May 27, 2016
Meek Mill amchana Drake kwenye wimbo mpya, ugomvi waanza upya
Meek Mill amchana Drake kwenye wimbo mpya, ugomvi waanza upya
Kama ulijua series ya bifu la Drake na Meek Mill limeisha baada ya ukimya wao wa muda mrefu basi amka kwenye hilo kwasababu Meek Mill amemc... 23:30
Kama ulijua series ya bifu la Drake na Meek Mill limeisha baada ya ukimya wao wa muda mrefu basi amka kwenye hilo kwasababu Meek Mill amemchana tena Drake kwenye ‘All The Way Up Remix’ akiwa na Fabolous.
Ndani ya wimbo huo Meek Mill amemchana Drake kwa kumwambia, “This is hip-hop,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: Mbunge Halima Bulembo katusaidia kuipata Takwimu ya Wanafunzi Tanzania
VIDEO: Mbunge Halima Bulembo katusaidia kuipata Takwimu ya Wanafunzi Tanzania
Bado tunazisogelea stori kutokea Bungeni Dodoma, siku mbili za May 26 na 27 zimetengwa kwa ajili ya kuijadili bajeti ya Wizara ya Elimu, ... 21:30
Bado tunazisogelea stori kutokea Bungeni Dodoma, siku mbili za May 26 na 27 zimetengwa kwa ajili ya kuijadili bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi iliyowasilisha maombi yake ya fedha kwa mwaka wa 2016/2017 kiasi cha Shilingi 1,396,929,798,625.00
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mchekeshaji Mau adai kuanza kuona mwanga
Mchekeshaji Mau adai kuanza kuona mwanga
Msanii wa komedi Maulid Ali maarufu kama Maufundi amesema kwa sasa amekuwa akipata pesa kutumia mitandao ya kijamii zaidi kwa kufanya vid... 21:30
Msanii wa komedi Maulid Ali maarufu kama Maufundi amesema kwa sasa amekuwa akipata pesa kutumia mitandao ya kijamii zaidi kwa kufanya video za muziki za vichekesho, parody.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video: Korede Bello – One & Only
Video: Korede Bello – One & Only
Msanii kutoka Nigeria Korede Bello kutoka Record Lebo ya Mavin Records ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “One & Only”. ”. 21:00
Msanii kutoka Nigeria Korede Bello kutoka Record Lebo ya Mavin Records ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “One & Only”.
”.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Aunty Ezekiel kaelezea siku Mose Iyobo alipohisi mtoto sio wake soma hapa
Aunty Ezekiel kaelezea siku Mose Iyobo alipohisi mtoto sio wake soma hapa
Mwigizaji Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive ya AyoTV na kuelezea vitu kadhaa kwenye mapenzi yake na Dancer wa Diamond Platnumz Mose ... 20:26
Mwigizaji Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive ya AyoTV na kuelezea vitu kadhaa kwenye mapenzi yake na Dancer wa Diamond Platnumz Mose Iyobo ambapo miongoni mwa alivyoongelea ni pamoja na siku ambayo Mose alihisi ujauzito aliokua nao Aunty sio wa mtoto wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BASHE: CCM NI WAOGA, WANAFIKI NA WA KUJIPENDEKEZA, HATUNA SABABU YA KUENDELEA KUBAKI MADARAKANI
BASHE: CCM NI WAOGA, WANAFIKI NA WA KUJIPENDEKEZA, HATUNA SABABU YA KUENDELEA KUBAKI MADARAKANI
Akichangia kwenye bajeti ya mali asili na utalii amewaambia wabunge na serikali kuwa hawajawahi kuweka malengo haswa ya kutatua matatizo ... 20:00
Akichangia kwenye bajeti ya mali asili na utalii amewaambia wabunge na serikali kuwa hawajawahi kuweka malengo haswa ya kutatua matatizo ya wafugaji na waulima, wamekuwa waoga, wanafiki na wakujipendekeza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Gabo Zigamba Asema "Mimi Ni Zaidi Ya Ray, Naweza Kufanya Kitu Zaidi Yake"
Gabo Zigamba Asema "Mimi Ni Zaidi Ya Ray, Naweza Kufanya Kitu Zaidi Yake"
Msanii wa filamu nchini ambaye anafahamika kwa kuigiza kwa lafudhi ya Kimakonde Gambo Zigamba amefunguka na kusema kuwa yeye ni zaidi ya ms... 20:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Show ya TV ya baba wa kambo wa Kim Kardashian aliyejibadilisha kuwa mwanamke yapigwa marufuku kuoneshwa Afrika
Show ya TV ya baba wa kambo wa Kim Kardashian aliyejibadilisha kuwa mwanamke yapigwa marufuku kuoneshwa Afrika
Imethibitishwa kuwa E! Entertainment na NBC Universal wamesitisha reality show ya Caitlyn Jenner, I Am Cait barani Afrika. 19:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Vanessa na Shilole kumaliza ‘bifu’ yao Billz, ilipangwa au mtu kachukua fursa?
Vanessa na Shilole kumaliza ‘bifu’ yao Billz, ilipangwa au mtu kachukua fursa?
Katika badiliko kubwa la matukio, Vanessa Mdee na Shilole wanatarajia kutumbuiza pamoja Jumapili hii kwenye ukumbi wa Club Billcanas jijini... 18:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Raymond: Sina tatizo na Harmonize
Raymond: Sina tatizo na Harmonize
Raymond amefafanua kinachoendelea kati yake na Harmonize kutokana na maneno yaliyoanza kuzungumzwa mtaani kuwa Harmonize ameanza kumkunjia ... 17:00
Raymond amefafanua kinachoendelea kati yake na Harmonize kutokana na maneno yaliyoanza kuzungumzwa mtaani kuwa Harmonize ameanza kumkunjia Raymond.
Raymond kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake‘Natafuta Kiki’kwenye redio na mtaani japo hauna muda
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Harmonize kuja na ngoma aliyomshirikisha Korede Bello
Harmonize kuja na ngoma aliyomshirikisha Korede Bello
Hivi karibuni Harmonize ameingia kwenye kiki kubwa baada ya kuanzisha couple mpya mjini akiwa na staa wa filamu Jacqueline Wolper. 16:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Sasa Hivi Jackline Wolper Anamuita Diamond Platnumz Jina Hili Hapa
Sasa Hivi Jackline Wolper Anamuita Diamond Platnumz Jina Hili Hapa
Kwa sasa headlines nyingi katika upande wa mastaa Tanzania ni stori kuhusu penzi la muigizaji Jackline Wolper na msanii wa Bongo fleva kuto... 16:37
Kwa sasa headlines nyingi katika upande wa mastaa Tanzania ni stori kuhusu penzi la muigizaji Jackline Wolper na msanii wa Bongo fleva kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) Harmonize ndio Topic kubwa town.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jose Mourinho atangazwa rasmi Meneja mpya wa Manchester United
Jose Mourinho atangazwa rasmi Meneja mpya wa Manchester United
Klabu ya Manchester United leo imemtangaza rasmi Mreno Jose Mourinho kuwa Meneja wao mpya akichukua mikoba ya Mholanzi Louis Van Gaal aliye... 16:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
The Game awaacha mashabiki wake midomo wazi
The Game awaacha mashabiki wake midomo wazi
Rapa kutoka nchini Marekani, The Game ameonekana kwenye kipande cha video kilichozua maswali kwa mashabiki. Kipande hiko cha video kinamu... 16:00
Rapa kutoka nchini Marekani, The Game ameonekana kwenye kipande cha video kilichozua maswali kwa mashabiki.
Kipande hiko cha video kinamuonyesha rapa huyo [The Game] akiwa amekaliwa juu ya kifua chake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wema adai kwa wiki anatumia Tsh milioni 1.2 kwa ajili ya nywele zake
Wema adai kwa wiki anatumia Tsh milioni 1.2 kwa ajili ya nywele zake
Msanii wa filamu, Wema Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. 14:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Sioni kama ninaimba na kurap kama Godzilla – Billnass (Video)
Sioni kama ninaimba na kurap kama Godzilla – Billnass (Video)
Rapper William Nicholas aka Billnass amesema haoni kama anarap na kuimba kama Godzilla na kwamba wasanii waliomuinspire ni wengine kabisa. 14:31
Rapper William Nicholas aka Billnass amesema haoni kama anarap na kuimba kama Godzilla na kwamba wasanii waliomuinspire ni wengine kabisa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Diamond achukua taji la Lip Sync Africa ya MTV
Diamond achukua taji la Lip Sync Africa ya MTV
Diamond Platnumz amechukua taji la kipindi cha Lip Sync Africa kinachorushwa na kituo cha MTV SA. D’Banj ambaye ni host wa show hiyo ak... 14:00
D’Banj ambaye ni host wa show hiyo akimpongeza Diamond kwa ushindi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video: Utapenda uwezo wa kurap wa mtoto wa Mr Blue, Sameer
Video: Utapenda uwezo wa kurap wa mtoto wa Mr Blue, Sameer
Like father like son. Mtoto wa kiume na wa kwanza wa Mr Blue, Sameer amedhihirisha kuwa anafuata nyayo za baba yake. 13:30
Like father like son. Mtoto wa kiume na wa kwanza wa Mr Blue, Sameer amedhihirisha kuwa anafuata nyayo za baba yake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RAIS MAGUFULI ATOA MCHANGO WA MILIONI 10 KUSAIDIA MATIBABU YA MWANAFUNZI ALIYEPATA UPOFU
RAIS MAGUFULI ATOA MCHANGO WA MILIONI 10 KUSAIDIA MATIBABU YA MWANAFUNZI ALIYEPATA UPOFU
Rais John Magufuli ametoa mchango wa Sh. milioni 10 kwa ajili kusaidia matibabu ya mwanafunzi Bernadetha Msigwa aliyepata upofu hivi karibuni. 12:57SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mbunge wa CHADEMA, Mr II Sugu Kuhojiwa na CloudsTV Kwa Mara ya Kwanza Toka Amalize Tofauti
Mbunge wa CHADEMA, Mr II Sugu Kuhojiwa na CloudsTV Kwa Mara ya Kwanza Toka Amalize Tofauti
Joseph Mbilinyi ameanza ku-trend kwenye mitandao ya kijamii kupitia tangazo linaloonyesha atahojiwa na CloudsTV Ijumaa May 27 2016, amean... 12:56
Joseph Mbilinyi ameanza ku-trend kwenye mitandao ya kijamii kupitia tangazo linaloonyesha atahojiwa na CloudsTV Ijumaa May 27 2016, ameanza kutrend hata kabla Interview yenye haijaonyeshwa na hii ni kutokana na sababu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MREMA AIBUKA NA KUMSHUTUMU MAALIM SEIF JUU YA HARAKATI ZAKE ZNZ,RIPOTI KAMILI HII HAPA..!!!
MREMA AIBUKA NA KUMSHUTUMU MAALIM SEIF JUU YA HARAKATI ZAKE ZNZ,RIPOTI KAMILI HII HAPA..!!!
CHAMA cha Tanzania Labour Party (TLP) kimetaka wananchi wa Zanzibar kudumisha amani, umoja na kuacha kufuata kauli za baadhi ya viongozi ... 11:30
CHAMA cha Tanzania Labour Party (TLP) kimetaka wananchi wa Zanzibar kudumisha amani, umoja na kuacha kufuata kauli za baadhi ya viongozi wa kisiasa zinazolenga kuharibu amani na kuchochea vurugu.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Agustino Mrema alipozungumza na waandishi wa habari.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TUMIA NJIA HIZI 3 ZA KIASILI KUPUNGUZA UZITO NA UNENE KWA HARAKA...!!!
TUMIA NJIA HIZI 3 ZA KIASILI KUPUNGUZA UZITO NA UNENE KWA HARAKA...!!!
Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu h... 11:00
Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya
. Watu wenye uzito mkubwa wamekuwa wakijaribu njia nyingi tofauti za kupunguza uzito bila ya mafanikio
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Justin Bieber afanya kitu kingine cha kushtukiza
Justin Bieber afanya kitu kingine cha kushtukiza
Series ya vituko vya staa Justin Bieber bado inaendelea baada ya kutumia dola 80,000 kwa ajili ya kupanga nyumba huko Los Angeles, Marekani... 10:25
Series ya vituko vya staa Justin Bieber bado inaendelea baada ya kutumia dola 80,000 kwa ajili ya kupanga nyumba huko Los Angeles, Marekani.
Hivi karibuni Justin Bieber amekuwa topic kwenye media nchini Marekani kutokana na vituko alivyoanza kuvifanya kila kukicha ambavyo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA WAZIRI LUKUVI KUMSHTUMU LOWASSA KUMILIKI SHAMBA BILA HATI,MAPYA YAIBUKA JUU YA SAKATA HILO..!!!
BAADA YA WAZIRI LUKUVI KUMSHTUMU LOWASSA KUMILIKI SHAMBA BILA HATI,MAPYA YAIBUKA JUU YA SAKATA HILO..!!!
Mbunge wa Monduli Julius Laizer Kalanga (Chadema), amesema kuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa hana hati miliki ya shamba lolote kati... 09:00
Mbunge wa Monduli Julius Laizer Kalanga (Chadema), amesema kuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa hana hati miliki ya shamba lolote katika jimbo hilo bali ni upotoshaji wa taarifa alizopewa Waziri wa Ardhi,Wiliam Lukuvi na wasaidizi wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BLACK CHYNA SASA KUKUBALIKA KWA THE KARDASHIANS.
BLACK CHYNA SASA KUKUBALIKA KWA THE KARDASHIANS.
Baada ya kudaiwa kuongoza ndugu kupinga kaka yao Rob Kardashian kuwa na mahusiano na Blac Chyna,Kim Kardashian sasa amenyoosha mikono juu. 09:00
Baada ya kudaiwa kuongoza ndugu kupinga kaka yao Rob Kardashian kuwa na mahusiano na Blac Chyna,Kim Kardashian sasa amenyoosha mikono juu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAJIMBO KUMI NA MOJA YA MAREKANI YANAUSHTAKI UTAWALA WA RAIS BARACK OBAMA.
MAJIMBO KUMI NA MOJA YA MAREKANI YANAUSHTAKI UTAWALA WA RAIS BARACK OBAMA.
Majimbo kumi na moja ya Marekani yanaushtaki utawala wa Rais Barack Obama, dhidi ya agizo lake kwamba shule za umma lazima wanafunzi wali... 08:30
Majimbo kumi na moja ya Marekani yanaushtaki utawala wa Rais Barack Obama, dhidi ya agizo lake kwamba shule za umma lazima wanafunzi waliobadili jinsia kuchagua vyoo vya kutumia.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MUGABE AZIDI KUWAVIMBIA MAREKANI NA UINGEREZA,ATOA KAULI HII DHIDI YAO...!!!
MUGABE AZIDI KUWAVIMBIA MAREKANI NA UINGEREZA,ATOA KAULI HII DHIDI YAO...!!!
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake kweny... 07:15
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare kwa heshima yake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Smartphone ya kwanza ya Robot Duniani imeanza kuuzwa leo, Check uwezo wake
Smartphone ya kwanza ya Robot Duniani imeanza kuuzwa leo, Check uwezo wake
Teknolojia inazidi kukua kwa kasi na uvumbuzi wa vifaa mbalimbali vya urahisishaji wa kazi vinatengenezwa, kwa mara ya kwanza duniani sim... 06:59
Teknolojia inazidi kukua kwa kasi na uvumbuzi wa vifaa mbalimbali vya urahisishaji wa kazi vinatengenezwa, kwa mara ya kwanza duniani simu iliyotengenezwa kama robotiimeanza kuuzwa rasmi leo May 26 2016, Simu hiyo imeitwa RoBoHon na imetengenezwa katika size kama simu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Risasi zapigwa katikati ya show ya T.I New York Marekani, mmoja auwawa
Risasi zapigwa katikati ya show ya T.I New York Marekani, mmoja auwawa
Rapper T.I ambaye pia aliwahi kuja bongo kwenye FIESTA, alikuwa na show New York Marekani katika show usiku wa May 25 2016 akisindikizwa ... 06:58
Rapper T.I ambaye pia aliwahi kuja bongo kwenye FIESTA, alikuwa na show New York Marekani katika show usiku wa May 25 2016 akisindikizwa na Maino na Uncle Murda ambapo kabla T.I hajapanda kwenye stage, ilisikika milio ya risasi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jose Mourinho amesaini Man United, taarifa rasmi kutoka Sky Sport
Jose Mourinho amesaini Man United, taarifa rasmi kutoka Sky Sport
Huenda huu ndio ukawa mwisho wa headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kujiunga na klabu ya Man United, kwani taarifa kutoka mitandao ming... 06:57
Huenda huu ndio ukawa mwisho wa headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kujiunga na klabu ya Man United, kwani taarifa kutoka mitandao mingi ya soka Ulaya ikiwemo Sky Sport unaripoti kocha huyo kujiunga na Man United.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Meneja wa Alikiba aelezea kwa undani faida za Alikiba kwenye mkataba na Sony
Meneja wa Alikiba aelezea kwa undani faida za Alikiba kwenye mkataba na Sony
Mwimbaji wa bongofleva Tanzania Alikiba alijaa kwenye headlines baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Johannes... 06:56
Mwimbaji wa bongofleva Tanzania Alikiba alijaa kwenye headlines baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Johannesburg South
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 27, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 27, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews il... 06:54
May 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)