Baada
ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile
nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing
day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa
kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa.
December 30, 2013
WEMA, DIAMOND WAMTESA PENNY
WEMA, DIAMOND WAMTESA PENNY
ISHU ya wapenzi zilipendwa, Wema Isaac Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kurudiana inadaiwa kumtesa mpenzi wa s... 23:40
ISHU ya wapenzi zilipendwa, Wema
Isaac Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kurudiana
inadaiwa kumtesa mpenzi wa sasa wa Diamond ambaye ni mtangazaji wa DTV,
VJ Penniel Mungilwa ‘Penny’ hivyo kulazimika kukiri kuwa hajawahi
kupitia wakati mgumu kama anaopitia sasa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND ATAJA SABABU 5 ZILIZOMFANYA ARUDIANE NA WEMA
DIAMOND ATAJA SABABU 5 ZILIZOMFANYA ARUDIANE NA WEMA
Baada ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baad... 23:39
Baada
ya kimya kirefu juu ya tetesi za kurudiana kwa mwanadada Wema Sepetu na
Diamond kuzagaa kwenye mitandao hasa baada ya picha za wawili hao
waliokuwa wamechana kuonekana wakila “bata” pamoja maeneo ya Hong Kong
huko kwenye bara la Asia, sababu na ukweli wa namna wawili hao
walivyorudiana umewekwa waza baada ya hivi karibuni msanii diamond
platnumz kuzungumza na mtandao wa paparazi na kuelezea jinsi tukio hilo
zima lilivyokuwa.Katika
mazungumzo hayo Diamond alitaja mambo haya makuu matano yaliyosababisha
mpaka aamue kurudisha vikosi kwa mwanadada Sepetu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANZA YAPAMBA MOTO ... MAANDAMANO YA WAFANYABIASHARA KUPINGA UWEPO WA MASHINE ZA TRA
MWANZA YAPAMBA MOTO ... MAANDAMANO YA WAFANYABIASHARA KUPINGA UWEPO WA MASHINE ZA TRA
Hali si nzuri sana jijini Mwanza kutokana na mgomo wa wafanyabiashara wa jiji la mwanza ulionza leo asubuhi....... 23:28SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JAJI WARIOBA KUILIZA AU KUIPA KICHEKO CCM LEO
JAJI WARIOBA KUILIZA AU KUIPA KICHEKO CCM LEO
Jaji Joseph Warioba. Ni rasimu ya pili mfumo wa Muungano. Nape: Tusubiri tuone kitakachotokea. Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo itakabidh... 23:26
Jaji Joseph Warioba.Ni rasimu ya pili mfumo wa Muungano.
Nape: Tusubiri tuone kitakachotokea.
Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo itakabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, rasimu ya pili na ya mwisho ya katiba mpya, huku
Nape: Tusubiri tuone kitakachotokea.
Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo itakabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, rasimu ya pili na ya mwisho ya katiba mpya, huku
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KATIKA KUELEKEA KUMALIZA MWAKA ,,HAYA NDIO MATUKIO 10 YALIYO SHIKA VICHWA VYA HABARI 2013 KWENYE TASNIA YA MUZIKI...
KATIKA KUELEKEA KUMALIZA MWAKA ,,HAYA NDIO MATUKIO 10 YALIYO SHIKA VICHWA VYA HABARI 2013 KWENYE TASNIA YA MUZIKI...
10. Kala Jeremiah Kusaini Mkataba na pepsi Kala Jeremiah msanii mwenye tunzo 3 za hip hop kut... 23:23
10. Kala Jeremiah Kusaini Mkataba na pepsi
Kala Jeremiah msanii mwenye tunzo 3 za hip hop kutoka Kili Music
Award 2013alisaini mkataba wa miezi 6 kutoka kampuni ya PEPSI kama
balozi wa soda hiyo. Kala alisema mkataba huo umempa furaha sana na
amejisikia faraja sana. Sasa kala anaonekana kwenye matangazo ya pepsi
na ni kitu cha kufurahisha kwenye
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAMA BADO BASI SOMA HAPA MKASA MZIMA WA JACK CLIFF KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI CHINA
KAMA BADO BASI SOMA HAPA MKASA MZIMA WA JACK CLIFF KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI CHINA
MADAI ya kukamatwa kwa tuhuma za kumeza madawa ya kulevya aina ya Heroin nchini China kwa msanii, Video Queen na mwanamiti... 23:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SNURA AZUNGUMZA MAZITO KUHUSU MADAME WEMA NA MUZIKI WAKE...SOMA HAPA KUJUA
SNURA AZUNGUMZA MAZITO KUHUSU MADAME WEMA NA MUZIKI WAKE...SOMA HAPA KUJUA
Snura Mushi ‘Mama Majanga’. MSANII wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ‘Mama Majanga’ ametoa ya moyoni na kumshuk... 23:17SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WASICHANA 20 WAREMBO ZAIDI AFRICA KWA MWAKA 2013...MTANZANIA MMOJA PIA YUMO..SOMA ZAIDI KUWAJUA
WASICHANA 20 WAREMBO ZAIDI AFRICA KWA MWAKA 2013...MTANZANIA MMOJA PIA YUMO..SOMA ZAIDI KUWAJUA
Jarida la Glitz Africa limetoa orodha ya wasichana 20 warembo zaidi barani Afrika (20 Most Beautiful Women in Africa) ambapo... 23:15
Jarida la Glitz Africa limetoa orodha ya wasichana 20 warembo zaidi
barani Afrika (20 Most Beautiful Women in Africa) ambapo hata hivyo
imetawaliwa na wanawake wa Nigeria na Ghana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MARTIN KADINDA ANENA MAZITO BAADA YA ULE UJUMBE WA JACK CLIFF WA WOSIA KUSAMBAA MTANDAONI,,, NA HIKI NDICHO ALICHOKISEMA..
MARTIN KADINDA ANENA MAZITO BAADA YA ULE UJUMBE WA JACK CLIFF WA WOSIA KUSAMBAA MTANDAONI,,, NA HIKI NDICHO ALICHOKISEMA..
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda anayedaiwa kuwa meneja wa zamani wa Jackie Cliff amesema hajapok... 23:13
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda
anayedaiwa kuwa meneja wa zamani wa Jackie Cliff amesema hajapokea
ujumbe wowote kutoka kwa mwanadada huyo anayeshikiliwa kwa tuhuma za
madawa ya kulevya huko Macao, China alipokuwa akitokea nchini Thailand.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIRI YAFICHUKA..KUMBE AGNESS MASOGANGE ANAMWIGA MWANADADA SHAY KWENYE STAILI ZA MAVAZI..!!!!TAZAMA PICHA ZAKE 13 HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAAJABU YA MWAKA...MWANADADA HUYU ATOA MACHOZI NA JASHO LA DAMU...SOMA ZAIDI HAPA
MAAJABU YA MWAKA...MWANADADA HUYU ATOA MACHOZI NA JASHO LA DAMU...SOMA ZAIDI HAPA
Miaka minne iliyopita msichana huyu mwenye umri wa miaka 19, Delfina Cedeno, alianza kupata tatizo hili la ajabu, lililokuwa liki... 23:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND APEWA MAJIBU MACHAFU BAADA YA KUWAULIZA MASHABIKI ZAKE WAMEKULA NINI...JIONEE MWENYEWE MANENO HAYO MACHAFU
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)