Baada ya kuachia wimbo wa ‘Aje’ kumbe wasanii waliotajwa kwenye wimbo huo walikuwa hawajui kwa mujibu wa Alikiba.
Wimbo wa ‘Aje’ hauna muda mrefu tangu Alikiba ameuachia lakini umezidi kufanya vizuri kwenye TV na Radio huku kwenye mtandao wa Youtube video yake ikiwa