Habari za ndani kutoka kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga, ni kwamba
January 07, 2014
BABY MADAHA SASA ALAMBA dili ya MILION 200 za kufanya muvi na kampuni kubwa zaidi Afrika Mashariki
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
REKODI ZA USHINDI ZILIZOVUNJWA NA TIMU PINZANI OLD TRAFFORD TOKEA MOYES AWE MENEJA UNITED
REKODI ZA USHINDI ZILIZOVUNJWA NA TIMU PINZANI OLD TRAFFORD TOKEA MOYES AWE MENEJA UNITED
1. West Brom walikua hawajawahi kushinda Old Trafford tokea 1978 2. Everton walikua hawajawahi kushinda Old Trafford tokea 1992 14:432. Everton walikua hawajawahi kushinda Old Trafford tokea 1992
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JINAMIZI LA FERGUSON LAENDELEA KUMTAFUNA DAVID MOYES.....
JINAMIZI LA FERGUSON LAENDELEA KUMTAFUNA DAVID MOYES.....
Imeandikwa na Jöel Chuku Verminatör Suala hapo lipo wazi sana ... Wenye upeo na wasiotekwa na mapenzi na... 14:18Suala hapo lipo wazi sana ... Wenye upeo na wasiotekwa na mapenzi na timu iyo waliona tangu msimu uliopita ila wale walio wenzangu wenye mahaba niue wakaona timu yao inanguvu...
Msimu uliopita Manchester ilichukua taji, kwakua Rooney
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAKA AIFUNGIA MILAN BAO LA 100.
KAKA AIFUNGIA MILAN BAO LA 100.
Leo hii kiungo wa AC MILAN raia wa Brazil Ricardo KAKA ameifungia timu yake mabao mawili kwenye ushindi wa mbao 3-0 dhi... 14:17
Leo hii kiungo wa AC MILAN raia wa
Brazil Ricardo KAKA ameifungia timu yake mabao mawili kwenye ushindi wa
mbao 3-0 dhidi ya ATALANTA kwenye mchezo wa Serie A.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Yanga hiyoo yapaa zake Uturuki
Yanga hiyoo yapaa zake Uturuki
WACHEZAJI wa Yanga, keshokutwa Alhamisi wanatarajia kwenda, Antalya, Uturuki kwa ajili ya kujiandaa na Li... 14:16Habari za ndani kutoka kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga, ni kwamba
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUFURU: Klabu kumng’oa Lionel Messi kwa Euro 400 milioni
KUFURU: Klabu kumng’oa Lionel Messi kwa Euro 400 milioni
JEURI ya pesa. Ndicho unachoweza kusema baada ya klabu tajiri Ulaya, Paris Sain... 14:15SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMAAA!!!!, DANGURO LA UCHI LA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DAR LAFUMULIWA
NOMAAA!!!!, DANGURO LA UCHI LA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DAR LAFUMULIWA
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Globa... 13:26SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) - 01
HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) - 01
Simulizi ya aina yake inayosisimua na kukufurahisha ... fuatilia simulizi hii kujifunza mengi na k... 12:39
Simulizi ya aina yake inayosisimua na kukufurahisha ... fuatilia simulizi hii kujifunza mengi na kuburudika.
MLIO wa kengele ulisikika kutoka kwenye mnara wa kanisa kuashiria muda wa sala ya Jumapili, waumini mbalimbali wakawa wanaingia ndani ya kanisa kwa ajili ya kumuomba Mungu wao.
Aidan, mtoto mdogo mwenye umri wa miaka sita, aliteremka kwenye gari lao lililokuwa limepaki nje ya kanisa kabla hata wazazi wake hawajateremka, akaanza kukimbia kuingia ndani.
“Caro! Caro!” aliita Aidan huku akimkimbilia mtoto
MLIO wa kengele ulisikika kutoka kwenye mnara wa kanisa kuashiria muda wa sala ya Jumapili, waumini mbalimbali wakawa wanaingia ndani ya kanisa kwa ajili ya kumuomba Mungu wao.
Aidan, mtoto mdogo mwenye umri wa miaka sita, aliteremka kwenye gari lao lililokuwa limepaki nje ya kanisa kabla hata wazazi wake hawajateremka, akaanza kukimbia kuingia ndani.
“Caro! Caro!” aliita Aidan huku akimkimbilia mtoto
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)