August 29, 2014
NUH MZIWANDA WA SHILOLE ALIKOPI KWA NICK CANNON NA MARIAH CAREY KUWEKA TATTOO? AMEPATA MFANO!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ILE VIDEO YA NEY INAYOHUSISHWA NA FREEMASON KWA PICHA ZAKE ZA AJABU, IMETOKA. ICHEKI HAPA
ILE VIDEO YA NEY INAYOHUSISHWA NA FREEMASON KWA PICHA ZAKE ZA AJABU, IMETOKA. ICHEKI HAPA
Video Mpya ya Nay wa Mitego iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka na Picha za Ajabu zilizotoka wakati wa uchukuaji wa Video hiyo, Itazam... 11:20SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Boss wa TBS aliyehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.
Boss wa TBS aliyehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.
Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Dar es Salaam August 28 2014 imetoa hukumu kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Viwango Tanzani... 11:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Good news!! baada ya Abu Dhabi sasa Clouds media International imeingia Jamaica
Good news!! baada ya Abu Dhabi sasa Clouds media International imeingia Jamaica
Kwanza shukrani zikufikie popote ulipo ewe mtu wa nguvu ambae siku zote umekua ukiisupport na kuwa karibu na Clouds Media. 11:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHUJI ASAKWA MCHANGANI BAADA YA KUTOROKA NA SH 60000...NJAA KALI KWELI
CHUJI ASAKWA MCHANGANI BAADA YA KUTOROKA NA SH 60000...NJAA KALI KWELI
ALIYEKUWA kiungo wa Yanga , Athuman Idd ‘ Chuji ’ inaelezwa kuwa ameingia mitini na fedha kiasi cha shilingi 60 ,000 za timu ya Mazom... 11:15
ALIYEKUWA kiungo wa Yanga , Athuman Idd
‘ Chuji ’ inaelezwa kuwa ameingia mitini na
fedha kiasi cha shilingi 60 ,000 za timu ya
Mazombi FC ya Gongo la Mboto ambazo
alipewa kwa ajili ya kuichezea katika nusu
fainali ya Kombe la Ng’ ombe .
‘ Chuji ’ inaelezwa kuwa ameingia mitini na
fedha kiasi cha shilingi 60 ,000 za timu ya
Mazombi FC ya Gongo la Mboto ambazo
alipewa kwa ajili ya kuichezea katika nusu
fainali ya Kombe la Ng’ ombe .
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI
POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI
POLISI mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto w... 07:22
POLISI mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto wa kike, Zahara Almeda katika barabara ya Mji Mpya.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHEMEJI WA WEMA ATANGAZA NDOA NA DADA WA DIAMOND
SHEMEJI WA WEMA ATANGAZA NDOA NA DADA WA DIAMOND
MAPENZI bwana! Baada ya kuogelea kwa muda mrefu katika penzi la muigizaji Kajala Masanja, hatimaye shemeji wa aliyekuwa rafiki wa mwigiz... 07:21
MAPENZI bwana! Baada ya kuogelea kwa muda mrefu katika penzi la muigizaji Kajala Masanja, hatimaye shemeji wa aliyekuwa rafiki wa mwigizaji huyo, Wema Sepetu, Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ ametangaza ndoa na dada wa Mbongo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SABBY: RUSHWA YA NGONO BONGO MUVI IMENITESA
SABBY: RUSHWA YA NGONO BONGO MUVI IMENITESA
Msanii wa filamu, Salma Omary ‘Sabby’ ameamua kufunguka kuwa ameteswa sana na rushwa ya ngono aliyokuwa akikutana nayo pindi alipokuwa 07:20
Msanii wa filamu, Salma Omary ‘Sabby’ ameamua kufunguka kuwa ameteswa sana na rushwa ya ngono aliyokuwa akikutana nayo pindi alipokuwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MUME WA MTU: SIMUACHI NG’O AUNT
MUME WA MTU: SIMUACHI NG’O AUNT
Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond,’ Moses Iyobo amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kuenea uvumi wa kutoka kimapenzi na... 07:19
Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond,’ Moses Iyobo amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kuenea uvumi wa kutoka kimapenzi na mcheza filamu mahiri Bongo, Aunt Ezekiel kuwa hawezi kumuacha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
‘NIMEBEBESHWA ‘UNGA’ HADI NIMECHOKA’
‘NIMEBEBESHWA ‘UNGA’ HADI NIMECHOKA’
Usilolijua litakusumbua! Msichana aliyejitambulisha kwa jina moja la Mary (23), mkazi wa Dar ambaye ni mwenyeji wa Nyegezi, Mwanza, amean... 07:17
Usilolijua litakusumbua! Msichana aliyejitambulisha kwa jina moja la Mary (23), mkazi wa Dar ambaye ni mwenyeji wa Nyegezi, Mwanza, ameangua kilio na kusema; ‘nabebeshwa madawa ya kulevya (unga), nalipwa kiduchu hadi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nani kati ya Ronaldo, Neur au Ribery kachukua tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya? jibu liko hapa
Nani kati ya Ronaldo, Neur au Ribery kachukua tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya? jibu liko hapa
Katika upangaji wa makundi na ratiba ya ligi ya mabingwa ulaya pia amechaguliwa mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora wa ulaya ambapo Cristia... 03:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DUDE ASHINDWA KUJIUNGA BONGO MOVIE
DUDE ASHINDWA KUJIUNGA BONGO MOVIE
KUTOKANA na mgogoro unaoendelea ndani ya Klabu ya Bongo Movie Unity, msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kwamba amek... 03:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAMBO KUMI HUSIYOYAFAHAMU KUHUSU MR PRESIDENT JAKAYA KIKWETE
MAMBO KUMI HUSIYOYAFAHAMU KUHUSU MR PRESIDENT JAKAYA KIKWETE
1. Amezaliwa Tarehe 7 Oktoba Pamoja na viongozi mashuhuri Vladmir putin wa Urusi, na Askofu Desmond Tutu. 03:001. Amezaliwa Tarehe 7 Oktoba Pamoja na viongozi mashuhuri Vladmir putin wa Urusi, na Askofu Desmond Tutu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAMJUA MPENZI WA KWELIKWELI WA JOKATE, AMNA UTANI SASA, HUYU HAPA
UNAMJUA MPENZI WA KWELIKWELI WA JOKATE, AMNA UTANI SASA, HUYU HAPA
MWANAMITINDO daraja la kwanza Bongo , Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amemwanika mwanaume mpya mtandaoni huku wakiwa wamepozi katika staili ... 02:58
MWANAMITINDO daraja la kwanza Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amemwanika mwanaume mpya mtandaoni huku wakiwa wamepozi katika staili ya wapendanao.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KALAMA ‘AMNYOA’ NYWELE BELA
KALAMA ‘AMNYOA’ NYWELE BELA
MWANADADA anayeunda Kundi la Scorpion Girls,Isabela Mpanda ‘Bela’ amejikuta akinyoa nywele baada ya mpenzi wake wa siku nyingi, Luteni... 02:57SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)