March 21, 2016
Picha: Rais Magufuli Atekeleza Agizo la Paul Makonda
Picha: Rais Magufuli Atekeleza Agizo la Paul Makonda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kwa makini zoezi la uhakiki wa silaha zake lililok... 22:33
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kwa makini zoezi la uhakiki wa silaha zake lililokuwa likifanywa na Mkaguzi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Harmonize ala shavu la ubalozi wa WWF Tanzania
Harmonize ala shavu la ubalozi wa WWF Tanzania
Muimbaji wa ‘Bado’, Harmonize ameteuliwa kuwa balozi wa taasisi inayojihusisha na utunzaji wa mazingira, World Wide Fund for Nature – W... 22:32
Muimbaji wa ‘Bado’, Harmonize ameteuliwa kuwa balozi wa taasisi inayojihusisha na utunzaji wa mazingira, World Wide Fund for Nature – WWF kwa Tanzania.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Leo ni Birthday ya Ronaldinho, hivi ni vitu vitano vya kukumbukwa kutoka kwake (+Video)
Leo ni Birthday ya Ronaldinho, hivi ni vitu vitano vya kukumbukwa kutoka kwake (+Video)
March 21 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mkali wa soka kutokea BrazilRonaldinho, ambae kwa siku ya leo anasherehekea kutimiza umri ... 22:31
March 21 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mkali wa soka kutokea BrazilRonaldinho, ambae kwa siku ya leo anasherehekea kutimiza umri wa miaka 36.Ronaldinho kacheza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maneno ya Rais Magufuli baada ya Dkt Shein kutangazwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Maneno ya Rais Magufuli baada ya Dkt Shein kutangazwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kama ulipata taarifa za matokeo ya urais Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli yalimfikia pia, nakukarib... 22:30
Kama ulipata taarifa za matokeo ya urais Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli yalimfikia pia, nakukaribisha kuzisoma sentensi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NEYMAR KAKUTWA NA HATIA YA UKWEPAJI KODI, HUKUMU YAKE JE?
NEYMAR KAKUTWA NA HATIA YA UKWEPAJI KODI, HUKUMU YAKE JE?
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya FC Barcelona yaHispania Neymar bado yupo kwenye headlines zaukwepaji kodi... 19:30
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya FC Barcelona yaHispania Neymar bado yupo kwenye headlines zaukwepaji kodi, kama ambavyo zilivyokuwa zinawakabili
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BREAKING NEWS:MSAFARA WA WABUNGE WAPATA AJALI WATU WANNE WASADIKIWA KUFA
BREAKING NEWS:MSAFARA WA WABUNGE WAPATA AJALI WATU WANNE WASADIKIWA KUFA
Baadhi ya Wananchi wa eneo la Kerege ,Bagamoyo wakishuhudia ajali iliyotokea mapema mchana huu,na kudaiwa kupelekea vifio vya watu wanne ... 19:00
Baadhi ya Wananchi wa eneo la Kerege ,Bagamoyo wakishuhudia ajali iliyotokea mapema mchana huu,na kudaiwa kupelekea vifio vya watu wanne na wengine sita kujeruhiwa vibaya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Millen Magese: Tanzania Hainisupport Kwenye Kampeni Zangu za Endometriosis..Siwezi Poteza Muda....
Millen Magese: Tanzania Hainisupport Kwenye Kampeni Zangu za Endometriosis..Siwezi Poteza Muda....
Ukweli mchungu na kuusema ni muhimu ili wahusika wajirekebishe. Millen Magese yupo kwenye kampeni kubwa dhidi ya ugonjwa unaowatesa wanaw... 19:00
Ukweli mchungu na kuusema ni muhimu ili wahusika wajirekebishe. Millen Magese yupo kwenye kampeni kubwa dhidi ya ugonjwa unaowatesa wanawake wengi duniani akiwemo yeye,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Louis Van Gaal Amwagia Sifa Marcus Rashford, Adai Ni Mshambuliaji Mahiri
Louis Van Gaal Amwagia Sifa Marcus Rashford, Adai Ni Mshambuliaji Mahiri
Kocha Louis van Gaal amekiri kuwa kinda wa Machester United Marcus Rashford ana kila kitu anachostahili kuwa nacho mshambuliaji mahiri. 18:30
Kocha Louis van Gaal amekiri kuwa kinda wa Machester United Marcus Rashford ana kila kitu anachostahili kuwa nacho mshambuliaji mahiri.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Diamond Afanya Kufuru Ulaya Ateketeza Sh. Mil 100
Diamond Afanya Kufuru Ulaya Ateketeza Sh. Mil 100
Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu ... 18:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Obama alivyoweka Historia ya mahusiano ya Marekani na Cuba
Obama alivyoweka Historia ya mahusiano ya Marekani na Cuba
Baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri kati ya Marekani na jirani yake Cuba kwa muda mrefu, March 20 2016 Rais Barack Obama amefanya ziara y... 17:51
Baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri kati ya Marekani na jirani yake Cuba kwa muda mrefu, March 20 2016 Rais Barack Obama amefanya ziara ya siku 3 inayolenga kurekebisha uhusiano
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ariana Grade karudi kwenye headlines na hii single yake mpya ‘Be Alright’, isikilize hapa
Ariana Grade karudi kwenye headlines na hii single yake mpya ‘Be Alright’, isikilize hapa
Imepita miaka miwili tu toka msanii wa muziki wa Pop, Marekani, Ariana Grande aachie Album yake iliyopewa jina, My Everything…. good news... 17:50
Imepita miaka miwili tu toka msanii wa muziki wa Pop, Marekani, Ariana Grande aachie Album yake iliyopewa jina, My Everything…. good news ni kwamba msanii huyo time hii
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Arsene Wenger ni kocha wa nne kuhusishwa kufukuzwa kazi Uingereza msimu huu, hili ndio jina la mrithi wake
Arsene Wenger ni kocha wa nne kuhusishwa kufukuzwa kazi Uingereza msimu huu, hili ndio jina la mrithi wake
Headlines za vibarua vya makocha wa Ligi Kuu Uingereza msimu huu kutoka katika vilabu vikubwa kuwa mashakani vinazidi kushika kasi kila k... 17:50
Headlines za vibarua vya makocha wa Ligi Kuu Uingereza msimu huu kutoka katika vilabu vikubwa kuwa mashakani vinazidi kushika kasi kila kukicha, ilianza kwa kocha Jose Mourinho
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
wauza unga hadharani..majina yao haya hapa liveee......Mange awataja waziwazi bila woga
wauza unga hadharani..majina yao haya hapa liveee......Mange awataja waziwazi bila woga
Kutokana na sakata la mwanahiphop Chidi Benz, Mwanadada Mange kawacha live wauza unga huku akiwataja majina baadhi ya makada maarufu wa C... 03:00
Kutokana na sakata la mwanahiphop Chidi Benz, Mwanadada Mange kawacha live wauza unga huku akiwataja majina baadhi ya makada maarufu wa CCM Kinje Ngombare na Iddy Azan kama wahusika wa hii game.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BATA MBAYA:MAINI YA PENNY YAANZA KUHARIBIKa KISA?
BATA MBAYA:MAINI YA PENNY YAANZA KUHARIBIKa KISA?
Habari mbaya! Majibu ya daktari yamemkatisha tamaa Mtangazaji wa Zouk TV, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ baada ya kuambiwa kuwa, kutokana ... 02:30
Habari mbaya! Majibu ya daktari yamemkatisha tamaa Mtangazaji wa Zouk TV, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ baada ya kuambiwa kuwa, kutokana na unywaji wa pombe kali kupitiliza,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Chid Benz 'Watanzania Wenzangu Siko Sawa Nahitaji Msaada Wenu'
Chid Benz 'Watanzania Wenzangu Siko Sawa Nahitaji Msaada Wenu'
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amese... 02:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Diamond Afunguka Kuhusu Kuongeza Mtoto Mwingine na Zari, Ipo Hapa
Diamond Afunguka Kuhusu Kuongeza Mtoto Mwingine na Zari, Ipo Hapa
STAA wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba... 02:30
STAA wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine malkia wake wa nguvu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Risasi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nicki Minaj Apiga Bonge la Show South Africa
Nicki Minaj Apiga Bonge la Show South Africa
Nicki Minaj amezikonga nyoyo za mashabiki wake jijini Johannesburg, Afrika Kusini Alhamis hii. 01:25
Nicki Minaj amezikonga nyoyo za mashabiki wake jijini Johannesburg, Afrika Kusini Alhamis hii.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Paul Amuomba Peter Msamaha, Ambembeleza Wairudishe P-Square
Paul Amuomba Peter Msamaha, Ambembeleza Wairudishe P-Square
Paul ameamua kujishusha na kumuomba msamaha kaka yake Peter Okoye.Pacha huyo wa kundi la P-Square lililovunjika ameandika maelezo marefu ... 01:23
Paul ameamua kujishusha na kumuomba msamaha kaka yake Peter Okoye.Pacha huyo wa kundi la P-Square lililovunjika ameandika maelezo marefu kwenye Instagram kuelezea hali halisi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Makonda Awapa Miezi Mitatu Wamiliki wa Silaha Dar
Makonda Awapa Miezi Mitatu Wamiliki wa Silaha Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa miezi mitatu kwa wakazi wote wa mkoa huo... 01:22
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa miezi mitatu kwa wakazi wote wa mkoa huo wanaomiliki silaha, wathibitishe uhalali wa umiliki wa silaha zao kwa mamlaka
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ronaldo kaenda hotelini kunywa chai… atamaliza kikombe? kuna dakika 4 za watu baada ya kumshtukia
Ronaldo kaenda hotelini kunywa chai… atamaliza kikombe? kuna dakika 4 za watu baada ya kumshtukia
Cristiano Ronaldo ni staa wa soka duniani…. uzito wa jina lake umewafikia hata wasio mashabiki wakubwa wa soka, tazama hii video hapa chi... 01:19
Cristiano Ronaldo ni staa wa soka duniani…. uzito wa jina lake umewafikia hata wasio mashabiki wakubwa wa soka, tazama hii video hapa chini jinsi alivyokwenda kunywa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hii ndio ndinga mpya ya msanii Shilole asema bye bye Mark X…
Hii ndio ndinga mpya ya msanii Shilole asema bye bye Mark X…
Siku zote wataalamu wa mambo wanasema kuwa msanii mkali ni lazima awe na gari kali, sasa time hii msanii mwenye hit single iitwayo Nyang’... 01:18
Siku zote wataalamu wa mambo wanasema kuwa msanii mkali ni lazima awe na gari kali, sasa time hii msanii mwenye hit single iitwayo Nyang’anyang’a shilole leo March 20, 2016 kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliweza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Real Madrid yaibuka na ushindi mnono dhidi ya Sevilla, Ronaldo kapiga shuti nane, magoli je? (+Video)
Real Madrid yaibuka na ushindi mnono dhidi ya Sevilla, Ronaldo kapiga shuti nane, magoli je? (+Video)
Burudani ya soka la Hispania liliendelea usiku wa March 20, kwa michezo kupigwa ndani ya ardhi ya Hispania, Real Madrid ambao bado hawana... 01:17
Burudani ya soka la Hispania liliendelea usiku wa March 20, kwa michezo kupigwa ndani ya ardhi ya Hispania, Real Madrid ambao bado hawana matumaini ya kutwaa Ubingwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)