December 19, 2013
MTOTO WA SIKU SABA AOKOTWA HAI JALALANI ...TAZAMA MAPICHA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA Amkumbuka KANUMBA...!!
WEMA Amkumbuka KANUMBA...!!
WEMA Sepetu ameweka wazi kwamba tangu aanze uigizaji filamu miaka mitano iliyopita ameshiriki filamu 10 pekee ambazo hata... 18:23
WEMA Sepetu ameweka wazi kwamba tangu aanze uigizaji filamu
miaka mitano iliyopita ameshiriki filamu 10 pekee ambazo hata hivyo
zimefanya vizuri.
Wema alisema kuwa anashukuru Mungu kutokana na mafanikio yaliyotokana na kazi alizozifanya kwa kipindi kirefu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tani 18 za Dhahabu zinatoroshwa Nchini kwenda Nchi za Nje kila Mwaka...!!
Tani 18 za Dhahabu zinatoroshwa Nchini kwenda Nchi za Nje kila Mwaka...!!
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefichua kuwapo kwa utoroshaji mkubwa wa madini unaofanywa na baadhi ya wac... 18:21
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na
Madini imefichua kuwapo kwa utoroshaji mkubwa wa madini unaofanywa na
baadhi ya wachimbaji wadogo na kubainisha tani 18 za dhahabu hutoroshwa
kila mwaka kwenda nje.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wanawake Mjini Morogoro wamchachamalia Mkuu wa Wilaya mara baada ya kuwaambia wasikubali kutumiwa kama Kodomu au tambara la deki na Wanasiasa kipindi cha Uchaguzi..!!
Wanawake Mjini Morogoro wamchachamalia Mkuu wa Wilaya mara baada ya kuwaambia wasikubali kutumiwa kama Kodomu au tambara la deki na Wanasiasa kipindi cha Uchaguzi..!!
MKUU wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka amezusha tafrani na kulalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (... 18:17
MKUU
wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka amezusha tafrani na
kulalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania
(UWT), wilayani humo baada ya kutoa kauli kwamba wasikubali kutumika
kama kondomu ama tambara la deki wakati wa chaguzi mbalimbali.
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka. |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHADEMA wagoma kushughulikia rufaa ya Zitto...!!
CHADEMA wagoma kushughulikia rufaa ya Zitto...!!
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitashughulikia rufaa iliyokatwa n... 18:15
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitashughulikia rufaa
iliyokatwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa Baraza Kuu
kupinga uamuzi wa Kamati Kuu (CC) wa kumvua nyadhifa zake katika chama,
hadi hapo itakapopitia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAGAME awakera waombolezaji kwenye msiba wa MANDELA..!!
KAGAME awakera waombolezaji kwenye msiba wa MANDELA..!!
Alitua ghafla na kwenda kumuaga Mandela *Aondoka bila kumpa mkono wa pole Rais Zuma KATIKA hali isiyotarajiwa, Rais Paul Kagame wa R... 18:14
Alitua ghafla na kwenda kumuaga Mandela
*Aondoka bila kumpa mkono wa pole Rais Zuma
KATIKA hali isiyotarajiwa, Rais Paul Kagame wa Rwanda Jumatano iliyopita aliwashangaza wengi baada ya kufika ghafla jijini Pretoria, Afrika
KATIKA hali isiyotarajiwa, Rais Paul Kagame wa Rwanda Jumatano iliyopita aliwashangaza wengi baada ya kufika ghafla jijini Pretoria, Afrika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RIYAMA AWACHANA MAKAVU WASANII WA BONGO MOVIE KWA KUPIGANA DENDA
RIYAMA AWACHANA MAKAVU WASANII WA BONGO MOVIE KWA KUPIGANA DENDA
RIYAMA amesema kuwa anachukizwa na vitendo vya kimapenzi vinavyoonyeshwa kwenye filamu nyingi za sasa, ikiwemo m... 17:44SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATIMAYE RAISI KIKWETE ASAINI HATI YA DHARURA YA KUFANYA MAREKEBISHO KWENYE MUSWADA WA FEDHA ILI KUONDOA KODI YA LAINI ZA SIMU
HATIMAYE RAISI KIKWETE ASAINI HATI YA DHARURA YA KUFANYA MAREKEBISHO KWENYE MUSWADA WA FEDHA ILI KUONDOA KODI YA LAINI ZA SIMU
Habari za kodi kwa laini za simu ilichukua vichwa vy... 17:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAUME KAZI KWENU RAY C AANIKA SIFA ZA MWANAUME WA KUMUOA
WANAUME KAZI KWENU RAY C AANIKA SIFA ZA MWANAUME WA KUMUOA
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameibuka na kusema kuwa anahitaji mume anayemzidi umri kwa miaka kumi... 13:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO..... YAPI HAYO??? SOMA ZAIDI
KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO..... YAPI HAYO??? SOMA ZAIDI
Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’. SURA ya mauzo katika sinema za ... 13:03
SURA ya mauzo katika sinema za
Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ametoa ya moyoni kuwa kama
siyo kuwekwa nyuma ya nondo za
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO.....MKE WA OBAMAKUMCHUNGA MME WAKE KWENYE MSIBA WA MANDELA (PHOTOS)
ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO.....MKE WA OBAMAKUMCHUNGA MME WAKE KWENYE MSIBA WA MANDELA (PHOTOS)
Nelson Mandela’s memorial service saw a hundred presidents from around he globe head to South Africa to take part in this hist... 12:57SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HIZI NI PICHA ZA NDEGE YA ETHIOPIA AIRLINES ILITUA GHAFLA ARUSHA,ABIRIA 200 WANUSURIKA.
HIZI NI PICHA ZA NDEGE YA ETHIOPIA AIRLINES ILITUA GHAFLA ARUSHA,ABIRIA 200 WANUSURIKA.
Ndege kubwa ya shirika la Ethiopian Airlines iliyokuwa na abiria 200 imelazimika kutua ghafla kwenye uwanja wa ndege w... 12:55
Ndege kubwa ya shirika la Ethiopian Airlines iliyokuwa na abiria 200
imelazimika kutua ghafla kwenye uwanja wa ndege wa Arusha leo mchana
muda wa saa saba na robo mchana.
Ndege aina ya Boeing 767-383ER ya shirika la Ethiopian Airline ikiwa imetua kwa dharura kwenye uwanja wa ndege wa Arusha na kuingia pembezoni mwa njia ya kurukia
Utuaji huo ulikuwa wa hatari kwakuwa njia ya ndege
Ndege aina ya Boeing 767-383ER ya shirika la Ethiopian Airline ikiwa imetua kwa dharura kwenye uwanja wa ndege wa Arusha na kuingia pembezoni mwa njia ya kurukia
Utuaji huo ulikuwa wa hatari kwakuwa njia ya ndege
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE MWENYE HASIRA
JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE MWENYE HASIRA
1 Tafuta sababu ya yeye kukasirika. Angalia hiyo hasira yake imesababishwa na nini. Labda ni wewe ndiyo umesababisha kutokana na kuk... 12:541 Tafuta sababu ya yeye kukasirika. Angalia hiyo hasira yake imesababishwa na nini. Labda ni wewe ndiyo umesababisha kutokana na kukosekana na maelewano mazuri baina ya kitu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DK. CHENI KUMPINDUA RAY UENYEKITI WA BONGO MOVIE
DK. CHENI KUMPINDUA RAY UENYEKITI WA BONGO MOVIE
Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni... 12:53SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WOLPER NA ZAMARADI BADO BIFU NI ZITO..SOMA HAPA KUJUA KINACHOENDELEA
WOLPER NA ZAMARADI BADO BIFU NI ZITO..SOMA HAPA KUJUA KINACHOENDELEA
Jacqueline Wolper. Na Shakoor Jongo STAA wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper amemrushia maneno ya lawama Mtangazaji wa Kipindi c... 12:50SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JAMANI ETI HAYA MAVAZI YANAFAA KWA HOUSE GIRL? ..MDAU SEMA NENO HAPA
JAMANI ETI HAYA MAVAZI YANAFAA KWA HOUSE GIRL? ..MDAU SEMA NENO HAPA
Wapo watu ambao bado hawajajua madhara ya mavazi, mavazi yanaweza kuharibu nyumba, dada wa ka... 12:48SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HIZI NDIZO CHANNEL ZINAZOPATIKANA KWENYE KING'AMUZI CHA AZAM TV NA BEI YAKE NA MALIPO KWA MWEZI........ SOMA ZAIDI
HIZI NDIZO CHANNEL ZINAZOPATIKANA KWENYE KING'AMUZI CHA AZAM TV NA BEI YAKE NA MALIPO KWA MWEZI........ SOMA ZAIDI
FILAMU: Sinema Zetu MGM Movies African Movie Channel Zee Cinema 12:47FILAMU:
Sinema Zetu
MGM Movies
African Movie Channel
Zee Cinema
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JOKATE AZINDUA KIDOTI CLUB....
JOKATE AZINDUA KIDOTI CLUB....
Mrembo, Muimbaji, Muigizaji wa filamu, Mtangazaji wa TV na Mjasiriamali nchini, Jokate Mwegelo aka Kidoti leo amefanya... 01:31
Mrembo, Muimbaji, Muigizaji wa filamu, Mtangazaji wa TV na Mjasiriamali
nchini, Jokate Mwegelo aka Kidoti leo amefanya uzinduzi wa kile
alichokiita ‘Kidoti Club’.
“Ni huduma za SMS, watu wanajiunga kwenye ‘Kidoti Club’ na watakuwa watapata tips mbalimbali za urembo, mitindo na mambo ya lifestyle, inspiration… na baadae
“Ni huduma za SMS, watu wanajiunga kwenye ‘Kidoti Club’ na watakuwa watapata tips mbalimbali za urembo, mitindo na mambo ya lifestyle, inspiration… na baadae
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huu Ndio Mkwanja waliovuna Kundi la Kibao Kata baada ya Kupagawisha Vilivyo kwenye 'Birthday' ya Dada yake DIAMOND PLATINUMZ..!!
Huu Ndio Mkwanja waliovuna Kundi la Kibao Kata baada ya Kupagawisha Vilivyo kwenye 'Birthday' ya Dada yake DIAMOND PLATINUMZ..!!
Kundi la Kibao kata wakiwa Kazini..... 01:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mwigulu Nchemba akerwa na kitendo cha Freeman Mbowe kuchanganya kazi na Mapenzi bungeni.....Alitaka bunge kuchunguza posho zilizoliwa na hawara yake
Mwigulu Nchemba akerwa na kitendo cha Freeman Mbowe kuchanganya kazi na Mapenzi bungeni.....Alitaka bunge kuchunguza posho zilizoliwa na hawara yake
Mbunge wa Iramba Magharibi, mh. Mwigulu Nchemba leo asubuhi aliomba mwongozo wa Spika wa bunge akimtuhumu M... 01:23Mbunge wa Iramba Magharibi, mh. Mwigulu Nchemba leo asubuhi aliomba mwongozo wa Spika wa bunge akimtuhumu Mh. Mbowe kwamba amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kuchanganya mapenzi na kazi, hali inayolichafua
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hatimaye Barua ya Mwigamba yatua kwa msajili wa vyama vya Siasa Nchini...!!
Hatimaye Barua ya Mwigamba yatua kwa msajili wa vyama vya Siasa Nchini...!!
Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, imethibitisha kupokea barua ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Cha... 01:22Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, imethibitisha kupokea barua ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ) mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.
Msajili wa Vyama vya Siasa,Jaji Francis Mutungi |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WATU 200 WANUSURIKA KUFA KWA AJALI YA NDEGE HUKO ARUSHA TANZANIA.....SOMA ZAIDI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VERA AJIBU BAA YA HUDDAH MONROE KUMTUPIA MANENO MAKALI VERA SIDIKA KWA KUSEMA ANAMILIKI NYUMBA NIGERIA...
VERA AJIBU BAA YA HUDDAH MONROE KUMTUPIA MANENO MAKALI VERA SIDIKA KWA KUSEMA ANAMILIKI NYUMBA NIGERIA...
Well, yo'all know them for flaunting their cash, or shaking their booties while showing off what they've got...the ... 01:15
Well, yo'all know them for flaunting their cash, or shaking their
booties while showing off what they've got...the Bootylicious Vera
Sidika and Socialite Queen Huddah Monroe, the two ladies who rule the
socialite industry in Kenya. As it seems, Vera Sidika of late has been
claiming to own a mansion in Abuja, Nigeria a fact that
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BARNABA ALIONYESHA GARI LAKE JIPYA...,,TAZAMA MAPICHA YA GARI HILO HAPA
BARNABA ALIONYESHA GARI LAKE JIPYA...,,TAZAMA MAPICHA YA GARI HILO HAPA
Bado huamini kwamba muziki wa bongo sasa unalipa? Kama umejibu ndiyo nakushauri u-update fikra zako sababu wasanii wa miaka... 01:13
Bado huamini kwamba muziki wa bongo sasa unalipa? Kama umejibu ndiyo nakushauri u-update
fikra zako sababu wasanii wa miaka ya sasa wamekuwa wakionesha
mafanikio ya aina mbalimbali yanayotokana na kazi ya muziki
wanayoifanya.
Barnaba wa THT leo amemwonesha ‘baby wake’ mpya kupitia Instagram, tena akiwa bado hata hajapewa ‘birth certificate’.
Barnaba wa THT leo amemwonesha ‘baby wake’ mpya kupitia Instagram, tena akiwa bado hata hajapewa ‘birth certificate’.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA NDANI YA PANTONI BAADA YA KIVUKO KUPOTEZA MWELEKEO
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHOSTI UNA UHURU WA KUFUNGUKA KWA MUMEO..SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
SHOSTI UNA UHURU WA KUFUNGUKA KWA MUMEO..SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
ASALAAM alaikum/Bwana Yesu asifiwe! Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi zenu za kulijenga... 00:49
ASALAAM alaikum/Bwana Yesu asifiwe!
Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi zenu za kulijenga taifa, kwa wale wagonjwa nawaombea kwa Mwenyezi Mungu inshalla atawaponya na kwa waliokutwa na misiba nawaombea subra ishallah Mungu awapatie moyo wa uvumilivu.
Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi zenu za kulijenga taifa, kwa wale wagonjwa nawaombea kwa Mwenyezi Mungu inshalla atawaponya na kwa waliokutwa na misiba nawaombea subra ishallah Mungu awapatie moyo wa uvumilivu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND ATUPIA PICHA YAKE AKIWA AMEVALIA MAVAZI YA CHRISTMAS...MTAZAME HAPA
DIAMOND ATUPIA PICHA YAKE AKIWA AMEVALIA MAVAZI YA CHRISTMAS...MTAZAME HAPA
Zikiwa zimebaki siku chache tu hadi kusherehekewa kwa sikukuu ya Christmas, mastaa wengi duniani wamekuwa wakishare kadi zao spe... 00:48Zikiwa zimebaki siku chache tu hadi kusherehekewa kwa sikukuu ya Christmas, mastaa wengi duniani wamekuwa wakishare kadi zao spesho za Christmas zenye picha zao pia. Kwa Nigeria tayari Iyanya amefanya hivyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)