Kuanzia juzi Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Waziri, Stephen Wassiara, alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akimfukuza mwandishi aliyekuwa akimmulika picha mfululizo.
Nay wa Mitego amekutana na headlines baada ya kuutoa akiwa kawachana baadhi yamastaa wa Tanzania, ukishaitazama hii video unaweza kuacha comment