Hii ni post aliyoiandika Mwigizaji Wema Sepetu saa kadhaa baada ya Baba Watoto mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan kuthibitisha kwamba ujauzito huo wa mapacha umeharibika.
Utaipokea kiasi gani ukisikia kuna star kutokea Nigeria anakuja kufanya video ya wimbo wake mpya Tanzania!!, kwenye headline ni mkali wa hits single