February 28, 2015
TEAM WEMA WAMLIPUA ZARI THE LADY BOSS KWA KURUDIA NGUO MOJA KILA WAKATI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA SWETA ALILOVAA KANYE WEST...HATA KAMA NI FASHENI LAKINI HII NI 2 MUCH
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RAIS WA ZIMBABWE ATAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 91
RAIS WA ZIMBABWE ATAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 91
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kesho atafanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 91 kwa kuchinja temb... 12:03
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe.
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kesho atafanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 91 kwa kuchinja tembo wawili.SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANAMZIKI KUTOKA THT 'RECHO KIZUNGU ZUNGU.. APIGWA MWELEKA UKUMBINI MPAKA CHINI
MWANAMZIKI KUTOKA THT 'RECHO KIZUNGU ZUNGU.. APIGWA MWELEKA UKUMBINI MPAKA CHINI
MREMBO kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’, amepiga mwereka wa aina yake baada ya kuteleza ukumbini, Risa... 12:00
MREMBO kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’, amepiga mwereka wa aina yake baada ya kuteleza ukumbini, Risasi Jumamosi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
February 13, 2015
Mwanasiasa anaepinga mapenzi ya jinsia moja alivyohusishwa kwenye picha na Wahusika.
Mwanasiasa anaepinga mapenzi ya jinsia moja alivyohusishwa kwenye picha na Wahusika.
Wakati idadi kubwa ya watu duniani ikiendelea kupinga mapenzi ya jinsia moja ambayo yamehalalishwa na baadhi ya nchi kubwa duniani, Russi... 20:18
Wakati idadi kubwa ya watu duniani ikiendelea kupinga mapenzi ya jinsia moja ambayo yamehalalishwa na baadhi ya nchi kubwa duniani, Russia limetolewa hili jingine jipya.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PENNY: MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO
PENNY: MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa anashukuru a... 20:13
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa anashukuru amepata mchumba ila suala la ndoa siyo la
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Baada ya wafanyakazi wake kuhisi amefilisika, BOSS huyu kaona awaoneshe jeuri ya fedha
Baada ya wafanyakazi wake kuhisi amefilisika, BOSS huyu kaona awaoneshe jeuri ya fedha
Kuna msemo unaosema dawa ya maneno ni vitendo, mwekezaji mmoja ndani ya China aliamua kujibu kwa vitendo story za udaku zilizokuwa zimeenea... 16:54
Kuna msemo unaosema dawa ya maneno ni vitendo, mwekezaji mmoja ndani ya China aliamua kujibu kwa vitendo story za udaku zilizokuwa zimeenea mtaani kwamba jamaa huyo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JOKATE AACHIA UTAMU WOTE>>INSTAGRAM>>JIONEE PICHA HIZII>>AKIWA NA KANGUO YA UCHOKOZI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MMM TAZAMA PICHA ZINAZOONGOZA KWA LIKE NYINGI HUKO INSTARGRAM NDANI YA WIKI HII
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAMISA MOBETO KWELI NI DIVA WAUKWELI HAPA BONGO>>>JIONEE PICHA ZAKE ALIZOZIACHIA>
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAJALA: SASA NAHITAJI MDOGO WA PAULA
KAJALA: SASA NAHITAJI MDOGO WA PAULA
Mwanadada anayeendesha maisha yake kwa kuuza sura kwenye filamu za Kibongo, Kajala Masanja amefunguka kuwa ni muda muafaka wa kufanya mis... 10:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina ... 10:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KIONGOZI WA KIKUNDI CHA KIGAIDI KINACHOUA POLISI NA KUIBA SILAHA NI HUYU
KIONGOZI WA KIKUNDI CHA KIGAIDI KINACHOUA POLISI NA KUIBA SILAHA NI HUYU
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia ga... 10:35
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MARIAH CAREY AFANYA KUFURU ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 41 KUWABURUDISHA MBWA WAKE
MARIAH CAREY AFANYA KUFURU ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 41 KUWABURUDISHA MBWA WAKE
Utafanya nini ukipewa kiasi cha Milioni 41 za kitanzania muda huu? Bila shaka utapanga mengi na wazo kubwa likiwa kuuaga umasikini kwa mu... 00:41
Utafanya nini ukipewa kiasi cha Milioni 41 za kitanzania muda huu? Bila shaka utapanga mengi na wazo kubwa likiwa kuuaga umasikini kwa muda kama hukuwahi kuzishika.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUYU NDIO MWANAUME ANAYE PATA PERIOD KILA MWENZI KAMA MWANAMKE, MADAKTARI WASEMA ANA KIZAZI
HUYU NDIO MWANAUME ANAYE PATA PERIOD KILA MWENZI KAMA MWANAMKE, MADAKTARI WASEMA ANA KIZAZI
Mfanyabiashara mmoja huku Uk Amejikuta kipigwa na Butwaa Baada ya Madaktari kumwambia Kuwa haumwi Cancer Kama alivyokuwa Akifiria Baada ya k... 00:40Mfanyabiashara mmoja huku Uk Amejikuta kipigwa na Butwaa Baada ya Madaktari kumwambia Kuwa haumwi Cancer Kama alivyokuwa Akifiria Baada ya kila Mara Kupata Haja kubwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
February 12, 2015
7 Ways to Find Your Love Before Valentine’s Day
7 Ways to Find Your Love Before Valentine’s Day
If you are one of those people who can’t stand loneliness and the thought of Valentine’s Day makes you feel sad or discouraged, you may want... 22:40If you are one of those people who can’t stand loneliness and the thought of Valentine’s Day makes you feel sad or discouraged, you may want to know some quick ways
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NAUGHTY MARRIED WOMAN BU-STED BY HER GATEMAN T0UCHING HERSELF PASSIONATELY....
NAUGHTY MARRIED WOMAN BU-STED BY HER GATEMAN T0UCHING HERSELF PASSIONATELY....
A Gate man was going about his job when he decided to go and ask madam for her car keys so that he can wash her car and make it ready by the... 22:40A Gate man was going about his job when he decided to go and ask madam for her car keys so that he can wash her car and make it ready by the time madam is about to go out,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZIFAHAMU SEHEMU ZINAZOMPA UTAMU MWANAMKE HAPA...
ZIFAHAMU SEHEMU ZINAZOMPA UTAMU MWANAMKE HAPA...
Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti na wanaume. 22:29
Kwa bahati nzuri wanawake wana
maeneo 5 ambayo huwawezesha
kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti
na wanaume.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWENYE SHEREHE YA RIHANNA AIBU TUPU.
KWENYE SHEREHE YA RIHANNA AIBU TUPU.
Nyota wa muziki wa Marekani Rihanna amesherehekea kutimiza miaka 22 kwa shoo toka kwa mwanamke mcheza 22:29
Nyota wa muziki wa Marekani Rihanna amesherehekea
kutimiza miaka 22 kwa shoo toka kwa mwanamke mcheza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUYU NDIYE MWANAUME ALIYETUMIA ZAIDI YA PAUND 2000 KUJIBADILISHA KUFANANA NA MICHAEL JACKSON
HUYU NDIYE MWANAUME ALIYETUMIA ZAIDI YA PAUND 2000 KUJIBADILISHA KUFANANA NA MICHAEL JACKSON
Shabiki maarufu wa Michael Jackson ambaye alikuwa ni Mfalme wa Musiki wa Pop ambaye kwa sasa ni marehemu, ametumia zaidi ya pauni z... 22:20
Shabiki maarufu wa Michael Jackson ambaye alikuwa ni Mfalme wa Musiki wa Pop ambaye kwa sasa ni marehemu, ametumia zaidi ya pauni za Uingereza 2000 (sawana shilingi za
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NIMETEMBEA NA MKE WA BOSS KAPATA UJAUZITO NIFANYAJE!
NIMETEMBEA NA MKE WA BOSS KAPATA UJAUZITO NIFANYAJE!
Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu. Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvum... 22:19
Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu.
Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia, kuna siku tulisafiri kwenda Mtwara kwenye biashara
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RIHANNA ACHAFUA HALI YA HEWA BAADA YA KUPOST PICHA HII KWENYE MITANDAO
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SAHAU KUHUSU AL SHABABU JIONEE AL SHABABES HAWAE BWANA EHEE WANA WATOTO WA TAMUU JIONEE MWENYEWE HAWA>>
SAHAU KUHUSU AL SHABABU JIONEE AL SHABABES HAWAE BWANA EHEE WANA WATOTO WA TAMUU JIONEE MWENYEWE HAWA>>
ere Are Photos Of Some Al Shababes That Will Excite Men As We Head To….!!! 10:45
ere Are Photos Of Some Al Shababes That Will Excite Men As We Head To….!!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UJAUZITO WA ZARI WAMCHANGANYA DIAMOND AANZA KUNUNUA MIDOLI NA VITU VYA KUCHEZEA VYA MTOTO WAO NA ZARI KABLA HAJAZALIWA
UJAUZITO WA ZARI WAMCHANGANYA DIAMOND AANZA KUNUNUA MIDOLI NA VITU VYA KUCHEZEA VYA MTOTO WAO NA ZARI KABLA HAJAZALIWA
Kwa kile kinachoonekana kufurahia ujauzito alionao Zari, Diamond muhusika wa 09:55
Kwa kile kinachoonekana kufurahia ujauzito alionao Zari, Diamond muhusika wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LULU: BABA YANGU NI HANDSOME!!
LULU: BABA YANGU NI HANDSOME!!
# Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo... 09:52#
Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Forget about Zari and Diamond.....Meet Ally kiba's Girlfriend...!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
February 11, 2015
CHUCHU HANSI AJITOA FAHAMU...ADAI JOHARI HAKUWAHI KUWA MPENZI WA RAY
CHUCHU HANSI AJITOA FAHAMU...ADAI JOHARI HAKUWAHI KUWA MPENZI WA RAY
Mrembo na Mwigizaji Chuchu Hans Amefunguka mengi kuhusu mahusiano yake na Vicent Kigosi aka Ray Kwenye Kipindi cha Take One cha Zamarad... 16:28Mrembo na Mwigizaji Chuchu Hans Amefunguka mengi kuhusu mahusiano yake na Vicent Kigosi aka Ray Kwenye Kipindi cha Take One cha Zamaradi Clouds
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO==>> this is the reason why DIAMOND PLATNUM attracte his girlfriends..!!..!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KAJALA KWELI NI MAMA WA UKWELI>>>>>ANAMPENDA MTOTO WAKE ILE MBAYA>>>>HEBU JIONEE PICHA HIZI ALIPOMTEMBELEA SHULENI<=
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kilichoamuliwa na familia kuhusu hatma ya mtoto wa marehemu Whitney Houston
Kilichoamuliwa na familia kuhusu hatma ya mtoto wa marehemu Whitney Houston
Zikiwa ni siku 10 tangu Bobbi Kristina apoteze fahamu na kuendelea kutumia mashine zinazomsaidia kupumua hadi sasa imeelezwa hali ya... 07:49
Zikiwa ni siku 10 tangu Bobbi Kristina apoteze fahamu na kuendelea kutumia mashine zinazomsaidia kupumua hadi sasa imeelezwa hali yake bado haijabadilika tangu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hapa ni Flavour kwenye video yake mpya ‘Ololufe’ Ft. Chidnma
Hapa ni Flavour kwenye video yake mpya ‘Ololufe’ Ft. Chidnma
Video mpya ya wimbo wa mkali kutoka Nigeria, Flavour inayoitwa ‘Ololufe’ imetoka na sasa mashabiki wake wanaweza kuitazama. 07:48Video mpya ya wimbo wa mkali kutoka Nigeria, Flavour inayoitwa ‘Ololufe’ imetoka na sasa mashabiki wake wanaweza kuitazama.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA AMTUSI SHEMEJI WA ZARI
WEMA AMTUSI SHEMEJI WA ZARI
KIMENUKA! Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ amemporomoshea matusi mazito shemeji wa Zarina Hassan ‘Zari’, King Lauwrance akidai am... 07:46
KIMENUKA! Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ amemporomoshea matusi mazito shemeji wa Zarina Hassan ‘Zari’, King Lauwrance akidai amemuudhi sana kwa kitendo cha kuvujisha picha inayomuonesha akiponda raha nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ na mume wa Zari, Ivan Semwanga,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NAY WA MITEGO USIPOJIPANGA TUTAKUPANGA!
NAY WA MITEGO USIPOJIPANGA TUTAKUPANGA!
KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Mambo vipi? Mishe zinasemaje? Binafsi mimi ni mzima wa afya, maisha... 07:45
KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Mambo vipi? Mishe zinasemaje? Binafsi mimi ni mzima wa afya, maisha yanasonga mbele kwa kasi ya ajabu. Tunapambana!
Nimekukumbuka leo kwa barua maana kitambo kidogo hatujaonana. Nakupongeza kwa nyimbo zako maana hata wale waliosema ulibebwa na Diamond katika wimbo wa Muziki Gani, sasa hivi wanajutia kauli zao.
Wanaona walikosea maana umefyatua nyimbo zako mwenyewe na unaendelea kukimbiza mitaani.
Madhumuni ya barua hii ni kutaka kukueleza kwamba wewe ni staa hivyo unapaswa kuwa mfano wa kuigwa na kila mtu katika jamii. Hutakiwi kuteleza hata kidogo. Ukiwa wewe ndiyo kinara wa majanga, utatolewa mfano kwamba hufai kuigwa kutokana na matendo yako maovu.
Kila mmoja anatambua uwezo wako, anatambua hatua ambayo umefikia kimuziki. Watu wanatambua kwamba una mchumba ambaye una mikakati ya kufika naye mbali kwa maana ya ndoa Mungu akipenda.
Kinachoshangaza ni kwamba, inakuwaje unaonekana katika pozi za kimahaba na mwanamke mwingine? Picha zenyewe zinatia kinyaa?
Mwishoni mwa wiki iliyopita gumzo katika mitandao ya kijamii ilikuwa ni wewe na picha zako za utupu na mwanamke huyo ambaye hakuwa mchumba wako.Ndugu yangu, picha zile hazikuwa nzuri kwako. Zimekudhalilisha na hata kukuletea ugomvi kwa mchumba wako.
Kwa nini ulikubali kupiga picha za namna ile? Zilikuwa za nini? Ulikuwa na malengo gani? Hata kama mlikuwa katika ‘shooting’ ya wimbo kwa nini ulikubali kupigwa picha katika hatua ile?
Tena bora zingevujishwa na mtu mwingine, wewe mwenyewe unatajwa kuwa ndiye chanzo cha kusambaa kwa picha hizo kupitia mitandao yako ya kijamii, hivi kwenye kichwa chako uliwaza kabla ya kufanya?
Unapaswa kujiheshimu hata kama ni video ya wimbo, naamini kwa desturi zetu, kamwe huwezi kuruhusiwa kurusha video ya namna hiyo hewani. Tamaduni zetu haziruhusu, unasubiri nani akuzuie kufanya hivyo wakati wewe kama kioo cha jamii unapaswa kuwa mfano?
Una watoto sasa, ulimwengu wa sasa si ule wa zamani. Picha zako za utupu zinachapishwa magazetini, zitasambaa kwenye mitandao mbalimbali na wanao pia watajionea bila wasiwasi. Watajifunza nini kutoka kwa baba? Jibu najua unalo na haliwezi kuwa zuri kwa mtu muungwana.
Ulimwengu wa sasa, ukifanya vituko vya namna hiyo, rekodi zake zinabaki kwenye mitandao. Vizazi na vizazi vitakuja kuona hayo uliyoyafanya juzi. Badilika kaka!Ni matumaini yangu utakuwa umenielewa, kwa leo naishia hapa, naamini utafanyia kazi mawazo yangu na kubadilika.
Wasalaam,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASOGANGE AWATUKANA WANAUME WANAOMPELEKEA HABARI ZAKE KWA JAMAA YAKE WA SAUZI
MASOGANGE AWATUKANA WANAUME WANAOMPELEKEA HABARI ZAKE KWA JAMAA YAKE WA SAUZI
Kama mnavyojua AGNES MASOGANGE kwasasa yupo BONGO na Yule jamaa yake yupo SAUZI..sasa kutokana na taarifa za kile ambacho MASOGANGE a... 07:44
Kama mnavyojua AGNES MASOGANGE kwasasa yupo BONGO na Yule jamaa yake yupo SAUZI..sasa kutokana na taarifa za kile ambacho MASOGANGE anakifanya hapa mjini kumfikia jamaa yake huko SAUZI kupitia jamaa ambao wanampa ripoti zote kutoka hapa BONGO na hivyo kupelekea kuhatarisha penzi la MASOGANGE na huyo jamaa…MASOGANGE AMEAMUA KUFUNGUKA Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM aliweka picha hiyo na kuandika kama unavyoona hapa!!!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA
MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA
MSHEHERESHAJI wa onyesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kumpongeza mwimbaji kiongozi Luiza Mbutu kutimiza miaka 16 ya kuifan... 07:43
MSHEHERESHAJI wa onyesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kumpongeza mwimbaji kiongozi Luiza Mbutu kutimiza miaka 16 ya kuifanyia kazi mfululizo bila kuhama, Sakina Lyoka, Jumamosi iliyopita alimkera
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JUX BADO UNABISHA UHUSIANO WAKO NA VANESSA
JUX BADO UNABISHA UHUSIANO WAKO NA VANESSA
BAADA ya kukataa mara kwa mara juu ya uhusiano wao wa kimapenzi, hatimaye wasanii Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ juzikati... 07:42
BAADA ya kukataa mara kwa mara juu ya uhusiano wao wa kimapenzi, hatimaye wasanii Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ juzikati walikutwa katika mkao wa kimahaba kiasi cha kuwafanya mashabiki kujiuliza kama mkali huyo wa kibao cha Uzuri wako anaweza kuendelea kubisha.
Wabongo Fleva Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ wakila ujana.
Wawili hao walikutwa wamepakatana wakati wa onyesho la kutambulisha video za wakali wa Bongo Fleva, lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Escape One, Mikocheni jijini Dar.
Vee Money alithibitisha kuwa wao ni wapenzi mbele ya umati alipokuwa stejini akiimba naye pamoja na Barnaba wimbo walioshirikiana unaojulikana kwa jina la Siri, akisema anampenda sana Jux na kuwafanya mashabiki kumshangilia kwa nguvu.
Juma Mussa ‘Jux’ akipozi.
Baada ya Vanessa kumaliza shoo yake, ukafuata wakati wa Jux ambaye alipomaliza na kurudi nyuma ya jukwaa, Vee alimpisha mvulana huyo akae kitini kisha yeye akamkalia, jambo lililotosha kuwaaminisha watu mapenzi yao.
“Njooni muone jamani Vanessa kapakatwa na Jux tena hawana hata wasiwasi wenyewe wamejiachia kama hawapo vile, watakuwa ni wapenzi tu kwa maana huwa wanaficha sana,” alisikika akisema shabiki.
Hawakuishia hapo, kwani waliendelea kuoneshana mahaba mpaka walipoondoka katika viwanja hivyo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MM HII NOMA SASA...DAKTARI ANASWA NA MAITI DUKANI,ADAIWA KUMPA DAWA ZIKAWA SUMU
MM HII NOMA SASA...DAKTARI ANASWA NA MAITI DUKANI,ADAIWA KUMPA DAWA ZIKAWA SUMU
UKANJANJA! Jeshi la Polisi wilayani Ikungi, Singida linamshikilia daktari anayedaiwa kuwa ni feki, Prosper Samson (pichani) kwa madai... 07:41
UKANJANJA! Jeshi la Polisi wilayani Ikungi, Singida linamshikilia daktari anayedaiwa kuwa ni feki, Prosper Samson (pichani) kwa madai ya kumtibu mgonjwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO
PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO
UZOEFU katika maisha ni jambo zuri sana kwa sababu unakusaidia kwa mambo mengi, hasa unapojikuta katika nyakati ngumu. Mara nyingi unap... 07:39UZOEFU katika maisha ni jambo zuri sana kwa sababu unakusaidia kwa mambo mengi, hasa unapojikuta katika nyakati ngumu. Mara nyingi unapojikuta ndani ya nyumba yako hakuna chakula, unafahamu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAPATOSHI BONGO MOVIE...!!!! BIFU JIPYA LUNGI, AMANDA
HAPATOSHI BONGO MOVIE...!!!! BIFU JIPYA LUNGI, AMANDA
NYOTA wa filamu kitambo, Lungi Maulanga anadaiwa kuwa katika bifu kali na mwenzake Tamrina Poshi ‘Amanda’ kwa kile kinachotajwa kuwa ni ... 07:38
NYOTA wa filamu kitambo, Lungi Maulanga anadaiwa kuwa katika bifu kali na mwenzake Tamrina Poshi ‘Amanda’ kwa kile kinachotajwa kuwa ni mmoja wao kumponda mwenziye akimsema kuwa anaenda nje kujiuza.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
February 10, 2015
INASHANGAZA...AAMUA KUMN'GATA ULIMI MTU ALIYEMBAKA ILI KUPELEKA USHAHIDI POLISI.
INASHANGAZA...AAMUA KUMN'GATA ULIMI MTU ALIYEMBAKA ILI KUPELEKA USHAHIDI POLISI.
Mara ya kwanza mwanamke huyu alipatwa na tukio kama hili miaka kumi iliyopita, alipoenda kuripoti tukio hilo Polisi mtuhumiwa wa kosa ... 13:46
Mara ya kwanza mwanamke huyu alipatwa na tukio kama hili miaka kumi iliyopita, alipoenda kuripoti tukio hilo Polisi mtuhumiwa wa kosa la kumuingilia
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WHAT GOES AROUND COMES AROUND...EX WA ZARI AONYESHA DALILI ZA KUMEGA WEMA SEPETU..HUKU SKENDO YA DO NA DIMPOZ IKIMTAFUNA:
WHAT GOES AROUND COMES AROUND...EX WA ZARI AONYESHA DALILI ZA KUMEGA WEMA SEPETU..HUKU SKENDO YA DO NA DIMPOZ IKIMTAFUNA:
Kuanzia Kulia: King Lawrence, Ivan Ssemwinga na Wema Sepetu Ivan Ssemwanga, aliyekuwa mume wa Zari The Bosslady na aliyezaa naye wato... 13:44
Kuanzia Kulia: King Lawrence, Ivan Ssemwinga na Wema Sepetu
Ivan Ssemwanga, aliyekuwa mume wa Zari The Bosslady na aliyezaa naye watoto
Ivan Ssemwanga, aliyekuwa mume wa Zari The Bosslady na aliyezaa naye watoto
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO
ZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO
MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua 13:41MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OMMY DIMPOZI NA DIAMOND WATUPIANA VIJEMBE .. DIMPOZI ''INZI KUFA KWENYE KIDONDA'' MONDI NAYE AJIBU ''SISIMIZI KAMEZA DAFU''
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAZAMA HOT S3XY PHOTOS ZA MREMBO NAGRIS MOHAMMED.... HAKIKA LAZIMA UMKUBALI
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)