Nyumba ya kwanza ambayo waliamua kuishi Jay Z na Beyonce pamoja na mtoto waoBlue Ivy, ilikuwa maeneo ya Los Angeles Marekani na walianza rasmi maisha ndani ya huo mjengo February 2015, baadae mambo yakabadilika.. nyumba iliuzwa na
Baada ya kufanya interview na The Breakfast Club leo, rapper Rick Ross ameachia single yake mpya ‘Sorry’ ambayo ndani msanii wa R&B Chris Brown ameshirikishwa, wimbo utakaopatikana kwenye album mpya ya Rick Ross ‘Black Market’