December 20, 2014
Ifahamu timu yenye mashabiki wenye kelele kuliko wote nchini England.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo? ratiba iko hapa
Upo Dar na ungependa kwenda cinema leo? ratiba iko hapa
Mtu wangu wa nguvu hizi hapa ndio movies zitakazooneshwa kwenye theater mbalimbali pia unaweza kuchagua muda wako,movie yako na wapi pa... 07:23SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Amber Rose, J Lo ,Nick Cannon na mastaa wengine kwenye Red Carpet ya People Magazine Awards 2014
Amber Rose, J Lo ,Nick Cannon na mastaa wengine kwenye Red Carpet ya People Magazine Awards 2014
Usiku wa jana mastaa mbalimbali walihudhuria tuzo za People Magazine Awards 2014 zilizofanyika katika ukumbi wa Beverly Hilton Hotel C... 07:22SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baada ya ule mvutano wa muda mrefu ndoa ya Mama wa Kim Kardashian imefikia hapa…
Baada ya ule mvutano wa muda mrefu ndoa ya Mama wa Kim Kardashian imefikia hapa…
Sasa imethibitika rasmi kuwa Kris Jenner na mumewe Bruce Jenner wametalikiana baada ya kukaa kwa muda mrefu wakiwa wametengana. 07:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MISS: U-MISS NI STRESS TUPU!
MISS: U-MISS NI STRESS TUPU!
MISS Tanzania namba 3 (2014), Dorice Mollel, amesema mashindano ya u-miss ni ‘stress’ tupu hivyo kama mrembo anataka kuingia ni lazima kuj... 07:16SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wana... 07:16
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LULU MAWIGI YANATUZEESHA JAMANI
LULU MAWIGI YANATUZEESHA JAMANI
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa, mawigi wanayovaa mastaa mbalimbali akiwemo yeye, yanawazeesha sura ... 07:15
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa, mawigi wanayovaa mastaa mbalimbali akiwemo yeye, yanawazeesha sura na kuonekana wakubwa kupita kiasi kumbe sivyo ilivyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MPAMBE WA MGOMBEA URAIS AVISHWA SHANGA
MPAMBE WA MGOMBEA URAIS AVISHWA SHANGA
JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makany... 07:14
JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makanya jijini Dar es Salaam, almaarufu Mgosingwa, amejikuta akivishwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZARI, DIAMOND MAHABA KWEUPE UGANDA
ZARI, DIAMOND MAHABA KWEUPE UGANDA
STAA anayetamba na ngoma mpya ya Nitampata Wapi, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mtoto mzuri kutoka Uganda, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wa... 07:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)