June 26, 2014
Hatimaye Wema Sepetu Amvulia kofia Vanessa Mdee...Tazama hapa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Movie mpya ya Transfomers inatoka weekend hii, cheki ratiba yake na nyingine pia.
Movie mpya ya Transfomers inatoka weekend hii, cheki ratiba yake na nyingine pia.
Wapenzi wa movie za Transfomers weekend hii ni yenu kwasababu Transformers Age of Extinction inaanza kuonekana kwenye theater za hapa Tan... 21:09SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII HAPA VIDEO MUPYA KALI TOKA KWA DIAMOND PLATINUMZ NA MASTAA KIBAO WA AFRICA
HII HAPA VIDEO MUPYA KALI TOKA KWA DIAMOND PLATINUMZ NA MASTAA KIBAO WA AFRICA
MultiChoice Africa has launched it’s biggest campaign yet, to celebrate Africa’s positivity , 21:07
MultiChoice Africa has launched it’s biggest campaign yet, to celebrate Africa’s positivity,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE NI HALALI KWA MTANGAZAJI WA TV KUFANYA HIVI WAKATI WA KIPINDI CHAKE?
JE NI HALALI KWA MTANGAZAJI WA TV KUFANYA HIVI WAKATI WA KIPINDI CHAKE?
…it was to prove that she is a GOOD KISSER ……hhehehehe….during her love based TV program ....PROVED OR NOT? 21:06SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIVA TENA AACHIA PICHA AKIWA AMEVAA NGUO YA KULALIA NA KUWATEGA MASHABIKI HUKO INSTAR
DIVA TENA AACHIA PICHA AKIWA AMEVAA NGUO YA KULALIA NA KUWATEGA MASHABIKI HUKO INSTAR
Huyu ni mtangazaji maarufu sana, Anaitwa Loveness Malinzi aka Divathebawse kama anavojiita. Haishi vituko na mara nyingi amekuwa ... 21:03SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NANDO ATANGAZA KUACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA... KUMBE NAYE ALIKUWA TEJA KAMA RAY C
NANDO ATANGAZA KUACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA... KUMBE NAYE ALIKUWA TEJA KAMA RAY C
Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Ammy Nando ameweka wazi kuwa alikuwa mmoja kati ya waathirika wa dawa za kulev... 20:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Suarez receives four-month ban from all football
Suarez receives four-month ban from all football
FIFA have handed Uruguay forward Luis Suarez a nine- match suspension and a four-month ban from all football-related activity. The L... 20:57
FIFA have handed Uruguay
forward Luis Suarez a nine-
match suspension and a
four-month ban from all
football-related activity.
The Liverpool star found himself in the all-
too-familiar position of being under
disciplinary scrutiny after appearing to
bite Italy defender Giorgio Chiellini as
Uruguay beat Italy 1-0 on Tuesday.
Uruguay's triumph secured their place in
the last 16 of the FIFA World Cup.
forward Luis Suarez a nine-
match suspension and a
four-month ban from all
football-related activity.
The Liverpool star found himself in the all-
too-familiar position of being under
disciplinary scrutiny after appearing to
bite Italy defender Giorgio Chiellini as
Uruguay beat Italy 1-0 on Tuesday.
Uruguay's triumph secured their place in
the last 16 of the FIFA World Cup.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Imeripotiwa Beyonce na Will Smith watakua ndani ya movie moja – Hancock 2
Imeripotiwa Beyonce na Will Smith watakua ndani ya movie moja – Hancock 2
Wale waliowahi kuona Hancock ya kwanza ni superhero movie ambayo ilifanya vizuri sana na baada ya miaka 6 sasa wanakuja na story nyingine... 15:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hii ndiyo nguo atakayovaa Diamond kwenye red carpet ya BET Awards
Hii ndiyo nguo atakayovaa Diamond kwenye red carpet ya BET Awards
BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. D... 15:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
YADAIWA RICK ROSS AMECHOKA KUWA BONGE ...APUNGUZA KILO 45,TAZAMA HAPA AKIWA GYM
YADAIWA RICK ROSS AMECHOKA KUWA BONGE ...APUNGUZA KILO 45,TAZAMA HAPA AKIWA GYM
Rick Ross kila mtu anamjua kuwa na mwili mkubwa lakini hivi sasa ameamua kupugua kabisa. Mwenyewe anasema kwamba ameamua kujiweka fit n... 15:36Rick Ross kila mtu anamjua kuwa na mwili mkubwa lakini hivi sasa ameamua kupugua kabisa. Mwenyewe anasema kwamba ameamua kujiweka fit na bado |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JWTZ kuanika tena zana zake za Kivita jijini Dar katika kongamano kubwa la kijeshi....
JWTZ kuanika tena zana zake za Kivita jijini Dar katika kongamano kubwa la kijeshi....
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajiwa kufanya maonesho ya zana zake za kivita zinazotumiwa na askari wa nchi kav... 15:31
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ) linatarajiwa kufanya maonesho ya
zana zake za kivita zinazotumiwa na askari
wa nchi kavu kuanzia Julai 14 hadi 16,
mwaka huu wakati wa kongamano kubwa
la kijeshi ambapo ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 50 tangu
kuanzishwa kwa jeshi hilo nchini.
Kampuni zaidi ya 30 zinazotengeneza silaha
na vifaa vya kijeshi kutoka ndani na nje ya
nchi zitaonyesha bidhaa zao katika
(JWTZ) linatarajiwa kufanya maonesho ya
zana zake za kivita zinazotumiwa na askari
wa nchi kavu kuanzia Julai 14 hadi 16,
mwaka huu wakati wa kongamano kubwa
la kijeshi ambapo ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 50 tangu
kuanzishwa kwa jeshi hilo nchini.
Kampuni zaidi ya 30 zinazotengeneza silaha
na vifaa vya kijeshi kutoka ndani na nje ya
nchi zitaonyesha bidhaa zao katika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Team Wema, Team Kajala Kuvunjwa.....Yadaiwa ndo chanzo cha Ugomvi wa Wema Sepetu na Kajala.
Team Wema, Team Kajala Kuvunjwa.....Yadaiwa ndo chanzo cha Ugomvi wa Wema Sepetu na Kajala.
Makundi mawili hasim ya wasanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja yajulikanayo kama 'Wema Team' na 'Kajala ... 15:29
Makundi mawili hasim ya wasanii wa
filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala
Masanja yajulikanayo kama 'Wema Team'
na 'Kajala Team' yanatarajiwa kuvunjwa
kwani ndio yameonekana kuchochea
bifu la wawili hao ambalo limekuwa
likionekana kuisha na kuibuka tena....
Akizungumza na mwanahabari wetu,
Kajala amesema kuwa tatizo lao
filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala
Masanja yajulikanayo kama 'Wema Team'
na 'Kajala Team' yanatarajiwa kuvunjwa
kwani ndio yameonekana kuchochea
bifu la wawili hao ambalo limekuwa
likionekana kuisha na kuibuka tena....
Akizungumza na mwanahabari wetu,
Kajala amesema kuwa tatizo lao
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Uchaguzi Mkuu CUF: Profesa Lipumba na Maalim Seif WAPETA katika nafasi zao za Mwenyekiti Taifa na Katibu mkuu
Uchaguzi Mkuu CUF: Profesa Lipumba na Maalim Seif WAPETA katika nafasi zao za Mwenyekiti Taifa na Katibu mkuu
Mkutano Mkuu wa CUF Taifa umemchagua tena Katibu Mkuu wa Chama hicho kuendelea na wadhifa huo kwa kupata kura 675, sawa na asilimia ... 15:28
Mkutano Mkuu wa CUF Taifa umemchagua
tena Katibu Mkuu wa Chama hicho
kuendelea na wadhifa huo kwa kupata
kura 675, sawa na asilimia 99.5 ya kura
zilizopigwa.
Mkutano huo pia umemchagua Prof.
Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa CUF
Taifa kwa kupata kura 659 sawa na asilimia
95.5 na kumshinda mpinzani wake Chifu
Lutalosa Yemba aliyepata kura 30 sawa na
asilimia 4 nukta 3.
tena Katibu Mkuu wa Chama hicho
kuendelea na wadhifa huo kwa kupata
kura 675, sawa na asilimia 99.5 ya kura
zilizopigwa.
Mkutano huo pia umemchagua Prof.
Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa CUF
Taifa kwa kupata kura 659 sawa na asilimia
95.5 na kumshinda mpinzani wake Chifu
Lutalosa Yemba aliyepata kura 30 sawa na
asilimia 4 nukta 3.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lulu Michael, Tumuamini nani?
Lulu Michael, Tumuamini nani?
Alisema eti aachwe kwanza, eti baada ya ule mkasa hataki kabisa kusikia habari za mapenzi.Amini usiamini , haukupita muda... 15:24Alisema eti aachwe kwanza, eti baada ya ule mkasa hataki kabisa kusikia habari za mapenzi.Amini usiamini , haukupita muda mrefu skendo za mapenzi zikaanza kuvuma tena.
Tukaanza kusikia habari za kina fulani zikihusishwa na yeye.Alianza yule jamaa handsome asiyekuwa na jina kubwa.Bila kujulikana alipotokea akaibuka na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI BAADA YA KUNUSURIKA KUUWAWA
MTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI BAADA YA KUNUSURIKA KUUWAWA
Askari polisi wa kituo kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumuokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda amba... 15:21Askari polisi wa kituo kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumuokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao walikwishaanza kujichukulia sheria mkononi kwa kumuadhibu baada ya kutaka kuiba pikipiki.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA ZINATISHA PLIZ: MWANACHUO WA RUCO ACHOMWA MOTO AKIDHANIWA NI MWIZI...!
PICHA ZINATISHA PLIZ: MWANACHUO WA RUCO ACHOMWA MOTO AKIDHANIWA NI MWIZI...!
Imagine guys, kuna this guy mtanashati anasoma chuo kikuu cha Ruaha a.k.a RUCO huku Iringa. Alikuwa anasomea sheria mwaka wa nne. 15:20
Imagine guys, kuna this guy mtanashati anasoma chuo kikuu cha Ruaha a.k.a RUCO huku Iringa. Alikuwa anasomea sheria mwaka wa nne.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI.....TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAOKOA JAHAZI
JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI.....TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAOKOA JAHAZI
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, Davi... 15:19Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NISHA AJICHANGANYA KUPITA KITAA KIMOJA HIVI NA KUKIMBIZWA KISA NA MKASA SOMA HAPA
NISHA AJICHANGANYA KUPITA KITAA KIMOJA HIVI NA KUKIMBIZWA KISA NA MKASA SOMA HAPA
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa kuna wakati aliwahi kujikuta katika wakati mgumu baada ya umati wa wa... 08:23
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa kuna wakati aliwahi kujikuta katika wakati mgumu baada ya umati wa watoto kumkimbiza mtaani huku wakimwimbia nyimbo baada kumuona kwa mara ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AUNT AWAASA WATU KUMRUDIA MUNGU MWEZI HUU MTUKUFU WA RAMADHANI, YEYE ATAFUNGA NUSU BONGO NUSU DUBAI... STORI NZIMA HAPA
AUNT AWAASA WATU KUMRUDIA MUNGU MWEZI HUU MTUKUFU WA RAMADHANI, YEYE ATAFUNGA NUSU BONGO NUSU DUBAI... STORI NZIMA HAPA
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amewaasa Waislamu wote kumrudia Mungu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama atakavyofanya yeye am... 08:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA VIFO VYAWASANII NA WATU MBALIMBALI KUONGEZEKA BABY MADAHA APATA SOMO
BAADA YA VIFO VYAWASANII NA WATU MBALIMBALI KUONGEZEKA BABY MADAHA APATA SOMO
Kufuatia vifo vya wasanii vilivyotokea mfululizo, mwigizaji Baby Joseph Madaha amelazimika kubadili mtindo wake wa maisha na kuishi kitak... 08:19
Kufuatia vifo vya wasanii vilivyotokea mfululizo, mwigizaji Baby Joseph Madaha amelazimika kubadili mtindo wake wa maisha na kuishi kitakatifu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JACK PATRICK AFYA TETE GEREZANI HUKO CHINA STORI NZIMA HAPA
JACK PATRICK AFYA TETE GEREZANI HUKO CHINA STORI NZIMA HAPA
UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa ku... 08:17
UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa kupanda kortini kufuatia kutetereka kwa afya yake bila kufafanuliwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WATOTO WAWILI WALIPULIWA KWA PETROLI
WATOTO WAWILI WALIPULIWA KWA PETROLI
WATOTO wawili wa familia moja, Nuru (3) na Dora Kaitaba (2), wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kubaki majivu baada ya moto mkubwa ... 08:16
WATOTO wawili wa familia moja, Nuru (3) na Dora Kaitaba (2), wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kubaki majivu baada ya moto mkubwa uliotokana na petroli kulipuka nyumbani kwao, Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FLORA AKOMBA KILA KITU AACHA NYUMBA EMPTY
FLORA AKOMBA KILA KITU AACHA NYUMBA EMPTY
MACHOZI upya! Habari halali kwa ubongo wako zinaeleza kwamba wakati mumewe, Emmanuel Mbasha (32) alipokuwa mahabusu, Dar kati ya Juni 15... 08:15
MACHOZI upya! Habari halali kwa ubongo wako zinaeleza kwamba wakati mumewe, Emmanuel Mbasha (32) alipokuwa mahabusu, Dar kati ya Juni 15 hadi 17, mwaka huu, staa wa Gospo Bongo, Flora Mbasha (31) anadaiwa kwenda
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAAMBIWA JOSE CHAMILIONI NI MIONGONI MWA WASANII WATATU WENYE WATOTO WENGI SOMA HAPA
UNAAMBIWA JOSE CHAMILIONI NI MIONGONI MWA WASANII WATATU WENYE WATOTO WENGI SOMA HAPA
watoto pamoja na mke wa jose chamelion 07:29watoto pamoja na mke wa jose chamelion |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA UVUMI JUU YA KIFO CHA WAZIRI WA ELIMU NDG. SHUKURU KAWAMBWA HILI NDILO TAMKO RASMI JUU YA UVUMI HUO
BAADA YA UVUMI JUU YA KIFO CHA WAZIRI WA ELIMU NDG. SHUKURU KAWAMBWA HILI NDILO TAMKO RASMI JUU YA UVUMI HUO
Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwen... 07:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAAMBIWA FEROOZ HAWEZI KUSAHAU SIKU ALIPOMWAGIWA MAUNO NA WEMA NA ANTI EZEKIEL FIESTA MOSHI
UNAAMBIWA FEROOZ HAWEZI KUSAHAU SIKU ALIPOMWAGIWA MAUNO NA WEMA NA ANTI EZEKIEL FIESTA MOSHI
katika vitu ambavyo mkali wa bongo flava ambaye anasauti ya pekee, Ferooz, anadai katu hawezi kuvisahau ni siku ambayo alikatiwa mauno na... 07:26SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAMA ULIKUA HUJUI,HII NDIYO NYUMBA YA KIFAHARI ANAKOISHI LADY JAY DEE, VITU NDANI NI SHIDAAAA, TAZAMA MWENYEWE HAPA
KAMA ULIKUA HUJUI,HII NDIYO NYUMBA YA KIFAHARI ANAKOISHI LADY JAY DEE, VITU NDANI NI SHIDAAAA, TAZAMA MWENYEWE HAPA
lady jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo , mz... 07:24
lady jay dee ni msanii mkongwe sana na mwenye maendeleo makubwa pia ameweza kulinda heshima yake tangu kipindi anaanza mpaka hii leo , mziki umeweza kumpatia mafanikio makubwa ikiwemo kupata tuzo kibao kimataifa na kimataifa, mbali na hilo pia jay dee anamiliki band
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KANISA LAFICHUA SIRI KIFO CHA SISTA
KANISA LAFICHUA SIRI KIFO CHA SISTA
mwili wa marehemu Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka limefichua siri kuhusu mauaji ya Sista Cresensia Kapuli (50), aliyeuawa na majam... 07:22
mwili wa marehemu
Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka limefichua siri kuhusu mauaji ya Sista Cresensia Kapuli (50), aliyeuawa na majambazi kwa kupigwa risasi kwamba alifikwa na mauti hayo wakati akitoka benki
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAARIFA ZINADAI WAZIRI WA ELIMU SHUKURU KAWAMBWA AMEFARIKI DUNIA
TAARIFA ZINADAI WAZIRI WA ELIMU SHUKURU KAWAMBWA AMEFARIKI DUNIA
Habari iliyotufikia hivi punde ni kuwa waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi wa Tanzania mh. Shukuru Kawambwa amefariki dunia.... Bado t... 07:21
Habari iliyotufikia hivi punde ni kuwa waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi wa Tanzania mh. Shukuru Kawambwa amefariki dunia.... Bado tupo katika mchakato wa kuthibitisha hili... tumempigia simu ila haipokelewi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)