.
Pili pili hutumika kama kiungo kwenye mboga na chakula katika kuongeza ladha. Mwilini pili pili husaidia kurekebisha mapigo ya moyo na ... 11:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UGONJWA MWINGINE TISHIO BAADA YA EBOLA.
UGONJWA MWINGINE TISHIO BAADA YA EBOLA.
Ugonjwa wa homa ya Lassa Afrika Magharibi unaelezwa kusahaulika kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola na Wahudumu wa afya wamesem... 11:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA MPYA ZENYE UTATA ZA DIAMOND PLATNUMZ NA ZARI THE BOSS LADY WAKIWA NDANI YA JIJI LA DAR.
PICHA MPYA ZENYE UTATA ZA DIAMOND PLATNUMZ NA ZARI THE BOSS LADY WAKIWA NDANI YA JIJI LA DAR.
Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja ku... 09:15
Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SENTENS KALI TANO WALIZOIBUKA NAZO CHASO UDSM JUU YA VURUGU ZA MDAHALO WA WARIOBA
SENTENS KALI TANO WALIZOIBUKA NAZO CHASO UDSM JUU YA VURUGU ZA MDAHALO WA WARIOBA
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kutoka chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA leo wameibuka na sentensi tano juu ya ... 09:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO WACHARAKUA,SERIKALI YAPEWA SIKU SABA KUWAPA CHAO
WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO WACHARAKUA,SERIKALI YAPEWA SIKU SABA KUWAPA CHAO
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania Mussa Leonard Mdee akizungumza na wanahabari muda mfupi ulio... 09:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
Mwimbaji wa zamani wa Twanga Pepeta, Hamis Kayumbu 'Amigolas' enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa zamani wa Bendi ya African Sta... 08:32
Mwimbaji wa zamani wa Twanga Pepeta, Hamis Kayumbu 'Amigolas' enzi za uhai wake.
MWANAMUZIKI wa zamani wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa siku kadhaa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UKIMYA WA DIVA WA CLOUDS FM WAZUA MASWALI MENGI MITAANI, JE NI KWELI KAHAMIA EFM ?
UKIMYA WA DIVA WA CLOUDS FM WAZUA MASWALI MENGI MITAANI, JE NI KWELI KAHAMIA EFM ?
Diva Loveness Love Maarafu Kama Divathebawse Ni Presenter Kipenzi cha wengi sana hapa Bongo Na Nje, Kutokana na Show yake ya Mambo 08:03Diva Loveness Love Maarafu Kama Divathebawse Ni Presenter Kipenzi cha wengi sana hapa Bongo Na Nje, Kutokana na Show yake ya Mambo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OMMY DIMPOZ AITWA MSHAMBA WA KIGOMA SOMA HAPA
OMMY DIMPOZ AITWA MSHAMBA WA KIGOMA SOMA HAPA
“WANANIITA mshamba wa Kimanyema ila poa tu!”Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema baadhi ya mashabiki wa... 08:02SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LIGI KUU ENGLAND MAN UTD YAICHAA CRYSTAL PALACE
LIGI KUU ENGLAND MAN UTD YAICHAA CRYSTAL PALACE
+20 Juan Mata strikes from the edge of the box with a shot that was deflected past Julian Speroni to give Manchester Un... 08:01
Juan Mata strikes from the edge of the box with a shot that was deflected past Julian Speroni to give Manchester United all three points
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Umesikia alichosema boss wa Facebook baada ya kuulizwa kwanini anavaa Tshirt hii moja tu kila siku?
Umesikia alichosema boss wa Facebook baada ya kuulizwa kwanini anavaa Tshirt hii moja tu kila siku?
Hapa nyumbani Tanzania nimeshawahi kusikia kuhusu matajiri wachache wanaofanya biashara ambao huwa hawabadili nguo zao au huwa kuna vitu ... 07:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Exclusive:Wema na Penny wamaliza tofauti zao
Exclusive:Wema na Penny wamaliza tofauti zao
Good news iliyonifikia usiku huu kuwa Mtangazaji wa TV Penny Mungila aka VJ Penny na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu wamemaliza tofauti... 07:58
Good news iliyonifikia usiku huu kuwa Mtangazaji wa TV Penny Mungila aka VJ Penny na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu wamemaliza tofauti zao baada ya kutoelewana takribani miezi kadhaa iliyopita.Upatanisho huo umefanywa na Junaitha ambaye aliandaa chakula cha usiku
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)