Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Barnaba Classic anakuletea ngoma mpya na kali inaitwa 'Wanifaa' Ipakue hapo chini na Enjoy !