Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima.
August 28, 2014
Kinachosemekana kutoka kwa Jokate na Ommy Dimpoz kwa sasa #LOVE
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Good news!! hivi ndivyo makundi ya Champions League yalivyopangwa
Good news!! hivi ndivyo makundi ya Champions League yalivyopangwa
Hatimaye ligi ya mabingwa wa Ulaya imeanza kwa kupangwa kwa makundi ya michuano hiyo ambapo tukio la upangwaji wa makundi haya umefanyika... 21:19SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIAMOND PLATNUMZ AMTEMBEZEA KICHAPO ‘HEAVY’ BABY AKE WEMA SEPETU CHANZO VICTORIA KIMANI.
DIAMOND PLATNUMZ AMTEMBEZEA KICHAPO ‘HEAVY’ BABY AKE WEMA SEPETU CHANZO VICTORIA KIMANI.
Rais wa serikali ya watu wasafi Tanzania, Naseeb Abdul Ei Kei Ei Diamond Platnumz au Sukari ya warembo amemshushia kichapo cha mbwa mwi... 21:16
Rais wa serikali ya watu wasafi Tanzania, Naseeb Abdul Ei Kei Ei Diamond Platnumz au Sukari ya warembo amemshushia kichapo cha mbwa mwizi, nyonga mkalia ini wake, Wema Abraham Sepetu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LIPUMBA ADAI RAIS KIKWETE AMEPOTEZA DIRA
LIPUMBA ADAI RAIS KIKWETE AMEPOTEZA DIRA
Profesa Lipumba alisema Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kusimamia ahadi zake, hali inayochangia kupwaya kwa utawala wake. Akifafanua h... 21:15
Profesa Lipumba alisema Rais Jakaya Kikwete
ameshindwa kusimamia ahadi zake, hali
inayochangia kupwaya kwa utawala wake.
Akifafanua hoja yake, mwanasiasa hiyo
alisema, “Katika hotuba yake ya mwisho wa
mwaka 2011 ambapo pia alianzisha mchakato
wa Katiba, alisema kutakuwa na kituo cha
ameshindwa kusimamia ahadi zake, hali
inayochangia kupwaya kwa utawala wake.
Akifafanua hoja yake, mwanasiasa hiyo
alisema, “Katika hotuba yake ya mwisho wa
mwaka 2011 ambapo pia alianzisha mchakato
wa Katiba, alisema kutakuwa na kituo cha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NIKUITE NANI PESA??? BEYONCE AMZAWADIA NICKI MINAJ MKUFU WA ALMASI
NIKUITE NANI PESA??? BEYONCE AMZAWADIA NICKI MINAJ MKUFU WA ALMASI
Penye fungu daima ndipo panapoongezeka, mbali na Remix ya wimbo wa Beyoncé ”Flawless” aliomshirikisha Nicki Minaj kufanya vizuri kweny... 21:14
Penye fungu daima ndipo panapoongezeka, mbali na Remix ya wimbo wa Beyoncé ”Flawless” aliomshirikisha Nicki Minaj kufanya vizuri kwenye vituo na sehemu mbalimbali pia umeboresha urafiki wao baada ya Mrs Carter kuonyesha jeuri ya pesa kwa kumzawadia diva huyo wa Young Money mkufu wa shingoni wa almasi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
soma hapa Alichosema wema baada ya Diamond kutangaza ndoa
soma hapa Alichosema wema baada ya Diamond kutangaza ndoa
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz ametangaza ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Wema Sepetu anayosema itafungwa hivi ka... 18:24
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz ametangaza ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Wema Sepetu anayosema itafungwa hivi karibuni.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Flora Mbasha asema "Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima " Check Out
Flora Mbasha asema "Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima " Check Out
Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya ki... 17:42SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baba yake Beyonce afichua siri ya tetesi za talaka kati ya Jay Z na Beyonce, Bey aripotiwa kuwa mjamzito
Baba yake Beyonce afichua siri ya tetesi za talaka kati ya Jay Z na Beyonce, Bey aripotiwa kuwa mjamzito
Baba yake Beyonce Knowles, Mzee Mattew Knowles afichua siri ya kuwepo ripoti kuwa mwanae anataka kuachana na Jay Z huku akigusia pia k... 17:41
Baba yake Beyonce Knowles, Mzee Mattew Knowles afichua siri ya kuwepo ripoti kuwa mwanae anataka kuachana na Jay Z huku akigusia pia kuhusu kilichosababisha ugonvi kati ya Solange na Jay ndani ya lift.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Van Gaal: Huenda ikatuchukua Mwaka Mzima Kuepuka Madhila Haya ya Aibu Kwa Team ya Man United
Van Gaal: Huenda ikatuchukua Mwaka Mzima Kuepuka Madhila Haya ya Aibu Kwa Team ya Man United
Meneja wa klabu ya Man Utd Aloysius Paulus Maria van Gaal amelia na kikosi chake ambacho usiku wa kuamkia hii leo kiliendelea kula m... 17:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FAHAMU UZURI NA UBAYA WA FREEMASON. BOFYA HAPA KUFAHAMU ZAIDI
FAHAMU UZURI NA UBAYA WA FREEMASON. BOFYA HAPA KUFAHAMU ZAIDI
Dar es Salaam. Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong’ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata u... 17:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASKINI PANYA WAMTAFUNA PUA NA VIGANJA MTOTO WA MWEZI MMOJA
MASKINI PANYA WAMTAFUNA PUA NA VIGANJA MTOTO WA MWEZI MMOJA
Taarifa kutoka mjini Johannesburg Afrika Kusini zinasema - kuwa panya walimng'ata mtoto wa mwezi mmoja vidole na pua Mtoto huyo anas... 17:35
Taarifa kutoka mjini Johannesburg Afrika Kusini zinasema - kuwa panya walimng'ata mtoto wa mwezi mmoja vidole na pua Mtoto huyo anasubiri kufanyia upasuaji wa kuumba maumbile yake ya usoni baada ya tukio hilo huko Alexandra, Johannesburg .
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NUHU MZIWANDA AZUA GUMZO JIPYAAAAAAH KABISA, SOMA HAPA UONDO WOTE
NUHU MZIWANDA AZUA GUMZO JIPYAAAAAAH KABISA, SOMA HAPA UONDO WOTE
STAA wa Bongo Fleva, Nuh Naftari Mlawa ‘Nuh’ amefunguka ya moyoni kuhusiana na kipaji chake na kusema kuwa ‘sexy lady’ wa Bongo Fleva,... 16:38
STAA wa Bongo Fleva, Nuh Naftari Mlawa ‘Nuh’ amefunguka ya moyoni kuhusiana na kipaji chake na kusema kuwa ‘sexy lady’ wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. 15:47
KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PENZI LA LUPITA NYONG’O NA K’NAAN SASA LIVE BILA CHENGA
PENZI LA LUPITA NYONG’O NA K’NAAN SASA LIVE BILA CHENGA
Lupita Nyong’o na K’Naan. WASANII maarufu kutoka Afrika wanaotamba katika ngazi za kimataifa -- K’Naan kutoka Somalia aliyetamba sana n... 15:46
WASANII maarufu kutoka Afrika wanaotamba katika ngazi za kimataifa -- K’Naan kutoka Somalia aliyetamba sana na wimbo wake wa Kombe la Dunia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’
ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’
Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody ) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sonton... 15:46
JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWA MARA YA KWANZA RONALDO AFUNGUKA KUHUSIANA NA URAFIKI WAKE NA MESSI
KWA MARA YA KWANZA RONALDO AFUNGUKA KUHUSIANA NA URAFIKI WAKE NA MESSI
Kwa mara ya kwanza mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amefunguka kuhusiana na uhusiano wake na Lionel Messi na kusema a... 15:43SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UMEZIONA PICHA MPYA ZA MSANII WA BONGO FLEVA SHILOLE ALIZOTUPIA INSTAGRAM
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UKISTAAJABU YA MUSSA UTAONA YA MTI WA AJABU WENYE MATUNDA YA UMBO LA BINADAMU
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SOMA HAPA ILI KUJUA NAMNA YA KUONDOA TATIZO LA KUTOJIAMINI
SOMA HAPA ILI KUJUA NAMNA YA KUONDOA TATIZO LA KUTOJIAMINI
Kila kitu ambacho ni halisi kinawezekana. Bila shaka unakumbuka vizuri kuhusu namna kutojiamini kwetu kunavyojengwa. Kwa kuwa tunajua cha... 15:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Umeisoma ripoti ya leo kuhusu chai na chakula kwenye bunge la katiba?
Umeisoma ripoti ya leo kuhusu chai na chakula kwenye bunge la katiba?
Gazeti la Mtanzania August 28 2014 ndio limeripoti hii stori kuhusu Bunge la Katiba linaloendelea Dodoma, kikubwa ni gharama mbalimbali z... 15:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baada ya Lampard kustaafu – wachezaji wengine wawili wafuata mkondo wake
Baada ya Lampard kustaafu – wachezaji wengine wawili wafuata mkondo wake
Siku kadhaa baada ya Frank Lampard kutangaza kustaafu soka la kimataifa – jana ilikuwa siku nyingine kwa wanasoka wawili wa kimataifa bar... 15:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA PICHAZ NYINGINE KTK KWA K LYINN NI MREMBO WA KUZALIWA TAZAMA HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MTOTO AGONGWA NA GARI NA KUFARIKI VWAWA- MBEYA
MTOTO AGONGWA NA GARI NA KUFARIKI VWAWA- MBEYA
Mtoto mwenye umri wa miaka 09 aliyefahamika kwa jina la Nelly Alick mkazi wa Mlolo amefariki muda dunia muda mfupi wakati 15:25
Mtoto mwenye umri wa miaka 09 aliyefahamika kwa jina la Nelly Alick mkazi wa Mlolo amefariki muda dunia muda mfupi wakati
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUYU HAPA KIBOKO YA MASOGANGE...TAZAMA PICHA ZAKE 3 KALI MASOGANGE AKIRI KUFUNIKWA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RECHO ACHEZEA ZA USO TOKA KWA MASHABIKI BAADA YA KUPOST PICHA YA NUSU UTUPU INSTAGRAM
RECHO ACHEZEA ZA USO TOKA KWA MASHABIKI BAADA YA KUPOST PICHA YA NUSU UTUPU INSTAGRAM
Picha ya Recho iliyomfanya ashambuliwe! Muimbaji wa ‘Kizunguzungu’ Racho amejikuta katika wakati mgumu na kushambuliwa Instagram baada ... 15:22
Picha ya Recho iliyomfanya ashambuliwe!
Muimbaji wa ‘Kizunguzungu’ Racho amejikuta katika wakati mgumu na kushambuliwa Instagram baada ya kuweka picha ya mitego.
Muimbaji wa ‘Kizunguzungu’ Racho amejikuta katika wakati mgumu na kushambuliwa Instagram baada ya kuweka picha ya mitego.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MHHHHH....WEMA NA PREZZO KUNANI TENA...ANGALIA PICHA ZAO ZA KIMAPENZI CHEKI HAPA
MHHHHH....WEMA NA PREZZO KUNANI TENA...ANGALIA PICHA ZAO ZA KIMAPENZI CHEKI HAPA
Hivi karbuni wema na dangote wamekua hawaelewani katika mapenzi yao, na sasa kuna uvumi mwingi mitaani hizi ni baadhi ya picha za wema ak... 10:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
COUTINHO APIGA BONGE LA BAO YANGA SC IKIICHAPA KMKM 2-0 AMAAN
COUTINHO APIGA BONGE LA BAO YANGA SC IKIICHAPA KMKM 2-0 AMAAN
Na Mahmoud Zubeiry, ZANZIBAR YANGA SC imemaliza ziara yake ya kisiwani Unguja kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi... 09:17SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HIZI 3D TATOO LAZIMA UZITAZAME KWAMAKINI...VINGINEVYO UTADHANI UONGO!!!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ulimis kutazama ushindi wa Arsenal vs Besiktas Aug 27? video ziko hapa
Ulimis kutazama ushindi wa Arsenal vs Besiktas Aug 27? video ziko hapa
August 27 2014 Arsenal imepata furaha nyingine baada ya kuichapa Besiktas ambapo ushindi huo umeifanya kuingia kwenye hatua ya makundi Ch... 09:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jeshi la Uganda lime-take over! sasa ndio litaandaa shindano la Miss Uganda.
Jeshi la Uganda lime-take over! sasa ndio litaandaa shindano la Miss Uganda.
Toka nimeanza kuandika na kufatilia habari sijawahi kusikia jeshi la nchi limechukua hatamu kuendesha mashindano ya urembo tena mashindan... 09:09SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
INASIKITISHA! Johanitha Robert Mulokozi (31) amekuwa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza mwili mzima.Mama h... 09:06SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZITTO KABWE AANIKA HADHARANI UHUSIANO WAKE NA DIVA WA CLOUDS
ZITTO KABWE AANIKA HADHARANI UHUSIANO WAKE NA DIVA WA CLOUDS
KWA mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loven... 09:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BIFU LA MADEE NA NEY WA MITEGO LAZIKWA RASMI
BIFU LA MADEE NA NEY WA MITEGO LAZIKWA RASMI
WASANII waliokuwa wakipigania cheo cha urais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’, na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, hatimaye wamemaliza ... 09:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAINDA WA BONGO MOVIE AZICHAPA NGUMI KANISANI NA MPENDWA MWENZAKE
MAINDA WA BONGO MOVIE AZICHAPA NGUMI KANISANI NA MPENDWA MWENZAKE
MADAI mazito! Super lady wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kugombana na muumini mwenzake kwenye kanisa analoabudu kwa s... 09:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)