Serikali imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama
Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwana kifaa cha
kupima mwendo kasi wa magari.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Peraira Silima, alisema tabia hiyo ya trafiki ni kinyume cha sheria na
zinaweza kusababisha ajali.Hata hivyo, Silima aliwataka madereva kutii
Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwana kifaa cha
kupima mwendo kasi wa magari.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Peraira Silima, alisema tabia hiyo ya trafiki ni kinyume cha sheria na
zinaweza kusababisha ajali.Hata hivyo, Silima aliwataka madereva kutii