Bongo Movies actress and also Bongo fleva artist Shilole a.k.a Shishi baby on her Instagram account has shared several pics of herself looking very $exy, Shilole who is now making better in her new song called 'Say My Name' always has a tendency of showing her fans that she is so beautiful as her statement she
June 04, 2016
Is Shilole More Beautiful than all female Bongo fleva artists? See her Pics as she shared on Instagram!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zari ni Mjamzito Tena ? Mama Yake Diamond Amethibitisha Kwa Maneno Haya
Zari ni Mjamzito Tena ? Mama Yake Diamond Amethibitisha Kwa Maneno Haya
Muda si mrefu sana toka Zari na Diamond Platnumz wamepata mtoto wao wa kwanza kwa jina 16:30
Muda si mrefu sana toka Zari na Diamond Platnumz wamepata mtoto wao wa kwanza kwa jina
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baada ya kuoa mwanamke mwingine, Isabella adai ni yeye ndiye alimpiga chini Kalama, adai ni mwanaume asiye na future
Baada ya kuoa mwanamke mwingine, Isabella adai ni yeye ndiye alimpiga chini Kalama, adai ni mwanaume asiye na future
Baada ya rapper wa kundi la Gangwe Mobb, Luteni Kalama kuoa mwanamke mwingine na kumwacha mchumba wake aliyemvisha pete, Isabella ameibuka ... 16:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
world wonders; World’s first ‘pregnant man’ marries his kids’ school teacher
world wonders; World’s first ‘pregnant man’ marries his kids’ school teacher
With the new wife Amber Nichols Thomas Beatie who made waves as the first 'pregnant man' has remarried. He's now married to... 14:43
With the new wife Amber Nichols
Thomas Beatie who made waves as the first 'pregnant man' has remarried. He's now married to his kid's preschool teacher, Amber Nichols.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mbagala Zakiem check out video and photo of Chips Mayai event prepered by Clouds Media Group
Mbagala Zakiem check out video and photo of Chips Mayai event prepered by Clouds Media Group
Mbagala Zakiem a person is preparing chips ready for the event of Chips Mayai 14:41
Mbagala Zakiem a person is preparing chips ready for the event of Chips Mayai
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Babu Tale asema ni bahati kwa wasanii wa ‘WCB’ kupata wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao (Video)
Babu Tale asema ni bahati kwa wasanii wa ‘WCB’ kupata wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao (Video)
Baada ya kambi ya WCB kuonekana wasanii wake wanapenda kutoka kimapenzi na wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, uongozi wa kambi hiyo umel... 14:32SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Lamar Odom adaiwa kurudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
Lamar Odom adaiwa kurudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
Mchezaji wa zamani wa kikapu, Lamar Odom amedaiwa kurudi tena kwenye matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kukutwa kwa vifaa vya matumizi ... 14:31
Mchezaji wa zamani wa kikapu, Lamar Odom amedaiwa kurudi tena kwenye matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kukutwa kwa vifaa vya matumizi hayo nyumbani kwake huko Los Angeles.
Mwezi October mwaka jana staa huyo wa zamani kwenye kikapu alilazwa hospitali baada ya kukutwa akiwa amezidiwa kutokana na kuzidisha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ronaldinho kutokea kwenye filamu mpya ya Van Damme
Ronaldinho kutokea kwenye filamu mpya ya Van Damme
Staa wa soka duniani, Ronaldinho Gaucho amekubali kucheza kwenye filamu mpya ya kikckboxer ‘Retaliation’ ya Jean-Claude Van Damme. Ronald... 11:00
Staa wa soka duniani, Ronaldinho Gaucho amekubali kucheza kwenye filamu mpya ya kikckboxer ‘Retaliation’ ya Jean-Claude Van Damme.
Ronaldinho ambaye kwenye filamu hiyo ametumia jina la Ronaldo atakuwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Forbes watoa orodha ya waburudishaji wa kike matajiri Marekani, nao ni?
Forbes watoa orodha ya waburudishaji wa kike matajiri Marekani, nao ni?
Tovuti ya Forbes imetoa orodha mpya ya waburudishaji nchini Marekani ambao ni matajiri zaidi. Watazame hapo chini: 11:00
Tovuti ya Forbes imetoa orodha mpya ya waburudishaji nchini Marekani ambao ni matajiri zaidi. Watazame hapo chini:
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Dunia imepata msiba wa Bondia wa zamani wa Marekani Mohammad Ali
Dunia imepata msiba wa Bondia wa zamani wa Marekani Mohammad Ali
Bondia wa zamani ambaye alijiita ‘the greatest’ ambaye alikuwa ni miongoni mwa watu maarufu na wenye wapenzi wengi duniani, Mohammad Ali ... 08:50
Bondia wa zamani ambaye alijiita ‘the greatest’ ambaye alikuwa ni miongoni mwa watu maarufu na wenye wapenzi wengi duniani, Mohammad Ali amefariki akiwa na umri wa mika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zitto: Simjadili Dr Tulia ni Kibaraka, Mdee: Serikali ya Magufuli ni ya Kisanii Tu!
Zitto: Simjadili Dr Tulia ni Kibaraka, Mdee: Serikali ya Magufuli ni ya Kisanii Tu!
Wakihojiwa na redio moja mkoani Kagera inakosemekana wataanzia ziara hivi karibuni Zitto amesema hawezi kumjadili naibu spika maana anaj... 07:30
Zitto amesema hawezi kumjadili naibu spika maana anajua anatumwa. "Huyu simjadili maana najua anatumwa na akiambiwa geuka anageuka, akiambiwa kimbia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mahakama yamuongezea kifungo Meek Mill
Mahakama yamuongezea kifungo Meek Mill
Rapper kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameongezewa kifungo cha ndani cha siku nane baada ya kukiuka masharti ya kifungo cha ndani alichop... 07:30
Rapper kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameongezewa kifungo cha ndani cha siku nane baada ya kukiuka masharti ya kifungo cha ndani alichopewa awali cha siku 90 baada ya kukutwa na silaha bila kibali na madawa ya kulevya.
Awali rapper huyo alipewa adhabu hiyo ya kifungo cha siku 90 ndani iliyoambatana na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hizi Hapa Aina Nne za Wanawake Michepuko..Utaipenda Hii
Hizi Hapa Aina Nne za Wanawake Michepuko..Utaipenda Hii
1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu. 2. MCHEPUKO VUM... 06:10
1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.
2. MCHEPUKO VUMBI: Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa, oooh mara nipo saluni nadaiwa elf thelathin, naomba nauli.....n.k! Na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kama unajiuliza Zlatan atachezea timu gani msimu ujao, Sky Sport wametaja klabu hii
Kama unajiuliza Zlatan atachezea timu gani msimu ujao, Sky Sport wametaja klabu hii
Najua wewe ni mmoja kati ya watu wanaojiuliza maswali nahodha wa timu ya taifa yaSweden Zlatan Ibrahimovic atacheza klabu gani msimu ujao... 06:09
Najua wewe ni mmoja kati ya watu wanaojiuliza maswali nahodha wa timu ya taifa yaSweden Zlatan Ibrahimovic atacheza klabu gani msimu ujao, basi majibu yanakaribia kupatika hasa baada ya Sky Sport kuripoti kuwa staa huyo yupo njiani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 4, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 4, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hard... 06:08
June 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)