December 25, 2016

PSG ya kamilisha usajili wa kiungo Julian Draxler

Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Nchini Ufaransa, imetangaza kufanya usajili wa kiungo mshambuliaji ,Julian Draxler kutoka Wolfs... thumbnail 1 summary


Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Nchini Ufaransa, imetangaza kufanya usajili wa kiungo mshambuliaji ,Julian Draxler kutoka Wolfsburg kwa m

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Presha ya Christmas: SUMATRA waruhusu daladala kusafirisha abiria Moshi na Arusha

Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA wamelazimika kuruhusu magari madogo maarufu (daladala) kwenda mikoa mba... thumbnail 1 summary


Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA wamelazimika kuruhusu magari madogo maarufu (daladala) kwenda mikoa mbalimbali ikiwemo Moshi na Arusha baada ya idadi kubwa ya abiria kukosa nafasi kwenye mabasi makubwa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mourinho: Sidhani kama Chelsea watapoteza pointi kwa jinsi wanavyo paki basi

Kocha wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho amekiri itakuwa vigumu mno kwa timu yake kushinda ubingwa wa ligi kuu msimu huu kwa s... thumbnail 1 summary

Kocha wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho amekiri itakuwa vigumu mno kwa timu yake kushinda ubingwa wa ligi kuu msimu huu kwa sababu ya tabia ya Chelsea kupaki basi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kipindi cha The Weekend Chat Show cha Clouds TV kuja kivingine, sasa kuitwa SHILAWADU

Kipindi cha The Weekend Chat Show cha Clouds TV sasa kutaitwa SHILAWADU. Mabadiliko ya kipindi hicho cha burudani yataenda sambam... thumbnail 1 summary




Kipindi cha The Weekend Chat Show cha Clouds TV sasa kutaitwa SHILAWADU. Mabadiliko ya kipindi hicho cha burudani yataenda sambamba na ujio wa Shilawadu Ubuyu Tour ambapo watangaji wa kipichi hicho, mastaa pamoja mashabiki watapata fursa y

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Video: Viva Brain Ft. Juma Nature – Nakuhitaji

Video mpya ya msanii Viva Brain wimbo unaitwa “Nakuhitaji”, amemshirikisha Juma Nature, Video imeongozwa na Pablo. thumbnail 1 summary


Video mpya ya msanii Viva Brain wimbo unaitwa “Nakuhitaji”, amemshirikisha Juma Nature, Video imeongozwa na Pablo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nahreel ni miongoni mwa maproducer watakaonibadilisha – Chemical

Chemical amefunguka jinsi alivyojisikia baada ya kufanya kazi na Nahreel. thumbnail 1 summary




Chemical amefunguka jinsi alivyojisikia baada ya kufanya kazi na Nahreel.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mapenzi yangu na Jacqueline Wolper yapo moyoni – Harmonize

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amekanusha kuachana na mpenzi wake Jacqueline Wolper baada ya hivi karibuni kuzagaa taarifa ka... thumbnail 1 summary


Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amekanusha kuachana na mpenzi wake Jacqueline Wolper baada ya hivi karibuni kuzagaa taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa wawili hao wameachana.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Bila tume huru wapinzani wasahau kuingia Ikulu – Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, vyama vya upinzani vis... thumbnail 1 summary

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, vyama vya upinzani visahau kushinda urais katika uchaguzi mkuu ujao.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Muuaji wa watu 12 mjini Berlin auawa nchini Italia

Mtu aliyehusika kwenye shambulio la lori katika soko la Christmas, Berlin na kuuawa watu 12 siku chache zilizopita ameuawa nchini Italia. thumbnail 1 summary

Mtu aliyehusika kwenye shambulio la lori katika soko la Christmas, Berlin na kuuawa watu 12 siku chache zilizopita ameuawa nchini Italia.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kwa sasa WCB tunadeal na label za wasanii hatuwezi kusaini wasanii wote – Sallam

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam aka Mendez amedai label ya WCB inaandaa mkakati wa kudeal na label mbalimbali za wasanii na sio kuen... thumbnail 1 summary

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam aka Mendez amedai label ya WCB inaandaa mkakati wa kudeal na label mbalimbali za wasanii na sio kuendelea kusaini msanii mmoja mmoja.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: