Mkali wa filamu za kihindi Bollywood nchini India, Amitabh Bachchan, amekana kuhusishwa na kampuni zozote za kigeni anazotumia kukwepa kulipa ushuru.
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye pia ni nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta kuzidi kufanya vizuri zinazidi kuongezeka kila kukicha ndani ya Ligi Kuu Ubelgiji akiichezea klabu ya KRC Genk.