Usiku wa Jumatano ya October 27 kulikuwa hakuna mechi za Ligi Kuu Uingereza ila ilikuwa ni siku ambayo michezo ya ya Kombe la Capital One iliendelea nchini Uingerezakwa mechi kadhaa kupigwa katika viwanja
October 28, 2015
WASSIRA, SIKUBALIANI NA MATOKEO YA ESTER BULAY ...NIMEHUJUMIWA
WASSIRA, SIKUBALIANI NA MATOKEO YA ESTER BULAY ...NIMEHUJUMIWA
Stephen Wassira Saa chache baada ya Msimamizi wa Uchaguzi kumtangaza Ester Bulaya wa Chadema kuwa mshindi katika jimbo la Bunda Mjini,... 16:01
Stephen Wassira
Saa chache baada ya Msimamizi wa Uchaguzi kumtangaza Ester Bulaya wa Chadema kuwa mshindi katika jimbo la Bunda Mjini, aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo na mpinzani wake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CCM KUIPOTEZA DAR ES SALAAM NI KUIPOTEZA TANZANIA NZIMA
CCM KUIPOTEZA DAR ES SALAAM NI KUIPOTEZA TANZANIA NZIMA
Dar es Saaam ndiyo Tanzania. Dar es Salaam ndiyo kila kitu. Kioo cha Tanzania ni Dar es Salaam. Pamoja na uwepo wa majiji matano nchi... 15:59
Dar es Saaam ndiyo Tanzania. Dar es Salaam ndiyo kila kitu. Kioo cha Tanzania ni Dar es Salaam. Pamoja na uwepo wa majiji matano nchini: Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya na Tanga, lakini Dar ndiyo mwanzo na mwisho. Katika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MOJA KWA MOJA KUTOKA TUME YA UCHAGUZI (NEC) MATOKEO YA URAIS ASUBUHI HII HAPA YA TAR 28 OCT
MOJA KWA MOJA KUTOKA TUME YA UCHAGUZI (NEC) MATOKEO YA URAIS ASUBUHI HII HAPA YA TAR 28 OCT
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa. Tembelea ukurasa huu mara ... 15:58Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa.
Tembelea ukurasa huu mara kwa mara kwa updates zaidi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UKAWA WASEMA HAWATAMBUI MATOKEO YA URAIS YANAYOTANGAZWA NA NEC
UKAWA WASEMA HAWATAMBUI MATOKEO YA URAIS YANAYOTANGAZWA NA NEC
Chadema kwa kushirikiana na vyama vinavyounda Ukawa, leo wanakutana kujadili mwenendo waliouita usio halali wa kutangaza matokeo, wakiitu... 15:57
Chadema kwa kushirikiana na vyama vinavyounda Ukawa, leo wanakutana kujadili mwenendo waliouita usio halali wa kutangaza matokeo, wakiituhumu Tume ya Uchaguzi (NEC), CCM na Jeshi la Polisi kushirikiana kuhujumu matokeo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHADEMA MTAKUMKUMBUKA ZITTO KABWE NA DR SLAA,CUF HAWATAISAHAU CHADEMA
CHADEMA MTAKUMKUMBUKA ZITTO KABWE NA DR SLAA,CUF HAWATAISAHAU CHADEMA
Kwa mwenendo wa matokeo rasmi viti vya ubunge tayari CHADEMA yaelekea kupoteza viti vingi vya ubunge pamoja na udiwani hii inaonyesha waz... 15:56
Kwa mwenendo wa matokeo rasmi viti vya ubunge tayari CHADEMA yaelekea kupoteza viti vingi vya ubunge pamoja na udiwani hii inaonyesha wazi umahiri wa Zitto kabwe na Dr. Slaa walivyofanya kazi kubwa kwa kutumia upeo wao
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAVIDO AWAGOMBANISHA AGNESS MASOGANGE NA DIVA!!!! MASOGANGE AMSHANGAA DIVA KUGOMBANA NA KILA MTU
DAVIDO AWAGOMBANISHA AGNESS MASOGANGE NA DIVA!!!! MASOGANGE AMSHANGAA DIVA KUGOMBANA NA KILA MTU
KITUKO! Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ na Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’ wamejik... 15:55
KITUKO! Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ na Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’ wamejikuta wakiingia katika ugomvi, kisa kikiwa ni msanii wa muziki wa Nigeria, Davido.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Full Time ya Sheffield Wednesday Vs Arsenal October 27 na matokeo ya mechi nyingine za Capital One (+Pichaz&Video)
Full Time ya Sheffield Wednesday Vs Arsenal October 27 na matokeo ya mechi nyingine za Capital One (+Pichaz&Video)
Usiku wa Jumatano ya October 27 kulikuwa hakuna mechi za Ligi Kuu Uingereza ila ilikuwa ni siku ambayo michezo ya ya Kombe la Ca... 06:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Sentensi za Mbowe mbele ya waandishi wa habari October 27, 2015
Sentensi za Mbowe mbele ya waandishi wa habari October 27, 2015
Ni saa chache tu baada ya kuanza kutangazwa kwa matokeo ya Urais ya mwaka 2015 Tanzania ambapo leo October 27, 2015 mwenyekiti wa Chadema... 06:28
Ni saa chache tu baada ya kuanza kutangazwa kwa matokeo ya Urais ya mwaka 2015 Tanzania ambapo leo October 27, 2015 mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Prince William katoa medali ya heshima kwa Frank Lampard (+Pichaz)
Prince William katoa medali ya heshima kwa Frank Lampard (+Pichaz)
Kiungo wa kimataifa wa zamani wa Uingereza na klabu ya Chelsea ya Uingereza Frank Lampard ambaye kwa sasa yupo katika klabu ya New York C... 06:25
Kiungo wa kimataifa wa zamani wa Uingereza na klabu ya Chelsea ya Uingereza Frank Lampard ambaye kwa sasa yupo katika klabu ya New York City inayoshiriki Ligi KuuMarekani (MLS), ameingia katika headlines October 27 baada ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Blac Chyna na Future ni wapenzi..? Picha hii inaweza kuwa uthibitisho wa uhusiano wao!
Blac Chyna na Future ni wapenzi..? Picha hii inaweza kuwa uthibitisho wa uhusiano wao!
Baada ya tetesi nyingi sana kusambaa kuhusu mpenzi wa zamani wa Ciara, Future na aliyewahi kuwa mpenzi wa zamani wa Tyga, Blac Chyna kuwa... 06:24
Baada ya tetesi nyingi sana kusambaa kuhusu mpenzi wa zamani wa Ciara, Future na aliyewahi kuwa mpenzi wa zamani wa Tyga, Blac Chyna kuwa ni wapenzi, sasa hivi inaonekana wazi kuwa mmoja wao hana chochote cha kuficha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LIVE, MATOKEO RASMI YA URAIS KWA MUJIBU WA NEC JIONI HII - UCHAGUZI MKUU 2015
LIVE, MATOKEO RASMI YA URAIS KWA MUJIBU WA NEC JIONI HII - UCHAGUZI MKUU 2015
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa. 06:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
INSTAGRAMU WAIFUNGIA AKAUNTI YA IDRIS SULTANI, SOMA HAPA KUJUA SABABU YA KUFUNGIWA
INSTAGRAMU WAIFUNGIA AKAUNTI YA IDRIS SULTANI, SOMA HAPA KUJUA SABABU YA KUFUNGIWA
Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. 06:20
Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AUGUSTINO MREMA NDIO BASI TENA ..MBATIA ATWAA VUNJO NA KUTANGAZWA KUWA MBUNGE WA MOSHI VIJIJINI
AUGUSTINO MREMA NDIO BASI TENA ..MBATIA ATWAA VUNJO NA KUTANGAZWA KUWA MBUNGE WA MOSHI VIJIJINI
By auli Giliard/Louis Kolumbia, Mwananchi Digital Tume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza James Mbatia wa NCCR Mageuzi kuwa mbunge mteule wa... 06:18
By auli Giliard/Louis Kolumbia, Mwananchi Digital
Tume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza James Mbatia wa NCCR Mageuzi kuwa mbunge mteule wa jimbo la Vunjo huku kada wa Chadema, Anthony Komu naye akiibuka mshindi katika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CCM Walalamikia Kitendo Cha Maali Seif Sharif Hamad Kujitangaza Mshindi......Wadai Walikamata Kura Feki za CUF Zanzibar
CCM Walalamikia Kitendo Cha Maali Seif Sharif Hamad Kujitangaza Mshindi......Wadai Walikamata Kura Feki za CUF Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema, Maalim Seif amevunja katiba na sheria kwa kujitangaza mshindi kabla ya matokeo halali ya Tum... 06:13
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema, Maalim Seif amevunja katiba na sheria kwa kujitangaza mshindi kabla ya matokeo halali ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (Zec).
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PAMOJA NA MAJIMBO YALIYOTANGAZWA SAA 2 USIKU TAR; 27/10 NA NEC..MAGUFULI AMEKUA HASHIKIKI..
PAMOJA NA MAJIMBO YALIYOTANGAZWA SAA 2 USIKU TAR; 27/10 NA NEC..MAGUFULI AMEKUA HASHIKIKI..
Lowassa na Magufuli Waendelea Kuchuana kwa Karibu...Mpaka sasa Magufuli Anakura 1,980,899 Huku Lowassa Akiwa na 1,388,693 06:12
Lowassa na Magufuli Waendelea Kuchuana kwa Karibu...Mpaka sasa Magufuli Anakura 1,980,899 Huku Lowassa Akiwa na 1,388,693
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOWASSA SASA KUTABASAMU BAADA YA NGOME ZAKE KUMPA MATUMAINI MAKUBWA CHEKI TOFAUTI YA KURA MPAKA SASA...
LOWASSA SASA KUTABASAMU BAADA YA NGOME ZAKE KUMPA MATUMAINI MAKUBWA CHEKI TOFAUTI YA KURA MPAKA SASA...
Lowassa na Magufuli Waendelea Kuchuana kwa Karibu...Mpaka sasa Magufuli Anakura 1,689,003 Huku Lowassa Akiwa na 1,239,105 06:11
Lowassa na Magufuli Waendelea Kuchuana kwa Karibu...Mpaka sasa Magufuli Anakura 1,689,003 Huku Lowassa Akiwa na 1,239,105
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WABUNGE NA MADIWANI WOTE, CCM NA UKAWA WALIOKWISHA KUTANGAZWA RASMI ..KUANZIA TAR;25-27 MDA HUU..JE KUNA UWEZEKANO WA SERIKALI MSETO?
WABUNGE NA MADIWANI WOTE, CCM NA UKAWA WALIOKWISHA KUTANGAZWA RASMI ..KUANZIA TAR;25-27 MDA HUU..JE KUNA UWEZEKANO WA SERIKALI MSETO?
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Ubunge kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa na Wakurugenzi wenye dha... 06:10
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Ubunge kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa na Wakurugenzi wenye dhamana hiyo
Tembelea ukurasa huu mara kwa mara kwa updates zaidi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
IDADI YA KURA ZOTE ZA URAIS KULINGANA NA NEC KUTOKEA JANA MPAKA MUDA HUU...AMBAPO MPAKA SASA.......
IDADI YA KURA ZOTE ZA URAIS KULINGANA NA NEC KUTOKEA JANA MPAKA MUDA HUU...AMBAPO MPAKA SASA.......
HAYA NI MATOKEO RASMI YALIYOTOLEWA NA NEC HIVYO BASI TUNACHUKUA NA KUREKODI KWA AJILI YAKO MSOMAJI NA MFUATILIAJI WETU. 06:09
HAYA NI MATOKEO RASMI YALIYOTOLEWA NA NEC HIVYO BASI TUNACHUKUA NA KUREKODI KWA AJILI YAKO MSOMAJI NA MFUATILIAJI WETU.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NGOME ZA CCM ZILIZOKWISHA POKONYWA NA WAPINZANI MPAKA SASA
NGOME ZA CCM ZILIZOKWISHA POKONYWA NA WAPINZANI MPAKA SASA
Tembelea link hii ili kupata updates za chama cha mapinduzi 06:08
Tembelea link hii ili kupata updates za chama cha mapinduzi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
October 14, 2015
January Makamba Adai Magazeti Yanampendelea LOWASSA Kwa Kumpigia Kampeni
January Makamba Adai Magazeti Yanampendelea LOWASSA Kwa Kumpigia Kampeni
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba ameonesha kutokubaliana kwake na ripoti za kinachojili kwenye mikutano ya mgombea ura... 16:08
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba ameonesha kutokubaliana kwake na ripoti za kinachojili kwenye mikutano ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa na kueleza kuwa Magazeti hutumiwa kupiga kampeni.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Diamond Opens Up About How Fathering Princess Tiffah Has Changed Him
Diamond Opens Up About How Fathering Princess Tiffah Has Changed Him
Diamond and Zari Hassan’s daughter, Latiffah Nasibu Abdul aka Princess Tiffah has not only made the Dangote’s a tight-knit family but als... 16:07
Diamond and Zari Hassan’s daughter, Latiffah Nasibu Abdul aka Princess Tiffah has not only made the Dangote’s a tight-knit family but also changed her father’s life in a big way.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
NYOTA wa filamu Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amesema anajihisi kama mwanamke mwenye mkosi baada ya wanaume wanne alioshiriki nao mapenzi kuonesh... 16:06
NYOTA wa filamu Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amesema anajihisi kama mwanamke mwenye mkosi baada ya wanaume wanne alioshiriki nao mapenzi kuonesha nia ya kumuoa,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA HIZI ZA VERA SIDIKA ZAWAACHA VIDUME MACHO KODOOO WAKATI ANASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA RAFIKI ZAKE JIONEE HUMU NI BALAA PICHA ZAIDI YA 10>
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MZEE MAJUTO AREJEA TOKA MAKKA,AWA SHARO BARO, SHAVU DODO KWA SASA
MZEE MAJUTO AREJEA TOKA MAKKA,AWA SHARO BARO, SHAVU DODO KWA SASA
Staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ alipowasili toka kuhiji Makka.MABADILIKO! Baada ya kunusurika kwenye vifo vya mkanyag... 11:21
Staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ alipowasili toka kuhiji Makka.MABADILIKO! Baada ya kunusurika kwenye vifo vya mkanyagano vilivyoua mahujaji zaidi ya 4000 waliokwenda kuhiji katika mji wa Mina,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JOKATE, ALI KIBA PICHA SASA MAMBO YAMESHANOGA, DENDA NJE NJE!!
JOKATE, ALI KIBA PICHA SASA MAMBO YAMESHANOGA, DENDA NJE NJE!!
MAYASA MARIWATA NA BONIPHACE NGUMIJE MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mwandani wake Ally Salehe Kiba, wamethibitisha kuwa wana m... 11:20
MAYASA MARIWATA NA BONIPHACE NGUMIJE
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mwandani wake Ally Salehe Kiba, wamethibitisha kuwa wana maelewano mazuri (picha zinaiva) baada ya mwishoni mwa wiki kuonekana
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MEMBE AZUNGUMZIA UWEZEKANO WA LOWASSA KUMLETA BALALI, SOMA HAPA ALICHOSEMA
MEMBE AZUNGUMZIA UWEZEKANO WA LOWASSA KUMLETA BALALI, SOMA HAPA ALICHOSEMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Cha... 11:19
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, hana uwezo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUYU HAPA KIGOGO MWINGINE WA CCM AJIVUA RASMI UANACHAMA WA CCM,ARUDISHA KADI
HUYU HAPA KIGOGO MWINGINE WA CCM AJIVUA RASMI UANACHAMA WA CCM,ARUDISHA KADI
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu.... 11:18
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU.
NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Ndugu zangu,
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
King LAWRENCE Flaunts His New Lover After Eating And Dumping ZARI & HUDDAH (PHOTO)
King LAWRENCE Flaunts His New Lover After Eating And Dumping ZARI & HUDDAH (PHOTO)
After having s3x with aging Ugandan socialite, Zari Hassan, and later dumping her like garbage and doing the same to Kenya’s Huddah Monro... 09:52
After having s3x with aging Ugandan socialite, Zari Hassan, and later dumping her like garbage and doing the same to Kenya’s Huddah Monroe, flashy Kampala businessman,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
I'm Looking For A Husband To Settle Down With: Sabby Angel
I'm Looking For A Husband To Settle Down With: Sabby Angel
Actress and singer Sabby Angel is tired being lonely and she is looking for a husband to settle with as she turns 25 on her birthday this... 09:51
Actress and singer Sabby Angel is tired being lonely and she is looking for a husband to settle with as she turns 25 on her birthday this October 21st. Sabby has been in unsuccessful
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ben Pol Aeleza Kwanini Hataki Kuonekana na Mpenzi Wake kila Wakati
Ben Pol Aeleza Kwanini Hataki Kuonekana na Mpenzi Wake kila Wakati
Ben Pol amesema ataamua kutembea kila sehemu na mpenzi wake baada ya kuona anakaribia kufunga naye ndoa. 09:50
Ben Pol amesema ataamua kutembea kila sehemu na mpenzi wake baada ya kuona anakaribia kufunga naye ndoa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
October 08, 2015
Dr. Slaa: Magufuli Haogopi Kupoteza Kura Kwa Kukemea Ufisadi na Kusema Atawafunga Wala Rushwa....Awalinganisha Lowassa na Magufuli
Dr. Slaa: Magufuli Haogopi Kupoteza Kura Kwa Kukemea Ufisadi na Kusema Atawafunga Wala Rushwa....Awalinganisha Lowassa na Magufuli
Mtangazaji anatambulisha mada. Ni yule yule Kamonte aliyemhoji mara mbili zilizopita. Dr. Slaa: Nitaendelea kupigia kelele ma... 16:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZARI THE BOSS LADY IS BACK PICHA ZAKE HIZI MPYAN ZINA THIBITISHA KUWA BADO YUPO BOMBA KIASI YA KUENDELEA KUNGALAGAZA MADAM
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JIONEE MATUKIO YA MASOGANGE TOKA KAWASILI BONGO NA JINSI ALIVYOANZA KULITAFUTA BATA MIDA YA USIKU MNENE MMH TAZAMA HUMU
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
EDWARD LOWASSA KUMZIKA MCHUNGAJI MTIKILA LICHA YA MANENO YOTE KABLA YA KIFO CHAKE
EDWARD LOWASSA KUMZIKA MCHUNGAJI MTIKILA LICHA YA MANENO YOTE KABLA YA KIFO CHAKE
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Cha... 15:52SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE UNATATIZO LA KUKOJOA HARAKA NA KUMALIZA MCHEZO HARAKA NJOO NIKUPE MBINU ZA KUEPUKA.
JE UNATATIZO LA KUKOJOA HARAKA NA KUMALIZA MCHEZO HARAKA NJOO NIKUPE MBINU ZA KUEPUKA.
Sababu ya tatizo hili huweza kuwaya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii.Jenga tabi... 15:51
Sababu ya tatizo hili huweza kuwaya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii.Jenga tabia ya kufanya mazoezi yamwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyokitu rahisi cha kufanyani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
October 07, 2015
Jay Z na Beyonce hawajachoshwa nyumba za kupanga? Ya kwanza imeuzwa, wanahamia humu… (+Pichaz)
Jay Z na Beyonce hawajachoshwa nyumba za kupanga? Ya kwanza imeuzwa, wanahamia humu… (+Pichaz)
Nyumba ya kwanza ambayo waliamua kuishi Jay Z na Beyonce pamoja na mtoto waoBlue Ivy, ilikuwa maeneo ya Los Angeles Marekani na walianza ... 12:00
Nyumba ya kwanza ambayo waliamua kuishi Jay Z na Beyonce pamoja na mtoto waoBlue Ivy, ilikuwa maeneo ya Los Angeles Marekani na walianza rasmi maisha ndani ya huo mjengo February 2015, baadae mambo yakabadilika.. nyumba iliuzwa na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha za mama Regina Lowassa Zanzibar alivyoongea na Wanawake kuusubiria uchaguzi.
Picha za mama Regina Lowassa Zanzibar alivyoongea na Wanawake kuusubiria uchaguzi.
Jana ilikua October 6 2015 ambapo bado sera zimeendelea kunadiwa kuisubiria siku kubwa ya kura ambayo ni October 25 2015 ambapo mmoja wa ... 11:59
Jana ilikua October 6 2015 ambapo bado sera zimeendelea kunadiwa kuisubiria siku kubwa ya kura ambayo ni October 25 2015 ambapo mmoja wa waliochukua headlines jana ni mke wa mgombea Urais wa UKAWA Mama Regina Lowassa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Dk. Kigoda hajafariki… Mwamunyange hajapewa sumu, haya ndio majibu ya Serikali… (Audio)
Dk. Kigoda hajafariki… Mwamunyange hajapewa sumu, haya ndio majibu ya Serikali… (Audio)
Kama utakuwa mfuatilia hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinazoenea na kuchukua nafasi kubwa katika mitandao mbalimbali ile ya Waziri wa ... 11:58
Kama utakuwa mfuatilia hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinazoenea na kuchukua nafasi kubwa katika mitandao mbalimbali ile ya Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda kufariki na ile ya mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Davis Mwamunyange kuwekewa sumu ambapo taarifa hizo si za kweli.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Rick Ross anaisambaza rasmi single yake mpya ‘Sorry’ feat. Chris Brown – (Audio)!
Rick Ross anaisambaza rasmi single yake mpya ‘Sorry’ feat. Chris Brown – (Audio)!
Baada ya kufanya interview na The Breakfast Club leo, rapper Rick Ross ameachia single yake mpya ‘Sorry’ ambayo ndani msani... 11:57
Baada ya kufanya interview na The Breakfast Club leo, rapper Rick Ross ameachia single yake mpya ‘Sorry’ ambayo ndani msanii wa R&B Chris Brown ameshirikishwa, wimbo utakaopatikana kwenye album mpya ya Rick Ross ‘Black Market’
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wako Wapi Wabunge Washangiliaji wa Lowassa na Wenyeviti Watiifu Kwake?
Wako Wapi Wabunge Washangiliaji wa Lowassa na Wenyeviti Watiifu Kwake?
Siku Rais Jakaya Kikwete alipolihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kulitaja jina la Edward Lowassa wabunge walilipuka kw... 11:52
Siku Rais Jakaya Kikwete alipolihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kulitaja jina la Edward Lowassa wabunge walilipuka kwa kushangilia na Bunge kuzizima. Rais Kikwete alikuwa akihitimisha miaka ya Bunge kuelekea kufanyika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Jina la Edward
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wastara Aonesha Mahaba Niue Live Hakuna Siri Tena
Wastara Aonesha Mahaba Niue Live Hakuna Siri Tena
Live! Hakuna siri tena kati ya staa wa Bongo Movies, Wastara Juma na Mtangazaji wa Kipindi cha Action and Cut kinachorushwa kupitia Telev... 11:51
Live! Hakuna siri tena kati ya staa wa Bongo Movies, Wastara Juma na Mtangazaji wa Kipindi cha Action and Cut kinachorushwa kupitia Televisheni ya Channel Ten, Bond Bin Sinan baada ya kuonesha mahaba niue kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa kwenye ‘bethidei’ ya mwigizaji huyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
Mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan amekanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu baada ya kuonekana kuwa karibu zaidi katika miezi kadha... 11:50SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zari Hawezi Kuhamia Tanzania Moja kwa Moja – Diamond Platnumz
Zari Hawezi Kuhamia Tanzania Moja kwa Moja – Diamond Platnumz
Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady tayari wameziunganisha familia zao kwa kumpata mtoto wao wa kwanza Tiffah, lakini hakuna mpango wa... 11:50
Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady tayari wameziunganisha familia zao kwa kumpata mtoto wao wa kwanza Tiffah, lakini hakuna mpango wa mrembo huyo Mganda kuhamia moja kwa moja Tanzania ili kutengezeza familia moja.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mafuriko ya John Pombe Magufuli Huko Arusha Haijawahi Tokea...Picha za Monduli na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Hizi Hapa
Mafuriko ya John Pombe Magufuli Huko Arusha Haijawahi Tokea...Picha za Monduli na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Hizi Hapa
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha tayari kuhutubia wakazi w... 11:48
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha tayari kuhutubia wakazi wa mji huo kwenye mkutano wa kampeni za CCM ikiwa Arusha ni mkoa wake wa 21 tangia kuanza kwa kampeni.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huyu ndio mtoto aliyezaliwa na kuvunja rekodi ya kuwa na uzito mkubwa zaidi India..
Huyu ndio mtoto aliyezaliwa na kuvunja rekodi ya kuwa na uzito mkubwa zaidi India..
Kwenye Kitabu cha Kumbukumbu kubwa za Dunia, Guinness World Records kumbukumbu kubwa kuwekwa na mtoto aliyezaliwa na uzito mkubwa zaidi i... 11:48
Kwenye Kitabu cha Kumbukumbu kubwa za Dunia, Guinness World Records kumbukumbu kubwa kuwekwa na mtoto aliyezaliwa na uzito mkubwa zaidi iliwekwa mwaka 1955 na mtoto ambaye alizaliwa akiwa na uzito wa Kilo 10 Italy.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIMENUKA..Mchungaji Gwajima Atakiwa na Familia Kumfufua Kaka Yake...Apewa Siku 14 la Sivyo Atashtakiwa
KIMENUKA..Mchungaji Gwajima Atakiwa na Familia Kumfufua Kaka Yake...Apewa Siku 14 la Sivyo Atashtakiwa
Shamma Gwajima (kulia) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kushoto ni Raphah Gwajima. ********* ASKOFU Mkuu ... 11:43
Shamma Gwajima (kulia) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kushoto ni Raphah Gwajima.
********* ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ametumiwa waraka mzito na wanaodai
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
October 06, 2015
Kumbe Marekani tatizo la watu kudownload muziki kinyume na Sheria bado ni kubwa sana tu!
Kumbe Marekani tatizo la watu kudownload muziki kinyume na Sheria bado ni kubwa sana tu!
Licha ya Marekani kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kuwa na Sheria kali zinazodhibiti kudownload nyimbo kinyume na utaratibu uliowe... 11:49
Licha ya Marekani kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kuwa na Sheria kali zinazodhibiti kudownload nyimbo kinyume na utaratibu uliowekwa, sources nyingi zinazotoa huduma ya kustream na kudownload muziki kama Tidal, Apple Music
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Will Smith amerudi kwenye muziki, mipango yake ikoje? Changamoto anazozipata je? – (Video).
Will Smith amerudi kwenye muziki, mipango yake ikoje? Changamoto anazozipata je? – (Video).
Will Smith aliwasuprise mashabiki wake wengi duniani wiki iliyopita alipoachia single yake ya kwanza ‘Fiesta‘ baada ya kupotea kweye kura... 11:48
Will Smith aliwasuprise mashabiki wake wengi duniani wiki iliyopita alipoachia single yake ya kwanza ‘Fiesta‘ baada ya kupotea kweye kurasa za burudani kwa zaidi ya miaka 10… na kwa muonekano wa mambo Will Smith hana mpango
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)