March 21, 2014
WATCH RIHANNA'S PHOTO....AND ASK TO YOURSELF: WHAT KIND OF WEARING IS THIS? WHAT WE LEARN FROM HER FOR OUR NEW GENERATION?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE NI KWELI UMAARUFU WA CHADEMA UNAPUNGUA? KAMA KWELI KWANINI?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BINTI ALAZIMISHA UMAARUFU KWA KUJIPIGA PICHA AKIKISS NA MSANII DAVIDO NA KUZISAMBAZA MTANDAONI
BINTI ALAZIMISHA UMAARUFU KWA KUJIPIGA PICHA AKIKISS NA MSANII DAVIDO NA KUZISAMBAZA MTANDAONI
Umaarufu mwengine wa ajabu sana binti huyu inasemekana alifanya kila mbinu apate nafasi hata ya kumbusu tu davido , na alipoipata 11:15SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TANZANIA INAWEZA KUZIPIKU NA KUONGOZA KIUCHUMI KATIKA NJE ZA AFRICA MASHARIKI
TANZANIA INAWEZA KUZIPIKU NA KUONGOZA KIUCHUMI KATIKA NJE ZA AFRICA MASHARIKI
Licha ya nchi hizo kuwa chini ya mtawala mmoja wa kikoloni (mbali na Rwanda na Burundi)... 11:15SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHERIA YA AJABU SAUDI ARABIA MARUFUKU MTOTO YOYOTE ATAKAEZALIWA SAUDI ARABIA KUPEWA HAYA MAJINA KUANZIA SASA
SHERIA YA AJABU SAUDI ARABIA MARUFUKU MTOTO YOYOTE ATAKAEZALIWA SAUDI ARABIA KUPEWA HAYA MAJINA KUANZIA SASA
. Wizara ya mambo ya ndani ya Saudi Arabia imepiga marufuku majina hamsini ambayo yapo kinyume na tamaduni pamoja na dini ambapo kuanzi... 10:09
.
Wizara ya mambo ya ndani ya Saudi Arabia imepiga marufuku majina hamsini ambayo yapo kinyume na tamaduni pamoja na dini ambapo kuanzia sasa,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAUNGO YANGU YA MWILI YANANIPA TABU...NATONGOZWA KILA KUKICHA...!!
MAUNGO YANGU YA MWILI YANANIPA TABU...NATONGOZWA KILA KUKICHA...!!
Ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, tena wanakuja kwa njia za 08:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWA MUJIBU WA TOVUTI HII YA KENYA, HAWA NDIYO WASANII WENYE PESA NYINGI ZAIDI HAPA TANZANIA...!!
KWA MUJIBU WA TOVUTI HII YA KENYA, HAWA NDIYO WASANII WENYE PESA NYINGI ZAIDI HAPA TANZANIA...!!
When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you’d never tell that listening to the artistes pour their hearts o... 08:13SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAYA AFUNGUKA NA KUSEMA HAJAONA WA KUZAA NAE ... KISA KAMILI HAPA
MAYA AFUNGUKA NA KUSEMA HAJAONA WA KUZAA NAE ... KISA KAMILI HAPA
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona 08:06SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIJANA MMOJA AFUNGUKA NA KUSEMA HIKI "KUNA KIGOGO MZITO NI SHOGA" MFAHAMU HAPA NA SOMA STORI KAMILI
KIJANA MMOJA AFUNGUKA NA KUSEMA HIKI "KUNA KIGOGO MZITO NI SHOGA" MFAHAMU HAPA NA SOMA STORI KAMILI
WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja 08:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BATULI AIBUKA NA SKENDO YA KUJIWEKA KWA CHIFU KIUMBE
BATULI AIBUKA NA SKENDO YA KUJIWEKA KWA CHIFU KIUMBE
Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amedaiwa kujiweka kwa Pedeshee Chifu Kiumbe baada ya siku kadhaa zilizopita kumfuata 08:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BIASHARA YA MASTAA KUJIUZA NJE YA NCHI IMEFICHUKA ... SHUMILETA, LINGI WANASWA
BIASHARA YA MASTAA KUJIUZA NJE YA NCHI IMEFICHUKA ... SHUMILETA, LINGI WANASWA
Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu al... 07:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BONGO KIMENUKA MADAME WEMA NA SHOST YAKE KAJALA NI HATARI TUPU .,.. SOMA UJUE KISA HIKI
BONGO KIMENUKA MADAME WEMA NA SHOST YAKE KAJALA NI HATARI TUPU .,.. SOMA UJUE KISA HIKI
Kimenuka upyaaa! Wale mashostito wawili katika kiwanda cha filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao walikuwa marafiki wa 07:57SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DUUH: WATOTO WA KARIAKOO NI NOMAA, FLORA MVUNGI AFANYIWA MBAYA KARIAKOO ... SOMA ZAIDI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MA-DJ NAO NI BALAA: DJ WA MAISHA CLUB DODOMA ANASWA AKIFANYA YAKE NA BINTI FULANI .... KWA HABARI ZAIDI SOMA HAPA
MA-DJ NAO NI BALAA: DJ WA MAISHA CLUB DODOMA ANASWA AKIFANYA YAKE NA BINTI FULANI .... KWA HABARI ZAIDI SOMA HAPA
Dj maarufu wa New Maisha Club Dodoma ajikuta kwenye wakati mgumu baada ya kunaswa na Paparazi wetu katika hali ambayo si ya kawa... 07:29Dj maarufu wa New Maisha Club Dodoma ajikuta kwenye wakati mgumu baada ya kunaswa na Paparazi wetu katika hali ambayo si ya kawaida, Ilikuwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUTOKA DODOMA MACHANGU WAAMUA KUFUNGUKA NA KUSEMA "WABUNGE WA KATIBA WANALIPA VIZURI" KWENYE SEKTA GANI ?? SOMA HAPA
KUTOKA DODOMA MACHANGU WAAMUA KUFUNGUKA NA KUSEMA "WABUNGE WA KATIBA WANALIPA VIZURI" KWENYE SEKTA GANI ?? SOMA HAPA
Wasichana wanaofanya biashara ya kujiuza katika maeneo mbalimbali mjini hapa wameelezea neema iliyowafikia kufuatia 07:23SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SASA IMEKUWA TOO MUCH LINAH AANIKA OAJA LAKE NJE NJE ... SWALI ANALIPENDA PAJA LAKE AU NDO MATANGAZO???
SASA IMEKUWA TOO MUCH LINAH AANIKA OAJA LAKE NJE NJE ... SWALI ANALIPENDA PAJA LAKE AU NDO MATANGAZO???
Staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga. KUNA mambo mengine yanafanywa na wasanii wetu yanachanganya sana akili, kiasi cha kukufany... 07:22
KUNA mambo mengine yanafanywa na wasanii wetu yanachanganya sana akili, kiasi cha kukufanya ufikiri mara mbili kama huwa wanafanya tafakuri kabla ya kusema au wanafanya makusudi kwa malengo maalum?
Wakati mwingine unadata zaidi unaposikia kauli kama hizo zimetolewa na mtoto aliyelelewa katika aina ya maisha unayoamini yana maadili na vitu kama hivyo.
Estelina Sanga, maarufu kama Linah, ni binti mdogo, ambaye ndiyo kwanza anaanza kuogelea katika umaarufu wa muziki wa kizazi kipya baada ya kuibuliwa pale Tanzania House of Talent (THT).
Estelina Sanga, maarufu kama Linah, ni binti mdogo, ambaye ndiyo kwanza anaanza kuogelea katika umaarufu wa muziki wa kizazi kipya baada ya kuibuliwa pale Tanzania House of Talent (THT).
Hana kazi nyingi sana alizofanya vizuri zinazoweza kukushawishi kuwa namzungumzia staa wa levo za kina Mwasiti kwa mfano. Kuna chache alizofanya mwenyewe kama Atatamani, Janjaruka, Nia yangu na baadhi alizoshirikishwa kama ile ya Barnaba, Wrong Number na ule alioshirikiana na kijana aliyewahi
kutoka naye kimapenzi, ambaye pia ni zao lingine la THT, Amini wa Mtima wangu.
Haonekani kuwa na ‘jihad’ katika kazi, kwani katika siku za hivi karibuni, amekuwa akiripotiwa zaidi katika matukio.
Haonekani kuwa na ‘jihad’ katika kazi, kwani katika siku za hivi karibuni, amekuwa akiripotiwa zaidi katika matukio.
Siku chache zilizopita alifika ofisini kwetu na kufanya mahojiano na kituo chetu cha televisheni, kinachorusha matangazo yake kupitia mtandao, yaani Global TV Online.
Alizungumza mambo mengi yanayohusu kazi zake za kimuziki, malengo yake, changamoto bila kusahau jinsi anavyoishi na jamii inayomzunguka.
Alizungumza mambo mengi yanayohusu kazi zake za kimuziki, malengo yake, changamoto bila kusahau jinsi anavyoishi na jamii inayomzunguka.
Katika mahojiano hayo, hakuondoka bila kuwaachia ‘kitu’ baadhi ya watazamaji wa televisheni hiyo, nikiwemo mimi. Alisema anapenda kuvaa nguo fupi (vimini) na zile za mpasuo kwa sababu anapenda kuliona paja lake na kwamba analipenda!
Sijui, labda wapo walioona jambo hilo la kawaida tu, tofauti na mimi. Kwangu niliitilia mashaka kauli ile, kwa sababu ina ukakasi. Kwamba analipenda paja lake, Wazungu wanasema hiyo ni obviously, yaani lazima, kwa sababu itakuwa ni kituko cha mwaka kumkuta binadamu anayechukia kiungo chake, kiwe vyovyote kilivyo.
Lakini kama mtu analipenda paja lake, kitu ambacho ni kizuri sana, ndiyo ulianike nje lionwe na kila mtu? Halafu paja ni kiungo ambacho katika mazingira na utamaduni wetu, ni nyeti. Sasa inapotokea binti mmoja, ambaye niliwahi kusikia kwamba ni mtoto wa kasisi, anasema kwamba anahusudu kuonyesha ‘live’ kiungo chake nyeti hadharani, ni lazima utilie shaka akili yake.
Akili yangu ya kawaida inaniambia kwamba mtu mwenye kukipenda kiungo chake, hasa kile nyeti, angekihifadhi, watu wasije wakakiona na kukiharibu! Kwa mtoto wa kike kama Linah, ningeamini kama analipenda paja lake kama lisingekuwa linaonekana ovyo, angelihifadhi hata kwenye baibui!
Msichana, tena aliyezaliwa mwaka 1990, anayelipenda paja lake angelificha, ili kulinusuru na wanaume wakware, wenye uchu wa wanawake wanaojianika kama Linah.
Tafsiri nyepesi kwa maneno ya nyota huyu wa Bongo Fleva ni kwamba halipendi paja lake, analionyesha kwa watu ili waliharibu.
Tafsiri nyepesi kwa maneno ya nyota huyu wa Bongo Fleva ni kwamba halipendi paja lake, analionyesha kwa watu ili waliharibu.
Kama Linah anakwenda Club akiwa paja nje na pale tunajua kuna watu wenye hela zao wanaokosa watu wa kuwasaidia matumizi, unaweza kupata hisia kitu gani kitatokea?
Ni wazi kuwa analianika ili watu walione, wavutiwe nalo na baadaye ashirikiane nao kuliharibu.
Ni wazi kuwa analianika ili watu walione, wavutiwe nalo na baadaye ashirikiane nao kuliharibu.
Ningemshauri kama mdogo wangu kwamba wakati mwingine ni bora kukaa kimya na kuwaacha watu wakujadili wenyewe pasipo kutoa kauli zinazoweza kuwaongoza kukujadili.
Na labda, uvaaji wa nguo fupi na mipasuo tata, haiwezi kumsaidia kupandisha mauzo au uwezo wa kazi zake. Kama msanii, anaweza kuvaa mavazi hayo katika maeneo yenye kuruhusu, ambayo mara zote huwa ni usiku, lakini kuachia paja lako mbele ya kadamnasi, kwa madai kuwa unalipenda, nadhani siyo sawa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUMBE HUIKI NDICHO KILICHOMKIMBIZA PEP GUARDIAOLA BARCELONA SOMA ZAIDI HAPA...
KUMBE HUIKI NDICHO KILICHOMKIMBIZA PEP GUARDIAOLA BARCELONA SOMA ZAIDI HAPA...
Kocha wa klabu bingwa ya ulaya Bayern Munich, Pep Guardiola, amefunguka kwamba kipigo kutoka kwa Chelsea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya m... 06:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)