May 02, 2015

Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu Mwigizaji Mwenzake Steven Nyerere

Mrekebishatabia wa Insta ameibua Mazito Kama ifuatavyo Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!... thumbnail 1 summary
Mrekebishatabia wa Insta ameibua Mazito Kama ifuatavyo

Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

FREEMASON WAMTEKA LULU...Tazama Picha

Baada ya mwanadada LULU kutupia picha yake mpya kwenye mtandao akiwa amevaa cheni ama mkufu mpya shingoni thumbnail 1 summary
Baada ya mwanadada LULU kutupia picha yake mpya kwenye mtandao akiwa amevaa cheni ama mkufu mpya shingoni

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA

Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuac... thumbnail 1 summary


Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey
STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WEMA, ZARI WATOANA JASHO

Nisheedah! Gumzo la mjini wiki hii ilikuwa ni shoo ya mchumba wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Zarinah Hassan ‘Zari’ iitwayo Zari All White Party ... thumbnail 1 summary
Nisheedah! Gumzo la mjini wiki hii ilikuwa ni shoo ya mchumba wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Zarinah Hassan ‘Zari’ iitwayo Zari All White Party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar na ile ya Instagram Party ambayo ilimhusu mrembo Wema Sepetu iliyofanyika

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

POLISI WAFUNGULIWA MASHTAKA BALTIMORE

Meya wa jimbo la Baltimore nchini Marekani Stephanie Rawlings-Blake. thumbnail 1 summary

Meya wa jimbo la Baltimore nchini Marekani Stephanie Rawlings-Blake.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Utamu wa mapenzi unafanana na nini? Zama hapa kujua zaidi

BILA shaka msomaji wa blogu hii unampenda sana wako kipenzi na yawezekana unafanya kama huyo hapo kwenye picha anavyofanya kuonyesha ... thumbnail 1 summary


BILA shaka msomaji wa blogu hii unampenda sana wako kipenzi na yawezekana unafanya kama huyo hapo kwenye picha anavyofanya kuonyesha kuwa mnapendana sana, na ikifika

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Jinsi ya Kumfanya Mwanamume Apagawe na Penzi Lako

LEO nimependa kuongerea kuhusu namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. N... thumbnail 1 summary


LEO nimependa kuongerea kuhusu namna ya kudumisha penzi iwapo wewe umeolewa hasa kwa kina mama ambao penzi lao ninaelekea kuyeyuka. Na bila jitihada za hapa na pale penzi lako na mumeo linaweza kunyauka kabisa!!! Na ukumbuke

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO

Peter Okoye. PETER na Paul Okoye wamekuwa wakikwaruzana kila mara kiasi cha kuwashangaza watu ila Peter ameamua kuweka wazi kuwa, kugom... thumbnail 1 summary
Peter Okoye.

PETER na Paul Okoye wamekuwa wakikwaruzana kila mara kiasi cha kuwashangaza watu ila Peter ameamua kuweka wazi kuwa, kugombana kwao kusichukuliwe kama kitu cha ajabu kwani nao

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MAYWEATHER VS PACQUIAO NANI BINGWA?

Mayweather na Pacquiao wakitambiana. Japo tayari ni tajiri, Mayweather ambaye jina lake la utani ni Money, atapokea zaidi ya dola mil... thumbnail 1 summary

Mayweather na Pacquiao wakitambiana.

Japo tayari ni tajiri, Mayweather ambaye jina lake la utani ni Money, atapokea zaidi ya dola milioni 150 na Pacquiao kama dola milioni 100.Ni Mayweather au Pacquiao Las Vegas? Pacquiao

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mke Aandaa Fumanizi, Ladunda Usiku

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Janeth, hivi karibuni alizua kizaazaa cha aina yake baada ya kumtegea mumewe fumanizi kufuatia ... thumbnail 1 summary
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Janeth, hivi karibuni alizua kizaazaa cha aina yake baada ya kumtegea mumewe fumanizi kufuatia madai kuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

KAULI YA MWISHO YA MANNY PACQUIAO DHIDI YA MAYWEATHER

Siku moja tu imesalia kabla ya pambano la kimataifa la masumbwi, kati ya wakali wawili Manny Pacquiao na Floyd Maywether the money team,a... thumbnail 1 summary
Siku moja tu imesalia kabla ya pambano la kimataifa la masumbwi, kati ya wakali wawili Manny Pacquiao na Floyd Maywether the money team,ambao watapanda ulingoni na kutusanua nani mkali zaidi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Beyonce Hires Bodyguard To Spy on Jay Z !

New reports claim Beyonce has hired a bodyguard to spy on her husband Jay Z and report back to her.... thumbnail 1 summary
New reports claim Beyonce has hired a bodyguard to spy on her husband Jay Z and report back to her....

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TAZAMA PICHA ZA SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY ILIVYOFUNIKA JIJINI DAR

Diamond akiwachengua mashabiki kwa wimbo wake wa Nasema Nawe aliomshirikisha Malkia wa Taarab, Khadija Kopa. thumbnail 1 summary

Diamond akiwachengua mashabiki kwa wimbo wake wa Nasema Nawe aliomshirikisha Malkia wa Taarab, Khadija Kopa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

KIGOGO MPYA WA WOLPER ANASWA LIVE

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiwa na Jimmy Mgaya anayedaiwa kuwa ni bwanake.Mwandishi wetu Achilia mbali akina p... thumbnail 1 summary
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiwa na Jimmy Mgaya anayedaiwa kuwa ni bwanake.Mwandishi wetu
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

JE, WAJUA UNAWEZA KUFANYA MAPENZI HATA MWANAMKE AKIWA SIKU ZAKE NA USIAPATE MADHARA??? SOMA HAPA

ni matumaini yangu kua umzima sana na unaendelea kuimalizia weeknd yako hapo ulipoukiwa na fuaraha tele!leo nimeona nizungumze huu ya j... thumbnail 1 summary

ni matumaini yangu kua umzima sana na unaendelea kuimalizia weeknd yako hapo ulipoukiwa na fuaraha tele!leo nimeona nizungumze huu ya jambo fupi sana na jambo lenyewe ni hili...shuka nalo mwenyewe!Kungonoka wakati wa Hedhi Kwa baadhi ya wanawake wakati unakaribia kupata siku zako,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

SABABU KWA NINI WANAWAKEWANAPENDA KULIWA TIGO..!!

Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katik... thumbnail 1 summary


Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katika jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MSANII ALIKIBA AVAMIWA NA MAJAMBANZI NYUMBANI KWAKE....BOFYA HAPA UONE ALICHOFANYIWA ...>>

Hivi punde tumepokea habari ya kusikitisha na kushtusha, msanii wa Bongo Fleva @officialalikiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumban... thumbnail 1 summary



Hivi punde tumepokea habari ya kusikitisha na kushtusha, msanii wa Bongo Fleva @officialalikiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

OMG ! : Faiza Ally Wears Only Shirt To Zari's All White Party.

We all know when actress Faiza Ally decides something it must be .....and this is what she wore to Zari's All White Party at Mlimani ... thumbnail 1 summary
We all know when actress Faiza Ally decides something it must be .....and this is what she wore to Zari's All White Party at Mlimani City this night. only shirt.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Tazama Picha Mbali Mbali za Sherehe ya Zari White Party iliyofanyika Usiku wa Jana

Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City usiku huu. thumbnail 1 summary


Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City usiku huu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA

RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti... thumbnail 1 summary
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: