August 22, 2014
FAMILIA YA KICHINA YAKOSOLEWA KWA KUMGEUZA MTOTO MAFANO WA ‘MSOSI’
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUU NDIO MKWANJA (PESA) ANAYOLIPWA DIAMOND KWA SASA KWENYE SHOW MOJA
HUU NDIO MKWANJA (PESA) ANAYOLIPWA DIAMOND KWA SASA KWENYE SHOW MOJA
Tangu mwaka juzi tulifahamu kuwa Diamond Platinumz ndiye msanii wa Tanzania anaelipwa kiasi kikubwa cha pesa, na mwaka jana ikaelezwa kuw... 22:36SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATIMAYE MJUMBE WA CCM AJIUNGA NA UKAWA RSMI
HATIMAYE MJUMBE WA CCM AJIUNGA NA UKAWA RSMI
Jana ilikuwa kama sinema pale viongozi wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe wao mbele ya waandishi wa... 22:35SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kutana na vichekesho vya Peter Msechu na Baba Levo baada ya kukosa show.
Kutana na vichekesho vya Peter Msechu na Baba Levo baada ya kukosa show.
Peter Msechu na Baba Levo ni wasanii kutoka mkoa wa Kigoma na wote wawili wana sifa 16:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ANTI EZEKIEL AFUNGUKA NA KUDAI WEMA SIO MTOTO MDOGO WA KUFUNDISHWA JINSI YA KUISHI.. AMPA MAKAVU DIAMOND
ANTI EZEKIEL AFUNGUKA NA KUDAI WEMA SIO MTOTO MDOGO WA KUFUNDISHWA JINSI YA KUISHI.. AMPA MAKAVU DIAMOND
Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu, amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha tabia... 16:02SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIPI ULISHAWAHI KUFIKIRI KUWA KUNA MTU MWENYE AKILI KULIKO WOTE DUNIANI? HUYU HAPA SASA SOMA ZAIDI
VIPI ULISHAWAHI KUFIKIRI KUWA KUNA MTU MWENYE AKILI KULIKO WOTE DUNIANI? HUYU HAPA SASA SOMA ZAIDI
Terrence Tao, He is a mathematician of Australian and American roots. If you think that math is hard enough, just take a peek into the s... 16:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
RAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI, MOROGORO VIJIJINI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria kufungua kituo cha Afya cha Kibaoni Morogoro vijijini Agosti 22, 2014. 12:25SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
Msanii wa Muziki wa Dansi, Christian Bella. Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Na... 12:24
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA
AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA
Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika r... 12:23
Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Q-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
Q-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
Mbongo Fleva , Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipokea mkataba kutoka 'QS Mhonda J Company'. 12:21
Mbongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipokea mkataba kutoka 'QS Mhonda J Company'.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Boko Haram wamefikia kuteka chuo cha Polisi
Boko Haram wamefikia kuteka chuo cha Polisi
Kundi la wapiganaji la Boko Haram wamevamia shule moja ya mafunzo ya kipolisi iliyopo kwenye kitongoji cha Gwoza karibu na mpaka wa n... 12:20SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA, WIZARA YAFUTILIA MBALI AJIRA UHAMIAJI, SASA INTERVIEW KUPIGWA UPYAAA
HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA, WIZARA YAFUTILIA MBALI AJIRA UHAMIAJI, SASA INTERVIEW KUPIGWA UPYAAA
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil akizungumza jana kuhusu kufutwa kwa ajira 200 Uhamiaji. Kulia ni Mkurugenzi wa ... 12:15SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ANGALIA PICHA MWANAMKE ALIYEMCHINJA MPENZI WAKE KAMA KUKU NA KUBAKI NA KICHWA. NOMA HII
ANGALIA PICHA MWANAMKE ALIYEMCHINJA MPENZI WAKE KAMA KUKU NA KUBAKI NA KICHWA. NOMA HII
Mwanamume aliyemuua kwa kumkata kichwa mpenzi wake amepatikana na hatia ya mauaji nchini Uingereza Aras Hussein alimkata kichwa mwa... 12:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
Limekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya mastaa wa Kibongo kuonesha au kupiga picha anaponunua gari jipya huku suala la kuonesha kadi ya ... 09:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASANJA AWABOMOA WEMA, DIAMOND
MASANJA AWABOMOA WEMA, DIAMOND
COMEDIAN mwenye kofia ya uchungaji kwa sasa, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ hivi karibuni aliwabomoa mastaa wapenzi Nasibu Abdul ... 09:38
COMEDIAN mwenye kofia ya uchungaji kwa sasa, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ hivi karibuni aliwabomoa mastaa wapenzi Nasibu Abdul ‘Diamond’ na ubavu wake Wema Sepetu kwa kuwaandikia waraka mzito
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ratiba ya movie kuanzia August 22 hadi 23
Ratiba ya movie kuanzia August 22 hadi 23
Sex Tape ni movie mpya itakayoanza kuonyeshwa weekend hii na ndani yake amehusika 09:35SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huu ndio mwisho wa ndoa ya Mariah Carey na Nick Cannon
Huu ndio mwisho wa ndoa ya Mariah Carey na Nick Cannon
Nick Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008 na katika maisha yao wamefanikiwa kupata watoto wawili Monroe Cannon na Moroccan ... 09:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video mpya kutoka G Unit – ”Come Up”
Video mpya kutoka G Unit – ”Come Up”
Dakika 3 na sekunde 36 zinatosha kuangalia video mpya kutoka kundi la G Unit. 09:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mama yake Beyonce aweka wazi ukweli kuhusu tetesi za Beyonce na Jay Z kutaka kuachana
Mama yake Beyonce aweka wazi ukweli kuhusu tetesi za Beyonce na Jay Z kutaka kuachana
Hivi karibuni kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu uhusiano kati ya Beyonce na Jay Z kutaka kuvunjika. Story hizo zinapata nguvu kutokana na ... 09:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Shakira atuhumiwa ku-copy na ku-paste wimbo
Shakira atuhumiwa ku-copy na ku-paste wimbo
Sehemu kidogo ya wimbo wa Loca (Spanish version) kutoka kwa mwimbaji Shakira ilikuwa ni kazi ya mtungaji mwingine wa nyimbo anaitwa Ram... 09:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MPENZI WANGU ANANILAZIMISHA ANIPIGE PICHA NIKIWA UTUPU JAMANI
MPENZI WANGU ANANILAZIMISHA ANIPIGE PICHA NIKIWA UTUPU JAMANI
Naitwa Jack nina miaka 22, ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kimoja hapa dar. Nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae kwa muda wa miez... 09:25SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN
WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN
Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh. 09:24
Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SABABU ZA CHID BENZI KUDONDOSHA MACHOZI ETI KISA DIAMOND HIZI HAPA
SABABU ZA CHID BENZI KUDONDOSHA MACHOZI ETI KISA DIAMOND HIZI HAPA
Chidi Benz alitabiri mbele ya Diamond Platnumz (wakati bado underground) kuwa angekuja kuwa msanii mkubwa. 09:23
Chidi Benz alitabiri mbele ya Diamond Platnumz (wakati bado underground) kuwa angekuja kuwa msanii mkubwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OFFICIAL : ROJO ATAMBULISHWA RASMI MAN UTD SOMA HAPA
OFFICIAL : ROJO ATAMBULISHWA RASMI MAN UTD SOMA HAPA
Rojo is red: Manchester United have finally confirmed the signing of Marcos Rojo from Sporting Lisbon 09:22
Rojo is red: Manchester United have finally confirmed the signing of Marcos Rojo from Sporting Lisbon
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BONGO MUVI WACHAFUKA, SOMA ZIADI HAPA
BONGO MUVI WACHAFUKA, SOMA ZIADI HAPA
JAMBO limezua jambo! Baada ya hivi karibuni wasanii wa Bongo Muvi (Movie) kufanya dua kwa ajili ya wenzao waliofariki dunia, baadhi ya ... 09:08
JAMBO limezua jambo! Baada ya hivi karibuni wasanii wa Bongo Muvi (Movie) kufanya dua kwa ajili ya wenzao waliofariki dunia, baadhi ya ndugu wa marehemu wamecharuka na kudai kuwa waandaaji wa kisomo hicho
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WACHEZAJI WA LIGI KUU TANZANIA WAKIPATA MENU KILA MMOJA HAPO ANA NDOTO ZA KUCHEZA ULAYA.
WACHEZAJI WA LIGI KUU TANZANIA WAKIPATA MENU KILA MMOJA HAPO ANA NDOTO ZA KUCHEZA ULAYA.
Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, waka... 09:05
Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, wakati timu hiyo ilipokwenda kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)