August 30, 2014

TAJIRI AFIA GESTI ARUSHA KISA NA MKASA WOTE SOMA HAPA

Tajiri mmoja aitwaye Metili amekutwa amefariki akiwa gesti ya thumbnail 1 summary
Tajiri mmoja aitwaye Metili amekutwa amefariki akiwa gesti ya

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Jikumbishe amri 10 za soka enzi zetu za utoto. Lazima ucheke! SHARE na marafiki zako

Pamoja na sheria 17 za soka za FIFA kuwepo, enzi za utoto kulikuweko na sheria za soka ambazo ndizo zilizokuwa zinatambuliwa:- thumbnail 1 summary
Pamoja na sheria 17 za soka za FIFA kuwepo, enzi za utoto kulikuweko na sheria za soka ambazo ndizo zilizokuwa zinatambuliwa:-

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hii ndiyo siku Vanessa alipofunguka, kuhusu mahusiano yake yakimapenzi.

Msanii wa kike ambaye anazidi ku-make headlines hasa kwa historia yake ya kila nyimbo pale anapoi-release lazima ifanye vizuri, maarufu ... thumbnail 1 summary
Msanii wa kike ambaye anazidi ku-make headlines hasa kwa historia yake ya kila nyimbo pale anapoi-release lazima ifanye vizuri, maarufu kama Vanessa Mdee

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA DARAJA LA GULWE MPWAPWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakwanza kushoto  akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. J... thumbnail 1 summary
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakwanza kushoto  akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, Mbunge wa Mpwapwa Mheshimiwa Gregory Teu pamoja

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA SARATANI YA MATITI KUTOKA INDIA ATOA SEMINA YA UGONJWA HUO JIJINI DAR

Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti kutoka nchini India, Profesa Anthony Pais, akitoa mafunzo kuhusu ugonjwa huo kwa madaktari ... thumbnail 1 summary
Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti kutoka nchini India, Profesa Anthony Pais, akitoa mafunzo kuhusu ugonjwa huo kwa madaktari wa kitanzania na wadau mbaliombakli wa sekta ya afya. Semina hiyo ilifanyika

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DIVA AZIDI KUMBOMOA ZITO KABWE TAZAMA.SMS ZINGINE HAPA

Kuwa uyaone mengi sio maghorofa bali ni vituko vya binaadam katika hii dunia just imagine Zitto anavyoabika sasa hivi daaah, hivi kwel... thumbnail 1 summary
Kuwa uyaone mengi sio maghorofa bali ni vituko
vya binaadam katika hii dunia just imagine Zitto
anavyoabika sasa hivi daaah, hivi kweli kuna

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

VANESSA CHETTLE NA MIRFAT MUSA WA TUJUANE WABAMBWA ZAIDI WAKINYONYANA!!!!!

Vanessa Chettle  ni moja kati ya  wadada wala bata maarufu zaidi nchini Kenya....wakati Marfat Musa alikuwa maarufu baada ya kushiriki ... thumbnail 1 summary


Vanessa Chettle  ni moja kati ya  wadada wala bata maarufu zaidi nchini Kenya....wakati Marfat Musa alikuwa maarufu baada ya kushiriki kwenye kipindi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mbowe: Mimi ni Kisiki cha CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka aw... thumbnail 1 summary

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango kwa wanachama wengine ‘kupimana naye kifua’. 

“Nafasi bado ipo, anayetaka kupima kifua na mimi ajitokeze. Tena nawaomba viongozi wangu msizuie fomu kwa anayetaka,” alisema Mbowe ambaye ameongoza chama hicho kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano.

Makada wa chama hicho kutoka maeneo mbalimbali nchini wakiongozwa na kada maarufu, Athuman Mzigo (Mapigo Saba) kutoka Kigoma, walikutana na Mbowe na kuwasilisha maombi yao ya kumtaka awanie tena nafasi hiyo.

“Kutokana na sifa za mwenyekiti wetu, tumechangishana Sh200 kila mmoja hadi zikafika Sh50,000,” alisema Mapigo Saba huku akishangiliwa na makada wenzake alioambatana nao na kuongeza:

“Tumemwomba mwenyekiti agombee nafasi hiyo kwa kuzingatia sifa; kwanza anaijua vizuri idadi ya Watanzania na matatizo yao, pili anaungwa mkono na watu wengi na amekisaidia chama kukua. Tulikuwa na madiwani 40 leo wamefika 500, wabunge watano leo 48. Halafu hana ubaguzi ndiyo maana ameunganisha vyama vya upinzani na kuunda Ukawa (Umoja wa Katiba ya Wananchi).”

Huku akichomekea maneno ya lugha ya Kiha, Mapigo Saba alisema kuwa maombi ya kumtaka Mbowe agombee pia yametolewa katika mikoa ya Rukwa, Manyara, Iringa, Njombe, Jimbo la Same Magharibi, Zanzibar, Mwanza na Kilimanjaro.


Hotuba ya Mapigo Saba ilifuatiwa na salamu kutoka kwa wazee wa wilaya za Kinondoni, Ilala na Temeke, Baraza la Wanawake (Bawacha) na Baraza la Vijana (Bavicha).

Akitoa salamu za Bavicha, mwenyekiti wa baraza hilo Njombe, Emmanuel Masonga alisema Mbowe ni sawa na Joshua aliyemalizia kuwaongoza wana wa Israel kuingia nchi ya Kanaani:

“Sisi Wakristo tunajua kuwa Mussa alianzisha safari ya Waisrael kwenda Kanaani, ila hakuwafikisha. Kina Mtei (Edwin), Kimesera (Victor), Bob Makani na wengineo walianzisha safari ya kwenda Ikulu, ila hawakutufikisha. Mbowe ni sawa na Joshua atakayetufikisha Ikulu,” alisema Masonga.

Mwenyekiti wa Bawacha Taifa, Susan Lymo alimsifu Mbowe akisema ameongeza hamasa ya wanawake kushiriki siasa katika chama hicho.

“Mwaka 2000, kulikuwa na mwanamke mmoja katika viti maalumu, mwaka 2005 waliongezeka na kufikia sita na mwaka 2010 wamefikia 26. Mwenyekiti pia ameufanya mwaka huu kuwa wa wanawake kitaifa na ameongeza hamasa ya wanawake kushiriki siasa,” alisema Lymo.

Mbali na viongozi wa chama, alikuwapo pia Sheikh Rajab Katimba kutoka Jumuiya na Taasisi za Kiislamu ambaye alimsifu Mbowe na kuomba agombee tena nafasi hiyo.

Mbowe akubali
Baada ya Mratibu wa Vuguvugu la Mabadiliko (M4C), Nickson Tugara kummwagia sifa Mbowe, Mapigo Saba alimkabidhi fomu, huku makada wakiimba, ‘Jembe, jembe, jembe…”

Mbowe aliishukuru Kamati Kuu ya chama hicho kwa kupanga uchaguzi Septemba 14, mwaka huu ambayo ni siku yake ya kuzaliwa huku akiahidi kujenga chama imara.

“Mtaiona Chadema mpya ifikapo Septemba 14. Hiki chama hakitakufa na hatutamvumilia mtu yeyote wa kabila lolote atakayekivuruga,” alisema.

Mbowe alisema hajawahi kuomba kugombea uenyekiti wa chama hicho tangu aliponza mwaka 2000…

 “Napata wakati mgumu ninapofikia wakati huu. Chadema ina watu mbalimbali wenye taaluma na uzoefu, kwa nini mimi? Makundi haya yaliyojitokeza kunichukulia fomu yanaweza kutafsiriwa na wapenda majungu kuwa nimepanga mimi.

“Leo ni mara ya tatu naombwa kugombea uenyekiti, sijawahi kuomba. Mwaka 2004, Mzee Makani aliniomba nikamkatalia, lakini akaunda kikundi cha wazee walionichukulia fomu.

“Mwaka 2005, chama hakikuwa na mgombea urais, awali alijitokeza Profesa Mwesiga Baregu lakini akajitoa, nikaambiwa nibebe mzigo. Mwaka 2009 nikaombwa tena kugombea.”

Alisema amedhamiria kujenga chama kimtandao na kimfumo ili kuondokana na mfumo wa kienyeji… “Huko nyuma wakati wa uchaguzi watu walipeana tu nyadhifa kiundugu tukadhani chama kimeongezeka. Lakini wakati huu uchaguzi umefanyika kwa miezi tisa.

“Tulisema hatuwezi kufanya uchaguzi wa Taifa bila kupata viongozi wa mkoa, wilaya, kata, kijiji na mtaa, kitongoji na shina.

Tumefanya uchaguzi, watu wamepima na kuona mambo magumu, mara unasikia wanakimbia wakisema wameacha uenyekiti, uache wakati chama kinakua?”

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

HALIMA MDEE AMWAGA MACHOZI MBELE YA UMATI WA WATU KISA NA MKASA SOMA HAPA

Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya j... thumbnail 1 summary

mdee


Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya jana baadhi ya wanawake kujitokeza kumchukulia fomu Mbunge wa Kawe, Halima Mdee. 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ALIEKUWA DEMU WA DAVIDO, NISH KARDS AMEINGIA CLUB AKIWA MTUPU!!..CHEKI PICHAZ

Nish Kards ni  mwanadada kutoka GHANA ambae alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Davido kutoka Nigeria...maarufu sana kwenye m... thumbnail 1 summary

Nish Kards ni  mwanadada kutoka GHANA ambae alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Davido kutoka Nigeria...maarufu sana kwenye mtandao wa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Alichojibu Ronaldo kuhusu Di Maria kujiunga na Man Utd na kupewa jezi namba 7

Siku moja baada ya Angel Di Maria kutambulishwa rasmi kama mchezaji wa klabu ya Manchester United ya England huku akikabidhiwa jezi yenye... thumbnail 1 summary
Screen Shot 2014-08-29 at 10.19.11 PMSiku moja baada ya Angel Di Maria kutambulishwa rasmi kama mchezaji wa klabu ya Manchester United ya England huku akikabidhiwa jezi yenye historia kubwa ndani ya klabu hiyo (namba 7),

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Baada ya ile kolabo na Rick Ross, sasa PSquare wameiachia hii video waliyoifanya na ft. T.I

Waliifanya na Rick Ross na wakachukua headlines za kutosha baada ya Akon kuwaunganisha ambapo baada ya hapo zilitoka stori nyingi za chi... thumbnail 1 summary
Screen Shot 2014-08-29 at 9.09.53 PMWaliifanya na Rick Ross na wakachukua headlines za kutosha baada ya Akon kuwaunganisha ambapo baada ya hapo zilitoka stori nyingi za chinichini kwamba wakali hawa wa Nigeria

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Shinji Kagawa njiani kuondoka Man United – hii ndio klabu anayoenda

Wakati wa utambulisho rasmi wa Angel Di Maria jana, kocha qa man United Louis Van Gaal alithibitishqa kwamba kuna kundi la wachezaji lit... thumbnail 1 summary
1409307188735_wps_2_File_photo_of_Manchester_
Wakati wa utambulisho rasmi wa Angel Di Maria jana, kocha qa man United Louis Van Gaal alithibitishqa kwamba kuna kundi la wachezaji litaondoka mpaka kufikia mwishoni mwa wiki hii.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hatimaye Torres amua kuondoka Chelsea – hii ndio tiku aliyoichagua

Fernando Torres amemaliza kipindi kigumu kabisa cha miaka mitatu na nusu kwenye maisha yake ndani ya klabu ya Chelsea baada ya kukuba... thumbnail 1 summary

IMG_6865.JPG


Fernando Torres amemaliza kipindi kigumu kabisa cha miaka mitatu na nusu kwenye maisha yake ndani ya klabu ya Chelsea baada ya kukubali kuondoka katika timu hiyo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

JIDE, DOGODOGO GUMZO MJINI! DOGO ANASWA NA MKOKO WAKE

OHOOO!  Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel H... thumbnail 1 summary
OHOOO! Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel Habash ‘G Habash’ kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka kufuatia kunaswa kwa picha za

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MKEATELEKEZWA NA MSANII KIKONGWE CHIDUMULE CHANZO SOMA HAPA

Mke wa mkongwe wa Nyimbo za Injili Bongo, Rev. Cosmas Chidumule aliyejitambulisha kwa jina la Cesilia Maiko na wanaye, wanadai kutelekezwa ... thumbnail 1 summary
Mke wa mkongwe wa Nyimbo za Injili Bongo, Rev. Cosmas Chidumule aliyejitambulisha kwa jina la Cesilia Maiko na wanaye, wanadai kutelekezwa na staa huyo huku mama huyo akiandamwa na maradhi ya kisukari.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DIVA, AUNT KIMENUKA CHANZO UJAUZITO!

JAMBO  limezua jambo! Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio Clouds FM, Lo... thumbnail 1 summary
JAMBO limezua jambo! Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio Clouds FM, Lovennes Malinzi ‘Diva’ kwa madai kwamba amemtangaza mitandaoni kuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WASTARA JUMA AZICHAPA NA MUMEWE MAHAKAMANI

WIKI iliyopita katika makala haya tuliishia pale mwigizaji Wastara Juma alivyokimbizwa na mumewe wa kwanza na kuokolewa na difenda la polis... thumbnail 1 summary
WIKI iliyopita katika makala haya tuliishia pale mwigizaji Wastara Juma alivyokimbizwa na mumewe wa kwanza na kuokolewa na difenda la polisi, TUENDELEE…

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ZAMARADI MKETEMA ASEMA NDOTO YAKE YA KUASILI MTOTO SABABU SOMA HAPA

Host wa Program ya Take One kupitia CloudsTV, Zamaradi Mketema ametangaza nia yake kuwa anataka kuasili mtoto ili kutimiza ndoto yake thumbnail 1 summary
Host wa Program ya Take One kupitia CloudsTV, Zamaradi Mketema ametangaza nia yake kuwa anataka kuasili mtoto ili kutimiza ndoto yake

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MSAIDIZI WA MWINGIRA ALIVYOUAWA KWA RISASI

INASIKITISHA!  Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira, mwishoni mwa wiki alimpoteza mkalimani wake, Adson Philip C... thumbnail 1 summary
INASIKITISHA! Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira, mwishoni mwa wiki alimpoteza mkalimani wake, Adson Philip Cheyo aliyeuawa kwa kupigwa risasi katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

SAKATA.LA OKWI KUTIMUKIA SIMBA MANJI AJA JUU

BAADA ya jana uongozi wa timu ya Simba chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili , Zacharia Hans Pope , kutangaza kumsainisha mshambu... thumbnail 1 summary
BAADA ya jana uongozi wa timu ya Simba
chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ,
Zacharia Hans Pope , kutangaza kumsainisha
mshambuliaji , Emmanuel Okwi , raia wa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: