June 13, 2016

Linnah kafunguka kuwa anatamani Darassa angekuwa Baba watoto wake

June 13 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines... thumbnail 1 summary


June 13 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, mrembo kutoka bongoflevani Linnah amefunguka kuwa anatamani

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele

WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rai... thumbnail 1 summary
WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Ex wake, Shilole

Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake h... thumbnail 1 summary
Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo.
Shilole na Nuh wakati wapo pamoja

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Serikali kuongeza kodi kwa filimu na kazi za muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini

Serikali imejipanga kuongeza kodi kwa kazi za muziki pamoja na filamu ambazo zinatoka nje ili kuzipa nafasi kazi za wasanii wa ndani. thumbnail 1 summary
Serikali imejipanga kuongeza kodi kwa kazi za muziki pamoja na filamu ambazo zinatoka nje ili kuzipa nafasi kazi za wasanii wa ndani.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mambo 4 makubwa usiyoyajua kuhusu remix ya Burger Movie Selfie ya Belle 9

Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo. Nimepiga naye story na amenieleza mambo hay... thumbnail 1 summary
Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo.
Nimepiga naye story na amenieleza mambo haya manne makubwa kuhusiana na remix hiyo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WASANII KUMI ANAOWAKUBALI ZAIDI KENDRICK LAMAR

Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora?  thumbnail 1 summary

Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora? 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MPIGA PICHA WA DIAMOND AMTUKANA BOSS WAKE. ONA HAPA

Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni ain... thumbnail 1 summary
Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni aina ya mtu ambaye anawanawake wengi , baadhi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

P DIDDY ANAUZA ‘MJENGO’ WAKE, BEI YAKE ‘UTAKIMBIA’.

Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes. thumbnail 1 summary
Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Music: Mkubwa Na Wanawe Ft. Ruby – Suu

Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko. . thumbnail 1 summary
Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko.
.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ASKOFU GWAJIMA AMSHITAKI KIKWETE KWA RAIS MAGUFULI,ATAKA APELEKWE MAHAKAMNI HARAKA...!!!

ASKOFU wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtaka Rais Magufuli kutobabaika katika utendaji wake wa kazi,huku akimweleza kuwa u... thumbnail 1 summary
ASKOFU wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtaka Rais Magufuli kutobabaika katika utendaji wake wa kazi,huku akimweleza kuwa uongozi wa Kanisa hilo unafurahishwa na hatua alizoaanza kuchukua

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MBOWE AFUNGIWA HOTELINI, AKAMATWA NA KUGOMEA MASHARTI YA POLISI.

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa t... thumbnail 1 summary
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa takribani saa mbili katika kituo cha Polisi cha Nyakato katika wilaya ya Nyamagana.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kidumu asema Wakenya wanadhani yeye ni Mtanzania, azungumzia kolabo mpya na wasanii TZ

Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesh... thumbnail 1 summary
Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa wakuimba kwa lugha ya Kiswahili.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Jinsi video ya ‘Ibaki story’ ilivyo tengenezwa ya Rich Mavoko

Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz W... thumbnail 1 summary
Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz WCB inaonyesha

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi

Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake w... thumbnail 1 summary
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake wa kwanza wa Kombe la

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine

Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwa... thumbnail 1 summary
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono

Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016,... thumbnail 1 summary
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016, mchezo huo wa Kundi B ulikuwa unawapa nafasi kubwa Brazil kuibuka na ushindi, hususani

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu

Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizok... thumbnail 1 summary
Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizokuwa wakizingoja

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo

June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na har... thumbnail 1 summary
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

June 12, 2016

Watu 50 wauawa baada ya mtu mmoja kushambulia klabu ya mashoga Marekani

Raia wa Marekani, Omar Mateen, 29, ameishambulia kwa bunduki klabu ya mashoga iliyopo Orlando nchini Marekani. Mateen, anayetokea Port St... thumbnail 1 summary
Raia wa Marekani, Omar Mateen, 29, ameishambulia kwa bunduki klabu ya mashoga iliyopo Orlando nchini Marekani.
Mateen, anayetokea Port St. Lucie Florida, ameua takriban watu 50 na kujeruhi wengine 53 na kushikilia mateka.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Yusuph Manji achaguliwa kwa mara nyingine kuingoza Yanga

Yusuph Manji amechaguliwa kwa awamu nyingine kuwa mwenyekiti wa Timu ya Young Africans ‘Yanga’ pamoja na makamu wake Clement Sanga. thumbnail 1 summary
Yusuph Manji amechaguliwa kwa awamu nyingine kuwa mwenyekiti wa Timu ya Young Africans ‘Yanga’ pamoja na makamu wake Clement Sanga.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ZITTO KABWE apotea katika mazingira ya Utata. HAJULIKANI ALIKO HADI SASA

TAARIFA KWA UMMA. ————————————————- Tunaujulisha UMMA kwamba Kiongozi wa Chama chetu cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe amekuwa anatafu... thumbnail 1 summary
TAARIFA KWA UMMA.
————————————————-
Tunaujulisha UMMA kwamba Kiongozi wa Chama chetu cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe amekuwa anatafutwa na Polisi tangu jana usiku. Mpaka sasa hatujui Kiongozi wetu yupo wapi na yupo kwenye Hali gani. Askari kanzu wanalinda nyumbani

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PICHAZ 22 : Majengo ya kushangaza duniani.

June 12 2016 nakusogezea picha 22 za majengo yenye muonekano tofauti na majengo mengine uliyowahi kuyaona, Majengo haya yanapatikana nch... thumbnail 1 summary
June 12 2016 nakusogezea picha 22 za majengo yenye muonekano tofauti na majengo mengine uliyowahi kuyaona, Majengo haya yanapatikana nchi mbalimbali ikiwemoFrance, Marekani, Korea n.k imejengwa kwa staili ya kipekee

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

kimenuka:Wanafunzi Waliofukuzwa chuo Wafungua Kesi Mahakamani

By:Nasri Bakari(0713 311 300) MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa kibali cha kufungua kesi ya uwakilishi, kwa wanafunzi wanne, ... thumbnail 1 summary
By:Nasri Bakari(0713 311 300)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa kibali cha kufungua kesi ya uwakilishi, kwa wanafunzi wanne, waliofukuzwa katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph kwa madai ya kutokuwa na sifa za kudahiliwa kwenye vyuo vikuu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PICHA 5: UEFA inajipanga kutoa adhabu kwa Urusi

Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kufuatia vurugu za mashabiki wa Urusi zilizotokea katika mchezo wa Euro 2016 kati ya England dhidi ... thumbnail 1 summary
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kufuatia vurugu za mashabiki wa Urusi zilizotokea katika mchezo wa Euro 2016 kati ya England dhidi ya timu ya taifa ya Urusi, limekaa na kuanza kujadili namna ya kuidhabu Urusi kutokana

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ni rahisi kugundua kama mpenzi wako katoka kukusaliti!

Miongoni mwa mambo yanayowafanya wapenzi wakose amani ni suala la usaliti. Katika makala zangu nyingi ambazo nimekuwa nikiandika kupiti... thumbnail 1 summary

Miongoni mwa mambo yanayowafanya wapenzi wakose amani ni suala la usaliti. Katika makala zangu nyingi ambazo nimekuwa nikiandika kupitia ukurasa huu, kila nilipogusia ishu ya usaliti nilipokea simu na sms nyingi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Chris Brown chini ya ulinzi tena,ni baada ya kukutwa barabarani na pikipiki isiyokuwa na Plate number

Chris Brown amekamatwa akiwa anaendesha pikipiki isiyokuwa na Plate number huko Amsterdam na kuweza kujichomoa kutoka kwenye tatizo hilo. thumbnail 1 summary
Chris Brown amekamatwa akiwa anaendesha pikipiki isiyokuwa na Plate number huko Amsterdam na kuweza kujichomoa kutoka kwenye tatizo hilo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Zifahamu Faida/Hasara za kurudiana na Mpenzi wako wa zamani

Kuna faida ya wapenzi kuachana na kurudiana? Vipi kuhusu hasara zake? Hiyo ndiyo mada yetu ya leo kama inavyojieleza. Bila shaka unawajua wa... thumbnail 1 summary


Kuna faida ya wapenzi kuachana na kurudiana? Vipi kuhusu hasara zake? Hiyo ndiyo mada yetu ya leo kama inavyojieleza. Bila shaka unawajua watu ambao walikuwa wakiishi pamoja kimapenzi, iwe ni ndoa, uchumba au uhusiano wa kawaida ambao wamewahi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

HATIMAYE MSANII HARMONIZE ACHORA TATTOO YA SURA YA DIAMOND PLATNUMZ

Msanii wa bongo fleva Harmonize amechora tato ya Diamond Platnumz kwenye mkono wake, akijua jambo hili litashangaza wengi,haya ndio maele... thumbnail 1 summary
Msanii wa bongo fleva Harmonize amechora tato ya Diamond Platnumz kwenye mkono wake, akijua jambo hili litashangaza wengi,haya ndio maelezo yake juu ya swala hili.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MASKINI HAMZA AMENYONGWA HADHARANI HUKU AKITABASAMU MPAKA ANAKUFA SOMA HAPA

HAMZA AMENYONGWA BAADA YA KUPATIKANA NA HATIA YA UDUKUZI KUTUMIA KUMPUTA AMBAPO ALIWEZA KUJIPATIA ZAIDI YA BILIONI 800 ZA KITANZANIA KU... thumbnail 1 summary

HAMZA AMENYONGWA BAADA YA KUPATIKANA NA HATIA YA UDUKUZI KUTUMIA KUMPUTA AMBAPO ALIWEZA KUJIPATIA ZAIDI YA BILIONI 800 ZA KITANZANIA KUTOKA KATIKA

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Quick Racka Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Kajala

Rapper Quick Rocka ambaye kwa sasa anafanya kazi na Switch Records, pia ameelezea mipango yake ya kufanya muziki wa aina tofauti tofuti, ... thumbnail 1 summary
Rapper Quick Rocka ambaye kwa sasa anafanya kazi na Switch Records, pia ameelezea mipango yake ya kufanya muziki wa aina tofauti tofuti, huku tetesi zikisema sasa anataka kufanya muziki wa bolingo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

SIMULIZI FUPI "KUPENDAPENDA KUBAYA"

James alikuwa ni kijana mtanashati, mwenye mvuto na pia alikuwa ni mfanyabiashara wa vifaa vya magari. Maisha yake alikuwa akipenda sana ... thumbnail 1 summary
James alikuwa ni kijana mtanashati, mwenye mvuto na pia alikuwa ni mfanyabiashara wa vifaa vya magari. Maisha yake alikuwa akipenda sana wanawake warembo, na kutokana na muonekano mzuri na pesa alizokuwa nazo aliwavutia

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

VIDEO: England imelazimishwa sare na Urusi Euro 2016

June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeendelea kama kawaida, mechi kubwa ya Euro kwa leo ilikuwa ni mchezo kati ya t... thumbnail 1 summary
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeendelea kama kawaida, mechi kubwa ya Euro kwa leo ilikuwa ni mchezo kati ya timu ya taifa ya England dhidi yaUrusi, huu ni mchezo ambao ulikuwa unatazamwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Maneno ya Ruby na Aslay yanayoashiria kuwa ni wapenzi

Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia mitandao ya kijamii hususani instagram, najua huenda ukawa umekutana na post za mastaa wa Bongoflev... thumbnail 1 summary
Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia mitandao ya kijamii hususani instagram, najua huenda ukawa umekutana na post za mastaa wa Bongofleva Ruby na Aslayambazo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 12, 2016 kwenye, Hardnews na michezo

June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews i... thumbnail 1 summary
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

June 11, 2016

Nuh Mziwanda athibitisha Jike Shupa alimuimbia Shilole kwa kumtumia video queen anayefanana naye kama pacha

Nuh Mziwanda ameelezea jinsi uhusiano wake na Shilole ulivyokuwa kwa dakika 3:50! Kwa video ya wimbo wake Jike Shupa aliomshirikisha Alik... thumbnail 1 summary
Nuh Mziwanda ameelezea jinsi uhusiano wake na Shilole ulivyokuwa kwa dakika 3:50!
Kwa video ya wimbo wake Jike Shupa aliomshirikisha Alikiba, Nuh ameuelezea uhusiano huo ulitawaliwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hamisa Mobeto asema bado kuna watu wanadhani mtu kuwa model ni uhuni

Mwanamitindo Hamisa Mobeto amewataka wazazi kuuwaacha watoto kike/wakiume waingie kwenye fashion na kuachana na dhana ya kwamba kufanya mod... thumbnail 1 summary
Mwanamitindo Hamisa Mobeto amewataka wazazi kuuwaacha watoto kike/wakiume waingie kwenye fashion na kuachana na dhana ya kwamba kufanya modeling ni uhuni.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nuh Mziwanda kuja na collabo na Tekno

Nuh Mziwanda amesema anakaribia kukamilisha collabo yake na msanii wa Nigeria, Tekno. Wimbo wa Jike Shupa ni moja kati ya nyimbo ambazo z... thumbnail 1 summary
Nuh Mziwanda amesema anakaribia kukamilisha collabo yake na msanii wa Nigeria, Tekno.
Wimbo wa Jike Shupa ni moja kati ya nyimbo ambazo zinafanya vizuri kwenye redio kutokana na ujumbe uliokuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WCB yatoa mwongozo wa adhabu wanazotoa kama msanii wao akifanya makosa

Uongozi wa label ya ‘WCB’ umesema umejipanga kikamilifu kudhibiti swala la nidhamu kwa wasanii wake. Akizungumza na waandishi wa habari hivi... thumbnail 1 summary
Uongozi wa label ya ‘WCB’ umesema umejipanga kikamilifu kudhibiti swala la nidhamu kwa wasanii wake.


Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, mmoja kati ya viongozi wa juu wa label hiyo, Babu Tale amesema

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Rais Magufuli kapata mbadala wa Charles Kitwanga wizara ya mambo ya ndani

June 11 2016 taarifa kutoka Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu Dar es Salaam imetoa taarifa kuhusu maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kumteu... thumbnail 1 summary
June 11 2016 taarifa kutoka Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu Dar es Salaam imetoa taarifa kuhusu maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kumteua mbunge wa BuchosaDk Charles John Tizebe kuwa waziri wa kilimo na mifugo na

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mwenyekiti awanunulia wananchi filimbi ili kujihami na matukio ya kihalifu

Baada ya matukio ya kutisha kutokea mara kwa mara katika mtaa wa Utemini kata ya Mkolani Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, mwenyekiti wa ... thumbnail 1 summary
Baada ya matukio ya kutisha kutokea mara kwa mara katika mtaa wa Utemini kata ya Mkolani Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, mwenyekiti wa mtaa huo, Jukaeli Kiula, ameamua kuzinunulia filimbi kaya 60 kwa lengo la kujihami na matukio ya kihalifu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PICHAZ 9: Hii ndio couple iliyovunja rekodi duniani kwa ufupi.

Mtu wangu najua umeshaona couple nyingi duniani zenye kukuvutia na nyingine za kufurahisha, Leo June 11 2016 nimekusogezea picha tisa za ... thumbnail 1 summary
Mtu wangu najua umeshaona couple nyingi duniani zenye kukuvutia na nyingine za kufurahisha, Leo June 11 2016 nimekusogezea picha tisa za couple ya watu wafupi duniani, zikiwaonyesha katika maisha yao ya

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

BAADA YA VIJANA WA CHADEMA KUMUANDAMA,MKE WA DR SLAA AANIKA HAYA KUHUSU CHADEMA..!!

Ameandika Josephine Mshumbushi mke wa Dr.W.Slaa katika ukurasa wake rasmi wa Facebook thumbnail 1 summary
Ameandika Josephine Mshumbushi mke wa Dr.W.Slaa katika ukurasa wake rasmi wa Facebook

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

OBAMA AMPITISHA BI CLINTON KUWANIA URAIS MAREKANI.

Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu u... thumbnail 1 summary
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PICHA14: Msafara wa Mazishi ya Bondia Mkongwe Muhammad Ali

Maelfu wamejipanga barabarani ili kumuaga bondia Maarufu Muhammad Ali wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky am... thumbnail 1 summary
Maelfu wamejipanga barabarani ili kumuaga bondia Maarufu Muhammad Ali wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky ambapo June 10 2016 alizikwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Young Killer kusaini WCB? Hili ndio jibu lake (Exclusive Video)

Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB. Picha aliyoonekana akiwa na ... thumbnail 1 summary
Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB.
Picha aliyoonekana akiwa na Diamond kwenye studio za Wasafi ndiyo iliyosababisha tetesi hizo. Tumemuuliza

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kama ulikosa uzinduzi wa Euro 2016 na perfomance ya David Guetta

Michuano ya UEFA Euro 2016 ilianza rasmi kufanyika Ufaransa usiku wa June 10 2016 kwa kupigwa mchezo kati ya Ufaransa dhidi ya Romania, k... thumbnail 1 summary
Michuano ya UEFA Euro 2016 ilianza rasmi kufanyika Ufaransa usiku wa June 10 2016 kwa kupigwa mchezo kati ya Ufaransa dhidi ya Romania, kabla ya kuanza

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Jay Z amteua Romeo Santos kuwa CEO wa Roc Nation Latin

Msanii maarufu na mshindi wa tuzo kibao, Romeo Santos ameteuliwa kuwa CEO wa Roc Nation Latin. “Romeo has had tremendous success as a com... thumbnail 1 summary
Msanii maarufu na mshindi wa tuzo kibao, Romeo Santos ameteuliwa kuwa CEO wa Roc Nation Latin.
“Romeo has had tremendous success as a composer and producer and can spot true talent,” alisema Jay Z.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Video: Wolper ndiye aliyeomba twende wote kwa wazazi wangu – Harmonize

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amefunguka na kueleza wazo la kwenda kumtambulisha mpenzi wake Jacqueline Wolper kwa wazazi wake lil... thumbnail 1 summary
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amefunguka na kueleza wazo la kwenda kumtambulisha mpenzi wake Jacqueline Wolper kwa wazazi wake lilikujaje.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Sijawahi kuwa na menejimenti tangu nimeanza muziki – Malaika

Msanii wa Bongo Fleva, Malaika amesema kuwa tangu ameanza muziki hajawahi kuwa na menejimenti ila kuna watu wamejitokeza kutoka Norway wa... thumbnail 1 summary
Msanii wa Bongo Fleva, Malaika amesema kuwa tangu ameanza muziki hajawahi kuwa na menejimenti ila kuna watu wamejitokeza kutoka Norway wapo tayari kufanya hivyo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Huu ni ushauri ambao Shaa alipewa na Lady Jaydee na hatousahau maishani mwake

Shaa alipewa ushauri muhimu na Lady Jaydee ambao hadi leo hatousahau na umemsaidia kwenye maisha yake ya muziki. thumbnail 1 summary
Shaa alipewa ushauri muhimu na Lady Jaydee ambao hadi leo hatousahau na umemsaidia kwenye maisha yake ya muziki.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: