February 14, 2014
WADAU ETI UJAZO HUU NI ORIGINO AU MCHINA .... TOA MAONI
WADAU ETI UJAZO HUU NI ORIGINO AU MCHINA .... TOA MAONI
Wapendwa ndugu zangu.... Hivi kweli inawezekana kwa mwanamke mwenye mwembamba kama huyu kuwa na ujazo huu kwa nyuma 07:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAJANGA DADA YAMKUTA AJICHORA TATOO, AKUMBWA NA KASHESHE
MAJANGA DADA YAMKUTA AJICHORA TATOO, AKUMBWA NA KASHESHE
Mwandada anekwenda kwa jina la Torz Reynold mwenye umri wa miaka 26 anetokea nchini Uingereza ametoa kali ya mwaka baada ya kulipiza... 07:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
USHAURI: HATUNA MTOTO MWAKA WA 5, KISA JOGOO WAKE ASIMAMI
USHAURI: HATUNA MTOTO MWAKA WA 5, KISA JOGOO WAKE ASIMAMI
Nina rafiki yangu ameolewa miaka 5 iliyopita kabla ya kuolewa alikuwa na mtoto mmoja,shida aliyonayo ni kwamba toka aingie kwenye ... 07:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WAKATI HUU WA VALENTINE PATA ELIMU KABLA YA KUKUTANA NAE
WAKATI HUU WA VALENTINE PATA ELIMU KABLA YA KUKUTANA NAE
Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri.. Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa... 07:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
STARA THOMAS AKIZUNGUMZA YAKE YA MOYONI ... FAHAM HAPA
STARA THOMAS AKIZUNGUMZA YAKE YA MOYONI ... FAHAM HAPA
Ukitaja vitu vipya maarufu sana katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hadi leo vinachozungumziwa zaidi, Facebook inaweza 06:56
Ukitaja vitu vipya maarufu sana katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hadi leo vinachozungumziwa zaidi, Facebook inaweza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MB DOG AELEZEA VITU ANAVYOMISS TIP TOP .. FAHAM HAPA
MB DOG AELEZEA VITU ANAVYOMISS TIP TOP .. FAHAM HAPA
Member wa zamani wa Tip Top Connection, MB Dog aliyeiteka Tanzania na Afrika mashariki na hit isiyozeeka masikioni mwa mashabiki 06:54
Member wa zamani wa Tip Top Connection, MB Dog aliyeiteka Tanzania na Afrika mashariki na hit isiyozeeka masikioni mwa mashabiki
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DUUH: SOMALIA MWANAMKE KUBAKWA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA .. SOMA HAPA
DUUH: SOMALIA MWANAMKE KUBAKWA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA .. SOMA HAPA
Mogadishu, Somalia. Shirika la kutetea haki za binadamu Human Rights Watch limeitaka serikali ya Somalia kufanyia mageuzi sheria za taifa 06:51Mogadishu, Somalia. Shirika la kutetea haki za binadamu Human Rights Watch limeitaka serikali ya Somalia kufanyia mageuzi sheria za taifa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VALENTINE’S DAY INAYOSHEREHEKEWA LEO, SIYO ILIYOKUSUDIWA!
VALENTINE’S DAY INAYOSHEREHEKEWA LEO, SIYO ILIYOKUSUDIWA!
LEO ni Sikukuu ya Wapendanao. Siku maalum kwa ajili ya kuoneshana mapenzi ya dhati. Ni siku muhimu sana yenye 06:47SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
APATA KICHAPO BAADA YA KUFUMANIWA NA SHEMEJI'YE .. SOMA HAPA
APATA KICHAPO BAADA YA KUFUMANIWA NA SHEMEJI'YE .. SOMA HAPA
Stori: Richard Bukos Ujira wa usaliti ni aibu kubwa! Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Baba Anorld almaarufu Ngosha, amedai kumfu... 06:45SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KESI YA KIFO CHA KANUMBA, LULU AKESHA AKIOMBA
KESI YA KIFO CHA KANUMBA, LULU AKESHA AKIOMBA
Stori: imelda Mtema na Mayasa Mariwata STAA wa Filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hivi sasa anakesha akiomba ... 06:43
Stori: imelda Mtema na Mayasa Mariwata
STAA wa Filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hivi sasa anakesha akiomba ili mambo yaende vizuri katika kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, Ijumaa lina maelezo yake ya kutosha.
STAA wa Filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hivi sasa anakesha akiomba ili mambo yaende vizuri katika kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, Ijumaa lina maelezo yake ya kutosha.
Lulu amemwambia paparazi wetu kuwa alishaanza kuyasahau matatizo hayo lakini hataweza kupingana na amri ya mahakama iliyopanga kuanza kusikiliza kesi hiyo kuanzia Februari 17, mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar.
“Lazima kesi iendelee na sheria ichukue mkondo wake, pamoja na kwamba nimekaa uraiani kwa kipindi kirefu na kuanza kusahau mambo hayo,” alisema Lulu.
Alipoulizwa anachokitegemea katika kesi hiyo, msanii huyo alidai kwamba hana cha kukitegemea zaidi ya kukesha akimuomba Mungu.
“Nakesha nikiomba, namwamini Mungu atanisaidia kama alivyosikia kilio changu cha kuomba dhamana,”aliongeza.
Msanii huyo anakabiliwa na kesi ya kumuua bila ya kukusudia aliyepata kuwa msanii nguli katika tasnia ya filamu za Kibongo, Kanumba Aprili 7, mwaka 2012.
Aidha, baada ya kuachana na Lulu, Ijumaa lilizungumza na mama mzazi wa Kanumba, Flora Mtegoa juu ya kutajwa kwa kesi hiyo na mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo;
Ijumaa: Unajisikiaje kuona Lulu akipandishwa kizimbani tena?
Ijumaa: Unajisikiaje kuona Lulu akipandishwa kizimbani tena?
Mama Kanumba: Mmmh! Kwa kweli najisikia vibaya sana jamani.
Ijumaa: Unajisikia vibaya kwa kuwa Lulu anapandishwa kizimbani au...?
Mama Kanumba: Pamoja na hilo lakini kesi hii inanikumbusha machungu ya mwanangu, naona mambo ndiyo yamefufuka upya wakati nilishaanza kuyasahau.
Ijumaa: Unajisikia vibaya kwa kuwa Lulu anapandishwa kizimbani au...?
Mama Kanumba: Pamoja na hilo lakini kesi hii inanikumbusha machungu ya mwanangu, naona mambo ndiyo yamefufuka upya wakati nilishaanza kuyasahau.
Ijumaa: Unasemaje kuhusu kushtakiwa kwa Lulu?
Mama Kanumba: Binafsi sijamshitaki Lulu ni serikali ndiyo iliyofanya hivyo, tuache sheria ichukue mkondo wake.
Mama Kanumba: Binafsi sijamshitaki Lulu ni serikali ndiyo iliyofanya hivyo, tuache sheria ichukue mkondo wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA .. SOMA ZAIDI KUMJUA
ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA .. SOMA ZAIDI KUMJUA
MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ juzikati alinaswa ‘live’ akiwa kimalovee 06:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ
SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ
MISS Tanzania 2011, Salha Israel ametoboa siri kuhusiana na mapedeshee ambao wamekuwa wakiwapa usumbufu mkubwa 06:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE
AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE
AJALI mbaya aliyoipata msanii wa filamu, Tito Zimbwe hivi karibuni ilikuwa imfanye apoteze maisha yake kutokana na namna ilivyotok... 06:39SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NAY AMNUNULIA MPENZI WAKE NDINGA
NAY AMNUNULIA MPENZI WAKE NDINGA
Na Gladness Mallya BAADA ya kumaliza mgogoro wao, msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anad... 06:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ADAKWA NA MENO 21 YA TEMBO YENYE THAMANI YA MIL 43 SINGIDA
ADAKWA NA MENO 21 YA TEMBO YENYE THAMANI YA MIL 43 SINGIDA
JESHI la polisi mkoani Singida limekamata vipande 21 vya meno ya Tembo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43. 06:35SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZAWADI YA VALENTINE DAY KUTOKA BONGO PUBLISHER .... BONYEZA HAPA
ZAWADI YA VALENTINE DAY KUTOKA BONGO PUBLISHER .... BONYEZA HAPA
Shukrani kutoka bongo publisher kwa wadau wao wote waliokuwa pamoja siku zote katika ulimwengu huu wa habari ..... Kwa wadau wote 05:15Shukrani kutoka bongo publisher kwa wadau wao wote waliokuwa pamoja siku zote katika ulimwengu huu wa habari ..... Kwa wadau wote
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
USOME UJUMBE MZITO ALIYOUANDIKA WEMA KUHUSU YEYE NA KAJALA
USOME UJUMBE MZITO ALIYOUANDIKA WEMA KUHUSU YEYE NA KAJALA
To Kajala, "I call her me corazon, my bff nd nothing is gona come btn us.... nampenda sana rafiki yangu na sitoacha... hakuna 04:29
To Kajala,
"I call her me corazon, my bff nd nothing is gona come btn us.... nampenda sana rafiki yangu na sitoacha... hakuna
"I call her me corazon, my bff nd nothing is gona come btn us.... nampenda sana rafiki yangu na sitoacha... hakuna
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOVETIME: JINSI YA KUMUANDAA MPENZI WAKO KIMAPENZI SOMA HAPA
LOVETIME: JINSI YA KUMUANDAA MPENZI WAKO KIMAPENZI SOMA HAPA
Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri.. Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa k... 04:26
Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri..
Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa kufikia kilele cha raha kwa kutoelewa ni jinsi gani wawaandae wapenzi wao..
Tatizo hili lipo pande zote wanaume na wanawake..
Lakini kwa kiwango kidogo wanaume wanajitahidi kuwaandaa wapenzi wao kabla ya kuingia uwanjani.
Baadhi yao wanatambua sehemu za kuamsha hisia za wapenzi wao na wengi hawajui kabisa..
Mnapoandaana vizuri kabla ya mechi kuna wasaidia wote kuingia uwanjani huku akili na mwili vimechangamka kwa hisia kali za mahaba..
Kwa mwanamke inamsaidia asiweze kuchubuka wakati wa tendo kwa sababu sehemu zake za siri zitakuwa tayari zimelainika..
Pia huwasaidia kusogeza hisia zao karibu kwani wanawake wengi hisia zao huwa ziko mbali, ndio sababu wengi wao huwa hawafikii mshindo kwa sababu ya kukosa wanaume wanaojua kuandaa vizuri.
JINSI YA KUMUANDAA MPENZI WAKO:
Potezeni saa moja mkiwa katika maongezi ya kimahaba.,huku mkiwa mmekaa 0 distance.
Taaratibu mikono yenu ianze kutembea kwenye mwili wa kila mmoja.
Hakikisha inafika kila sehemu ya mwili wa mpenzi wako.
Kutanisheni midomo yenu, ndimi zenu zikutane, taaratibu nyonyaneni kwa zamu..
Kila mmoja apenyeze mkono wake na ashike sehemu za siri za mpenzi kwa dakika 5 zinatosha kabisa.. Penyeza ulimi wako masikioni kwa mpenzi wako..
Uuzungushe taaratibu huku ukimpumulia hewa pole pole..
Shika chuchu za mpenzi wako kwa ncha ya vidole,taaratibu zifinyefinye bila kumuumiza.
Unaweza pia kutumia ulimi..
Kumbuka usiwe na haraka katika kumuandaa mpenzi wako...
Naomba kwa leo niishie hapa,mengine tutajifunza kwenye mada zingine...
Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa kufikia kilele cha raha kwa kutoelewa ni jinsi gani wawaandae wapenzi wao..
Tatizo hili lipo pande zote wanaume na wanawake..
Lakini kwa kiwango kidogo wanaume wanajitahidi kuwaandaa wapenzi wao kabla ya kuingia uwanjani.
Baadhi yao wanatambua sehemu za kuamsha hisia za wapenzi wao na wengi hawajui kabisa..
Mnapoandaana vizuri kabla ya mechi kuna wasaidia wote kuingia uwanjani huku akili na mwili vimechangamka kwa hisia kali za mahaba..
Kwa mwanamke inamsaidia asiweze kuchubuka wakati wa tendo kwa sababu sehemu zake za siri zitakuwa tayari zimelainika..
Pia huwasaidia kusogeza hisia zao karibu kwani wanawake wengi hisia zao huwa ziko mbali, ndio sababu wengi wao huwa hawafikii mshindo kwa sababu ya kukosa wanaume wanaojua kuandaa vizuri.
JINSI YA KUMUANDAA MPENZI WAKO:
Potezeni saa moja mkiwa katika maongezi ya kimahaba.,huku mkiwa mmekaa 0 distance.
Taaratibu mikono yenu ianze kutembea kwenye mwili wa kila mmoja.
Hakikisha inafika kila sehemu ya mwili wa mpenzi wako.
Kutanisheni midomo yenu, ndimi zenu zikutane, taaratibu nyonyaneni kwa zamu..
Kila mmoja apenyeze mkono wake na ashike sehemu za siri za mpenzi kwa dakika 5 zinatosha kabisa.. Penyeza ulimi wako masikioni kwa mpenzi wako..
Uuzungushe taaratibu huku ukimpumulia hewa pole pole..
Shika chuchu za mpenzi wako kwa ncha ya vidole,taaratibu zifinyefinye bila kumuumiza.
Unaweza pia kutumia ulimi..
Kumbuka usiwe na haraka katika kumuandaa mpenzi wako...
Naomba kwa leo niishie hapa,mengine tutajifunza kwenye mada zingine...
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NIKKI WA PILI ATOA DARASA..SOMA ALICHOANDIKA HAPA
NIKKI WA PILI ATOA DARASA..SOMA ALICHOANDIKA HAPA
Hii makala imeandikwa na rapper Nikki wa II, ukishaisoma unaweza kusema chako chochote… 04:24SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AGNES MASOGANGE AFUNGUKA KUTONGOZWA NA WANAUME WAKWARE
AGNES MASOGANGE AFUNGUKA KUTONGOZWA NA WANAUME WAKWARE
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ amewajia juu kundi kubwa la wanaume linalomtaka kimapenzi wakati wanatambua 04:21SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SNURA"UKWELI NIMEUMIA SANA NA MWAKA HUU UMEKUWA NI WA MAJANGA KWANGU"
SNURA"UKWELI NIMEUMIA SANA NA MWAKA HUU UMEKUWA NI WA MAJANGA KWANGU"
BAADA ya hivi karibuni kufungiwa video ya wimbo wake, staa wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi amesema ameendelea kuandamwa na 04:18SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)