June 16, 2014
TAZAMA PICHA HIZI HAPA UONGEZE SIKU ZA KUISHI DUNIANI, HAKIKA USIPOCHEKA UTAKUWA NA MATATIZO
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAKI YA MUNGU MIE SIWEZI KUSHEA PENZI NA WEMA SEPETU HATA IWEJE ''HAMISA MOBETO
HAKI YA MUNGU MIE SIWEZI KUSHEA PENZI NA WEMA SEPETU HATA IWEJE ''HAMISA MOBETO
KIAPO! Modo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto amefunguka kuwa katika maisha yake, kamwe hawezi kushea penzi na 23:16
KIAPO! Modo maarufu Bongo, Hamisa
Mobeto amefunguka kuwa katika maisha
yake, kamwe hawezi kushea penzi na
Mobeto amefunguka kuwa katika maisha
yake, kamwe hawezi kushea penzi na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUMBE FLORA MBASHA NA MUMEWE WANA LAANA YA ASKOFU KULOLA
KUMBE FLORA MBASHA NA MUMEWE WANA LAANA YA ASKOFU KULOLA
SAKATA la tuhuma za ubakaji zinazomkabili mume wa Flora Mbasha sasa limechukua sura mpya baada ya maovu yao mengine kuanikwa hadharan... 23:07SAKATA la tuhuma za ubakaji zinazomkabili mume wa Flora Mbasha sasa limechukua sura mpya baada ya
maovu yao mengine kuanikwa hadharani na ndugu wa Flora….. Msichana mmoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ARIANNA ANGEL: Awatukana Wafrika na hawzi Ku-DATE na Mtu Mweusi.....Kisa Wakenya!!!
ARIANNA ANGEL: Awatukana Wafrika na hawzi Ku-DATE na Mtu Mweusi.....Kisa Wakenya!!!
Daah hii ni NOUMA kweli: Mwana dada mwenya umbo na sura nzuri inayotuchanganya wengi huko kwenye mtandao wa INSTAGRAM...ARIANNA ANGEL a... 18:31SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WAADHIIRI CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) WAGOMA LEO HUKU WANAFUNZI WAKISUBIRIA KUFANYA MITIHANI YAO YA MWISHO WA SEMISTER
WAADHIIRI CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) WAGOMA LEO HUKU WANAFUNZI WAKISUBIRIA KUFANYA MITIHANI YAO YA MWISHO WA SEMISTER
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA WAADHIRI WA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES AND HUMANITIES LEO ASUBUHI WAME... 18:27HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA WAADHIRI WA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES AND HUMANITIES LEO ASUBUHI WAMEGOMA KUSHINIKIZA KUONGEZEWA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA PICHA 38 ZA KILICHOJIRI KWENYE KILI TOUR MJINI SONGEA,DIAMOND AMBATANA NA MPENZI WAKE
TAZAMA PICHA 38 ZA KILICHOJIRI KWENYE KILI TOUR MJINI SONGEA,DIAMOND AMBATANA NA MPENZI WAKE
Hizi ni picha nyingine za tamasha la Kili Music Tour ambalo kwa mara ya kwanza limefanyika Songea siku ya Jumapili June 15 na kuwashirikish... 18:24Hizi ni picha nyingine za tamasha la Kili Music Tour ambalo kwa mara ya kwanza limefanyika Songea siku ya Jumapili June 15 na kuwashirikisha mastaa wa muziki wa Tanzania kama Mwasiti,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAYA SASA WEMA SEPETU AWEKA KILA KITU WAZI KUHUSU TAARIFA ZA UJAUZITO
HAYA SASA WEMA SEPETU AWEKA KILA KITU WAZI KUHUSU TAARIFA ZA UJAUZITO
Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… 18:23Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA MASOGANGE KUTIKISA MAKALIO NAYE HUDDAH ALIPIZA KISASI CHECK VIDEO HAPA
BAADA YA MASOGANGE KUTIKISA MAKALIO NAYE HUDDAH ALIPIZA KISASI CHECK VIDEO HAPA
Hawa dada zetu watatumaliza......Baaada ya Agnes Masogange kuturusha na Video Clips akiwa anatembe huku akitikisa mkia wake .Mwanadad... 18:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ANGALIA AINA YA WANAWAKE WANAOFAA KUWEKA NDANI
ANGALIA AINA YA WANAWAKE WANAOFAA KUWEKA NDANI
Stacey Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba, vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawa... 18:07
Stacey Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba, vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawaida wanaume hupima uzuri wa mwanamke kwa sura au mwili, lakini linapokuja suala la kupata mtu ambaye wanataka kuishi naye kama mke, suala la haiba, yaani tabia na mwenendo, linachukua nafasi kubwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JACKLINE WOLPER: MSAKA PESA TOKA MACHAME ALIYEISHIA KWA MATAPELI WA MAPENZI JIJINI DAR
JACKLINE WOLPER: MSAKA PESA TOKA MACHAME ALIYEISHIA KWA MATAPELI WA MAPENZI JIJINI DAR
Jackline Wolper ni mmoja kati ya warembo wenye umaarufu mkubwa nchini na katika soko la Filamu za Tanzania. Ana... 18:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANAMKE ALIYEKUWA AKIMTESA BINTI YAKE WA KAZI KWA KUMKATA KATA KICHWANI NA KUMG'ATA AMEFANIKIWA KUKAMATWA NA POLISI
MWANAMKE ALIYEKUWA AKIMTESA BINTI YAKE WA KAZI KWA KUMKATA KATA KICHWANI NA KUMG'ATA AMEFANIKIWA KUKAMATWA NA POLISI
Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha makub... 18:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BREAKING NEWZ.MICHAEL WAMBURA AONDOLEWA RASMI LEO KWENYE UCHAGUZI WA SIMBA...BAADA YA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MDA
BREAKING NEWZ.MICHAEL WAMBURA AONDOLEWA RASMI LEO KWENYE UCHAGUZI WA SIMBA...BAADA YA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MDA
Dk Ndumbaro kulia akizungumza leo KAMATI ya Uchaguzi ya Simba SC imesema kwamba, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) halina mamlaka... 18:01Dk Ndumbaro kulia akizungumza leo |
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba SC imesema kwamba, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) halina mamlaka kikatiba kusimamisha uchaguzi wa klabu hiyo, na maana yake uchaguzi huo upo kama ulivyopangwa kufanyika Juni 29, mwaka huu. Pamoja na hayo, Kamati hiyo imesema imemuondoa moja kwa moja mgombea Michael Richard Wambura kwenye kinyang’anyiro hicho kwa sababu amerudia kosa ambalo aliwahi kupewa onyo Akizungumza na Waandishi wa Habari katka ukumbi wa Serengeti, ndani ya hoteli ya JB Belmonte, Dar es Salaam mchana wa leo, Mwenyekiti wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIJANA AFARIKI DUNIA HAPO HAPO BAADA YA KUANGUKIW NA KICHUGUU..
KIJANA AFARIKI DUNIA HAPO HAPO BAADA YA KUANGUKIW NA KICHUGUU..
Mwili wa Mkazi wa kijiji cha Ruganzo wilayani Ngara mkoani Kagera Raulian Ladislaus mwenye umri wa Miaka 40, ukiwa umeangukiwa na... 14:19SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KILA KUKICHA WASANII WA BONGO MUVI NI SKENDO TU, ONA WENGINE HAWA WACHAMBANA MSIBANI
KILA KUKICHA WASANII WA BONGO MUVI NI SKENDO TU, ONA WENGINE HAWA WACHAMBANA MSIBANI
HAIJAKAA poa! Staa wa sinema za Kibongo, salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na rafiki yake wa kitambo ambaye pia ni mwigizaji, Vanitha Omary... 14:14HAIJAKAA poa! Staa wa sinema za Kibongo, salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na rafiki yake wa kitambo ambaye pia ni mwigizaji, Vanitha Omary wamepishana |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAIMATHA BAADA YA KIMYA KIREFU SASA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
MAIMATHA BAADA YA KIMYA KIREFU SASA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
SKANDALI! Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kutokana na dawa za kuk... 14:13
SKANDALI! Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kutokana na dawa za kukuza maungo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAAMBIWA HUYU NDIYE MSANII WA BONGO MUVI MWENYE SURA YA UPOLE ALIYEMSHUSHIA PRODUCER KIPONDO HOTELINI
UNAAMBIWA HUYU NDIYE MSANII WA BONGO MUVI MWENYE SURA YA UPOLE ALIYEMSHUSHIA PRODUCER KIPONDO HOTELINI
WHY? Mwigizaji mwenye sura ya upole, Riyama Ally amezua utata akidaiwa kumshushia varangati rafiki yake kipenzi, Prodyuza Emmanuel Sewan... 14:12
WHY? Mwigizaji mwenye sura ya upole, Riyama Ally amezua utata akidaiwa kumshushia varangati rafiki yake kipenzi, Prodyuza Emmanuel Sewando ‘Manecky’
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kutana na Ngamia mtabiri wa mechi za kombe la dunia na matokeo ya utabiri wake
Kutana na Ngamia mtabiri wa mechi za kombe la dunia na matokeo ya utabiri wake
Kwenye miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na matumizi ya wanyama na viumbe wengine kwenye kutabiri matokeo ya mechi za soka hasa kweny... 14:07Kwenye miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na matumizi ya wanyama na viumbe wengine kwenye kutabiri matokeo ya mechi za soka hasa kwenye michuano mikubwa kama kombe la
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha mpya zilizochapishwa za mauaji Iraq.
Picha mpya zilizochapishwa za mauaji Iraq.
Vuguvugu la Sunni lenye msimamo mkali la ISIS ambalo limeteka maeneo ya Kaskazini mwa Iraq limesambaza picha ambazo zinaonyesha jins... 14:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha 8 za warembo wanaoshiriki shindano la Miss Iringa 2014.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
STAA WASTARA APINGA MASTAA KUAGWA LEADERS
STAA WASTARA APINGA MASTAA KUAGWA LEADERS
ANA hoja? Mkali wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amepinga kitendo cha mastaa wa Bongo kuagwa Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini... 12:04ANA hoja? Mkali wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amepinga kitendo cha mastaa wa Bongo kuagwa Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar wanapokutwa na umauti.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hizi mali zitaendelea kuwatoa binadamu kuwa na utu::Mirathi ya George Tyson Monalisa acharuka balaaaa.
Hizi mali zitaendelea kuwatoa binadamu kuwa na utu::Mirathi ya George Tyson Monalisa acharuka balaaaa.
Oohoo nooo! Wakati aliyekuwa mumewe, George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) akipumzishwa kwenye nyumba ya milele huko Kisumu nchini Kenya, Yvon... 12:02Oohoo nooo!Wakati aliyekuwa mumewe, George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) akipumzishwa kwenye nyumba ya milele huko Kisumu nchini Kenya, Yvone-Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ amewacharukia watu waliodai alikuwa akijipendekeza msibani ili kupata mirathi ya mwanaume huyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASIKINI YA MUNGU WATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
MASIKINI YA MUNGU WATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
DADA mmoja Fatuma Hussein (30), anaomba msaada kwa Watanzania baada ya kutelekezwa na mzazi mwenzake.Akizungumza na mwandishi wetu ma... 06:15
DADA mmoja Fatuma Hussein (30), anaomba msaada kwa Watanzania baada ya kutelekezwa na mzazi mwenzake.Akizungumza na mwandishi wetu maeneo ya Magomeni Makanya, |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAMA UNAPENDA KUSHIRIKI KWENYE SHINDANO LA BIG BOTHER AFRICA MWAKA HUU, HII ITAKUWA INAKUHUSU
KAMA UNAPENDA KUSHIRIKI KWENYE SHINDANO LA BIG BOTHER AFRICA MWAKA HUU, HII ITAKUWA INAKUHUSU
Kampuni ya MultiChoice Africa inayoandaa mashindano ya Big Brother Africa imetangaza tarehe ya usaili wa shindano hilo mwaka huu kati... 06:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAKO LA DIVA WA CLOUDS FM LAZUA SONGOMBINGO MTANDAONI...!
TAKO LA DIVA WA CLOUDS FM LAZUA SONGOMBINGO MTANDAONI...!
Daah hii ni NOUMA sana!! Kama mnavyojua tena mwanadada DIVA THE BAWSE alishatangaza kujito TEAM WEMA [SOMA HAPA].....Sasa hao wana... 06:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)