February 19, 2014
FAHAMU MSIMAMO WA RAISI KIKWETE JUU YA HAKI ZA MASHOGA TANZANIA .. SOMA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ATIMAYE AMANDA POSH ALISHUKIA GAZETI LILILOMUANDIKA KUWA YEYE ANAJIUZA NA HIKI NDICHO ALICHO KISEMA
ATIMAYE AMANDA POSH ALISHUKIA GAZETI LILILOMUANDIKA KUWA YEYE ANAJIUZA NA HIKI NDICHO ALICHO KISEMA
Msanii wa filamu za kiswahili aka Bongo Movies, Amand Poshy, ameonekana kukerwa na habari iliyoandikwa na gazeti moja hapa nchini 23:24
Msanii wa filamu za kiswahili aka Bongo Movies, Amand Poshy, ameonekana kukerwa na habari iliyoandikwa na gazeti moja hapa nchini
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAWA NDO WANACHAMA WA FREEMASON HAPA TANZANIA , WATAZAME KATIKA PICHA YA PAMOJA
HAWA NDO WANACHAMA WA FREEMASON HAPA TANZANIA , WATAZAME KATIKA PICHA YA PAMOJA
Tanzania ina wanachama hai zaidi ya 600 wa kundi la watu wenye imani ya siri ya Freemasons wakiwa wanatokana na watu wa kada mbalimba... 23:23SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMAA: MFAHAMU MKE WA MWIGIZAJI PIMBI WA NAIJA "AKI"... MAMBO YAO SI MABAYA NIAJE...! TAZAMA HAPA
NOMAA: MFAHAMU MKE WA MWIGIZAJI PIMBI WA NAIJA "AKI"... MAMBO YAO SI MABAYA NIAJE...! TAZAMA HAPA
You all know actor Chinedu Ikedieze's wife is a designer, right? Nneoma Ikedieze is the CEO of Nikiz Collection and unveil... 23:22SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAYA SASA KINADADA HII INAWAHUSU..!! FAHAMU HUKUMU YA WAVAA VIMINI NCHINI UGANDA...WADAU VIPI KAMA IKIFANYIKA NA TANZANIA
HAYA SASA KINADADA HII INAWAHUSU..!! FAHAMU HUKUMU YA WAVAA VIMINI NCHINI UGANDA...WADAU VIPI KAMA IKIFANYIKA NA TANZANIA
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametia saini sheria mpya inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na hatia ya 21:15SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMAA: JENGO LA KUSHANGAZA LENYE UMBO KAMA UUME WA MWANAUME? TAZAMA HAPA
NOMAA: JENGO LA KUSHANGAZA LENYE UMBO KAMA UUME WA MWANAUME? TAZAMA HAPA
Gazeti la chama tawala cha china, People’s Daily ambalo limezoea kuwa kitovu cha kusambasa habari, sasa limejikuta likiwa habari 20:06Gazeti la chama tawala cha china, People’s Daily ambalo limezoea kuwa kitovu cha kusambasa habari, sasa limejikuta likiwa habari
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BWANA HARUSI ATIA AIBU HARUSINI KWA KUJISAHA KAMA KAOA, KISA KIKIWA MUZIKI NA .......UNAJUA IMETOKEA NINI, SOMA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LINEX "ISSUE YA MIMI KUTOKA NA AGNESS MASOGANGE IMENISABABISHIA MATATIZO NA FAMILIA YANGU"
LINEX "ISSUE YA MIMI KUTOKA NA AGNESS MASOGANGE IMENISABABISHIA MATATIZO NA FAMILIA YANGU"
Msanii kutoka Kigoma na memba wa kampuni ya Leka Dutigite Linex Sunday Mjeda ameendelea kutoa kilio chake juu ya uzushi 20:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PATA KUMFAHAMU MCHUMBA WA ADAM MCHOMVU ... JIONEE HAPA
PATA KUMFAHAMU MCHUMBA WA ADAM MCHOMVU ... JIONEE HAPA
Hatimaye Adam Mchumvu aamua kumuweka hadharani mpenzi wake. Tazama picha hizo hapo chini 18:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAULI YA MWANASHERIA KUHUSU SAKATA LA OKWI KUICHEZEA YANGA
KAULI YA MWANASHERIA KUHUSU SAKATA LA OKWI KUICHEZEA YANGA
Mwanasheria WA TFF, Allex Mgongolwa amesema kuwa mshambuliaji Emmanuel Okwi yupo huru kucheza Yanga na wala Sakata lake lisipotoshwe. 18:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NIMEFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YANGU KWA BAHATI MBAYA..PLEASE HELP
NIMEFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YANGU KWA BAHATI MBAYA..PLEASE HELP
Naombeni ushauri wa hali na mali katika hili , Siku kadhaa zilizopita hapa nyumbani kwetu tulifanya sherehe ya birthday ya mtoto wetu k... 18:09SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MSIMAMO WA ZITTO KUHUSU KATIBA MPYA HUU HAPA
MSIMAMO WA ZITTO KUHUSU KATIBA MPYA HUU HAPA
Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha CCM kuweka msimamo wa Serikali mbili kwenye muundo wa Muungano kinaua kabisa maana 18:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TANZANIA TUNAHITAJI RAIS MWENYE U DIKTETA KAMA KAGAME AJE KUBADILISHA MINDSET TUPATE MAENDELEO
TANZANIA TUNAHITAJI RAIS MWENYE U DIKTETA KAMA KAGAME AJE KUBADILISHA MINDSET TUPATE MAENDELEO
Pamoja na propaganda niite za kitoto zinazoendeshwa na viongozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya watanzania dhidi ya Rais Paul kagame 18:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LADY GAGA NAE HAISHI VITUKO SASA KAVAZI ALIKOVAA AIBU TUPU SEHEMU ZA SIRI AKIKAA VIBAYA UMEONA LIVE...MH JIONEE HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMAA: WATOTO WA KIUME WAWILI WEUSI WATUPWA JELA KWA KUPIGWA MABUSU MTOTO WA KIKE MZUNGU...!SOMA HAPA
NOMAA: WATOTO WA KIUME WAWILI WEUSI WATUPWA JELA KWA KUPIGWA MABUSU MTOTO WA KIKE MZUNGU...!SOMA HAPA
In 1958, two African American boys were playing with friends in the White section of their North Carolina town. It was an innoce... 18:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SWALI GUMU KWA WAHUSIKA WAKINA NANI WAMEIBA BILION SH 480 BILIONI HAZINA? ... TOA MAONI YAKO MDAU
SWALI GUMU KWA WAHUSIKA WAKINA NANI WAMEIBA BILION SH 480 BILIONI HAZINA? ... TOA MAONI YAKO MDAU
Tangu gazeti dada la The Citizen lichapishe mwishoni mwa wiki habari za upotevu wa Sh480 bilioni katika Wizara ya Fedha, Serikali ime... 13:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BEHIND THE SCENE YA VIDEO "ONE CAMPAIGN" WALIYOMO AY, DIAMOND, D'BANJ NA WENGINE WENGI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AIBUU: WOLPER NA MASOGANGE WAAMBULIA MATUSI MAZITO INSTAGRAM ..JIONEE MWENYEWE
AIBUU: WOLPER NA MASOGANGE WAAMBULIA MATUSI MAZITO INSTAGRAM ..JIONEE MWENYEWE
Instagram ndiyo sehemu ambayo maumbea yote ya mjini yanapatikana huko hasa kwa wasanii.. Kuna vitu vingi 13:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HALI YA AFYA YA MSANII IRENE UWOYA SIYO NZURI, AMELAZWA HOSPITALINI
HALI YA AFYA YA MSANII IRENE UWOYA SIYO NZURI, AMELAZWA HOSPITALINI
Taarifa zilizosemwa na rafiki wa karibu wa msanii Irene Uwoya ni kuwa yupo katika hali mbaya zaidi na kufikia 13:22SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LINDA BEZUIDENHOUT MASHALAAAH MTOTO GUU GUU ... ANGALIA PICHA MBALIMBALI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA FUNUNU KUWA LIL KIM NI MJAMZITO, MTOTOT ATAKAYEZALIWA AFAHAMIKA ... KIVIP SOMA HAPA
BAADA YA FUNUNU KUWA LIL KIM NI MJAMZITO, MTOTOT ATAKAYEZALIWA AFAHAMIKA ... KIVIP SOMA HAPA
Baada ya stori ya Lil Kim ambae ni rapper mkongwe wa Marekani kuonekana mjamzito, boyfriend wake ambae pia ni rapper Mr. Papers kwen... 09:49SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MARUFUKU KWA MWANAMKE YEYOTE KUVAA NGUO ZA NUSU UCHI UGANDA ... SOMA NA TAZAMA PICHA HAPA
MARUFUKU KWA MWANAMKE YEYOTE KUVAA NGUO ZA NUSU UCHI UGANDA ... SOMA NA TAZAMA PICHA HAPA
Taarifa ikufikie kwamba imepigwa marufuku kwa jinsia ya kike kuvaa nguo fupi (ki-mini) nchini Uganda na tayari Rais wa nchi hiyo Yo... 09:47SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAFISADI SABA WALIOFICHA FEDHA NCHI ZAA NJE WATAJWA ... SOMA HAPA
MAFISADI SABA WALIOFICHA FEDHA NCHI ZAA NJE WATAJWA ... SOMA HAPA
Seven Tanzanians have about $40 million (TSh64 billion) stashed in offshore accounts in British Virgin Islands and Jersey, The Citize... 09:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAHA AAMUA KUACHA MZIKI NA FILAMU..SKENDO NA PRESHA ZIMEMCHOSHA
BABY MADAHA AAMUA KUACHA MZIKI NA FILAMU..SKENDO NA PRESHA ZIMEMCHOSHA
Baby Madaha Amehabrisha kuwa Ameamua kuacha fani ya mziki na ya Uigizaji kwa kila ... 09:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JUMA NATURE AKANUSHA UVUMI KUWA KAMPONDA DIAMOND KWENYE WIMBO WAKE MPYA
JUMA NATURE AKANUSHA UVUMI KUWA KAMPONDA DIAMOND KWENYE WIMBO WAKE MPYA
Hatimaye Juma Nature, amezungumzia utata ulioibuka kwenye wimbo wake mpya Kama Jana, unaohusiana na kama kweli amemdiss Diamond. 09:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OMMY DIMPOZ AMPIGA KIJEMBE KIKALI DIAMOND KUPITIA TWITTER
OMMY DIMPOZ AMPIGA KIJEMBE KIKALI DIAMOND KUPITIA TWITTER
Diamond Platnumz ali-tweet kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu mambo ya mapenzi na mahusiano … 09:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHADEMA WATOA SIKU TATU KWA RAIS KIKWETE..SOMA ZAIDI HAPA...
CHADEMA WATOA SIKU TATU KWA RAIS KIKWETE..SOMA ZAIDI HAPA...
Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ame... 08:56SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMA SAANA: SUKA ANASWA LIVE AKINGONOKA NA CHANGUDOA NDANI YA GARI YA KAMPUNI ...SOMA ZAIDI HAPA
NOMA SAANA: SUKA ANASWA LIVE AKINGONOKA NA CHANGUDOA NDANI YA GARI YA KAMPUNI ...SOMA ZAIDI HAPA
Yelewiii! Dereva ‘suka’ wa kampuni moja binafsi yenye makao yake makuu Kurasini jijini Dar (jina halikupatikana) Jumapili iliyopita al... 08:55
Yelewiii! Dereva ‘suka’ wa kampuni moja binafsi yenye makao yake makuu Kurasini jijini Dar (jina halikupatikana) Jumapili iliyopita alinaswa akifanya mapenzi na changudoa ndani ya gari la kampuni hiyo, kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kilishuhudia tukio hilo laivu.
Dereva huyo akiwa na mwenzake walifika maeneo ya Mbagala Zakhem saa 7 usiku wa Februari 16, mwaka huu bila kujua kama OFM ilikuwa katika maeneo hayo kwa ajili ya kufanya oparesheni tokomeza machangudoa.
OFM ilimshuhudia dereva huyo na mwenzake wakishuka ndani ya gari aina ya Toyota Hilux (isiyokuwa na ‘pleti’ namba upande wa mbele) mali ya kampuni hiyo, wakiingia kwa fujo katika moja ya madanguro maarufu na kupaki gari kisha wakashuka kuelekea kwenye danguro la machangudoa.
Baada ya muda, mmoja wao alirejea akiwa na changudoa maarufu kwa jina la Waluwalu na kujifungia ndani ya gari hilo.
Kama kawaida yake OFM iliwataarifu askari wa Kituo cha Kizuiani waliokuwa doria katika eneo hilo ambao kwa pamoja walilivamia gari na kumuamuru dereva ashuke.
Hata hivyo, suka huyo alikuwa mbishi akaamua kufunga milango na kupandisha vioo ili asiweze kubughudhiwa na kile alichokuwa akikifanya ndani ya gari.
Askari waliokuwa na silaha wakalizunguka gari hilo na dereva huyo alipoona mambo yamekuwa magumu alifungua mlango na kutimua mbio lakini hakufika mbali kabla ya kuwekwa chini ya ulinzi sambamba na changudoa aliyekuwa naye.
Akizungumza kwa hofu dereva huyo alisema, yeye na mwenzake ni madereva wa kampuni... (jina tunalo) na walikuwa maeneo hayo kwa bahati mbaya na si kama walifika kuwanunua machangu hao.
Dereva huyo alipotakiwa atoe sababu za kujifungia ndani ya gari hilo na changudoa kisha kutoa pleti namba ya mbele ya gari, alijitetea kwa kusema kuwa pleti namba ilidondoka barabarani tangu mchana, hivyo walikuwa wakimtafuta fundi ili awatengenezee.
Alipohojiwa changudoa waliyekuwa naye, hakuwa na lolote la kusema zaidi ya kuangua kilio na kuomba aachiwe huku akilaumu ukali wa maisha kama sababu ya kujiingiza katika biashara ya kujiuza.
Wahusika hao walifikishwa Kituo cha Polisi cha Kizuiani kabla ya kesho yake (Jumatatu) kupelekwa Mahakama ya Jiji kusomewa makosa yanayowakabili.
Dereva huyo akiwa na mwenzake walifika maeneo ya Mbagala Zakhem saa 7 usiku wa Februari 16, mwaka huu bila kujua kama OFM ilikuwa katika maeneo hayo kwa ajili ya kufanya oparesheni tokomeza machangudoa.
OFM ilimshuhudia dereva huyo na mwenzake wakishuka ndani ya gari aina ya Toyota Hilux (isiyokuwa na ‘pleti’ namba upande wa mbele) mali ya kampuni hiyo, wakiingia kwa fujo katika moja ya madanguro maarufu na kupaki gari kisha wakashuka kuelekea kwenye danguro la machangudoa.
Baada ya muda, mmoja wao alirejea akiwa na changudoa maarufu kwa jina la Waluwalu na kujifungia ndani ya gari hilo.
Kama kawaida yake OFM iliwataarifu askari wa Kituo cha Kizuiani waliokuwa doria katika eneo hilo ambao kwa pamoja walilivamia gari na kumuamuru dereva ashuke.
Hata hivyo, suka huyo alikuwa mbishi akaamua kufunga milango na kupandisha vioo ili asiweze kubughudhiwa na kile alichokuwa akikifanya ndani ya gari.
Askari waliokuwa na silaha wakalizunguka gari hilo na dereva huyo alipoona mambo yamekuwa magumu alifungua mlango na kutimua mbio lakini hakufika mbali kabla ya kuwekwa chini ya ulinzi sambamba na changudoa aliyekuwa naye.
Akizungumza kwa hofu dereva huyo alisema, yeye na mwenzake ni madereva wa kampuni... (jina tunalo) na walikuwa maeneo hayo kwa bahati mbaya na si kama walifika kuwanunua machangu hao.
Dereva huyo alipotakiwa atoe sababu za kujifungia ndani ya gari hilo na changudoa kisha kutoa pleti namba ya mbele ya gari, alijitetea kwa kusema kuwa pleti namba ilidondoka barabarani tangu mchana, hivyo walikuwa wakimtafuta fundi ili awatengenezee.
Alipohojiwa changudoa waliyekuwa naye, hakuwa na lolote la kusema zaidi ya kuangua kilio na kuomba aachiwe huku akilaumu ukali wa maisha kama sababu ya kujiingiza katika biashara ya kujiuza.
Wahusika hao walifikishwa Kituo cha Polisi cha Kizuiani kabla ya kesho yake (Jumatatu) kupelekwa Mahakama ya Jiji kusomewa makosa yanayowakabili.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAKUBWA: SIRI NJE NJE MSANII LINAH APIGWA MIMBA NA MDOSI, AFUNGUKA KIHIVI ... SOMA ZAIDI HAPA
MAKUBWA: SIRI NJE NJE MSANII LINAH APIGWA MIMBA NA MDOSI, AFUNGUKA KIHIVI ... SOMA ZAIDI HAPA
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi a... 08:54
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi anayejulikana kwa jina moja la Nagar.
“Huyu Nagar ni mpenzi wake wa muda mrefu na inaonekana hii mimba ameipenda sana. Kila siku anamsifu huyo mpenzi wake,” kilisema chanzo hicho kilichodai kuwa wawili hao wamekuwa wakiambatana pamoja katika sehemu mbalimbali za starehe.
Chanzo hicho kilisema Linah alikutana na mdosi huyo katika harakati zake za kimuziki na kwamba jamaa ameoza mno kwa binti huyo, mkali wa albamu ya Atatamani.
Linah alipopigiwa simu mara ya kwanza hakupokea, lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno na kuulizwa kuhusu suala hilo, alipiga simu na kukanusha vikali tuhuma hizo.
“Nani kakwambia kama nina mimba? Hakuna kitu kama hicho, hayo ni maneno ya watu wanasambaza mtaani, mimi hata sijui wananitaka nini,” alisema.
Alipoulizwa kama hata yeye amewahi kusikia habari hizo, alisema anazisikia na kusisitiza kuwa siyo za kweli. Lakini alipotakiwa kusema kama anamfahamu Nagar, alimtaka mwandishi kuachana na habari hizo.
“Wewe si umeuliza habari za mimba? Sasa hayo mengine yanatoka wapi, ulichotaka kujua nimekujibu, hayo mambo mengine achana nayo,” alisema bila kufafanua zaidi.
Estelinah Sanga 'Linah'.
Chanzo cha uhakika kimeliambia gazeti hili kuwa msichana huyo aliyeibukia kutoka kituo cha kukuza vipaji cha THT, amekuwa karibu na Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana kumfurahisha sana msanii huyo.“Huyu Nagar ni mpenzi wake wa muda mrefu na inaonekana hii mimba ameipenda sana. Kila siku anamsifu huyo mpenzi wake,” kilisema chanzo hicho kilichodai kuwa wawili hao wamekuwa wakiambatana pamoja katika sehemu mbalimbali za starehe.
Chanzo hicho kilisema Linah alikutana na mdosi huyo katika harakati zake za kimuziki na kwamba jamaa ameoza mno kwa binti huyo, mkali wa albamu ya Atatamani.
Linah alipopigiwa simu mara ya kwanza hakupokea, lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno na kuulizwa kuhusu suala hilo, alipiga simu na kukanusha vikali tuhuma hizo.
“Nani kakwambia kama nina mimba? Hakuna kitu kama hicho, hayo ni maneno ya watu wanasambaza mtaani, mimi hata sijui wananitaka nini,” alisema.
Alipoulizwa kama hata yeye amewahi kusikia habari hizo, alisema anazisikia na kusisitiza kuwa siyo za kweli. Lakini alipotakiwa kusema kama anamfahamu Nagar, alimtaka mwandishi kuachana na habari hizo.
“Wewe si umeuliza habari za mimba? Sasa hayo mengine yanatoka wapi, ulichotaka kujua nimekujibu, hayo mambo mengine achana nayo,” alisema bila kufafanua zaidi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UCHAMBUZI WA MAGAZETI LEO JUMATANO 19-02-2014 ..... PATA HABARI HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAPANA CHEZEA LADY JAYDEE, SASA AANZA KUJIFUNZA KARATE. TAZAMA HIZI PICHA ZAKE AKIFANYA MAZOEZI
HAPANA CHEZEA LADY JAYDEE, SASA AANZA KUJIFUNZA KARATE. TAZAMA HIZI PICHA ZAKE AKIFANYA MAZOEZI
Mwanadada Jide kwa sasa yupo kwenye mazoezi ya Karate ili kuuweka mwili wake uwe vizuri na ujijenge kwa lolote litakalo kuwa lakijinga... 08:45SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DK. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA NYUMBA 851
DK. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA NYUMBA 851
Dk. Magufuli akipata maelezo kutoka Mwakalinga ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania. 07:45SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND AJIACHIA NA MASTAR WENZAKE NCHINI AFRIKA KUSINII ... JIONEE HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JINSI MANCHESTER CITY WALIVYOSIMAMISHWA NYUMBANI NA BARCELONA FC
JINSI MANCHESTER CITY WALIVYOSIMAMISHWA NYUMBANI NA BARCELONA FC
Wachezaji wa Barcelona, Fabregas na Iniesta wakimpongeza Messi baada ya kufunga bao la kwanza. 07:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATA KAMA NDIO FASHION JAMAN, HUYU KAZIDI, YAANI YUPO MTUPU KABISA,FASHION ZINGINE TUACHENI ZITUPITE TUU,PICHA HII HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)