June 13 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, mrembo kutoka bongoflevani Linnah amefunguka kuwa anatamani
June 13, 2016
Linnah kafunguka kuwa anatamani Darassa angekuwa Baba watoto wake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele
Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele
WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rai... 22:53
WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Ex wake, Shilole
Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Ex wake, Shilole
Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake h... 21:00
Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo.
Shilole na Nuh wakati wapo pamoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Serikali kuongeza kodi kwa filimu na kazi za muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini
Serikali kuongeza kodi kwa filimu na kazi za muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini
Serikali imejipanga kuongeza kodi kwa kazi za muziki pamoja na filamu ambazo zinatoka nje ili kuzipa nafasi kazi za wasanii wa ndani. 21:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mambo 4 makubwa usiyoyajua kuhusu remix ya Burger Movie Selfie ya Belle 9
Mambo 4 makubwa usiyoyajua kuhusu remix ya Burger Movie Selfie ya Belle 9
Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo. Nimepiga naye story na amenieleza mambo hay... 19:00
Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo.
Nimepiga naye story na amenieleza mambo haya manne makubwa kuhusiana na remix hiyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WASANII KUMI ANAOWAKUBALI ZAIDI KENDRICK LAMAR
WASANII KUMI ANAOWAKUBALI ZAIDI KENDRICK LAMAR
Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora? 19:00
Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MPIGA PICHA WA DIAMOND AMTUKANA BOSS WAKE. ONA HAPA
MPIGA PICHA WA DIAMOND AMTUKANA BOSS WAKE. ONA HAPA
Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni ain... 17:30
Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni aina ya mtu ambaye anawanawake wengi , baadhi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
P DIDDY ANAUZA ‘MJENGO’ WAKE, BEI YAKE ‘UTAKIMBIA’.
P DIDDY ANAUZA ‘MJENGO’ WAKE, BEI YAKE ‘UTAKIMBIA’.
Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes. 17:30
Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Music: Mkubwa Na Wanawe Ft. Ruby – Suu
Music: Mkubwa Na Wanawe Ft. Ruby – Suu
Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko. . 15:00
Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko.
.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ASKOFU GWAJIMA AMSHITAKI KIKWETE KWA RAIS MAGUFULI,ATAKA APELEKWE MAHAKAMNI HARAKA...!!!
ASKOFU GWAJIMA AMSHITAKI KIKWETE KWA RAIS MAGUFULI,ATAKA APELEKWE MAHAKAMNI HARAKA...!!!
ASKOFU wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtaka Rais Magufuli kutobabaika katika utendaji wake wa kazi,huku akimweleza kuwa u... 15:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MBOWE AFUNGIWA HOTELINI, AKAMATWA NA KUGOMEA MASHARTI YA POLISI.
MBOWE AFUNGIWA HOTELINI, AKAMATWA NA KUGOMEA MASHARTI YA POLISI.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa t... 13:00
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa takribani saa mbili katika kituo cha Polisi cha Nyakato katika wilaya ya Nyamagana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kidumu asema Wakenya wanadhani yeye ni Mtanzania, azungumzia kolabo mpya na wasanii TZ
Kidumu asema Wakenya wanadhani yeye ni Mtanzania, azungumzia kolabo mpya na wasanii TZ
Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesh... 13:00
Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa wakuimba kwa lugha ya Kiswahili.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jinsi video ya ‘Ibaki story’ ilivyo tengenezwa ya Rich Mavoko
Jinsi video ya ‘Ibaki story’ ilivyo tengenezwa ya Rich Mavoko
Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz W... 11:00
Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz WCB inaonyesha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi
PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake w... 09:00
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake wa kwanza wa Kombe la
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine
Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwa... 09:00
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono
Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016,... 06:54
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016, mchezo huo wa Kundi B ulikuwa unawapa nafasi kubwa Brazil kuibuka na ushindi, hususani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu
The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu
Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizok... 06:53
Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizokuwa wakizingoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na har... 06:53
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
June 12, 2016
Watu 50 wauawa baada ya mtu mmoja kushambulia klabu ya mashoga Marekani
Watu 50 wauawa baada ya mtu mmoja kushambulia klabu ya mashoga Marekani
Raia wa Marekani, Omar Mateen, 29, ameishambulia kwa bunduki klabu ya mashoga iliyopo Orlando nchini Marekani. Mateen, anayetokea Port St... 23:40
Raia wa Marekani, Omar Mateen, 29, ameishambulia kwa bunduki klabu ya mashoga iliyopo Orlando nchini Marekani.
Mateen, anayetokea Port St. Lucie Florida, ameua takriban watu 50 na kujeruhi wengine 53 na kushikilia mateka.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Yusuph Manji achaguliwa kwa mara nyingine kuingoza Yanga
Yusuph Manji achaguliwa kwa mara nyingine kuingoza Yanga
Yusuph Manji amechaguliwa kwa awamu nyingine kuwa mwenyekiti wa Timu ya Young Africans ‘Yanga’ pamoja na makamu wake Clement Sanga. 22:30
Yusuph Manji amechaguliwa kwa awamu nyingine kuwa mwenyekiti wa Timu ya Young Africans ‘Yanga’ pamoja na makamu wake Clement Sanga.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZITTO KABWE apotea katika mazingira ya Utata. HAJULIKANI ALIKO HADI SASA
ZITTO KABWE apotea katika mazingira ya Utata. HAJULIKANI ALIKO HADI SASA
TAARIFA KWA UMMA. ————————————————- Tunaujulisha UMMA kwamba Kiongozi wa Chama chetu cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe amekuwa anatafu... 21:25
TAARIFA KWA UMMA.
————————————————-
Tunaujulisha UMMA kwamba Kiongozi wa Chama chetu cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe amekuwa anatafutwa na Polisi tangu jana usiku. Mpaka sasa hatujui Kiongozi wetu yupo wapi na yupo kwenye Hali gani. Askari kanzu wanalinda nyumbani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHAZ 22 : Majengo ya kushangaza duniani.
PICHAZ 22 : Majengo ya kushangaza duniani.
June 12 2016 nakusogezea picha 22 za majengo yenye muonekano tofauti na majengo mengine uliyowahi kuyaona, Majengo haya yanapatikana nch... 21:13
June 12 2016 nakusogezea picha 22 za majengo yenye muonekano tofauti na majengo mengine uliyowahi kuyaona, Majengo haya yanapatikana nchi mbalimbali ikiwemoFrance, Marekani, Korea n.k imejengwa kwa staili ya kipekee
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
kimenuka:Wanafunzi Waliofukuzwa chuo Wafungua Kesi Mahakamani
kimenuka:Wanafunzi Waliofukuzwa chuo Wafungua Kesi Mahakamani
By:Nasri Bakari(0713 311 300) MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa kibali cha kufungua kesi ya uwakilishi, kwa wanafunzi wanne, ... 18:57
By:Nasri Bakari(0713 311 300)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa kibali cha kufungua kesi ya uwakilishi, kwa wanafunzi wanne, waliofukuzwa katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph kwa madai ya kutokuwa na sifa za kudahiliwa kwenye vyuo vikuu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA 5: UEFA inajipanga kutoa adhabu kwa Urusi
PICHA 5: UEFA inajipanga kutoa adhabu kwa Urusi
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kufuatia vurugu za mashabiki wa Urusi zilizotokea katika mchezo wa Euro 2016 kati ya England dhidi ... 18:55
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kufuatia vurugu za mashabiki wa Urusi zilizotokea katika mchezo wa Euro 2016 kati ya England dhidi ya timu ya taifa ya Urusi, limekaa na kuanza kujadili namna ya kuidhabu Urusi kutokana
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ni rahisi kugundua kama mpenzi wako katoka kukusaliti!
Ni rahisi kugundua kama mpenzi wako katoka kukusaliti!
Miongoni mwa mambo yanayowafanya wapenzi wakose amani ni suala la usaliti. Katika makala zangu nyingi ambazo nimekuwa nikiandika kupiti... 18:30
Miongoni mwa mambo yanayowafanya wapenzi wakose amani ni suala la usaliti. Katika makala zangu nyingi ambazo nimekuwa nikiandika kupitia ukurasa huu, kila nilipogusia ishu ya usaliti nilipokea simu na sms nyingi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Chris Brown chini ya ulinzi tena,ni baada ya kukutwa barabarani na pikipiki isiyokuwa na Plate number
Chris Brown chini ya ulinzi tena,ni baada ya kukutwa barabarani na pikipiki isiyokuwa na Plate number
Chris Brown amekamatwa akiwa anaendesha pikipiki isiyokuwa na Plate number huko Amsterdam na kuweza kujichomoa kutoka kwenye tatizo hilo. 17:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zifahamu Faida/Hasara za kurudiana na Mpenzi wako wa zamani
Zifahamu Faida/Hasara za kurudiana na Mpenzi wako wa zamani
Kuna faida ya wapenzi kuachana na kurudiana? Vipi kuhusu hasara zake? Hiyo ndiyo mada yetu ya leo kama inavyojieleza. Bila shaka unawajua wa... 16:00Kuna faida ya wapenzi kuachana na kurudiana? Vipi kuhusu hasara zake? Hiyo ndiyo mada yetu ya leo kama inavyojieleza. Bila shaka unawajua watu ambao walikuwa wakiishi pamoja kimapenzi, iwe ni ndoa, uchumba au uhusiano wa kawaida ambao wamewahi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATIMAYE MSANII HARMONIZE ACHORA TATTOO YA SURA YA DIAMOND PLATNUMZ
HATIMAYE MSANII HARMONIZE ACHORA TATTOO YA SURA YA DIAMOND PLATNUMZ
Msanii wa bongo fleva Harmonize amechora tato ya Diamond Platnumz kwenye mkono wake, akijua jambo hili litashangaza wengi,haya ndio maele... 12:50
Msanii wa bongo fleva Harmonize amechora tato ya Diamond Platnumz kwenye mkono wake, akijua jambo hili litashangaza wengi,haya ndio maelezo yake juu ya swala hili.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASKINI HAMZA AMENYONGWA HADHARANI HUKU AKITABASAMU MPAKA ANAKUFA SOMA HAPA
MASKINI HAMZA AMENYONGWA HADHARANI HUKU AKITABASAMU MPAKA ANAKUFA SOMA HAPA
HAMZA AMENYONGWA BAADA YA KUPATIKANA NA HATIA YA UDUKUZI KUTUMIA KUMPUTA AMBAPO ALIWEZA KUJIPATIA ZAIDI YA BILIONI 800 ZA KITANZANIA KU... 12:47
HAMZA AMENYONGWA BAADA YA KUPATIKANA NA HATIA YA UDUKUZI KUTUMIA KUMPUTA AMBAPO ALIWEZA KUJIPATIA ZAIDI YA BILIONI 800 ZA KITANZANIA KUTOKA KATIKA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Quick Racka Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Kajala
Quick Racka Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Kajala
Rapper Quick Rocka ambaye kwa sasa anafanya kazi na Switch Records, pia ameelezea mipango yake ya kufanya muziki wa aina tofauti tofuti, ... 12:34
Rapper Quick Rocka ambaye kwa sasa anafanya kazi na Switch Records, pia ameelezea mipango yake ya kufanya muziki wa aina tofauti tofuti, huku tetesi zikisema sasa anataka kufanya muziki wa bolingo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIMULIZI FUPI "KUPENDAPENDA KUBAYA"
SIMULIZI FUPI "KUPENDAPENDA KUBAYA"
James alikuwa ni kijana mtanashati, mwenye mvuto na pia alikuwa ni mfanyabiashara wa vifaa vya magari. Maisha yake alikuwa akipenda sana ... 09:00
James alikuwa ni kijana mtanashati, mwenye mvuto na pia alikuwa ni mfanyabiashara wa vifaa vya magari. Maisha yake alikuwa akipenda sana wanawake warembo, na kutokana na muonekano mzuri na pesa alizokuwa nazo aliwavutia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: England imelazimishwa sare na Urusi Euro 2016
VIDEO: England imelazimishwa sare na Urusi Euro 2016
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeendelea kama kawaida, mechi kubwa ya Euro kwa leo ilikuwa ni mchezo kati ya t... 08:30
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeendelea kama kawaida, mechi kubwa ya Euro kwa leo ilikuwa ni mchezo kati ya timu ya taifa ya England dhidi yaUrusi, huu ni mchezo ambao ulikuwa unatazamwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maneno ya Ruby na Aslay yanayoashiria kuwa ni wapenzi
Maneno ya Ruby na Aslay yanayoashiria kuwa ni wapenzi
Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia mitandao ya kijamii hususani instagram, najua huenda ukawa umekutana na post za mastaa wa Bongoflev... 06:04
Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia mitandao ya kijamii hususani instagram, najua huenda ukawa umekutana na post za mastaa wa Bongofleva Ruby na Aslayambazo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 12, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 12, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews i... 06:03
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
June 11, 2016
Nuh Mziwanda athibitisha Jike Shupa alimuimbia Shilole kwa kumtumia video queen anayefanana naye kama pacha
Nuh Mziwanda athibitisha Jike Shupa alimuimbia Shilole kwa kumtumia video queen anayefanana naye kama pacha
Nuh Mziwanda ameelezea jinsi uhusiano wake na Shilole ulivyokuwa kwa dakika 3:50! Kwa video ya wimbo wake Jike Shupa aliomshirikisha Alik... 23:30
Kwa video ya wimbo wake Jike Shupa aliomshirikisha Alikiba, Nuh ameuelezea uhusiano huo ulitawaliwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hamisa Mobeto asema bado kuna watu wanadhani mtu kuwa model ni uhuni
Hamisa Mobeto asema bado kuna watu wanadhani mtu kuwa model ni uhuni
Mwanamitindo Hamisa Mobeto amewataka wazazi kuuwaacha watoto kike/wakiume waingie kwenye fashion na kuachana na dhana ya kwamba kufanya mod... 23:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nuh Mziwanda kuja na collabo na Tekno
Nuh Mziwanda kuja na collabo na Tekno
Nuh Mziwanda amesema anakaribia kukamilisha collabo yake na msanii wa Nigeria, Tekno. Wimbo wa Jike Shupa ni moja kati ya nyimbo ambazo z... 22:00
Wimbo wa Jike Shupa ni moja kati ya nyimbo ambazo zinafanya vizuri kwenye redio kutokana na ujumbe uliokuwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WCB yatoa mwongozo wa adhabu wanazotoa kama msanii wao akifanya makosa
WCB yatoa mwongozo wa adhabu wanazotoa kama msanii wao akifanya makosa
Uongozi wa label ya ‘WCB’ umesema umejipanga kikamilifu kudhibiti swala la nidhamu kwa wasanii wake. Akizungumza na waandishi wa habari hivi... 22:00Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, mmoja kati ya viongozi wa juu wa label hiyo, Babu Tale amesema
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rais Magufuli kapata mbadala wa Charles Kitwanga wizara ya mambo ya ndani
Rais Magufuli kapata mbadala wa Charles Kitwanga wizara ya mambo ya ndani
June 11 2016 taarifa kutoka Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu Dar es Salaam imetoa taarifa kuhusu maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kumteu... 20:30
June 11 2016 taarifa kutoka Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu Dar es Salaam imetoa taarifa kuhusu maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kumteua mbunge wa BuchosaDk Charles John Tizebe kuwa waziri wa kilimo na mifugo na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mwenyekiti awanunulia wananchi filimbi ili kujihami na matukio ya kihalifu
Mwenyekiti awanunulia wananchi filimbi ili kujihami na matukio ya kihalifu
Baada ya matukio ya kutisha kutokea mara kwa mara katika mtaa wa Utemini kata ya Mkolani Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, mwenyekiti wa ... 20:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHAZ 9: Hii ndio couple iliyovunja rekodi duniani kwa ufupi.
PICHAZ 9: Hii ndio couple iliyovunja rekodi duniani kwa ufupi.
Mtu wangu najua umeshaona couple nyingi duniani zenye kukuvutia na nyingine za kufurahisha, Leo June 11 2016 nimekusogezea picha tisa za ... 19:16
Mtu wangu najua umeshaona couple nyingi duniani zenye kukuvutia na nyingine za kufurahisha, Leo June 11 2016 nimekusogezea picha tisa za couple ya watu wafupi duniani, zikiwaonyesha katika maisha yao ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA VIJANA WA CHADEMA KUMUANDAMA,MKE WA DR SLAA AANIKA HAYA KUHUSU CHADEMA..!!
BAADA YA VIJANA WA CHADEMA KUMUANDAMA,MKE WA DR SLAA AANIKA HAYA KUHUSU CHADEMA..!!
Ameandika Josephine Mshumbushi mke wa Dr.W.Slaa katika ukurasa wake rasmi wa Facebook 18:30
Ameandika Josephine Mshumbushi mke wa Dr.W.Slaa katika ukurasa wake rasmi wa Facebook
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OBAMA AMPITISHA BI CLINTON KUWANIA URAIS MAREKANI.
OBAMA AMPITISHA BI CLINTON KUWANIA URAIS MAREKANI.
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu u... 18:00
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA14: Msafara wa Mazishi ya Bondia Mkongwe Muhammad Ali
PICHA14: Msafara wa Mazishi ya Bondia Mkongwe Muhammad Ali
Maelfu wamejipanga barabarani ili kumuaga bondia Maarufu Muhammad Ali wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky am... 16:00
Maelfu wamejipanga barabarani ili kumuaga bondia Maarufu Muhammad Ali wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky ambapo June 10 2016 alizikwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Young Killer kusaini WCB? Hili ndio jibu lake (Exclusive Video)
Young Killer kusaini WCB? Hili ndio jibu lake (Exclusive Video)
Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB. Picha aliyoonekana akiwa na ... 16:00
Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB.
Picha aliyoonekana akiwa na Diamond kwenye studio za Wasafi ndiyo iliyosababisha tetesi hizo. Tumemuuliza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kama ulikosa uzinduzi wa Euro 2016 na perfomance ya David Guetta
Kama ulikosa uzinduzi wa Euro 2016 na perfomance ya David Guetta
Michuano ya UEFA Euro 2016 ilianza rasmi kufanyika Ufaransa usiku wa June 10 2016 kwa kupigwa mchezo kati ya Ufaransa dhidi ya Romania, k... 14:00
Michuano ya UEFA Euro 2016 ilianza rasmi kufanyika Ufaransa usiku wa June 10 2016 kwa kupigwa mchezo kati ya Ufaransa dhidi ya Romania, kabla ya kuanza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jay Z amteua Romeo Santos kuwa CEO wa Roc Nation Latin
Jay Z amteua Romeo Santos kuwa CEO wa Roc Nation Latin
Msanii maarufu na mshindi wa tuzo kibao, Romeo Santos ameteuliwa kuwa CEO wa Roc Nation Latin. “Romeo has had tremendous success as a com... 14:00
“Romeo has had tremendous success as a composer and producer and can spot true talent,” alisema Jay Z.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video: Wolper ndiye aliyeomba twende wote kwa wazazi wangu – Harmonize
Video: Wolper ndiye aliyeomba twende wote kwa wazazi wangu – Harmonize
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amefunguka na kueleza wazo la kwenda kumtambulisha mpenzi wake Jacqueline Wolper kwa wazazi wake lil... 12:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Sijawahi kuwa na menejimenti tangu nimeanza muziki – Malaika
Sijawahi kuwa na menejimenti tangu nimeanza muziki – Malaika
Msanii wa Bongo Fleva, Malaika amesema kuwa tangu ameanza muziki hajawahi kuwa na menejimenti ila kuna watu wamejitokeza kutoka Norway wa... 12:00
Msanii wa Bongo Fleva, Malaika amesema kuwa tangu ameanza muziki hajawahi kuwa na menejimenti ila kuna watu wamejitokeza kutoka Norway wapo tayari kufanya hivyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huu ni ushauri ambao Shaa alipewa na Lady Jaydee na hatousahau maishani mwake
Huu ni ushauri ambao Shaa alipewa na Lady Jaydee na hatousahau maishani mwake
Shaa alipewa ushauri muhimu na Lady Jaydee ambao hadi leo hatousahau na umemsaidia kwenye maisha yake ya muziki. 10:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)