August 28, 2014

UKISTAAJABU YA MUSSA UTAONA YA MTI WA AJABU WENYE MATUNDA YA UMBO LA BINADAMU

IMG-20140822-WA0003


IMG-20140822-WA0005 


Duniani kuna maajabu, mti huu unaotoa matunda yenye umbo la binadamu huko nchini Thailand na kuzaa kila baada ya miaka 20. Haya ndiyo maajabu ya dunia, ukistaajabu ya Musa utaona ya mti huu wa maajabu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: