Mangekimambi_ Waliokuwa wananijua Kabla ya kampeni za Uchaguzi 2015 wanajua nilikuwa nawakosoa CCM daily Tena Kwa Maneno makali mpaka watu walishangaa nilipatwa Na nini kuwafanyia CCM kampeni insta.
Uwepo wa mashabiki kwenye sanaa ya staa yeyote ni kitu ambacho tumezoea kukiona ila kuna ule ushabiki wa damu mpaka mtu analia kwa kutoamini kama amekutana na staa anayemkubali ambaye amekua akimuona tu kwenye TV na kusikiliza nyimbo zake.